Anna Tibaijuka Profile
Anna Tibaijuka

@AnnaTibaijuka

Followers
29,487
Following
29
Media
122
Statuses
368

Retired 1. UN Under Secretary General & 2. Executive Director UNHABITAT 3. Tanzanian MP and Minister.

Dar-es-Salaam
Joined September 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
10 months
Mkataba wa Bandari. DC Albert Msando. Unanikejeli ninapotosha neno anga lipo kwenye TERRITORY ambayo unadai ipo definitions tu. Nakuletea ushahidi neno territory na dhana yake lipo sehemu kadhaa ibara 12(1); 19; 30(2). Kwa mantiki hiyo aliyevamia mtumbwi wa vibwengo atajulikana.
Tweet media one
366
675
3K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 months
Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN. Nilishuhudia ukiweka maslahi ya nchi mbele ya yako. Jina lilipokatwa nilikushauri ubaki CCM kimfumo uwezekano kutangazwa mshindi ukitokea upinzani HAUPO Ukanijibu "UNAJUA ila hutaki MANYANYASO kuendelea. RIP
Tweet media one
441
642
3K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
11 months
Naendelea kuhimiza, kusihi, kushauri na kutumaini kuwa mkataba wa DPW unarekebishwa na mchakato unashirikisha watalaam na wachumi kwani kwa misingi ya kiuchumi Dubai ni mshindani wetu kwenye kuendeleza transhipment potential. Ukimkabidhi bandari zote ni sawa na kujinyonga.
Tweet media one
244
744
2K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
10 months
Mkataba tata wa bandari Wanaohangaika na CV za wastaafu wanaishia kuchafua za kwao kwa kutuonyesha hata hawajui huitaji kuwa Mwanasheria kuijua sheria kifungu kwa kifungu Ni elimu ya uraia ya lazima kwa kila mwananchi anayejitambua Nasisitiza Mkataba haufai bila kurekebishwa
Tweet media one
208
449
2K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
10 months
Kejeli ni gharama ndogo kulipa ili mradi tunusuru bandari zetu. Profesa Shivji katuonesha njia. Bunge lifute azimio lake turekebishe. La sivyo mahakama ziamue. Picha hii uthibitisho ninawafahamu. Waungwana. Tatizo sisi kushindwa kuingia mkataba wenye manufaa kwa vizazi vijavyo
Tweet media one
131
260
2K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
9 months
Mkataba wa bandari. DC Msando naomba utambue kutofautiana na mtu kwa hoja hakumfanyi MUONGO na wewe MKWELI. Ni kuonesha udhaifu wa kushawishi kwa nguvu ya hoja na kutumia hoja ya nguvu (intimidation). Naleta maelezo zaidi ya neno territory na dhana yake tuendelee kuelimishana.
Tweet media one
229
473
2K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
11 months
@bunge_tz Mhe Spika Naomba ufafanuzi. Mkataba wa DPW Dubai uliridhiwa ulivyo au pamoja na marekebisho kadhaa yaliyotolewa na Kamati na Wabunge? Sikusikia schedule of amendments ikipitishwa rasmi bali ukihoji kiujumla hapo mwishoni.Maoni zaidi yatategemea kujua nini kiliridhiwa.
Tweet media one
136
328
2K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
10 months
Mkataba Bandari. Kifungu 4(2) kinatufunga. Sheria yetu ya tafsiri Kifungu 53 (1) na (2) viko wazi Jambo la kiutashi tumia neno MAY. Kama lazima tumia SHALL. Mkataba unatumia WILL kinyume cha sheria. Unaacha mwanya kuibua mgogoro kwani SHALL na WILL ni mbadala -interchengeable
Tweet media one
127
431
1K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
8 months
Naomba mnisaidie kusambaza ujumbe huu muhimu kuhusu nafasi za ufadhili kwa wasichana hodari. Masomo ya Form V shule ya bweni. Asanteni.
Tweet media one
86
501
1K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
11 months
@SuluhuSamia @bunge_tz . Jitahadharini sana na wapiga debe bila uwezo kujibu hoja Wapotoshaji.Kama mimi nimehongwa na viongozi wa dini je? Naendelea kushauri mkataba urekebishwe kwa maslahi ya taifa.Wanaodhani wataniyumbisha kwa kashfa za kubumba hawanifahamu Ukweli uniweka huru
Tweet media one
178
268
1K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
6 months
Zoezi kuvunja madanguro DSM lina nia njema lakini mazoezi aina hiyo yaliyotangulia HAYAKUFANIKIWA Jibu sahihi kupunguza WATEJA kwa kuwawezesha kiuchumi WAOE. Wengi hawaoi kwa sababu kipato kidogo wasichana wanabaki kushindania wanaume wachache.Dhana potofu wanawake wengi inaenea
166
195
1K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
22 years ago Tz lost its legendary gynaecologist entrepreneur, faith and community leader of integrity. 22 years later Kairuki medical and pharmaceutical emporium is fact. Best practice. I bear witness to hard work by Mama K and family for actualizing your vision and legacy. RIP
Tweet media one
21
144
1K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
9 months
Mkataba wa Bandari Naleta Hoja 10 za kiuchumi katika uboreshaji. Agizo la Rais ni UBIA na faida zake lakini tumeibuka na lease agreement Why?Serikali Dubai haitoi pesa Dpw itakopa na ikilimbikiza madeni kodi inaepukika Mizigo kuwa Rwanda ni faida kwetu tukijiendesha kiubia. nkd
Tweet media one
135
338
1K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
9 months
TANZIA. WAHITIMU SEKONDARI ILBORU 1962-1970. Masikitiko kifo cha Mwalimu wenu wa Geografia na Kingereza Mzee Johnson miaka 93. Anazikwa leo Norway. Tumuombee raha ya milele. Kapiga vita vilivyo vizuri. Ni kizazi kilichoamini WaAfrika tukielimika tutajikomboa. Tusiwaangushe R.I.P
Tweet media one
81
141
984
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
9 months
Mkataba wa bandari Ninaishukuru TEC kusimama imara. Propaganda za UDINI zisituchonganishe bure. Hoja ni kasoro za Mkataba sio DINI za viongozi Hakuna aliyeandamana na Mashehe au Maaskofu huko Dubai kuutia saini Msikilize Julius Malema akipinga ukodishaji bandari Afrika Kusini
115
283
948
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
11 months
Maeneo ya kufafanuliwa kisheria Mkataba wa DPW Dubai. Namba wani. Madai Zanzibar haimo yanatoka wapi na kutugawa bure huku kwa sheria za UNCLOS Zanzibar ni territory ndani ya Tanzania na kikatiba maritime issues ni jambo la muungano na vyote viko kifungu 1(1)(a) ukurasa wa 11?.
Tweet media one
87
256
938
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
7 months
30.09.2023 Tanzania ilipong'ara tena Roma Hongera Mwadhama Protase Cardinal Rugambwa kusimikwa rasmi na Baba Mtakatifu Francis. Tunamshukuru Mungu pia Maaskofu na wote waliokusindikiza Wametuwakilisha vyema. Miaka 63 tangu Laurean Rugambwa na 25 tangu Polycarp Pengo wasimikwe
Tweet media one
41
98
774
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
Ruge 4 years on RIP at your tranquil place among the tall and elegant banana trees. You are fondly remembered and celebrated. My friends Christine and Prof Mutahaba. Be comforted not only by the rustling of the leaves but Christ's assurance of resurrection and eternal reunion.
Tweet media one
20
41
761
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
But those who hope in the Lord shall renew their strength. They shall soar on wings like eagles. They shall run but not be weary. They shall walk and not faint. Isaiah 40:31. Four years 3month of perseverance and standing up for truth. Welcome home brother James. Godspeed.
Tweet media one
36
60
699
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Tangazo hili ni la kweli. Usisite kupiga simu kupata maelezo zaidi kama unaye mwanafunzi anayetafuta nafasi na ana sifa. KAZI IENDELEE. Mama T
Tweet media one
79
203
691
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
9 months
@bunge_tz Poleni vikao kamati za Bunge Elimu na mapendekezo vimetolewa na wadau mbalimbali Maaskofu hadi Mahakama. Maamuzi sasa yenu Hekima iwaongoze msiendeleze kosa. MSIKUBALI kubadilisha sheria nyeti za kulinda rasilimali zetu kwa masharti ya mwekezaji mmoja BAD PRECEDENT.
Tweet media one
54
205
625
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
29 days
Poleni sana wahanga mafuriko bonde la mto Rufiji. Bwawa la Nyerere halijayasababisha lakini mbali na umeme lilitarajiwa kuREGULATE mafuriko hayo Limeshindwa. Tudai kujua kwa nini na kurekebisha tukitambua hasara ya kutekeleza miradi mikubwa bila kuzingatia utaalamu madhubuti
Tweet media one
73
130
624
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
Interview yangu na Salama Jabir🙏. Kulinganisha Bukoba beaches na Copa cabana ya Rio Brazil jamani siyo "maringo ya Kihaya"😅😅. Ninahamasisha uwekezaji maana potential ni kubwa Visiwa ziwani navyo vi tele. Karibuni mjionee fursa za utalii.
Tweet media one
86
64
584
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
In Stockholm in 1970s I witnessed your efforts to get funding from SIDA to establish Small scale factories across Tanzania. Yours is a life of many achievements but one undisputed accolade is the establishment of SIDO. Your Legacy will shine. Condolence to the family. RIP.
Tweet media one
16
71
563
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
Camilius Membe. Umevipiga vita Mwendo umemaliza. Nikiwa Waziri Ardhi hivo wa mipaka ya nchi uliongoza delegation yetu Maputo kusuluhisa mgogoro wa Ziwa Malawi. RIP na Wabunge wa Nyasa Komba na Filikunjombe tuliofuatana nao. Familia poleni faraja ni ufufuko katika Kristu.
Tweet media one
14
50
472
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
4 months
Mgombea binafsi ataimarisha vyama vya siasa na utawala bora kwani upendeleo na kukata wagombea wanaoungwa mkono na wanachama kura za maoni utapungua Wanawake wenye sifa hawatalazimishwa kugombea viti maalum kupisha wanaume majimboni. Kama uraia pacha ni haki iliyocheleweshwa
Tweet media one
38
129
395
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
17 days
Wahanga wa masheli katika makazi tunawalilia EWURA Chombo pekee kusikiliza migogoro ya mafuta. Mahakama nyingine haziruhusiwi. Mnapojitoa mkisingizia mgongano wa maslahi mnakataa kazi yenu kisheria. Kama kuna maafisa EWURA wenye mgongano wa maslahi na swala letu ndio wajitoe
Tweet media one
74
71
393
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
Hili ni jambo jema. Asante viongozi wetu. Huku Kagera Tunaendelea kumuombea Waziri Mkuu Lowassa uponyaji na matumaini kwa Mama na Familia wanapouguza. Kristu mzaliwa hashindwi jambo katika muda wake. Tuombe.
Tweet media one
27
15
346
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
Hongera Ntangeki Nshala kwa kitabu chako cha sita kuhusu uongozi wa makampuni kulichozinduliwa na Mhe Waziri January Makamba. Amependekeza kisomwe na wajumbe wa Bodi zote za mashirika ya umma. A MUST READ. Kitawajengea uwezo zaidi. Mchango mkubwa kitaifa na kimataifa. Barikiwa
Tweet media one
18
30
292
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 months
Mama Sitti Rais Hussein Mwinyi Familia Poleni. Taifa litakuenzi milele kwa uongozi hekima. Wanawake rukhsa kuunda baraza huru BAWATA kujipigania hata kama lilikuja sitishwa na mahafidhina. Tukapewa haki kumiliki ardhi katika ndoa-spousal consent Imani sharti kuheshimiana RIP
Tweet media one
8
33
294
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
11 months
Leila Sheikh. Beautiful bright girl with a high sense of gender equality human rights press frèedom. The women rights movement in Tanzania has lost an indefatigable lieutenant. Your legacy at TAMWA and beyond shall endure. You Fought the fight. RIP. Aluta continua in your honor
Tweet media one
10
34
253
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
8/3/2023. Historia. Siku ya kwanza ya Wanawake duniani nchi ikiwa inaongozwa na mwanamke. Hongera BAWACHA kwa ukomavu. Kumkaribisha Rais Samia naye akakubali kuonyesha uhalisia wa uongozi wake. Maridhiano. Dialogue not confrontation. Wanaopinga hili hawatutakii mema. Tuwapuuze.
Tweet media one
14
35
225
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Miaka 96. Hongera sana Rais Mwinyi mzee wetu. Kutupa kitabu hazina kujifunza busara zako. Sintosahau mwaka 1975 oktoba nilipofika Ikulu nimeshitakiwa kwa uwana harakati wa Bawata. Baada ya kutusikiliza na wenzangu ukatoa rhuksa tuendelee na shughuli zetu. Ubarikiwe Afya njema.
Tweet media one
12
15
222
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
6 months
Hongera Prudentia Paul Kimiti Kutunukiwa nishani MBE ya Malkia Uingereza kabla ya kufariki kwa uanaharakati wako kutetea wahamiaji dhidi ya ubaguzi na manyanyaso. Fundisho kwetu kuwathamini wanaharakati badala ya masimango na mipasho Ukosoaji wao huboresha utawala na ustawi
9
43
215
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Kigezo sahihi kutathmini hifadhi mpya ya Burigi si mapato iliyoingiza bali uwekezaji uliofanyika kuiendeleza ilete mapato hayo. Aidha athari za covid-19 kwa sekta hii zisisahaulike. Burigi ina huge potential isipodumazwa na hatari ya bomoabomoa ya mikoa inayopendekezwa.
Tweet media one
18
17
205
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
4 months
Pongezi kwa Mhe Jerry Slaa Waziri wa Ardhi na Makazi kusimamisha ujenzi holela wa vituo vya mafuta katika maeneo yasiyofaa na visipohitajika kwa kubadilisha matumizi ya ardhi kiujanja kinyume cha sheria na taratibu. Waziri amerejesha imani kwa waathirika nchi nzima Tunamshukuru
47
30
195
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
11 months
@SuluhuSamia @bunge_tz . Mkataba wa Bandari na DWP Dubai. Nimeusoma kiumakini. Nimesikiliza maelezo ya TPA club house ya Msigwa. Lengo ni zuri. Kazi ndiyo pungufu Nashauri iboreshwe kabla ya kujifunga mikononi mwa wageni milele tukajalaaniwa na vizazi vijavyo Mwenda pole hajikwai
22
58
184
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
Asante Father Kitima kwa elimu juu ya Katiba Mpya. Ushauri makini uwe mwongozo kwa sote katika nafasi zetu. Katiba mpya bila utamaduni wa unyoofu (INTEGRITY) na kuheshimu sheria itakuwa kazi bure. Kutegemea kila haki itolewe na Rais na si sheria ni upotofu mkubwa tulio nao.
7
46
182
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Katika mazishi Wazee wa Chato walimuomba Rais Samia mkoa wakidai ni ahadi ya mtangulizi wake. Rais kwa hekima akasema ataangalia vigezo. Kama Mbunge Mstaafu jirani Muleba Kusini najua vigezo havipo. Wazo halitekelezeki. Wazee jirani na sisi naamini tutapewa nafasi kushauri
Tweet media one
32
22
146
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Manabii watakuja kwenye sura ya kawaida sana. Tusipokuwa makini hatutawatambua. Msikilizeni huyu na nasaa zake. Hakika Mungu atusaidie. KUJIAJIRI hakuwezekani ikiwa Mfumo wa elimu unashindwa kuwapatia wanafunzi ujuzi zaidi kuboresha mali na rasilimali iliyopo. Urekebishwe
10
44
137
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
The Barbro Girls School Community extend sincere condolences to the family of our Patron Amb Paul Rupia on his passing today in South Africa. He will be remembered for his tireless efforts in the establishment of our school. Sincere condolences to his family. May he RIP
Tweet media one
4
12
117
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
16/05/2023. Ikulu Zanzibar. Rais Hussein Mwinyi akipokea taarifa ya Mkutano wa Kumuenzi muasisi Sheikh Abeid Karume uliofanyika Zanzibar ukiandaliwa na Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere inayoongozwa na Paul Kimiti Tibaijuka akiwa Makamu anayeshughulikia Mambo ya Nje
Tweet media one
9
12
116
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
On this 1st memorial anniversary of your untimely departure I join family the UN and the world to remember your outstanding service to humanity in pursuit of global peace and prosperity for all. It was a priviledge to work under your exemplary leadership at the UN. RIP.
Tweet media one
2
12
114
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
7 months
Mwalimu Nyerere 2023 Tunaendelea kuenzi maono na malezi yako mema. Kama taifa tujitambue.Tujisahihishe. Tulinde rasilimali zetu. Tujenge hoja bila kelele. Tujitegemee kwani TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO.Kuna kuyumba katika eneo hili.Utuombee nasi twakuombea pumziko la milele
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Mwalimu ulifanya mengi sana ikiwemo kupigania haki za wanawake. Sisi wanaharakati wa usawa wa jinsia hatuna budi kukushukuru kwamba kazi yako imezaa matunda kwani Nchi yetu sasa inaongozwa na mwanamke Rais Samia kwa hekima ya Suleiman akifuata nyayo zako. Upumzike kwa amani.
Tweet media one
4
15
52
5
16
113
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
On this international day of the Girl Child also my Birthday, I salute Joha Trust and all who work for gender equality and advancement of women at all levels, everywhere. Giving girls light at Barbro and Kajumulo Schools is our mission. Thanks to the Lord for his blessings.
Tweet media one
9
10
90
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 months
Shukrani mlioshiriki kumpumzisha dada mlezi Ma Antonia Muleba tarehe 04 Machi. Baba Askofu Kilaini kuongoza ibada Paroko Watawa na Viongozi wa Chama na Serikali mkiongozwa na RC Kagera Fatma Mwasa. Fr Kamugisha kutufunda kuwa Dada ataishi tukiiga mfano wake mwema ATAFA ASIFE
9
11
91
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
Join to share views or strategies to save Africa from the curse of internal conflicts that in the past enabled foreigners to enslave us. If not contained are poised to wipe us out as a race. The tragedy in Sudan is a wake up call for the African peoples to put our act together.
Tweet media one
4
22
90
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
Rais Samia ni kiongozi mwenye maono. Hili la TRA kuua biashara kwa kuganga'nia kudai malimbikizo ya kodi za zaidi ya mwaka 1 nyuma alilitamka bayana akiwa Kagera. Kilichokosa ni INSTRUMENT yaani barua ya Waziri wa Fedha ya maelekezo ya utekelezaji. Msikilizeni live Very clear
5
9
83
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
Tunamuombea pumziko la milele Baba Mtakatifu Benedict. Wasifu unaonesha binadamu mwenye uwezo na hekima isiyo ya kawaidà kitaaluma kitheologia na kiutawala. Mteule wa Mungu. Ameacha mifano mizuri ya kuiga katika maisha yetu. Pole kwa Papa Francis na kanisa katoliki kote duniani.
Tweet media one
1
6
71
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
9 years
@NgowiImery tujuze eneo gani nimedhulumu. Tuhuma iwe specific la sivyo na wewe u muongo au umetumwa kukashfu! Sema ujjulikane
54
34
57
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Hongera siku yako ya kuzaliwa Mhe Rais @SuluhuSamia . Tunaendelea kukuombea afya njema na hekima ya Mfalme Suleimani. Watanzania tunaimani na wewe. Wanawake hasa wakongwe tunajivunia. WanaKagera nilikostaafu tunakutumainia utuinue. Hali yetu ya uchumi utakuwa umeisikia. Ubarikiwe.
Tweet media one
5
3
60
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
28/06/2022. Mikocheni. DSM. Sakina Samadu alifika kumshukuru Prof Anna Tibaijuka kwa malezi na ufadhili wake mara baada ya kupata ajira Serikalini. Amepangiwa kufundisha Halmashauri ya Morogoro Vijijini. Hongera sana Sakina. Mungu akutangulie.
Tweet media one
4
4
59
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Third memorial of our beloved Secretary General Kofi Annan. RIP
Tweet media one
2
4
51
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Mwalimu ulifanya mengi sana ikiwemo kupigania haki za wanawake. Sisi wanaharakati wa usawa wa jinsia hatuna budi kukushukuru kwamba kazi yako imezaa matunda kwani Nchi yetu sasa inaongozwa na mwanamke Rais Samia kwa hekima ya Suleiman akifuata nyayo zako. Upumzike kwa amani.
Tweet media one
4
15
52
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
9 years
@iggrey_I received 1m dollars donation for a girls' school and delivered it? In good faith unaware of what has now come to light
43
50
49
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Hongera sana Mhe Balozi Batilda. Jiji la Dar es Salaam uliliendeleza ukiwa na UNHABITAT na Kamishna Keenja. Tunakutambua. Vijana wajifunze kuvumilia nyakati za shida. Wasikate tamaa. Tunamshukuru Rais Samia kukuona. Sasa kazi iendelee kwa jina la Jamhuri. Tabora. Pongezi.
Tweet media one
4
4
48
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Rule of law upheld. Yes but if the SA constitution provides for Presidential pardon my humble opinion is now is time to invoke it in pursuit of lasting peace and prosperity for all. Apartheid wounds still healing. Dangerous to re-open them for lack of balance and realism.
Tweet media one
6
9
47
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
11 Agosti 2022. Uwanja wa Mkapa. Kilele Miaka 50 ya WAWATA. Imesheherekewa na wanawake wote nchini kote katika jumuiya na parokia zao. Tunakushukuru sana Mhe Rais Samia kujumuika na kutoa hotuba ya hekima na matumauni. Kwa upendo wa Kristu. Tutumikie na kuwajibika.KAZI IENDELEE.
Tweet media one
6
6
45
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
@venusnyota @ikulumawasliano Congratulations upon your historical appointment Tanzania's first woman to head Presidential Communications. 60 years since independence President @SuluhuSamia is opening doors closed to women. Exemplary performance at BBC recognized. Godspeed.
Tweet media one
4
4
46
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
19/03/2022. Baba Askofu Methodius Kilaini. Miaka 50 ya Upadre. Hongera sana. Bwana apewe sifa kwa mafanikio yako makubwa. Na kutubariki sote tulioweza kusheherekea nawe. Tunakutakia afya njema. KAZI IENDELEE.
Tweet media one
2
5
45
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Umesema vyema. Wajinga ndio waliwao. Mgeni ataruhusiwaje kuendesha kasino vijijini? Kufungua saloon na viosk vya bidhaa muhimu mitaani badala ya zaidi zaidi kuwa wholesale importer. Kulima bustani ndogondogo Halafu useme vijana wajiajiri. Fursa ndio hizo umegawa kwa wageni
3
7
43
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
6 years
One of Africa's most talented sons goes to rest having served the world and humanity to great distinction. May the family be comforted by the promise of resurrection. May the UN continue to walk in his footsteps brokering peace and prosperity. RIP Kofi Annan #kofiannan
2
4
41
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Congratulations to President M7 and the people of Uganda upon his well deserved re-election. Modern day Uganda did not just happen. It is the result of the sacrifice visionary and elightened leadeship of M7 and his movement over the years. Rest we forget. Aluta continua.
49
4
38
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Waheshimiwa. Msife moyo. It is not in vain. The younger girls are watching. We the older girls are proud of you. In life what matters is not what happens or what they say about you. It is how you react. Keep moving. The sky is the limit.
Tweet media one
7
11
36
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Ajali ya ndege Bukoba. Simanzi kubwa. Shukrani wavuvi wote majasiri; Waziri Mkuu kutufariji na Rais kutoa fursa ya mafunzo kwa kijana jasiri Majaliwa. Tutambue pia wale wenzake waliomuokoa Majaliwa alipozimia. Msaada endelevu ni mafunzo ya uokoaji kwa wavuvi wote. Tujipange.
Tweet media one
1
5
39
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
5 years
Kama kuna kijana anayeacha nyayo katika nyakati za Tanzania ni Ruge Mutahaba. Tunaomboleza lakini pia kupongeza maisha mafupu ya mafanikio makubwa. Hakuna wingu linaloweza kufunika mchango wako. Lala salama Ruge. Wanafamilia tafadhali pata nguvu na faraja katika imani ya uzima
4
1
36
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
9 years
@JoeMugasa tatizo wewe hujui uzalendo kila kitu unadhani dili na kujinufaisha! Uwe na imani na wenzio! Utakufa bure kwa hasira!
21
44
35
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Wanafunzi wa Kajumulo Alexander wakimuombea mzee huyo ambaye ni Baba yangu mzazi aliyetangulia mbele ya haki miaka 47 iliyopita. Baba tunakukumbuka na kukuenzi milele. Nyayo zako hazifutiki. Upumzike kwa amani. Amina
Tweet media one
2
1
36
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Dazzling beauty murdered by husband. RIP. Only mental health issues can explain the tragic insanity. Hon. Msambatavanga alerted Parliament about deteriorating mental health situation should be given the seriouness deserved. Parents May Almighty grant you strength. Poleni sana.
Tweet media one
1
2
26
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
4th year memorial anniversary as a new Kenyan President is sworn in. Takes me back to the 2007 post election violence, power sharing talks New Constitution. Interestingly main actors then are still main actors today. You laid behind a solid foundation for Kenya. RIP
Tweet media one
2
5
34
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Mama Salma Kauli RIP. Mwenyekiti wa Wanawake Bakwata Mkoa wa DSM.Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Bawata Mkoa wa DSM. Kada wa CCM. Mwenye maono upendo Mchechi. Mshauri wa busara. Mtulivu. Mwaminifu. Mwaminifu. Asiyeyumba. Umepiga vita vilivyovizuri. Pole Rosmin na Khatib na Tatu.
Tweet media one
1
1
30
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Kupisha Ujenzi wa barabara ya lami Kagabiro Greenbelt Muleba. Mti wa Kamuganja ambao ni Gashani au kaburi la Malkia aliyetawala Ihangiro kama miaka 700 iliyopita utakatwa tayari umehamishwa kwa kupandwa upya Bomani Kibonwangoma kwenye makaburi mengine ya Wafalme. Asante TARURA
Tweet media one
2
5
30
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Heri ya Mwaka mpya. Amani mshikamano utengamano wa nchi yetu uendelee. Spika Ndugai kiongozi wa Muhimili-simamizi wa Serikali alitoa tahadhari juu ya mwenendo wa deni la Taifa. Rais Samia akaeleza vyema tuko vizuri. Wametekeleza majukumu yao. Hatari sisi kushehenesha kisiasa.
3
5
29
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Shemeji yangu Prof. Mwesiga Baregu. Yours is the undisputed legacy of balancing political thought and intellect with high risk actual party organization with conviction honesty and integrity. You walked the talk. Condolences to Dosca and family. May you R.I.P. Say hi to Wilson
Tweet media one
1
3
30
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Ndugu zangu WanaKenya. Tunawaombea uchaguzi mwema uliotulia na wa haki kulingana na uamuzi wenu. Mungu awaongoze. Miaka kumi niliyoishi Kenya nilishuhudia wapiga kura mlivyo watulivu. Basi na wadau wengine waige mfano wenu bora. Amani itawale. Mgombea atakayechaguliwa atangazwe.
Tweet media one
2
2
29
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
1 year
@MarkMwandosya @issamichuzi Tumshukuru Mungu kwa baraka alizokujalia. Wahaya tunamsemo 'okulwala ti kufa". Maana yake kuugua sio kufa. Mimi nakumbuka nilifika airport kukusindikiza ukienda India. Hali ilikuwa tete lakini Mungu akabariki. Atukuzwe.
2
0
28
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Japan Habitat Association. My years at UN exposed me to your great empathy for those afflicted by poverty and disasters, ever ready to help. We reciprocate by sympathy & prayer for the fallen PM Shinzo Abe. May he RIP. Family friends, allies, find comfort his legacy shall endure
Tweet media one
2
5
29
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Miaka 96. Hongera sana Rais Mwinyi mzee wetu. Kutupa kitabu hazina kujifunza busara zako. Sintosahau mwaka 1995 oktoba nilipofika Ikulu nimeshitakiwa kwa uwana harakati wa Bawata. Baada ya kutusikiliza na wenzangu ukatoa rhuksa tuendelee na shughuli zetu. Ubarikiwe Afya njema.
Tweet media one
0
2
28
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Hongera sana Rais Samia. Taifa limeshuhudia siku 100 za kazi yenye upendo, huruma, na maono. Bwana aendelee kukupa hekima ya Mfalme Suleimani.
Tweet media one
1
3
28
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
10 months
@ccm_tanzania @TZWaziriMkuu Pongezi CC na NEC maelekezo swala la DPW. Elimu muhimu na haina mwisho kwa wadau wote: Serikali Wananchi Wataalam na Wawekezaji Mkataba kwa kiswahili usambazwe kote Naamini michakato mingine itasitishwa wakati tukielimishana kurejesha imani Inshallah
Tweet media one
4
12
29
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
@ccm_tanzania @bunge_tz @MwalimuNyerere @ikulumawasliano @ikuluzanzibar Miaka 100 ya kuzaliwa. Nyayo zako kila mahala katika maisha yetu na taifa. 1975 Chuo Kikuu. Ulinitunuku shahada ya kwanza. Ukiwa na Rais Jumbe Waziri Mkuu Kawawa. Tunawashukuru kuwaombea pumziko la milele.
Tweet media one
1
5
28
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Fr Privatus Karugendo. RIP. Mchambuzi mwandishi mwanaharakati mtoa maoni bila woga mkweli pale ambapo wengi tuliogopa. Mpenda watu kwa dhati kurekebisha jamii iendelee. Dr Rose na familia. Mshukuruni Mungu katika yote. Faraja ni ufufuko wa miili na raha ya milele katika Kristu.
Tweet media one
2
2
26
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
9 years
@ngadash true. Loan was 2bilioni from 2011. interest charges accumulated 740 million. Total 2.74B less 1.617 B Rugemalira grant
21
38
27
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Hongera sana Rais M7 na Wananchi wa Uganda kwa kumaliza uchaguzi na kupata ushindi wa kishindo. Uganda ya leo ni matokeo ya kazi kubwa ya kujitoa na M7 kuongoza kwa maono na weledi mkubwa. Tusisahau. Mapambano yanaendelea.
16
1
24
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Kristu akujalie pumziko la milele. Pigo na pengo kubwa kanisa Katoliki na Taifa. Poleni. Uwezo mkubwa nilishuhudia Rubya Seminary 2016 ukisherehesha kumbukumbu ya miaka 100 ya upadrisho ukiwa katibu mkuu TEC. Tunamshukuru Mungu kutuzawadia maisha yako. Utumishi uliotukuka RIP.
Tweet media one
3
2
27
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Congratulations on re-election Secretary General. Unprecented challenging times require a compassionate skilful leader to broker Universal access to safe Covid-19 vaccines, reverse environmental damage climate change, eradicate poverty, gender and human rights abuses. Godspeed
Tweet media one
1
1
25
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Celebrating the life of this legendary clergy. Loving upright and courageous enough to speak truth to power despite danger to his own life and comfort. Integrity per excellence. An inspiring but hard act to follow. Lets honor him by trying. May the Lord reward accordingly. RIP
Tweet media one
4
5
25
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Eng..Mfugale RIP. Kukuenzi nitoe ushuhuda wa mchango wako ujenzi wa Barabara ya lami Hospitali teule ya Rubya Wilaya Muleba. Ulihimiza kandarasi awaige waChina na kutumia fedha zake kazi isiharibike. Atadai riba. Utaratibu huo ulinusuru mradi. Mungu akurehemu. Familia. Poleni.
Tweet media one
0
0
25
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Asante Baba Askofu labda utasikilizwa. Mimi nilipinga sana michezo ya betting Bungeni kwenye Kamati ya bajeti. Sikufanikiwa kabisa. Makampuni mengi yanamilikiwa na influential people. Hoja kupata mapato ya serikali kwa kuangamiza vijana na kizazi kijacho haikubaliki. Tujitathmini
0
4
25
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Kilimanjaro hoteli 2002 ulifanya tafrija kunipongeza kuchaguliwa na Baraza Kuu Umoja wa Mataifa kuongoza shirika lake la Makazi. UNHABITAT. Waziri wa Nje Mh JK alitoka Dodoma. Kumuwakilisha Rais Memorable. Mwenyezi Mungu akurehemu. VC wetu muwezeshaji wa mfano. Mama/familia pole.
Tweet media one
1
2
22
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Balozi Wilson. Tunamshukuru Mungu kutulinda miaka 22 sasa tangu utuache. Mungu Ametubariki sana na tunaamini nawe unatuombea kama tunavyokuombea hadi tukutane tena. Katika jina la Kristu mfufuka. Amina
Tweet media one
4
2
24
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
9 years
@JoeMugasa Mungu pia hapendezwi na uongo wako dhidi yangu taja viwanja nilivyopora! La sivyo tubu. Ninakuweka kwenye maombi
7
32
24
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Nyota nzuri. Uonekana asubuhi. Tunaendelea kukupongeza Mhe Rais Samia kwa safari yako ndefu lakini ya mafanikio kwa niaba ya wanawake na taifa. Ulieleza vyema ulipokutana nao Dodoma. Asante sana Rais mst Karume kuona kipaji mapema. Harakati bila mwezeshaji haziwezi kufanikiwa.
Tweet media one
1
4
23
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Hemed Kantangayo. KATIBU MWENEZI CCM MULEBA. NA OFISI YA MBUNGE. tulishuhudia upendo busara utulivu maoni ya uongozi. Bwana akujalie pumziko la milele. Mama Zawadi Mutwawaf na familia. Mlijaliwa kuwa na tuzo ambalo sasa linarejea kwa Muumba. Kumuenzi ni kuendeleza upendo wake.
Tweet media one
6
0
22
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
The news of the death of His Royal Highness Prince Khalifa bin Salman Al Khalifa, Prime Minister of Bahrain has been received with immense sadness. May God Almighty Grant him eternal rest for a life lived in service of others. Prof Anna Tibaijuka.
1
3
22
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Well said on our behalf. Food for thought for everyone. Focused on political survival at home African leaders have refused to acquire the knowledge needed to turn things around.The revolution for fair and just global economic system shall not come on a clean platter from heaven.
2
6
21
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
3 years
Mhe Vicky. Pole sana. Hili ni pigo katika mapigo kwako na familia. WanaHazina. Wanauchumi sote UDSM. Bwana akupe nguvu. Nilitaka utulie. Itachukua muda ila ujue Faraja itakuwa maisha mema uliyojaliwa kuishi naye akiwa hai. Mungu amrehemu pumziko la milele. Amina. Mama T
Tweet media one
2
1
22
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Nawatakia ushindi wa kishindo katika uchaguzi Mkuu ujao, Rt.Hon @RailaOdinga na Mama mpiganaji @MarthaKarua Mungu awabariki, na wakenya wote wafanye mahamuzi sahihi.
2
3
22
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
2 years
Tweet media one
0
3
22
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
4 years
Ali Mufuruki ( RIP) leaves behind a life well lived in pursuit of modernity and excellence in business practice in Tanzania. An example to be emulated. An enduring legacy. May he rest in peace. Prof Anna Tibaijuka
5
3
21