
CWPedro
@cw_pedro
Followers
66K
Following
4K
Media
5K
Statuses
129K
Joined January 2012
Usipotoshe Kaka. Walilinda USHINDI wao. Baada ya kuwa na UHAKIKA kwamba wameshinda, ndipo walibaki kwenye vituo vikuu vya kutangazia matokeo hadi walipotangazwa washindi. Usisahau kwamba wakati ule, sio sasa, chaguzi za wabunge na madiwani zilikuwa zinafanyika. Sio tangu 2016.
Mtazuiaje uchaguzi?.@godbless_lema alilinda kura 2010 na 2015 akawa mbunge Arusha mjini. @HecheJohn alilinda kura 2015 akawa Mbunge Tarime Vijijini. Hizo ni rekodi zipo. Ila hatuna rekodi za watu waliozuia uchaguzi wakaleta mabadiliko.Tusaidieni hizo rekodi. Mtazuiaje uchaguzi?
1
0
2
Kushindwa KIHALALI kwenye uchaguzi hakukuwa kwenye akili ya Mh Mbowe. Atayumba sana.
@noor_abdul @TitoMagoti @godbless_lema @zittokabwe @freemanmbowetz @MariaSTsehai @HildaNewton21 @Mwabuk2Boniface @ExMayorUbungo @IAMartin_ @YerickoNyerereT @MalisaGJ_ @HecheJohn @amanigolugwa @ChademaTZ2 Nitakuwa wa mwisho kuamini Mhe Mbowe anaweza kuwasiliti wenzake waliomshinda kidemokrasia. Najua ni haki yake lakini hili la kuhama chama natamani libaki kuwa tetesi. Hatari kwake ni kwamba akihama atakuwa amethibitisha maneno yote yaliyosemwa dhidi yake tangu enzi za akina.
0
0
3
Sasa G55 wana lipi la kujifunza Ntobi.
@IamLyenda Nyie mbona hamkujifunzwa toka kwa G55!? Acheni kila mmoja ashinde mechi zake brooh!🤔.
0
0
0
Pengo la Mzee Mbowe pale CHADEMA limeshindikana kuziba. Chama 'kinakufa'. Angechaguliwa yeye tungeendelea na wimbo wa 'Mwamba tuvushe'.
Jeshini kuna principle moja isemayo hakuna kitengo ambacho mtaalamu ni mmoja tu jeshi zima, Ukitaka kujua kuwa hakuna mtaalamu mmoja tu basi afe mtaalamu huyo leo asubuhi, kisha leoleo mchana nafasi yake itazibwa kwa asilimia miamoja. Jambo muhimu unalotakiwa kuelewa kwamba.
0
0
0
Polepole anakosa legality na legitimacy kuyaongelea haya. Hoja anayo sana tu. Aliishi nayo kwa nini alipokuwa very vocal wakati ule?.
@cw_pedro Tunaongelea hoja ya Polepole ya Nepotism. Mnataka tu fukue makaburi. Je,hiyo itaondoa hoja yake?. Tunatetea ujinga kwa kutumia ujinga.
6
1
6
Magufuli kamteua Samia mara mbili mfululizo. Magufuli huyu tuliemfahamu amezeshwe mara mbili. Give me a break.
Ingekuwa ni uwezo wa JPM hata SAMIA asingekuwa VP, alimtaka MWINYI, mfumo mbovu wa CCM ndio ulituletea akina Tale. Muda huu mfumo huo kidogo utuletee akina Mwijaku na Shilole,. CCM imefanya uongozi uonekane ni jambo jepesi lakufanywa na YEYOTE. Baba Levo yule pale, 😊😊😊.
4
0
6
Naona anakaribia kwenye AGENDA yake HALISI ile ya March 2021. Ambayo yeye na kagenge ka wahuni wenzake walitaka KATIBA ivurugwe Samia asiape kuwa Rais wa Jamhuri.
“Kama mmegundua kila kona ya nchi barabara zinajengwa tangu mwaka 2020 lakini HAZIISHI, Wahuni chini ya Raisi SAMIA wameshindwa kazi na wamekuwa wazembe sababu wanajua mama ni mpole na hawezi kuwafanya lolote, Tunataka mtu anaeweza kuwakemea wahuni”— HUMPHREY POLEPOLE.
1
1
3
Mapungufu gani mapya anayokemea Polepole ambayo hayakuwepo enzi yeye na Musiba wanang'ara?.
@Vicent_Kassala Sasa Polepole hakuwa hata na level ya uwaziri au utendani lakini unamshupalia utadhani alikuwa ni makamu wa Rais.Kwa maana hiyo unataka Polepole asikemee mapungufu ya uongozi huu ndio utafurahi. Ungempongeza kwa ujasiri.Uziiiii mrefu kama mkojo wa mlevi Takataka tu.
1
0
1
Watu mnasahau tu. Ile CHADEMA ya Mbowe, Mbowe mwenyewe alikuwa na concubine wake bungeni; Lissu akawa na mdogo wake wa kike; Mzee Ndesa akawa na binti na mkwe; Zitto akawa na binti mmoja kutoka huko kwao, jina silikumbuki. WATANZANIA tunafanana kwa mengi. Ni fursa tu ikijitokeza.
Ukiondoa Kikwete na Salma . Hii ni familia ya pili mke na mume wanalamba mamilioni ya fedha kupitia ubunge na uwaziri. Sifa zao na uongozi , FAMILIA YA SAMIA
8
3
15
Nani alikuwa ameufunga ubongo na akili ya Polepole? Amekuwa kama ndio anazinduka kutoka kuzimia. Yote anayoyasema ameishi nayo vizuri tu pale awamu ya Tano. Tumewahi kuwa na Katibu wa Hazina yetu, mtoto wa Dada. Zikapotea 1.5Tr huyu Polepole akazitetea sana. Atuambie waligawana.
@JamiiForums Nepotism ni Cancer. Si mbaya kwa mtoto wa kiongozi kuwa kiongozi ikiwa anauwezo na watu wanamtaka. Ila mtoto kuwa kiongozi kwa sababu tu Baba yake au Mama yake alikuwa kiongozi ni upumbavu uliopitiliza. Hata wafalme wazamani walikuwa wanachagua mtoto mwenye uwezo kuwarithi.
3
2
10