Amos Cyprian
@AmosCyprian4
Followers
1K
Following
21K
Media
709
Statuses
21K
Social Media Manager | Helping Businesses & Companies Grow in social media platforms | Meta Ads & Content Strategy Expert. (DM NOWπ)
Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2019
Its Very Easy To Grow In Social Media. If you Give Yourself Time and Clear Goals. SMART goal. Am Here To Help Your Business In Social Media.
2
5
21
@AmosCyprian4 Exactly. Marketing inavutia people ku-interest kwenye product/brand, sales inahakikisha wale walio interested wanakuwa customers. Tofauti ipo, lakini zinashirikiana sana ku-drive growth.
Marketing na sales vina utofauti mkubwa sana japo ni skills ambazo zinarandana sana. sasa marketing kazi yake kubwa ni kwenda kwa watu kuwaambia kuhusu huduma au bidha yako. lakini huyo mtu akitaka kuinunua ndio sales inakuja kuclose deal.
1
1
1
Wiki hii @ZetuSiasa Wanakuletea Episode Maalum ya SIASA NA AMANI. Kwa taifa lolote linalotaka kusonga mbele, siasa yenye hekima na maamuzi yenye busara lazima yaende sambamba na amani ya kudumu. Amani hutupa nafasi ya kujenga, kushirikiana na kufanya maamuzi yanayoliletea taifa
1
18
27
x premium wamenipa offer ya 2300 kwa mwezi huu kama welcome yao. mtego huu siuingii
3
0
3
Marketing na sales vina utofauti mkubwa sana japo ni skills ambazo zinarandana sana. sasa marketing kazi yake kubwa ni kwenda kwa watu kuwaambia kuhusu huduma au bidha yako. lakini huyo mtu akitaka kuinunua ndio sales inakuja kuclose deal.
2
1
7
tushapuyanga mwaka 2025 ni muda sasa wa kutulia kuweka malengo na kutafuta sababu kwanini hatujayatimiza
1
0
3
@AmosCyprian4 Nice Guys wanaziba masikio now. Baadae DM " Brother nimempa kila kitu hadi wadogo zake nawasomesha lakini hanisikilizi, haniheshimu na ananisaliti" Date within your social class Nice Guys mtajifunza lini...? #KuwaNiceGuyniUgonjwa
1
2
1
Mwezi Mpya hata Mwezi Mpya Sabato Hata Sabato. Disemba Leleleee
0
0
0
Yan X ukiscroll kidogo unakutana na Julius na mhalifu mwenzake π
0
0
2
One content imenipa followers wapya 1.2k na Imegharimu saa 1 na kidogo katika kudevelop idea script kushoot na kuedit. Kubwa zaidi ni post pekee kufikia 100k IG Kila mmoja anahitaji breakthrough tena kwa ile conte ambayo hudhanii...
Website 3 za Graphic design unazotakiwa kuzijua. Kama unatumia #Pinterest pekee unakosa uhondo. 1. https://t.co/TZqABf3cHv 2. https://t.co/4upq9N3D4F 3. FONTINUSE Tumia hizi website tatu kupata inspiration ya kazi zako iwe logo, posters nk #graphicdesigner #designinspiration
3
1
12
Tuseme ukweli Hii Social Media Marketing itanipa Hii Gari kweli. Embu njoeni tuyazungumze kwanza, Namna ya Kupata Hii gari. Au kuna namna tunafichana Mambo wakuu
1
0
3
Acha tu niseme kuwa Unanisaidia sana kaka nikiwa nahitaji bando kwa Haraka. Service ni kali na chapu, nzuri zaidi maana nimekuwa mteja wako mda mrefu kuna time siko karibu na Wakala na sina ela kwa simu Lakini unanipa Bando Then Baadae nakupa. Tawile π
2
0
4
Hivi siku hizi hakuna goli la Baba au ela zimeisha kwenye maandamano.
2
0
2
Kuna jamaa Ali quote tweet yangu alisema Kwa kazi ya graphics design unaweza nunua hii gari bhana tudidanganyanr ni uongo ππ haiwezekan hata kama MTU unalipwa M3 kwa mwez huwez nunua kwa iyo kazi ππ«΅
2
1
3
Kuna Post moja uko TikTok ya Jetour wanapishana wazungu Tu kucomment π.
4
0
5
Kagera
3
0
4
Brand ina level ndomana ukiona mtu kama Baraka Bonge miaka 5 bado anakua kibarua wa wazungu unajua hamna kazi βmiaka 5 kwenye game inabidi uwe unaRun biashara, agency, startup. Sio kulipwa $200 kwa mweziπ hizo kazi za watoto wa chuo maJR.
@miracleboytz Kuna jambo nawaza hapa nahisi utakuwa na majibu Hivi Brand haina levels?
5
5
57