@Sirjeff_D
mh uko na nguvu ya kusema Israel ni taifa la Mungu ?
we jamaa ukapimwe mkojo 😁🙌
Katika Bara la Afrika USHOGA na USAGAJI ni tabia ambayo haikuwepo kabisa enzi za WAZEE wetu na imeletwa na wageni kutoka Bara la Asia na Bara la ulaya ndio maana hakuna kabila lolote AFRIKA hata