bwaya Profile Banner
Christian Bwaya Profile
Christian Bwaya

@bwaya

Followers
13K
Following
27K
Media
2K
Statuses
42K

U S H U N U Z I — P S Y C H O L O G Y

Dar es Salaam
Joined May 2009
Don't wanna be here? Send us removal request.
@bwaya
Christian Bwaya
7 hours
RT @CarolNdosi: A person convinced they know everything is not looking for new information and will not be receptive to being taught.
0
8
0
@bwaya
Christian Bwaya
12 hours
Kwenye ushunuzi kuna tabia inaitwa kujihujumu. Huwa inatumia zaidi na watu wanaopenda sifa kupita kiasi, wanaojichukulia kuwa zaidi ya vile walivyo na hawapendi kukiri udhaifu wa wazi. Kujihujumu, self-sabotage behaviour, ni kujiharibia makusudi kama mkakati wa kuficha usichotaka.
2
6
27
@grok
Grok
9 days
Join millions who have switched to Grok.
221
458
3K
@bwaya
Christian Bwaya
1 day
RT @MarekaMalili: Toxic behaviors zina uwezo wa ku manipulate ubongo wako, ukaziona bila zenyewe hakuna namna nyingine ya kufurahia maisha.
0
28
0
@bwaya
Christian Bwaya
1 day
RT @MarekaMalili: @bwaya Kifupi siwezi kukubali potential ya binti yangu ikafia ndani, but again chemistry of attaraction btn the two love….
0
1
0
@bwaya
Christian Bwaya
1 day
RT @MarekaMalili: Haya mambo yanategmea upo upande gani 😂😂.
0
1
0
@bwaya
Christian Bwaya
1 day
Sura mbili wanaume kuwazuia wanawake kufanya kazi, mzazi ufanye nini?.#Ushunuzi via @MwananchiNews
Tweet media one
0
1
3
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
BWANA nashukuru nimeona,.Matendo yako kwangu yashangaza,.Yale ulosema umetenda,.Hivyo nashukuru,.Unaweza!. Huu huu unaweza!.Huu huu unaweza!.Huu huu unaweza!.Mungu wangu,.Unaweza tena!. Baba tena,.Tena tena,.Uweza wako wanishangaza,.Matendo yako ni ya ajabu,.Hivyo najua,.Unaweza.
1
10
31
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
RT @decolanga: Reading "Class Struggles in Tanzania," and the 50th anniversary edition. Key takeaway: leaders must have a strong ideologica….
0
10
0
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
RT @iddmkota: @bwaya Kuna uwezekano wa kuziba hili ombwe bila kuumiza wengine? Maana wasiwasi wangu ni namna muathirika anavyoweza kutumia….
0
1
0
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Ombwe linaweza kukugeuza mtumwa wa sifa zisizokusaidia. Muda wote unataka uonekane upo. Hupitwi na kitu. Unashindana. Unabishana hata na vitu havikusaidii. Muhimu ni kuonekana umeutangulia wakati. Ombwe.
0
5
29
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Ombwe la nafsi linaweza kukuweka pagumu kuliko njaa ya chakula. Unaweza kula chakula kizuri na hushibi. Ombwe linakuchochea muda wote uoneshe una PAWA. Ukisema umesema. Hushindwi kitu. Ukitaka kinakuwa. Ukimkamia mtu lazima aumie. Ombwe.
2
12
38
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
Utoshelevu wa mtu (contentment) huanza utotoni wakati ambao huna chochote kinachowavutia watu kwako. Wakati ukiwa mtoto uchi, bila elimu, mali, umaarufu, huo ndio wakati wa kujenga hali ya utoshelevu itakayoamua kiwango cha utoshelevu utakachokuwa nacho kwa safari nzima ya.
3
19
53
@bwaya
Christian Bwaya
2 days
RT @Joshuamsuya_: kazi muhimu zaidi ya Mfumo wetu wa nervous ni kuhakikisha tuna survive. Thats why Njaa ina nguvu zaidi kuliko busara au….
0
3
0
@bwaya
Christian Bwaya
3 days
Utoshelevu ni nini? Kwa nini unaweza kuwa na vingi na bado huridhiki na unafanya kila unaloweza kuwanyanyasa na kuwatumia wasio nacho kwa faida yako? Hivi unajuaje una utoshelevu—contentment? Hivi unaweza kuwa hujui utakula nini jioni ya leo na bado ukawa na utoshelevu.
0
9
40
@bwaya
Christian Bwaya
3 days
RT @attentionmech: What is the fastest method to enter Flow state.
0
297
0
@bwaya
Christian Bwaya
3 days
RT @LeadingLadiesAF: The future of tech is more than gadgets or big labs. Here are 19 African women making sure that our voices, cultures,….
0
2
0
@bwaya
Christian Bwaya
3 days
Kunae yule rafiki umemuweka kwenye circle, ukifanikiwa kumchomoa tu kwenye maisha yako mzunguko wa tabia fulani mbaya unakatika. Kumtoa sasa ndio kazi maana anaonekana ndio kiungo cha mambo mengi.
0
4
17
@bwaya
Christian Bwaya
3 days
RT @champEllis_: @bwaya @maishatz Haha 😂 Mwl Bwaya hili liko ndani ya uwezo wako tufanye kama michango ya harusi tu-digitize mzigo huo!.
0
1
0
@bwaya
Christian Bwaya
3 days
RT @anodr_: @bwaya Hizi data za vitabu akipewa AI akasoma , si itasaidia watu wataelewa yaliyoandikwa kwa mda mfupi watapomuuliza.
0
1
0