bwaya Profile Banner
Christian Bwaya Profile
Christian Bwaya

@bwaya

Followers
13K
Following
27K
Media
2K
Statuses
43K

U S H U N U Z I — P S Y C H O L O G Y

Dar es Salaam
Joined May 2009
Don't wanna be here? Send us removal request.
@bwaya
Christian Bwaya
1 day
Kuna vitu ili uvifanye, uvitetee au basi ujifanye kama havikugusi kwa vile unaendelea na shughuli zako kama kawaida lazima kwanza dhamira yako iwe imekufa.
3
26
105
@bwaya
Christian Bwaya
16 hours
“Msaada unaoweza kumpa mtoto aliyeshuhudia matukio ya kikatili.” #Ushunuzi via @MwananchiNews
3
15
38
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Sote, kwa nyakati tofauti, tunakosea. Unaweza kufanya kitu ambacho hata wewe mwenyewe unashindwa kabisa kujisamehe. Unakuwa na hasira na watu kumbe unaomboleza. Una kisasi na ‘nafsi’ yako mwenyewe. Hapa unahitaji kujifunza kujisamehe. Kujisamehe si kazi nyepesi. Unaanza
1
3
9
@bwaya
Christian Bwaya
1 day
Kuna vitu ili uvifanye, uvitetee au basi ujifanye kama havikugusi kwa vile unaendelea na shughuli zako kama kawaida lazima kwanza dhamira yako iwe imekufa.
3
26
105
@MayengoDr
Dr. Ranya
2 days
Tusianze kufukua makaburi ya kwa nini nilikukata mguu kimakosa, kikubwa ninakusamehe tusonge mbele. Pia nitakusaidia [msaada] wa fimbo ya kutembelea. Huhitaji kunilipa, hii nimekusaidia kwa kuwa wewe ni zaidi ya ndugu yangu, tumetoka mbali
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Kunakuwa-ga na yule ‘rafiki’ anajua vizuri kukuchezea ucheze ngoma yake. Huyu anakuwa anajua vizuri misimamo yako na kile usichopenda. Ili usimsumbue atafanya maamuzi kwanza akijua anakosea na anaelewa fika utaumia halafu anakufuata muone namna ya kumnasua na matokeo ya maamuzi
1
3
5
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Sote, kwa nyakati tofauti, tunakosea. Unaweza kufanya kitu ambacho hata wewe mwenyewe unashindwa kabisa kujisamehe. Unakuwa na hasira na watu kumbe unaomboleza. Una kisasi na ‘nafsi’ yako mwenyewe. Hapa unahitaji kujifunza kujisamehe. Kujisamehe si kazi nyepesi. Unaanza
1
3
9
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Kujihujumu, self-sabotage behaviour, ni kujiharibia makusudi kama mkakati wa kuficha udhaifu usiotaka kuukiri wazi. Haka katabia kanatumika zaidi na watu wanaopenda sifa kupita kiasi, wanaojichukulia kuwa zaidi ya vile walivyo na hawapendi kukiri udhaifu wa wazi.
@bwaya
Christian Bwaya
3 months
Kwenye ushunuzi kuna tabia inaitwa kujihujumu. Huwa inatumia zaidi na watu wanaopenda sifa kupita kiasi, wanaojichukulia kuwa zaidi ya vile walivyo na hawapendi kukiri udhaifu wa wazi. Kujihujumu, self-sabotage behaviour, ni kujiharibia makusudi kama mkakati wa kuficha usichotaka
0
1
11
@SwahiliBible
Mwemezi Rwiza, PhD
2 days
Nimejifunza kitu. Ukitaka uendelee kumsaidia mtu asikengeuke na uendelee kumpenda, ni vizuri ku-keep distance. Usimkaribie mno na kula sana mezani kwake. Utaogopa kumwambia hata unapoona anajichimbia shimo.
5
58
184
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Utu uzima si umri. Utu uzima ni uwezo wa kutambua makosa yako, kutambua athari za maneno, tabia na maamuzi yako kwa mwenzako, kutambua kuwa kukiri makosa na kukubali aibu ya kuomba msamaha kwa dhati bila kuhalalisha kosa, kulaumu, kutafuta huruma wala kukwepa matokeo ya makosa
2
22
72
@bwaya
Christian Bwaya
1 year
Bingwa wa usaliti huwa hawezi kuichunguza nafsi yake mwenyewe kujua wapi anahitaji kujirekebisha. Hawezi kuyatazama makosa yake, na kujisamehe bila kujiumiza. Ukishafanikiwa kuisaliti nafsi yako —kila ukijaribu kujikagua unaumia, unabadili uelekeo —utaishia kusaliti watu wengi.
0
20
51
@bwaya
Christian Bwaya
1 year
Huwezi kuwatendea wengine kile usichojitendea mwenyewe. Usipoweza kujisamehe makosa uliyowahi kuyafanya, kwa mfano, itakuwia vigumu kuwasamehe wanaokukosea.
3
30
112
@IhondeAJ
Amiri Ihonde
2 days
@bwaya Makosa huuma na hasira nyingi hutokana na majeraha ya ndani. Ukikabili ukweli kwa ujasiri na kuwajibika bila visingizio, unapata uponyaji na amani ya kweli ndani ya nafsi.
1
3
1
@MayengoDr
Dr. Ranya
2 days
@bwaya Ndio, lazima kosa liwe lako. Kwa nini usielewe? Kwa nini ung’ang’anie kuangalia tulikojikwaa badala ya kunyoosha mkono usaidie kuniinua? Na ukicheza urafiki unaishia hapo hapo kama sijakusamehe bure kwa kuwa hujui ulitendalo!
1
1
1
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Tujifunze kuwaruhusu watu [wenye kiburi] kufanya makosa bila kuwaingilia. Tuwasaidie pia kuwajibikia matokeo ya makosa yao bila kuingilia.
3
13
63
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Siku za nyuma nimewahi kuwa na rafiki ambaye kila mnapotofautiana hakutaka kabisa mzungumzie kwa kina kuelewa mmefikaje hapo. Hakutaka mazungumzo yoyote yanayowafikisha kwenye uelewa wa tabia za kila mmoja wenu. Nikajifunza kumbe kukata mawasiliano na mtu asiyetaka kutambua
0
11
74
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Kunakuwa-ga na yule ‘rafiki’ anajua vizuri kukuchezea ucheze ngoma yake. Huyu anakuwa anajua vizuri misimamo yako na kile usichopenda. Ili usimsumbue atafanya maamuzi kwanza akijua anakosea na anaelewa fika utaumia halafu anakufuata muone namna ya kumnasua na matokeo ya maamuzi
6
8
44