White Dove 🕊️ Profile Banner
White Dove 🕊️ Profile
White Dove 🕊️

@DonnYen__

Followers
9,148
Following
1,825
Media
3,083
Statuses
116,836

Virgo♍ || Trouble in paradise || T.I & Alikiba die hard fan || MamaB ||Music&Happiness lives here || Nauza & kushona makapu

Tanzania 🇹🇿
Joined April 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@DonnYen__
White Dove 🕊️
8 days
Baba yangu alinichukua kwa mama nikiwa na mwaka mmoja na nusu, mpka napata akili nikiamka asubuhi mtu wa kwanza namuona machoni kwangu ni Baba, nimepewa kila nilichostahili kutoka kwa mzazi na Baba, nimekuja kumuona mama yangu nikiwa darasa la nne. Baba hakuwahi kunijaza chuki..
190
391
2K
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Tunaoweka fridge Sebuleni roll call..! 👋
Tweet media one
129
69
1K
@DonnYen__
White Dove 🕊️
3 months
Mzee amefariki ameacha nyumba kubwa na watoto wa 5, mmoja akaanza fujo anataka nyumba iuzwe kila mtu afe na chake, wale wanne wakapiga hesabu thamani ya nyumba na mgao utavyokua then kijana wa 5 akapewa gawio lake akaenda kula bata, hela zimemuishia Hana pa kuishi anarudi........
121
69
1K
@DonnYen__
White Dove 🕊️
3 months
February 8 sikio la upande wa kushoto lilianza kuwasha nikaweka kidole sikioni kidole kikatoka na maji maji mazito yana shombo kama ya samaki, ushauri ushauri wa watu wa karibu pale nikaenda pharmacy chap kununua dawa ya matone, siku ya kwanza nimeweka ikafika siku ya pili...
197
96
912
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Yote kwa yote ukihitaji Matokeo ya haraka Shem piga hizo namba 0785 991 499, 0621 600 056 Anasafiri mpaka mikoani huyo, Akipokea mwambie tu namba nimepewa na Rehema Sele limeisha hilo. Utaamua wewe kama tuzike au tusafirishe.
@kalage_jr
John kalage 🇹🇿
4 months
Kuhusu kuibiwa ni kwamba jamaa alinipigia kwa Namba 0672855446 alidai anafanya kazi tabata Shule (Ile zahanati pale karibu na kituo cha daladala) Sasa nilipofika akaniambia nimsubiri Kuna mgonjwa anamalizana nae. Basi nikawa na ngoja. Baada ya muda Akanipigia simu akanieleza
743
162
1K
393
153
872
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Nakumbuka sekondari watu walikua wanakimbia morning speech vibaya mno, mpaka ikawekwa ratiba Ikafika siku ya mkimbiaji sugu kuongea alipanda pale juu akatusalimia "Good morning my fellow students, my short story is about Pepsi, Pepsi Dare for More" huyo akaishia zake 😁😁😂
92
95
850
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Khanga thread 😊
Tweet media one
61
19
760
@DonnYen__
White Dove 🕊️
5 months
Sema hii Dar es salaam mtu unaweza kufa na watu wanakuangalia tu yaani🥹 niwape kastory kidogo... Leo wakati natoka kazini nipo kwenye pikipiki barabara ya kigogo mburahati pale Kuna kanjia unakafata unatokea daraja la kigogo, mbele yetu kulikua na Mzee anatembea na kifurushi
165
102
815
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Chanika na Chamazi Kuna shida gani mbona nyumba zinauzwa sana na bei zake rahisi tu..?🤔
52
43
778
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Zikifikaga Story za Dini naonaga Bora kunyamaza tu. Since nimezaliwa na wazazi waislam, nikalelewa na Shangazi mkristo, nikalelewa na Baba mkubwa Alhaji, nikazaa na Kijana wa kikristo na Nina Mtoto mkristo. Sina Neno kwakweli.🙌
89
77
742
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 year
Nimepita kitambaa cheupe Sinza, kwakweli hali ni mbaya sana 🥹 Wanawake tutafute kazi na hela.
113
31
725
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Tanesco 💔 TRA 💔 Sukari 💔 Nauli 💔 Ongeza lingine.
134
109
718
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Kupitia hii App nimepata oda kubwa ya makapu mpaka nachanganyikiwa 🥹 mteja amelipa na advance kabisa yaani nitashona makapu mpaka Mikono iseme nyie Mungu ni mwema sana. shukrani kwa wote wanaoendelea ku like na ki rt makapu yangu.🫶 Alhamdulillah Alhamdulillah Alhamdulillah.🙏
60
151
709
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Saizi mtu aki like tweet Yako unatakiwa kumuheshimu kweli😂🥹
32
32
691
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Umevaa Nini mkononi ?😎
Tweet media one
152
27
646
@DonnYen__
White Dove 🕊️
9 months
Tangazo liko straight Halina kelele,halina dakika nyingi,halichoshi.
Tweet media one
79
36
675
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Happy new month lovers 🥂
Tweet media one
69
32
581
@DonnYen__
White Dove 🕊️
11 months
hawa mbona wanatuchanganyaaa😫😂😂🤣
88
77
616
@DonnYen__
White Dove 🕊️
9 months
Nimepita Riverside,Pako safi peupeee panang'aa kama hapana dhambi vile.😂
Tweet media one
89
43
593
@DonnYen__
White Dove 🕊️
8 months
Njoeni niwakopeshe pikipiki.🙂😐
Tweet media one
99
71
585
@DonnYen__
White Dove 🕊️
11 months
Kondeee🔥🙌 Dia eksi muvu oni.
39
72
589
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 year
Unakutana na mtu hospital unaanza kumtongoza. 🌚
223
47
584
@DonnYen__
White Dove 🕊️
11 months
"Bongo movie ilikua wakati wa kanumba" Kanumba mwenyewe sasa😂🤣🤣🤣 🙌
121
90
555
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 years
✍️If u would be loved Love and be lovable.
49
142
516
@DonnYen__
White Dove 🕊️
28 days
Mama mwenye nyumba wangu ananipenda sana, nikichelewa kurudi namkuta nje ananisubiri anasema "nilikua na wasiwasi sana nikazani usafiri umekusumbua" 😁🫶
71
45
558
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Slogan ni ile ile "Watu wenye akili timamu wapo kibao humu angalia na mtu wa kudate nae......utadharirika Kuna watu ni wendawazimu na hawana Cha kupoteza.
51
47
538
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Binti amekutana na kaka mjini Daslama wamependana mapenzi yamenoga wamepanga chumba, kaka anapiga tu mission town Binti ana kibanda Cha Mpesa miez imekata Binti puu ujauzito huu hapa wanalea siku moja amerudi nyumbani kaka akamwambia nenda Temeke Kuna rafiki yangu ana mzigo wangu
108
69
555
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Tweet media one
101
77
550
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 month
Watumiaji wa pikipiki za tvs na wanaotarajia kununua pia nawaomba hapa.☺️ Kumekua na malalamiko mengi sana kuhusu ishu ya plug kwamba bike zinasumbua mno kwenye upande wa plug. Inaweza kuwa ni kweli lakini pia inawezekana tatizo sio plug au pengine tatizo.....
32
99
562
@DonnYen__
White Dove 🕊️
7 months
0623623274 kama upo serious kweli.
@daktarimtalii
Dr. Rutasingwa, MD.
7 months
Check around your circle. Hakuna mtu akakuonea huruma.
Tweet media one
9
1
60
128
22
536
@DonnYen__
White Dove 🕊️
3 years
Alhamdulillah Yarab🙏 +1🎉 26 looks good on me
Tweet media one
87
28
491
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 month
Wiki ya mitihani maLegend wanasoma kwenye daladala. swala ni Lile lile ng'ombe ananenepa siku ya mnada na anauzwa.😂😂😂
Tweet media one
99
56
528
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Mtu anakutaka unampa muda wa kumchungza taratibu alafu sku unaamua kupendana nae unakuta uvumulivu ulimshinda amependana na mtu mwngne khaaa😖 Aya pendaneni Kila la kheri 🙌
83
20
507
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Nini kinapelekea ujenzi wa hivi, Ni majirani kushindwa kuelewana au ndo hawataki shobo..?😁
Tweet media one
102
38
507
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Jumaah Mubarak From us 2 u ✨
Tweet media one
Tweet media two
60
16
472
@DonnYen__
White Dove 🕊️
7 months
Ngoja Leo niwasimulie hadithi yangu ya kutisha kidogo, Mimi nimesoma shule za msingi 5 hizo zote nilikua nahamishwa na zingine najihamisha mwenyewe, sasa 2007 nikiwa darasa la sita Aunt yangu alinihamisha shule nimfate kijijini kwake alikopangiwa Aunt alikua mwalimu wa shule ya
48
48
501
@DonnYen__
White Dove 🕊️
8 months
Tunashukuru sana Serikali ya awamu ya sita Jana tumevunja danguro lingine Lupaso 💚💛💚💛
60
120
493
@DonnYen__
White Dove 🕊️
9 months
Hii App ukidate na mtu then mkaachana ni kisanga, though wachache tuliweza ku survive Kuna watu wanachukulia ku break up ni ugomvi unatakiwa kuwa na moyo wa Remmy Ongala kabisa.😆
93
59
491
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 year
Mfalme naomba gusa miguu yangu nibarikiwe.
Tweet media one
@Heradkj
Herode the 3rd.
1 year
Jamani inatosha sasa!
578
493
4K
54
21
487
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Ongeeni sauti zenu halisi,mtajikojolea🌚
49
19
477
@DonnYen__
White Dove 🕊️
9 months
Jobless Nile ndizi Kuku nilale.☺️🙂
Tweet media one
75
30
485
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Twitter Madaktari,hivi nini kinasababisha mtu akiamka asubuhi macho yanakuwa mekundu?
Tweet media one
103
21
466
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Nakumbuka niliwahi kuachwa nikalia sana, nilibembeleza mpaka kamasi ya mwisho🥹 Nilisahau pochi na baadhi ya vitu nyumbani kwa muhusika nikaomba anitumi, akatuma then boom after two days ananipigia kwenye pochi yangu alikua anafanyia saving kulikua na hela ko akaomba kama.....
90
52
482
@DonnYen__
White Dove 🕊️
3 months
Wala huitaji kuzunguka zunguka Mahiwangu.☺️😂😂😂
Tweet media one
39
50
475
@DonnYen__
White Dove 🕊️
7 months
Nakumbuka mwanangu tulimpa jina kabla hajazaliwa baadhi walishangaa lakini baba yake alisema huyu ataitwa Albert tu..."nataka aje kuwa kama Albert Einstein" miaka imepita sio kwa uwezo wetu,Leo hii Albert wangu ni mzuri sana kwenye mathematics Jamani GOD thank you 🙏
39
50
471
@DonnYen__
White Dove 🕊️
9 months
Jobless mwenzangu umekula..?
Tweet media one
58
31
450
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
9 September +27 yrs today Alhamdulillah 🎉 Allahumma inni as'aluka al afiyah 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
101
43
440
@DonnYen__
White Dove 🕊️
7 months
Chuck Norris ☺️😎
Tweet media one
73
49
439
@DonnYen__
White Dove 🕊️
9 months
Bodaboda amekoswa koswa kwenye barabara ya mwendo Kasi hapa magomeni Mikumi, dereva wa mwendokasi ameshuka amemtia vibao vya kwenda plus kelebu moja matata😂😂😂 alitaka kutonesha binzari nyekundu asubuhi asubuhi.
41
34
429
@DonnYen__
White Dove 🕊️
8 months
😂😂😂😂
Tweet media one
84
46
420
@DonnYen__
White Dove 🕊️
7 months
Nimeyaona magari ya mwendo Kasi mapya Tazara pale, aiseeh ni mazuri sana though ni madogo.🙂
56
33
423
@DonnYen__
White Dove 🕊️
5 months
Hata kama age is just a number,ndo mwanamke 1974 na mwanaume 1998 kweli...!!🥺
55
36
423
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Kuna tofauti kati ya TIGOPESA na Tigopesa.😂
75
52
415
@DonnYen__
White Dove 🕊️
11 months
Kuna namna nashindwa kuongea ila Mungu asante sana kwaajili huyu Kaka,sijui kwanini hukumleta siku zote hizo 🥹dia GOD I'm speechless 😭
49
11
415
@DonnYen__
White Dove 🕊️
7 months
Niolewe sasa nikafue suruali za vitambaa za yule afisa na kumsafishia viatu vyake vya mchongoko afu nizae mashost zangu na Vijana tumfilisi.☺️
36
42
406
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Namna nyingine ya kujilinda na wezi wa majumbani.😂😂😂
Tweet media one
72
48
401
@DonnYen__
White Dove 🕊️
8 months
Darasa la nne wanafanya mitihani yao ya taifa Leo Mwaka gani ulifanya mtahani wa darasa la nne.? Mimi 2005.🙂
167
24
404
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Donnie Yen.🙂 甄子丹 😎
Tweet media one
81
68
404
@DonnYen__
White Dove 🕊️
6 months
Toto la TAMISEMI 😆😂😂
Tweet media one
39
16
392
@DonnYen__
White Dove 🕊️
10 months
9.9.1995 Hello 28 ☺️ Greatness 🙏
Tweet media one
Tweet media two
119
62
390
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 year
Nikilikumbuka haya mapenzi mwili mzima unaishiwa nguvu🥹🥲😭
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
46
21
385
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Kama hujawahi date mchaga... hujawahi kupendwa😎 hawa watu wanajua kupenda bhana shot out Kwa mchaga wangu Nakupenda, Nakupenda,alafu Nakupenda tenaa 😍😍😇
67
25
384
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 month
Zamani nilikua nikiomba pesa kwa Baba yangu mfano elf 40 anakupa mara mbili yake, Afu pesa hiyo hiyo nikiomba kwa kaka zangu napewa nusu yake😁 siku hizi sasa nikimuomba Baba napewa nusu then kaka zangu wananipa pesa kamili.😂 Mambo mvurugano.
28
38
391
@DonnYen__
White Dove 🕊️
8 months
😂😂😂😂Nimecheka sanaa.
53
47
394
@DonnYen__
White Dove 🕊️
22 days
"Konda naomba msaada nafika hapo temeke nauli yangu imepungua" Konda :haya panda Kaka amepanda imefika wakati wa kutoa nauli anatoa mia.😂😂😂 Tupo tunashuhudia ugomvi mpka saizi konda anasema "nilikubali lakini hukusema kama nauli uliyonayo ni mia" abiria anasema sishuki.😂😂
50
35
394
@DonnYen__
White Dove 🕊️
5 months
Upo kituo ambacho magari yanaanzia safari zake,umekosa siti unasimama na mtoto mgongoni kwanini usisubiri gari lingine.? Lawama zinatafutwa kwa nguvu sana.
47
37
389
@DonnYen__
White Dove 🕊️
8 months
Hii nilizani ni Mimi tu peke yangu au zimenikataa kumbe tupo wengi.
@SharonMontana20
Mishy🇲🇫
8 months
Pole Sana Jitahidi Kujicontrol Tu my dear
Tweet media one
67
10
349
75
19
383
@DonnYen__
White Dove 🕊️
7 months
"Wanaume wawili mkigundua mko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mmoja, atakayeshinda na kufanikiwa kubaki na huyo mwanamke ndiye mwanaume dhaifu zaidi." @MaunduMwingizi
52
57
383
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Usinune Kama hauna uhakika wa kubembelezwa.
26
28
359
@DonnYen__
White Dove 🕊️
7 months
Kwa heshima ya watu walonifata Dm huko naliacha hili hapa, "hakuna mtu yoyote wa kunipika humu Wala kunipangia maisha yangu" muwe na wiki njema wanangu sana 🫶❤️
31
32
368
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Hivi mitandao ya simu ukomo wa kuweka pesa ni kiasi gani.? I mean Tigopesa, Mpesa,Tpesa,Halopesa na Airtel money.
33
33
369
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 year
Tweet media one
34
12
361
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Twita Uhamiaji, ukitaka kwenda Zanzibar afu kitambulisho umesahau nyumbani ila kwenye simu unacho I mean umekipiga picha pande zote. vipi pale kwenye kukata tiketi watakubali au kifuatwe tu nyumbani mambo yasiwe mengi.?🙂
50
40
364
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Hey babe's pikipiki yetu pendwa ya TVS HLX plus cc 100 imerudi tena. Ikiwa imeboreshwa zaidi na kwa Lita moja tu unatembea kilometer 75☺️ unaipata kwa mkopo kupitia Kampuni ya Watu kwa rejesho la elf 55 tu kwa wiki vigezo ni nafuu sana, ukitaka kununua ni 2M laki na elf 50......
Tweet media one
Tweet media two
53
113
363
@DonnYen__
White Dove 🕊️
5 months
Mnaweza kucheat na mkasemehana maisha yakaenda, lakini Kuna makosa yanaumiza mara 10 zaidi ya kucheat na hayasameheki,Ukiona mtu anasema "huyo siwezi kumrudia hata iweje" heshimu tu maamuzi yake hujui nini alipitia mpaka anasema hivyo, Kuhakuna mkamilifu sawa lakini Kuna mambo.🙌
33
64
351
@DonnYen__
White Dove 🕊️
9 months
Mimi na Mwanaume wangu ataenioa lazima tutakua matajiri,tutatafuta pamoja na tutatajirika pamoja Amen✨🙏
43
37
349
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 year
Sabasaba 🤍
Tweet media one
Tweet media two
34
31
345
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Kaka yangu alidondosha simu yake Jana, alikua kwenye pikipiki amekuja kujua ashafika nyumbani. akapiga simu mdada amepokea akamuelekeza mpka alipo shwaaa akawasha pikipiki Binti aliyeokota akairudisha kama ilivyo. Watu wema bado wapo jamani🤍 na msiache kupiga simu mkizipoteza.
41
50
344
@DonnYen__
White Dove 🕊️
3 years
when I was 24 😊
Tweet media one
27
13
316
@DonnYen__
White Dove 🕊️
3 months
Karibuni Gongolamboto.☺️
Tweet media one
70
28
334
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Utakatifu mwingi kwenye comment na bookmark 1000 + Mnachekesha sana humu.😂😂😂
34
27
333
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Kati ya Al mudhish na Lato yapi maziwa mazuri.?🙂 Pigeni kura hapo chini.
Tweet media one
84
25
332
@DonnYen__
White Dove 🕊️
8 months
Umewahi kukutana nao...? Mi waliwahi kuchukua elf30 yangu na nilikua naenda kununua begi la mgongoni hapo Nililia so poa Mwanangu ndo akawa ananibembeleza "Mama nyamazaa"🥹😭😭
Tweet media one
77
27
330
@DonnYen__
White Dove 🕊️
4 months
Hivi ukitaka kuhama unatakiwa kumtaarifu mwenye nyumba mapema like mwezi mmoja &wiki moja before au unamuaga tu siku unayo ondoka.?🤔
56
31
331
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Astaghfirullah 🥹😭😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@UTDReecy
REECY
2 months
Saturday is for staying at home and watch those movies. 🤝
Tweet media one
67
74
907
99
12
329
@DonnYen__
White Dove 🕊️
3 months
Kufunga ni Imani, nini kinakuumiza ukiona mtu mwingine anakula mbele yako wakati wewe una Imani dhabiti.?
66
54
331
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
So siku hizi wamama hatutaki tena kuzaa kwa uchungu na tunachagua C section wenyewe kabisa Ili tusi push watoto...!! Huna tatizo lolote la kiafya ni hutaki tu kusikia uchungu Wala kupush.💔 Huko mbeleni laana zitakua haziwafikii kabisa hao watoto wetu. Pesa mwanaharamu sana.
38
46
326
@DonnYen__
White Dove 🕊️
15 days
Chakula kikikaa jikoni muda mrefu lazima kiive na kiwe kitamu tu na sahani pia italambwa. Jifunze kutumia muda mwingi jikoni.
53
38
325
@DonnYen__
White Dove 🕊️
7 months
Mimi ata wasituoe sawa tu,ila hii mentality ya kwamba wazazi hawaachani sijui lazima watapasha kiporo kiukweli kabisa kwangu inanikwaza sana, like kwamba mtu hawezi kuwa na misimamo yake, au hawezi ku move on kabisa eti kisa mumezaa..? Mimi wananikosea sana.💔
@MarekaMalili
Lubasha Jr
7 months
Ni vile tuu vijana wengi wana mentality ya kutojenga maisha na wanawake ambao tayari wana mtoto. Ila wengi wao wameshaonja joto ya jiwe, wamejua maisha, wamejua struggle, kama wanapata mtu wa kusaidiana naye maisha, wengi wapo tayari kwa unyenyekevu mkubwa. Hii nimewaibia mahali
347
177
1K
80
18
320
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 year
Even if you are fasting, don't stop smiling and kumsalia Mtume, Ijumaa Kareem✊🏾
Tweet media one
Tweet media two
@mak_migezo
𝐇𝐚𝐦𝐢𝐦𝐮..!👑
1 year
Even if you are fasting, don't stop smiling and kumsalia Mtume, Ijumaa Kareem✊🏾
Tweet media one
Tweet media two
15
18
116
22
12
314
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Kwanini wanashauri tufunike vioo usiku kabla ya kulala.?👀
41
24
323
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 months
Tupange bajeti ya mtu 1 kwa mwezi hapa🙂 Mchele kg 10 Unga kg 6 Sukari kg 1 Nyama kg 2 Samaki kg 2 Mayai trei 1 Nyanya za elf 5 Vtunguu kilo 1 Njegere elf 5 Viazi elf 5 Hoho &karoti elf 5 Tambi pakti 3 Biskuti &ice cream elf 25 G.Malta elf 10 Juice ya elf 2.👍 Ongeza nynge.☺️
83
35
316
@DonnYen__
White Dove 🕊️
1 year
I am  Rehema, and you.?
Tweet media one
65
13
305
@DonnYen__
White Dove 🕊️
27 days
Kuna siku niko barabarani mkaka akanipigia honi na gari lake sikusimama akanipita na kunichamba "Nakuita nikupe lift unaringa nenda mkakanyagane miguu huko kwenye daladala zenu" akasepa sasa kadri sku zinavyo kwenda ndo naelewa kauli yake, tunakanyagana kweli kwenye daladala.🥹😭
49
47
318
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Sometimes 💦
Tweet media one
Tweet media two
41
16
294
@DonnYen__
White Dove 🕊️
11 months
Sema namiliki Likaka handsome sanaaaa,yaani Kuna muda mpaka natamani nilitongoze Tena.😮‍💨😋🤤
25
19
304
@DonnYen__
White Dove 🕊️
3 months
Wewe Nakupenda,wewe hapo unae soma hapa.😊🫶
65
43
313
@DonnYen__
White Dove 🕊️
3 months
Maisha hayataki utie huruma, yanataka upambane.
37
96
314
@DonnYen__
White Dove 🕊️
3 years
7yrs ago....nilichagua kuwa Mama wa uyu Kijana apa😇 ñ Alhamdulillah Mungu amenisaidia sana sio kwa uwezo wangu...1+🎉 to ze sweetest kid in ze world ua entrance has changed my life ñ I have been so Mature...Mungu wetu akutunze sana KakaB wangu🙏 Ay:22:21
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
53
33
292
@DonnYen__
White Dove 🕊️
2 years
Welcome to Rehema Qassim's Customer care, for English press one 😊 Kwa kiswahili bonyeza mbili 😊
29
19
283
@DonnYen__
White Dove 🕊️
5 months
Humu ndani watu tunapata shida kutafuta nyumba &vyumba sasa tufanye kila mtu ataekua anaachia chumba& nyumba mahali anatoa details zake humu na bei bila kusahau mawasiliano tusipate tabu Tena.🙂
29
39
305