Kila mmoja wetu akitimiza wajibu wake kama walivyofanya
@Roma_Mkatoliki
na Stamina mchakato wa mabadiliko chanya utakwenda kwa kasi nzuri. Kupitia sanaa wametoa elimu na mtazamo wao juu ya mapambano dhidi ya
#COVID__19
- via
@YouTube
#ROSTAM
#SimamiaHaki
Inakaribia miezi 10 sasa bila ya kukamilika kwa upelelezi wa kesi inayowakabili Tito Magoti na Theodory Giyani. Vijana hawa wanaendelea kusota rumande kwani makosa wanayotuhumiwa nayo hayana dhamana.
#JusticeForTitoMagoti
#JusticeForTheo
Tumepokea taarifa za kuhuzunisha kwamba Afisa wetu wa Kitengo cha Elimu kwa Umma, Bw.
@TitoMagoti
ametekwa na watu waliovalia mavazi ya kiraia maeneo ya Mwenge, jijini Dar es Salaam.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hizo na tutatoa taarifa zaidi.
#BringBackTito
Taarifa za awali kuhusu kutekwa kwa
@TitoMagoti
: Tito alikuwa katika bodaboda akielekea Mwenge kununua simu, alipofika katika kituo cha mafuta cha Puma watu waliokuwa na gari aina ya Harrier walimchukua kwa mabavu kisha kuondoka kwa uelekeo wa Posta, Dar es Salaam.
#BringBackTito
#TAMKO
: Wito kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (
@TCRA_Tz
) kutoa ufafanuzi juu ya hali ya kutokupatikana kwa mitandao ya kijamiii kwa takribani siku nne (4) tangu Oktoba 27, 2020.
~ TCRA ichukue hatua za haraka kwa kuzingatia umuhimu wa mitandao.
#HakiNiMaendeleo
Timu yetu pamoja na
@THRDCOALITION
tumefika kituo cha polisi cha kati (Central) Dar es Salaam mchana huu kuendelea kumtafuta ndugu yetu
@TitoMagoti
bila mafanikio.
Watanzania tuendelee kupaza sauti.
#FreeTitoMagoti
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania, Chama cha Mawakili Tanganyika, Jukwaa la Katiba Tanzania kwa pamoja tunalaani kukamatwa kwa Wakili Boniface Mwabukusi pamoja na wakosoaji wa Mkataba wa Bandari nchini ambao ni Dr. Wilbroad
KESI YA KUPINGA TOZO
Kesi ya kupinga tozo katika miamala ya simu iliyofunguliwa tarehe 27/7/2021 na LHRC itatajwa kwa mara ya pili leo saa Nne asubuhi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam
"Katiba Mpya haiwezi kutupa Suluhisho tunatakiwa kuwa na Binadamu wasio kubali kuendeshwa hovyo hovyo pia tuwe na Viongozi wa Taasisi wasiokubali kuyumbishwa" Prof Assad katika Uchambuzi wa Kitabu cha 'Rai ya Jenerali'
#KatibaniYetu
"Tukio la Mbunge wa upinzani kupigwa risasi akiwa kazini halikulishtusha
@bunge_tz
vya kutosha kwani hili lilikuwa ni shambuizi dhidi ya Bunge. Bunge la 11 lilipuuza kitendo hicho cha tishio la usalama wake." - Jenerali Ulimwengu.
#UtawalaBora
Tunampongeza Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Hassan kwa kusikiliza maoni ya wananchi kuhusu tozo za miamala ya simu. LHRC inapendekeza kufutwa kabisa kwa tozo hii, kwani inapunguza hamasa ya watu kufanya biashara pamoja na shughuli nyingine za kifedha
Ufafanuzi juu ya Maoni ya Wadau kuhusu Ujumbe Unaomuonesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa katika banda la Msaada wa Kisheria la LHRC.
#SimamiaHaki
Heri ya kuzaliwa kwa Dkt. Helen Kijo-Bisimba. Neno moja kwa mtetezi huyu nguli wa Haki za Binadamu na Mkurugenzi Mtendaji (Mstaafu) wa LHRC.
Sisi tunampenda na kumkubali sana❤️
"LHRC denounces the harsh action taken by Mr. Simon Simalenga, the Songwe District Commissioner, when he slapped Ms. Frolencia Mjenda, a local, for sitting on the stage & alleging that she was not authorized to be there." - LHRC Executive Director, Adv. Anna Henga.
#HABARI
: Kesi inayowakabili Tito Magoti na Theodory Giyani imeahirishwa tena Mei 27, 2020 hadi Juni 9, 2020. Kesi hiyo ilikuwa itajwe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam lakini hakimu anayesimamia kesi hiyo hakuwepo mahakamani.
#Justice4Tito
#Justice4Theodory
Siku 100 Rumande: Kesi ya Tito na Theo yaahirishwa kwa mara ya nane
Kesi ya uhujumu uchumi namba 137 ya mwaka 2019 inayowakabili Tito Magoti na Theogory Giyani imetajwa kwa mara ya nane (8) April 1, 2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kuahirishwa hadi April 15, 2020.
Tamko kuhusu Kushikiliwa kwa Sheikh Issa Ponda
>LHRC tunasisitiza kufuatwa kwa utaratibu wa haki za mtuhumiwa kwa mujibu wa Sheria ya Mwendeno wa Makosa ya Jinai, (Sura ya 20) ya mwaka 1985.
#UtawalaWaSheria
Ni kinyume na ibara ya 18 na ibara 20 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 kuweka zuio la haki ya uhuru wa kujieleza na uhuru wa kushirikiana na wengine. Katazo la Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Ndugu Jerry Muro kwa wananchi wa wilaya hiyo ni kinyume na Katiba ya nchi
Tunamshukuru kila mmoja aliyesimama na Tito Magoti na Theodory Giyani wakati wote wakipitia magumu. Tunashukuru wamepata haki yao ya kuendelea kuwa huru. Tuendelee kusimamia haki bila kurudi nyuma.
#HakiNiMaendeleo
#SimamiaHaki
#BreakingNews
: Tito and Theodory freed after one year of detention
The two were arrested in Dec 2019 and charged with three economic crimes including money laundering. Their case was postponed 26 times before entering into the plea bargaining on 5th January 2021.
Hatimaye
@TitoMagoti
na wenzake wapandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashitaka matatu ikiwemo ya kutengeneza programu ya kompyuta kwa nia ya kufanya uhalifu na kujipatia fedha kiasi Sh milioni 17 kinyume cha Sheria.
#JusticeForTitoMagoti
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinalaani kitendo cha Utekwaji wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uzinduzi wa Umoja wa Kudai Katiba Mpya Tanzania (UKUKAMTA)
Maoni ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kuhusu Hukumu dhidi ya Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na yaliyojiri baada ya hukumu.
#SimamiaHaki
#DemokrasiaYetu
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) tumefungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania dhidi ya Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda Lazaro Mambosasa na Serikali kulitaka Jeshi la Polisi kumfikisha
@TitoMagoti
na wenzake Mahakamani.
"Bunge la 11 lilivurugwa; kitendo cha mbunge kuhama chama na kuendelea kuwa mbunge ni doa kwa Bunge la 11 kwani ni kinyume na Katiba ambayo inamlazimu mbunge kutokana na chama fulani." - Jenerali Ulimwengu.
#UtawalaBora
#HABARI
: Kesi ya inayowakabili Tito Magoti na Theodory Giyani imeahirishwa tena leo Agosti 5, 2020 baada ya mwendesha mashtaka wa serikali kutokufika kujibu hoja za hatua ya upelelezi.
Kesi imeendeshwa kwa njia ya video conference na imeahirishwa tena hadi Agosti 19,2020.
Kesi ya Tito na Theodory Yaahirishwa tena hadi Aprili 1,2020.
Siku 86 rumande na kesi ikitajwa kwa mara ya 7.
Mahakama imeamuru mara kadhaa kukamilishwa kwa upelelezi lakini upande wa Jamhuri umeendelea kudai kwamba upelelezi haujakamilika.
#JusticeForTitoMagoti
#JusticeFotTheo
Ni siku nyingine, Jumapili siku ya ibada na kujumuika na familia. Sisi wanafamilia, ndugu na jamaa wa
@TitoMagoti
nyuso zetu zimezorota hatujui wapi alipo mpendwa wetu.
@tanpol
wanaendelea kuikanyaga haki ya mtuhumiwa ya kupata dhamana na uwakilishi.
#FreeTitoMagoti
#SimamiaHaki
#TAARIFA
Kesi ya Tito na Theodry itatajwa tena Mei 13, baada ya kuahirishwa kwa mara 10. Tito na Theodory wamekaa rumande kwa zaidi ya miezi minne wakisubiri upelezi. Mlipuko wa COVID-19 unatishia usalama wao wa afya hasa kwa kuzingatia msongamano na hali duni ya magereza.
Tete Kafunja alishindwa kuzuia machozi wakati akieleza kisa chake cha kusingiziwa kesi na kukaa gerezani kwa miaka 18 akisubiri kunyongwa. Tete alikamatwa mwaka 1990 na kuachiwa huru mwaka 2008 baada ya kushinda rufaa dhidi ya adhabu ya kifo.
#EndDeathPenalty
Katika taifa linaloheshimu na kudumisha misingi ya demokrasia, nguvu inayotumika kuzuia wananchi dhidi ya haki yao ya kujumuika na kujieleza ingetumika katika kuwawezesha kufurahia haki hizo.
Cc:
@tanpol
#DemokrasiaItawale
KUPINGA SHERIA NA KANUNI ZA TOZO KATIKA MIAMALA YA SIMU
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimefungua kesi kupinga tozo katika miamala ya fedha kwa njia ya simu. Kupata tamko rasmi tembelea
Haki ya
#UhuruWaKukusanyika
inawapa raia nafasi ya kushiriki kwenye shughuli mbalimbali za umma ikiwemo shughuli za kisiasa ili kuweza kuhoji na kufanya maamuzi ya kuwawajibisha wawakilishi wao.
#HakiNiMaendeleo
#SimamiaHaki
Taarifa;
Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania 2017 itazinduliwa kesho Jumatano Aprili 25, katika ukumbi wa mikutano wa Kisenga, jengo la LAPF Kijitonyama Dar es Salaam.
Ujumbe mkuu katika Ripoti ya mwaka 2017 ni "Watu Wasiojulikana: Tishio kwa Haki za Binadamu"
#HumanRightsReport
Shambulio dhidi ya Tundu Lissu ni shambulio dhidi ya
#HakiYaKuishi
, shambulio dhidi ya
#UhuruWaKujieleza
, shambulio dhidi ya
#UhuruWaMaoni
, shambulio dhidi ya Utu.
Watanzania tuwajibike kulinda na kusimamia misingi ya utu na haki za binadamu.
Hongera Dkt. Helen Kijo-Bisimba kwa kutunukiwa tuzo ya Mwanamke mwenye Mafanikio na Mchango Mkubwa katika huduma za kijamii.
Shukrani sana kwa Tanzania Women of Achievement Award (TWAA)
@TWAorg
kwa kutambua mchango wako.
"Mitandao ya Kijamii inazidi kukua kwa sababu ya kuongezeka kwa juhudi za kuminya vyombo vya habari.
Hii inafanya watumiaji wa mitandao ya kijamiii kuwa na nguvu ya kuamua ajenda za kitaifa" - Jenerali Ulimwengu.
#EditorsRetreat2017
#UhuruWaKujieleza
Masuala kama haya ni aibu na fedheha hasa kwa Jeshi la Polisi.
Mtu anaweza vipi kushikiliwa kwa kosa la mtu mwingine? Na huyu mama hawakumuona ni mjamzito? Huyu mama angefia kituo cha polisi ingekuwaje? Ni muda wakuwa na weledi zaidi. Tuepuke aibu hii.
Dr. Helen Kijo-Bisimba
TAARIFA KWA UMMA
Tumepokea taarifa ya kukamatwa kwa wanasiasa zaidi ya kumi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo mwenyekiti wa chama hicho taifa, Mhe Freeman Aikaeli Mbowe, usiku wa kuamkia tarehe 21 mwezi Julai,2021
Watanzania wameonesha mwamko mkubwa wa kusimamia haki lakini bado Jeshi la Polisi
@tanpol
limeendelea kumshikilia
@TitoMagoti
kinyume cha sheria. Tutachukua hatua zaidi dhidi ya ukiukwaji huu wa Sheria na Haki za Binadamu.
#FreeTitoMagoti
#SimamiaHaki
Tunaamini Mh.
@MagufuliJP
hakubaliani na ukatili unaofanywa na
#Teleza
huko Kigoma. Ni vyema kuyatangaza mafanikio yetu lakini ni vyema zaidi kujali na kuchukua hatua madhubuti dhidi ya ukiukwaji wa haki zetu.
Tunapongeza kwa hatua ambazo tayari zinachukuliwa dhidi ya teleza.
"Hakuna uwezekano wa kizazi chetu kupata maendeleo na kupiga hatua ikiwa kitaendelelea kufundishwa kwa lugha wasioijua na pia wale wanaowafundisha nao hawaijui hiyo lugha" Jenerali Ulimwengu katika uzinduzi wa kitabu chake cha (Rai ya Jenerali)
Alert: LHRC is following up closely on the incident of arrest of Advocate
@PMadeleka
We encourage that all proper procedures are taken during his custody to avoid any violation of human rights and miscarriage of justice
@uhamiaji
@polisi
@WizaraMNN
#HABARI
Kesi ya Tito Magoti na Theodory Giyani imeahirishwa kwa mara ya 11. Kesi ilikuwa itajwe leo Mei, 13, 2020 lakini hakimu anayesimamia kesi hiyo hakuwepo, hivyo imepangwa kutajwa tena Mei 27, 2020. Hii itakuwa ni mara ya 11 kutajwa tangu Disemba 24, 2019.
Askari wa jeshi la polisi
@tanpol
wanapokosa weledi na kushindwa kufuata sheria na miongozo katika kutekeleza majukumu yao hupelekea uvunjifu wa haki na amani.
Tunakemea vikali matukio ya aina hii na kulikumbusha jeshi la polisi kufuata sheria.
#UtawalaWaSheria
Watanzania tuzidi kujifunza kupitia matukio kama haya kuwa kila mmoja ana jukumu la kusimama na kupinga ukiukwaji wa haki za binadamu.
Kila mmoja anapaswa kupaza sauti katika kusimamia haki.
Tunashukuru
@moodewji
amepatikana salama.
#HABARI
: Kesi inayowakabili Tito Magoti na Theodory Giyani imetajwa tena leo Juni 9, 2020 na kuahirishwa hadi Juni 23, 2020.
Upande wa Jamhuri umeamriwa kuieleza mahakama hatua ulopofikia upelelezi wakati kesi hiyo itakapotajwa tena.
#JusticeForTito
#JusticeForTheodory
Mahakama Kuu imetupilia mbali mapingamizi ya awali ya Serikali dhidi ya maombi ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) ya kibali cha kufungua shauri la kupinga tozo kwenye miamala ya simu.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Wakili Anna Henga, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya UN Global Compact. Hongera Sana
Tunatoa wito kwa Waziri wa Fedha na Mipango kurekebisha Kanuni za Mfumo wa Malipo ya Serikali za kutuma na kupokea pesa kwa njia ya simu ili kufuta tozo za miamala ya simu.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu tumefarijika sana na Hotuba iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali wa juu serikalini.
Kesi ya Tito na Theodory kutajwa tena Tarehe 5/02/2020
Mawakili wa upande wa utetezi wameomba mahakama kupitia mawakili wa Serikali, waeleze hatua waliyofikia katika upelelezi kwa kuwa awali wawakili hao waliiambia mahakama kwamba upepelelezi ulikuwa katika hatua za mwisho
Mkurugenzi Mtendaji Bi. Anna Henga (
@HengaAnna
) amekuwa nchini Ubelgiji kikazi. Akiwa huko amemtembelea na kumjulia hali Ndugu Tundu Lissu aliyeko nchini humo kwa matibabu tangu aliposhambuliwa kwa risasi Septemba 2017.
Tunaipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hatua chanya za kimaendeleo za kufufua Shirika la Ndege.
Tunaisihi Serikali kuongeza juhudi katika kuleta maendeleo ya kijamii kwa kuboresha huduma za elimu, afya, maji, nishati na makazi.
Tumepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mhadhiri Mkongwe wa Sheria katika Shule Kuu ya Sheria ya Chuo Kikuu cha DSM - Prof. Josaphat L. Kanywanyi.
~ Tunatuma rambirambi kwa familia, Hamidi wa Shule Kuu ya Sheria ya Chuo Kikuu cha DSM wanataaluma na wanasheria.
#RIP
🙏🏿
"Hakuna mahala ninapokatazwa nisizungumzie Katiba naweza kuongea hata kwenye vijiwe vya Kahawa masuala ya Katiba" Jenerali Ulimwengu katika uchambuzi wa kitabu cha 'Rai ya Jenerali' na masuala ya Katiba
#katibaniYetu
Juni 26 ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga vitendo vya Utesaji.
#Tanzania
haijaridhia Mkataba dhidi ya Mateso na Adhabu au Vitendo vingine vya Kikatili, visivyo vya Kibinadamu, vya Kinyama na vyenye Kudhalilisha wa mwaka 1984.
Mkataba huu unalinda Haki ya kuwa Huru dhidi ya Mateso
On August 15, 2023, Legal and Human Rights Centre, Tanzania Human Rights Defenders Coalition, Tanganyika Law Society, and Tanzania Constitution Forum jointly condemn the arrest of Advocate Boniface Mwabukusi together with human rights activists; Dr. Wilbroad Slaa and Mpaluka
“Rais alisema Katiba si kipaumbele chake, binafsi sioni kwamba suala la Katiba ni suala la kuiomba serikali, suala hili ni haki yetu kisheria na serikali inapaswa kutekeleza”-Helen Sisya
#KatibaNiYetu
Heri ya Siku ya Kuzaliwa kwa mpendwa wetu Tito Magoti.
Ni takribani siku 81 za kuwa rumande huku kesi ikitajwa na kuahirishwa, Jamhuri inadai kuwa upelelezi haujakamilika.
Tunaendelea kupambana kuhakikisha haki inatendeka.
#JusticeForTitoMagoti
#JusticeForTheodory
#SimamiaHaki
Tunatoa pole kwa Mbunge
@UpendoPeneza
kufuatia ajali iliyomsibu huko Geita.
Tunamuombea apate kupona haraka ili aweze kuendelea na majukumu ya kujenga taifa.
Hongera Fatma Karume (Wakili)kwa kushinda na kutawazwa kuwa Rais wa wanasheria kupitia Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS).
LHRC inaahidi kuendeleza mashirikiano na TLS katika kujenga jamii inayoheshimu utawala wa sheria na haki za binadamu.
#KwaJamiiYenyeHakiNaUsawa
LHRC has on Dec 23, filed a case against the Dar es Salaam Special Zone Police Commander and the Attorney General demanding the bailout of
@TitoMagoti
after 4 days of unlawful detention. LHRC has lodged a petition at the HC under the certificate of urgency.
#FreeTitoMagoti
Pumzika kwa Amani Mhe. Benjamin William Mkapa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1995-2005).
LHRC tunatuma salamu za Rambirambi kwa Rais
@MagufuliJP
, familia ya Mhe. Mkapa na Watanzania wote kwa msiba huu mkubwa.
Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa.
#RIPMkapa
Tunampongeza Mh. Rais Magufuli kwa kutoa msamaha kwa wafungwa 61 kati ya wafungwa 522 waliohukumiwa kunyongwa.
Tunamsihi Mhe. Rais kusimamia mabadiliko ya sheria ili kufuta sheria zinazoruhusu uwepo wa adhabu ya kifo na kuifanya hukumu ya kifungo cha maisha kuwa adhabu mbadala.
#BreakingNews
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linamshikilia ofisa programu wa kituo cha sheria na haki za Binadamu (
@humanrightstz
), Tito Magoti pamoja na watu wengine watatu kwa uchunguzi na mahojiano zaidi.
#MuakilishiTZ
“Mauti yalimfika Dkt. Sengondo Mvungi akishiriki katika jitihada ya kupata
#KatibaYaWananchi
. Ndoto yake ilikua kupata Katiba itakayolinda haki ya mtu wa kawaida na kumwezesha kupata maendeleo. Tumwombe Mungu ndoto yake itimie.” - Mhe. Jaji Joseph Warioba.
#RIPDktMvungi