moshi34 Profile Banner
DaudiT Profile
DaudiT

@moshi34

Followers
580
Following
4K
Media
1K
Statuses
21K

Haki, Usawa na Amani = Furaha Just walk beside me and be my friend. Don't walk behind me; I may not lead. Don't walk in front of me; I may not follow.

Minneapolis, MN
Joined June 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
@moshi34
DaudiT
3 years
But realize that not all success is due to hard work, and not all poverty is due to laziness. Keep this in mind when judging people, including yourself. because the more likely the outcome was influenced by extreme ends of luck or risk.
0
1
4
@moshi34
DaudiT
8 days
Hi @grok Hosea 1: 1-3 inasemaje.
1
0
0
@moshi34
DaudiT
9 days
RT @moshi34: @ayubu_madenge Ile hatua ya Rais Uhuru kuheshimu maamuzi ya mahakama ilipomfutia uRais iliiheshimisha sana nchi, hivyo wawekez….
0
2
0
@moshi34
DaudiT
10 days
Samia Shikamoo @SuluhuSamia.
0
0
0
@moshi34
DaudiT
12 days
Wahuni wana badilisha katiba kwa njia ya mtandao.@MariaSTsehai.
0
1
1
@moshi34
DaudiT
1 month
1. Polis. 2. Mahakama.3. Vyama pandikiz.4. Machawa. 5. CCM. 6. Viongozi wastaafu. 7. Msajili. 8. Tume ya uchaguzi.Makundi yote haya yanapambana na chadema chama unachodai hakina nguvu.Ni mpumbavu kama wewe atakuelewa.CDM ni dude kubwa lenye nguvu.@MariaSTsehai @HecheJohn.
0
0
1
@moshi34
DaudiT
1 month
Huu udini wa dhahiri, sheikh anatoa kauli ya kunyonya kanisani tena mbele ya Rais, na Rais anachekelea lakini askofu gwajima anakemea utekaji kanisa linafungiwa.
@Tikaera3
Bandie
1 month
@HildaNewton21 Shekhe anatoa hutuba ya kuwaua watu hakiwa kanisani na kanisa limebariki mauaji.
0
0
0
@moshi34
DaudiT
1 month
Huo ndio mfumo wa serikali.Viongozi wa chini wanaona yanayotokea huko juu.Juzi watu Walichukuliwa na polisi mahakamani wakaenda kupigwa na kuteswa na kutupwa porini.Na hao watendaji wa kijijini wamefanya hivyohivyo, mtuhumiwa anapelekwa porini kuteswa.Maji hufuata mkondo
Tweet media one
0
0
0
@moshi34
DaudiT
1 month
Baada ya kumkumbusha @zittokabwe kuwa kanuni walizosaini hakuna kipengele cha "Linda kura yako akaniblock.Kumbe zitto ana ngozi laini kama ya kambale
Tweet media one
0
0
0
@moshi34
DaudiT
1 month
No reform No election.Tumechoka kuibiwa.
@moshi34
DaudiT
1 month
0
0
0
@moshi34
DaudiT
2 months
RT @rose_mayemba: Madam Pres!. Unataka atekwe nani ili uchukue jambo hili kwa uzito unaostahili?.Au labda nakosea kuuliza, .Labda niulize h….
0
77
0
@moshi34
DaudiT
2 months
RT @mdudenyagali: Baada ya kupata taarifa kupitia msamaria mwema kwamba Rais @SuluhuSamia anawinda roho yangu kupitia vikosi kazi vya uteka….
0
864
0
@moshi34
DaudiT
2 months
Si mnasema mama ndio anajenga barabara, shule, vituo vya afya Leo imekuwa je Rais anamwambia Mpina maombi ya barabara apeleke bungeni. Kumbe bunge ndio linagawa pesa sio mama.😂😂😂 Mtaumbuka tu.@MariaSTsehai, @HecheJohn.
0
0
0
@moshi34
DaudiT
2 months
Yaani unapigwa ili ulie ukinyamaza unapigwa tena ili ulie na ukilia unapigwa ili unyamaze.
@godbless_lema
Godbless E.J. Lema
2 months
Nimeona hii mahali !! 😂😂😂. Kama Haujawahi Kupigwa Na Mzazi Ulie Halafu Ukapigwa Tena Ili Unyamaze, Wewe Sio Mwenzetu.!.
0
0
0
@moshi34
DaudiT
2 months
Hiyo ndio maana halisi ya neno. Msiposema hata mawe yataongea.Idd Amin Mamaa alimnyamazisha mdude akagongeana glass na katibu wake, katokea mwingine.
@TitoMagoti
Tito Magoti
2 months
Hatukutarajia Gwajima kuinuka na kupinga utekaji ktk kipindi hiki. Ni matakwa ya nyakati. Equally, mkimnyamazisha, Mungu atawainua wengine wengi kusema hapana!. Hii ni kanuni ya kiroho kuhusu uumbaji, asili na hatma ya mtu!. Solidarity with Joe Gwajima🤲.
0
0
0
@moshi34
DaudiT
2 months
RT @LuhagaMpina: Uhuru wa kuongea upo, ila kwa wanayoyapenda kuyasikia tu.
0
284
0
@moshi34
DaudiT
2 months
Hta huyu ng'ombe wanaakili kuliko hawa policcm
0
0
0
@moshi34
DaudiT
2 months
Mtu amekuwekea mgongo kwamba anaondoka tena kwa kukimbia wewe kwa nini unampiga? Alikuwa na madhara gani mpaka apigwe.Huyu askari inatakiwa ashtakiwe kama yeye kwa jina lake.@MariaSTsehai hii haina tofauti na ile iliyo tokea usa ya askari kumuuwa George Floyd
Tweet media one
1
0
0
@moshi34
DaudiT
2 months
Hey @X, what if we called users 'Xer' (or 'Xers' for plural)? Catchy, simple, and fits the brand! 😎 #Xideas".@elonmusk. And for fun: 'Shexers' for women, 'Hexers' for men, and 'Xers' for all! Catchy and unique! 🚀 What do you think? #XerVibes #Shexers #Hexers".
0
0
0
@moshi34
DaudiT
2 months
Sasa rasmi Tanzania ni nchi ya impunity, persecution and intimidation.Ikulu kwa kutumia Polisi wanateka, kutesa, mpaka kuuwa watu bila kuwajibishwa ili kutisha watu wasiongee kuhusu ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka.@MariaSTsehai.
0
0
0