DullahTheking2 Profile Banner
Dullah_theKing🎧 Profile
Dullah_theKing🎧

@DullahTheking2

Followers
113K
Following
754K
Media
8K
Statuses
467K

There's no one who can stop you except yourself... I refuse to stop🙌🏽.. https://t.co/lCJQZQ0Mcn

theKing_street
Joined May 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@DullahTheking2
Dullah_theKing🎧
2 years
👉🏽Founder wa "Coca-Cola" ndoto yake ilikuwa ni kuhakikisha kila Nyumba haikosekani chupa ya "Coca-Cola"...... Na alifanikiwa katika hilo 🙌🏽 👉🏽Kwa upande wa mzee wetu wa "Microsoft" lengo lake lilikuwa ni kuhakikisha anakuwepo katika kila Ofisi aisee.....na alilifanikisha hilo 🙌🏽
171
616
2K
@Rydx_017
Latto 𝕏
27 minutes
Free Buyobe Free Buyobe Free Buyobe
0
2
16
@PapiiKhan98
Mzee wa Chuki 🤬
33 minutes
Kuna Chopa La Kijeshi limepita hapa Rombo muda so mrefu wanajaribu kutuuzia Uoga aise.😂😂😂😂😂😂🚮💔🚮🚮
2
4
13
@kasesco_tz
kasesco☆
3 hours
Zamani ilikua kukuta mtu ana Kitambi basi ni millionaire au mzee Siku hizi kijana akiwa na 1️⃣Winga Kariakoo 2️⃣Online trader 3️⃣Muuza gege 4️⃣Bodaboda 5️⃣Mangi Anakitambi, Maziwa na Hips age ya 20s 30s anatumia mkongo Unamwmbia acha chips, soda,wali na ugali anafoka..🤔
12
21
65
@nassor_01
CHOLLO
1 hour
Me nae sijui nikoje,ukija ku engage kwenye post yangu nikikuona lazima niku follow kama bado hatujafoliana😂
3
3
9
@MarekaMalili
Lubasha Jr
14 days
Wakuu kuna haya Mashamba yanauzwa, Kama una mzigo we ruka na mojawapo: Iringa, Wilaya ya Mafinga, Kata ya Mdabulo, Isipii. Ekari 10: Shamba na Miti Pine (miaka 8) -> 13.5M - ⁠Ekari 20: Shamba na Miti Pine (miaka 7) -> 21M
10
89
220
@ze_mandevu
The mandevu
2 hours
Hakuna Mtu aliyekufa kwa kuchelewa kuowa, lakini kuna Wanaume wamekufa kwa kukosea kuowa.
5
41
346
@MaxTz255_
Myunani
7 hours
Ilikuchukua Miaka Mingapi Kutengeneza 10M yako ya Kwanza Toka Umalize Chuo? Mimi Mwaka Wa 5 huu sijaweza 🙌🙌
6
8
89
@mswahili___
Mswahili___💡
2 hours
Hapa mabibo sokoni leo humjui mwenye genge nani na anayenunua kwa ajili ya nyumbani nani watu wanafungasha ajabu 🙌🏿
8
21
97
@funkybaidu
Christian
3 hours
Arudishwe
@DullahTheking2
Dullah_theKing🎧
5 hours
0
1
3
@INFLUENCERjr
WHYMYCATISSAD
2 hours
Dar City wameibuka mabingwa wa NBL 2025 baada ya kuichakaza Kisasa Heroes 80-51 jijini Dodoma. Wachezaji na makocha wamesherehekea Locker Room Bonus ya Sh20.1M pamoja na Sh2.5M bonus ya jumla kutoka @betPawaTZ, ikithibitisha motisha na mshikamano wa timu #betPawaLockerRoomBonus
1
10
19
@climberJet
𝗭𝗛𝗢𝗡𝗚𝗧𝗢𝗡𝗚 𝗕𝗨𝗦| 中通 客車🇹🇿
54 minutes
@DullahTheking2 My Playlist 👉Tanzania ~ @Roma_Mkatoliki 👉Mr President ~ 👉 Mathematics ~ 👉Viva roma viva ~ 👉Mkombozi ~ 👉Paka na panya ~ ft @MauaSama 👉Nipeni maua yangu ~ ft Abiudi 👉Parapanda 👉 Abdul ft stamina 👉wapo ~ Ney wamitego 👉Nipe namba ~ Baghdad #megamx
0
1
2
@MiriamMkanaka
MIRIAM💜
7 hours
Wazeee kila kona wamejaaa kuliko raia 😂😂
32
44
607
@DullahTheking2
Dullah_theKing🎧
2 hours
Hawa watu wote hawakishushwa bali walizaliwa 👉🏽Wana Familia Hawakuwa wakiishi Jangwani 👉🏽 Wana Marafiki, Ndugu na Jamaa Kuna Vidonda visivyotegemewa kupona huku Mtaani, Ila bado Mama Sykes halioni hili, inaumiza kwakweli 💔
@TitoMagoti
Tito Ally Magoti, ESQ, PG.
3 hours
Free Fortunatus Buyobe. Free Tundu Lissu. Free Deus Soka. Free Jacob Mlay. Free Dioniz Kipanya. Free Mdude Nyagali. Free Frank Mbise. Free Amani Manengelo. Free Daniel Chonchorio. Free Shadrack Chaula. Free Humphrey Polepole. Free all political prisoners & detainees.
2
6
26
@DullahTheking2
Dullah_theKing🎧
2 hours
Hawa watu wote hawakishushwa bali walizaliwa 👉🏽Wana Familia Hawakuwa wakiishi Jangwani 👉🏽 Wana Marafiki, Ndugu na Jamaa Kuna Vidonda visivyotegemewa kupona huku Mtaani, Ila bado Mama Sykes halioni hili, inaumiza kwakweli 💔
@TitoMagoti
Tito Ally Magoti, ESQ, PG.
3 hours
Free Fortunatus Buyobe. Free Tundu Lissu. Free Deus Soka. Free Jacob Mlay. Free Dioniz Kipanya. Free Mdude Nyagali. Free Frank Mbise. Free Amani Manengelo. Free Daniel Chonchorio. Free Shadrack Chaula. Free Humphrey Polepole. Free all political prisoners & detainees.
2
6
26
@TitoMagoti
Tito Ally Magoti, ESQ, PG.
3 hours
Free Fortunatus Buyobe. Free Tundu Lissu. Free Deus Soka. Free Jacob Mlay. Free Dioniz Kipanya. Free Mdude Nyagali. Free Frank Mbise. Free Amani Manengelo. Free Daniel Chonchorio. Free Shadrack Chaula. Free Humphrey Polepole. Free all political prisoners & detainees.
13
393
1K
@McinikaWaLamar
Daktari Wa Manesi 💉💊
5 hours
FOX DIVAS MABINGWA WA NBL 2025 BACK TO BACK Timu ya mpira wa kikapu ya wanawake Fox Divas wameandika historia baada ya kutwaa ushindi muhimu wa 65–57 dhidi ya Vijana Queens katika mchezo uliokuwa mkali, wenye ushindani wa hali ya juu, na ukionyesha ubora wa wanawake katika
12
22
41
@amprincess9
TricyLove🦁
9 hours
Tubarikiwe tutokapo na tuingiapo🙏
1
39
87
@ze_mandevu
The mandevu
8 hours
Wenzenu tulisha move on kwenye maswala ya Simba na Yanga yaani kwenye Mpira na Muziki wa Bongo hatu-entatain kitu chochote.
30
153
1K
@Brother_0101
BROTHER
6 hours
Man to Man: • Oa Usimwambie mtu. • Fungua biashara yako Usimwambie mtu. • Anza mazoezi ya mwili Usimwambie mtu. • Nunua nyumba Usimwambie mtu. • Nenda likizo Usimwambie mtu. • Jifunze ujuzi mpya Usimwambie mtu. • Tafuta marafiki wapya Usimwambie mtu. • Panga
12
41
144
@bukujero_1500
ELFUJEROOO…!!!
5 hours
Me as Mhaini: 😂👇 “Afande chukua cashout, hiyo mechi haina magoli…”
8
12
73