Stevebrown26 Profile Banner
Steve Profile
Steve

@Stevebrown26

Followers
102
Following
2K
Media
466
Statuses
5K

Simba & Manchester United ๐Ÿ”ด

Tanzania
Joined February 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Stevebrown26
Steve
1 day
@INFLUENCERjr
WHYMYCATISSAD
4 days
Wasio na maisha kama mimi disemba funga mwaka photo dump letโ€™s have it!!!!
0
0
1
@Stevebrown26
Steve
11 days
Ukizunguka mjini Dar es salaam usiku wa manane utakutana na vijana mamia (bolt drivers) hawalali wanapiga kazi. Then kuna wasenge wanatukana watu hawafanyi kazi. Hawa wameacha mavyeti ndani kupambania kombe ukiwatusi wanafaa hata kukutia. Mwanangu akiamka nalala mimi anilinde๐Ÿ˜
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
18 days
๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
@DEUSDEDITHSOKA
DEUSDEDITH SOKA
1 year
Ukweli ambao nitauweka wazi mbele ya Mungu & marafiki zangu wa harakati, viongozi wenzangu, Ndugu, jamaa & marafiki pamoja na watu wote Dunia Nzima, kwa taarifa nilizopata Kuna mpango wa kunidhuru & Kunipoteza kabisa Duniani. Wamekwisha kuanza hatua ya kwanza ambayo ni ๐Ÿ‘‡
0
0
0
@Addy_Adams
Issa Ponda
1 year
Kaka @rollymsouth upo kwenye Mteremko mkali sana... Kila la heri muda ni Hakimu
30
65
425
@Stevebrown26
Steve
2 months
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
2 months
@jaliluzaid
Jalilu Zaid
2 months
@mangileweri Kaka kabla hatujaenda mbali naomba uweke heshima kidogo kwa mke wangu. She's not involved in this discussion
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
2 months
Au ugali huli?
@anna_chichii
anna ๐Ÿ’‹
2 months
No man can say No to me ๐Ÿ˜Œ
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
2 months
Moyo wangu unahisi uchungu mno. Walaaniwe wote walioshiriki kuua vijana wenzetu
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
2 months
Eeh Bwana Waaibishe, wafedheheshe wanaozitafuta nafsi zetu. Warudishwe nyuma, wafedheheshwe wanaotuzulia mabaya. Wawe kama makapi mbele ya upepo, malaika wa Bwana akiwaangusha chini. Njia yao iwe giza na utelezi, Malaika wa Bwana akiwafuatia. ๐Ÿ™
@Eric__Bernard
MR BEN
2 months
๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
2 months
Eeh Bwana Waaibishe, wafedheheshe wanaozitafuta nafsi zetu. Warudishwe nyuma, wafedheheshwe wanaotuzulia mabaya. Wawe kama makapi mbele ya upepo, malaika wa Bwana akiwaangusha chini. Njia yao iwe giza na utelezi, Malaika wa Bwana akiwafuatia. ๐Ÿ™
@Eric__Bernard
MR BEN
2 months
Taifa la Mungu Tumsifu Yesu Kristu. ๐Ÿ™
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
2 months
ACT right now
@RahmaSalum255
EcoShine
8 months
@Makaveli_255 Sisi tumefanya calculations zote, MaCCM tunayajua vizuri. TUMEJIPANGA
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
2 months
Vipi mmewaona huko wakishiriki?
@RahmaSalum255
EcoShine
8 months
Na mliamini hawatoshiriki..?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
2 months
@ManLikeFrey
๐Ÿ–Œ๏ธ ุฅุจุฑุงู‡ูŠู…
2 months
@RKishaija81715 @nistephanos Mzee Kibao hata usimuongelee, alikuwa ana finance ugaidi. Anajua kwanin alidakwa.
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
2 months
#DearNyerere wanateka ndugu zetu na kuwapoteza kama kuku
0
0
0
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
10 years
Nchi zote zenye akili hupima uwezo wa kifikra wa wagombea urais kupitia midahalo. Hapa kwetu wanakwepa. Ujanjaujanja na ulaghai. Tukatae.
117
478
833
@Stevebrown26
Steve
3 months
Ya mwaka huu au mwakani?
@444holywitch
11:11
7 months
@daudi10emmanuel @bonifacejoseph_ @JMariotz Mzee usibishane nao, tutakuwepo hapa September ๐Ÿ˜‚
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
5 months
Vijana sisi wa kisasa before kuingia kwenye ndoa huwa tunajiandaa kama kwenda vitani ndio maana hazidumu.
@amina_hafidh
mimilicious๐ŸŒน๐Ÿ’
5 months
Kuna huyu mdada kapewa taarifa babake anaumwa kaanguka ghafla ndani kwake kaanza kumpigia mumewe kwanza ampe ruhusa aende Ruhusa kwa babangu anapoumwa? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚it can't be me wallah naapa
1
0
0
@Stevebrown26
Steve
5 months
@__emmygracee
EmmaStoreeโœจ
5 months
Seems like You people donโ€™t read your bibles? Haya mambo ya kuwasema vibaya watumishi wa Mungu Sio sawa!
0
1
0
@Stevebrown26
Steve
5 months
@TheRealEkiswaga
Enock Kiswaga
2 years
@Kinubi2 Ukinionaa unadhani naweza Kukatwa mara Mbili? Ukinitizama hivi unadhani mimi mjinga?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ my friend i know wht i am doing and siongei kwa Bahati Mbaya๐Ÿ˜Ž
0
0
0
@Stevebrown26
Steve
5 months
Pigaaaaaa huyooooooo
0
0
1