🔷🔷🔷Fr. Paulo Hassan Padre Katoliki wa kwanza kutoka Mafia akiwa na Mama yake mzazi Bi. Khadija siku ya upadrisho wake! Ni Padri wa Kwanza mzawa wa Kisiwa cha Mafia ambaye amepata upadrisho tarehe 7 Julai 2023. Wazazi wake wote ni waislam kutoka Mafia.✍️
Ndugu zangu wanaharakati wenzangu CCM wameona Mambo yamekuwa Magumu, mjadala wa Bandari ndo mjadala pekee unaenda kumaliza mwezi hauzimiki, Sasa CCM umeamua kwenda kurudisha jeshi la uhaini kazini.
@SuluhuSamia
@MariaSTsehai
🔷🔷🔷Hiyo picha nimeipata leo posta mpya jengo la benjamini mkapa mtu mmoja amejilusha kutoka katika jengo hilo na kufaliki papo hapo inasemekana alienda kufuatilia mafao ya NSSF ,kama nikweli hii hali sio mzuri kiukweli mtu kafanya kazi anaangaikia mafao yake miezi bila kupata.
Adv. Matata
Awasili Mbeya
Ndugu Watanzania!
Wakili msomi Dickson Matata ambaye ni wakili wa Dkt. Slaa amewasili jioni ili kuungana na Mawakili Kibatara na Mwakilima
🔷Kuwasili kwa Matata mjini Mbeya kunafuatia taarifa zilizo enea jana usiku kuwa Balozi Dr. Slaa kapelekwa Mbeya
✍️✍️BREAKING NEWS 🇹🇿
✍️✍️WAKILI PETER MADELEKA
AMEKAMATWA na POLICE Arusha🖊️🖊️
Hii ni baada ya High Court Arusha kufuta PLEA BARGAIN aliyo ingia na DPP.🖊️🖊️
FREE PETER MADEREKA
FREE MDUDE CHADEMA
✍️✍️ TUNATAKA BANDARI ZETU 🖊️
@SuluhuSamia
@MariaSTsehai
@IAMartin_
@lifeofmshaba
🔷🔷🔷BREAKING NEWS 🇹🇿
🔷Jeshi la Police TANZANIA likegoma kuwapeleka Mahakamani watuhumiwa wa kesi ya Mchongo ✍️
🔷 Taarifa za uhakika zinasema Mkuu wa Police IGP Wambura na DCI Ramadhan Kingai pamoja na Mkuu wa Usalama wa Taifa wamepiga Kambi Mkoani Mbeya Ili kushinikiza kesi
Hili Ni balaaaaaaaa serikali ya CCM sijui inakwama wapi?
Tatizo Ni walimu au Nini haswaaaa hii hapana tunatakiwa tuihoji kwanini matokeo Ni mabovu?
Kama walimu wapo kwanini wale mishahara ya bure?
Hili haliwezekani inatakiwa kuwajibishwa huezi ukazalisha matangopori kiasi hiki
Habari inayotrend huku, huyo kaka kauwa watoto na yeye kajiua baada ya mkewe kuchepuka na kumkanya kwa muda mrefu bila mafanikio... Hata siku ya tukio mama hakuwepo alikuwa marathon🥹
🔷🔷🔷Tusikubali wachache wenye tamaa zao watugawe kwa kigezo cha udini✍️
🔷Bandari ni zetu wote kama watanzania na sio za wakristo wala waislamu! Walipokuwa wanasaini mkataba hawakuwa msikitini au kanisani!!! WAPUUZWE NI WAHUNI.....!!!!✍️
Waziri mkuu kasim majariwa mnamuona aliko toka? Ila Leo Watanzania tunapiga kelele juu ya Bandari zetu ila hasikii Lolote. Kumbukeni mliko toka msijisahau kwakupata.
🔷🔷🔷Shukrani Padre Kitima kwa ujumbee Huu Uliotukuka!!Tungekuwa na Mapadri Kumi kma Hawa wanaoweza kusema ukweli na kuisema Ccm Bila woga...Hakika Nchi ingekombolewa Haraka Sanaa...
🔷🔷🔷🇹🇿Jamani hii video isambazwe na huyo mama yao wakambo apatikane achukuliwe hatua. Inasikitisha sana kwa jinsi hao wtt wa kambo walivyo fanywa. Wakati mtt wake ana meremeta tuuuu.🙈🙆🏾♀️🙆🏾♀️
BREAKING NEWS
✍️✍️Naambiwa Mdude CHADEMA na Madenge Wametekwa/wamechukuliwa na Defenda kwenda Central muda huu. Attention to Adv. @Adv. Philip Mwakilima for this saga. Sijajua wakili mwingine aliepo hapo🖊️🖊️🇹🇿
@SuluhuSamia
@IAMartin_
@MariaSTsehai
@godbless_lema
@Ntobi_
Usikose kuangalia Mauaji ya Loliondo yaliyofanywa na Serikali na Majeshi ya Ulinzi na Usalama pamoja na kuwajeruhi watu wengi na kuwanyima matibabu ikiwa ni Mpango wa Rais Samia SULUHU HASSAN wa kuondoa Masai na kuwapa wazungu Aridhi.
@AbroadTanzania
@MariaSTsehai
@UNHumanRights
🔷🔷🔷Ni aibu kwako na familia yako ukiwa kama kiongoz au mwanachama kukosa kuhudhuria maandamano ya kesho bila sababu za msingi maana historia itaandikwa tarehe 24/ 01/2024
🔷🔷🔷inasemekana
Waziri wa Burkina Faso amefanya ufisadi wa hela ya badgeti ya wizara usika Rais Ibrahim Traoré âme mtoa mbele ya raia wamu adhibu n'a awaeleze alipo peleka hela ya Umma.
🔷🔷🔷Unazunguka na V8 40 halafu mita chache karibia na kituo unapanda punda, trekta, mkokoteni, baiskeli, bodaboda ili kuonesha wewe ni mwenzao. Ukisikia *wajinga ndio waliwao* ndio hii✍️
🔷 CCM wanatuona mafala sana✍️
🔷🔷🔷Pamefika pazuri..
Maana nyerere alisema atakae iua ccm atatokea ccm...
🔷🔷Sasa hiyo Mnyiramba Lameck Mwigulu majibu hana maana nae ni sehemu ya wizi huo...
Ndoa ya CCM na Lazaro kalist aliyeunga juhudi mkono kipindi Cha JPM na kupewa ukuu wa wilaya,zimefikia tamati usiku wa kuamkia Leo ambapo Rais Samia amemtumbua kalist Lazaro kutoka ukuu wa wilaya ya lushoto na kupewa kada wa CCM kuwa mkuu wa wilaya ya lushoto,.
🔷🔷BREAKING NEWS 🔷🔷
🔷🔷🔷"Huyu mtu pichani anatufuatilia tangu tupo mahakamani Arusha. Ikafika mahali anatufuata mpaka chooni mimi na mwabukusi✍️
🔷Tukaweka tahadhali ya kumfuatilia bila yeye kujua✍️
Tulipoondoka mahakamani akawa anaongea na simu kuwajulisha wenzake
🔷🔷🔷Huyu Mama ni Sawa na Wanaume 1000 wale wanaojifanya Siasa haiwausu Huyu Mama Peke yake ni sawa Wanaume 1000 wale Ambao wanasema Siasa haiwahusu na Katiba Mpya haina haja kwa Watanzania kwa sasa
🔷🔷🔷 BREAKING NEWS
🔷MASHARTI YA DHAMANA:
1. Kila mmoja awe na Wadhamini wawili wenye Anwani kamili
2. Wadhani watoke kwenye Kata ambayo anakaa Mtuhumiwa.
3. Wadhamini walete Barua za Utambulisho kutoka kwa Mtendaji wa Kata anayokaa Mtuhumiwa
🔷🔷🔷Dr Ananilea(PhD) ameipata University of Bradford. Masters ameipata Cardiff (UK) amekuwa Mwajiri wa serikali (RTD)
🔷Siyo mwanachama wa CHADEMA, ana miaka 65. Jana ameandamana km 30 akiwa na bango "
#Tunadai
Katiba Mpya" Alafu wewe kijana umelaza kende ghetto unapiga chabo
🔷🔷🔷MAAGIZO YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA
"Rudini kwenye Majimbo yenu kakipangeni Chama kila kitongoji,kila kijiji kila Mtaa"
"Kama wewe ni Kiongozi kwenye Ngazi yako ya Uongozi ukafanya Uzembe ukaacha Mkashindwa kuweka Mgombea kutetea wananchi hufai kuwa kiongozi Tutakung'oa"
🔷🔷🔷🇹🇿Hii ni tamaa, huku amebana nafasi za watu wengine kwa nafasi ya ubunge,
🔷Huku akaomba Mshahara amepewa, kikokotoo kitalipika?
🔷Tukumbuke Nchi haizalishi, Mikataba ya Miradi ya raslimali za Nchi ni Mibovu, hiyo Fedha inatoka wapi, Au mikopo?