Balyx Profile Banner
Balyx Profile
Balyx

@Balyx_

Followers
140,935
Following
6,021
Media
10,465
Statuses
194,604

On 18th of December 2022, I witnessed MESSI WINNING A WORLD CUP☝️ Messi, Martial, FDJ

Around
Joined February 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Balyx_
Balyx
1 year
Hello @elonmusk , we WANT LEONEL MESSI on this platform. Please convince him to join us here. Tell him how perfect this platform has become. I’m sure he will listen to you, coz you’re both 🐐 🐐s
700
1K
19K
@Balyx_
Balyx
1 year
Hapa Halland anacheza na mtoto wa Phil Foden Ikumbukwe wote Foden na Halland wana miaka 22 Foden ana watoto 3
Tweet media one
79
74
3K
@Balyx_
Balyx
1 year
Azam Football Club imemuwekea Mayele 60M per month na hiyo ni baada ya kodi Kaizer Chiefs wamemuwekea 89M per month Yanga wanataka arenew wampe 18M per month 🤣🤣🤣
Tweet media one
139
84
3K
@Balyx_
Balyx
2 years
Last time hii battle tulishinda. I think it's time tena heshima ipatikane Tena📌
Tweet media one
26
31
3K
@Balyx_
Balyx
2 years
Prisca Kishamba ndo wakala/manager wa Sopu au just a fan? She seems to be committed to the young lad🙌🙌
Tweet media one
81
35
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Huu Uwanja upo Tanzania, je upo eneo gani?
Tweet media one
197
55
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Tanzania imebarikiwa kuwa na huyu mchezaji. Novatus Dismas 🇹🇿
Tweet media one
45
37
2K
@Balyx_
Balyx
2 years
Unabet leo? Muue Argentina
109
52
2K
@Balyx_
Balyx
9 months
Rema na Selena Gomez Kijana kama inawezekana aanze kufanya michakato ya kutuheahimisha kama Bara la Africa
Tweet media one
84
64
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Kumfananisha Alikiba na Wasanii wenu when it comes to Live Perfomance ni kuikosea HESHIMA Bongo Fleva Huyu ana Dunia yake
Tweet media one
80
68
2K
@Balyx_
Balyx
10 months
Martin Braithwaite aliondoka kambi ya Espanyol bila taarifa. Walipomtafuta akatishia kuinunua klabu hiyo na kuifuta Thamani ya Espanyol-$148M Utajiri wa Braithwaite-$300M
Tweet media one
124
78
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Ifike muda sasa uwape na wenzio wabebe kombe. 😂😂😂
Tweet media one
108
37
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Hata kwenye interview ya Messi, mwanetu yupoooo 😂😂🙌
Tweet media one
94
44
2K
@Balyx_
Balyx
7 months
Inasemekana Clara ndo anapokea kibunda kirefu zaidi pale Al Nassr Women Swali, why haitwi team ya Taifa ya Twiga?
Tweet media one
33
41
2K
@Balyx_
Balyx
7 months
Kauli ya Jude kuhusu Messi haitomletea shida?
Tweet media one
56
24
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Unaambiwa Rais wa ASEC Mimosas kila akiangalia mpira wa Aziz na akakumbuka pesa aliyopewa, anajikuta anakimbilia kanisani kutubu dhambi ya UTAPELI😂
Tweet media one
89
77
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Mtanzania pekee mwenye goli UEFA CL Europa League Epl AFCON Carabao Cup Final Wembly Anfield Mfungaji Bora wa Top team in Belgium Mfungaji Bora CAF CL Ana goli Turkey Ila ni bahati tu wala Talent hamna hapa
Tweet media one
172
96
2K
@Balyx_
Balyx
2 years
I'm sorry hatukuwa na namna 😭🤣
Tweet media one
67
43
2K
@Balyx_
Balyx
2 years
Baada ya game ya leo anakwea Pipa kwenda France kufanya majaribio pale Monaco 🔥🔥🔥
Tweet media one
30
25
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Jamaa kila alipokua anapewa mpira, City players wanasanuka, wanaogopa kuingia kwenye mtego😆😆 Huyu mwamba atue matofali ya kuchoma pale 🙌
Tweet media one
60
28
2K
@Balyx_
Balyx
2 years
Ali Kamwe amekuja kuwaje?😂
Tweet media one
156
20
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Dear Me🙏😁
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
174
133
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Hivi huyu jamaa ni raia wa nchi gani? Sorry, sijaweka jina lake maana sijui kulitamka wala kuliandika. Ila anakichafua sana pale Napoli na Victor
Tweet media one
165
21
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
I can’t believe has seen it 😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
47
61
2K
@Balyx_
Balyx
7 months
Wakala wa Adam Salamba apewe maua yake 🙌🏿🙌🏿
Tweet media one
21
25
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Zinchenko na Ferdinandinho wakiangalia kijana mwenye bahati tu bila talent akiwafunga bonge la header pale Wembley
Tweet media one
59
55
2K
@Balyx_
Balyx
2 years
Niliwahi kuhoji Masters Degree ya Nikki wa Pili kwamba ya Chuo gani? Ila nikaonekana hater. Aya Sasa😀
87
44
2K
@Balyx_
Balyx
11 months
Jana Mbuzi wao akaingia kichwa kichwa kwa Di Maria😆
Tweet media one
60
24
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Mario Balotelli ndo Mchezaji pekee kutoka Italia kuwahi kushinda Premier League. Have some respect
Tweet media one
45
22
2K
@Balyx_
Balyx
5 months
Huyu ndugu yake Frankie De Jong analijua boliii bhana
Tweet media one
11
33
2K
@Balyx_
Balyx
11 months
Moja ya matukio ambayo sio rahisi kusahaulika pale Qatar
Tweet media one
49
30
2K
@Balyx_
Balyx
4 months
Hapa kuna team itajichanganya kwa Brighton itapigwa pesa balaa 😂
Tweet media one
39
26
2K
@Balyx_
Balyx
11 months
Sema mwamba akitoka Ibiza, Basi Guardiola atakua na kazi sana kumrudisha kwenye hali ya kawaida 😂😂
Tweet media one
113
42
2K
@Balyx_
Balyx
2 years
Ila outfit za Messi 😆😆🙌🔥
Tweet media one
56
24
2K
@Balyx_
Balyx
1 year
Messi is the 🐐
Tweet media one
60
72
2K
@Balyx_
Balyx
2 years
Hivi huu waga ni utaratibu wa Madrid kwamba ni lazima ulie ukiwa unaaga? Ukute kipengere kipo kwenye mkataba wao?😂
Tweet media one
99
29
2K
@Balyx_
Balyx
6 months
😂😂😂 Mchezaji wa wapi?
Tweet media one
38
36
2K
@Balyx_
Balyx
3 years
Taja magangster unaowajua kwenye Biblia😃👇
344
191
2K
@Balyx_
Balyx
2 years
Ikumbukwe Arsenal walimlipa ili ahamie Barcelona
Tweet media one
14
13
2K
@Balyx_
Balyx
9 months
Ana maana gani hapa?
Tweet media one
37
37
2K
@Balyx_
Balyx
2 years
UDOM 🇹🇿🔥
Tweet media one
100
41
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
It was once beautiful 😒😭
Tweet media one
36
33
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
5 goals in 7 matches It’s MBWANA ALLY SAMATTA
Tweet media one
12
26
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
John Terry kwenye interview moja huko England amewahi kusema “Kama Samatta angepewa muda kidogo walau a new fresh season, Aston Villa wangejikuta automatically wanampa a lifetime contract” The 🐐
Tweet media one
25
28
1K
@Balyx_
Balyx
11 months
Mwanachuo wa SUA akiangalia course work zake huku akiwa amelalia assignment ya group 😂
Tweet media one
76
82
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
NBC Premier League
Tweet media one
94
41
1K
@Balyx_
Balyx
6 months
Goli Bora la Mwezi kwenye ligi kuu ya Ugiriki “Ni bahati tu, hamna talent hapa” Go go go El Capitano Samagoal 🔥🐐
Tweet media one
25
55
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Najibiwa na Elon alafu siringi kabisa 😂😂
85
30
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Kiungo mpya wa Yanga
Tweet media one
112
30
1K
@Balyx_
Balyx
9 months
Ushindwe mwenyewe kenge wewe 😆😆
Tweet media one
55
29
1K
@Balyx_
Balyx
3 years
Kumbe Chemical (msanii) now ni Lecturer pale UDSM?🤔
61
12
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Alvarez na kocha wake wa mpira
Tweet media one
10
23
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Ila Pesa bhana😂😂😂 Moja lina wachezaji jingine imebeba maji.
Tweet media one
42
31
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
TOP 10 YA WACHEZAJI MATAJIRI ZAIDI AFRIKA NA NET WORTH ZAO 01: SAMUEL ETO’O FILS, 🇨🇲 $95M Legend wa Barcelona ana net worth ya $95M Asilimia 90 ya uwekezaji wake mwamba kaufanya Afrika
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
45
43
1K
@Balyx_
Balyx
10 months
Kulingana na jarida kubwa huko Nchini Marekani, linaonesha Messi Lapulga ana ushawishi mkubwa kuliko mtu yeyote kwenye taifa hilo kwasasa
Tweet media one
9
29
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Did you know? Ikulu ya Chamwino, Dodoma Tanzania ndo Ikulu yenye eneo kubwa sana kuliko Ikulu zote Duniani
Tweet media one
Tweet media two
102
57
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Micky Jnr si alitwambia Manzoki Yupo Kinshasa na anaelekea Dar es Salaam kusaini mkataba na Simba? Sasa mbona Yupo Uganda na Vipers leo?🌚
Tweet media one
90
22
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Waandamanaji ndani ya makazi ya Rais Gotabaya Rajapaksa huko Sri Lanka wakitazama habari kuhusu waandamanaji ndani ya makazi ya Gotabaya Rajapaksa. 😆😆
Tweet media one
74
57
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Kuna siku nilisema huyu kijana aanze kuvaa kitambaa cha National Team mkaniona hamnazo. Ok ok tuendelee kuenjoy matunda ya Azam Academy
Tweet media one
25
27
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Mwanetu unakataa pesa ya Waarabu unaenda kuteseka kwenye team ya Beckham?? Nimesikitiika
Tweet media one
61
19
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Kama sio Pedri na Gavi huyu ilibidi awe wa kwanza kuigusa Ballon D’Or ila ndo hivyo yupo kwenye wakati mbaya. Competition ni kubwa kwake kushindana na hao vijana
Tweet media one
65
28
1K
@Balyx_
Balyx
7 months
Samatta yupo huko anawatesa wazungu. Safiii mwanetu
Tweet media one
5
33
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Kocha mpya wa Azam Football Club Mr. Dabo amependekeza jina la Pitso Mosimane kuwa kocha msaidizi wake kuanzia msimu kesho Pitso yupo tayari kufanya kazi ila sharti aje pia na wenzake Klabu ipo tayari
Tweet media one
Tweet media two
150
31
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
“Kibanio cha nywele za Halland kiko wapi?, Holding anasema wewe ndo umekiokota”
Tweet media one
84
45
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Sopu Abdul turns 19 today. Happy birthday baller
Tweet media one
79
15
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Jana tu mwana kafika Saudi Arabia leo PSG wanataka kum-sanction, Ronaldo anataka kuhama My 🐐
Tweet media one
12
18
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Young Lunya alivyokaa kimya kama vile yeye HipHop anafanyia Botswana😂😂😂
Tweet media one
137
45
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Jana kipindi wanazungusha kombe mwenye Mitaa ya Argentina mashabiki walimwambia Parades ampe kombe Messi haraka, baada ya kulicukua akalinyanyua ghafla mwanga (huo unaouona) ukachomoza kutoka juu. Tukio lilisimama ghafla.
Tweet media one
Tweet media two
108
38
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Manchester City Vs Napoli Chelsea Vs Bayern Munich Real Madrid Vs Ac Milan
Tweet media one
40
62
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Hii issue ya Mbappe ndo mimi sijaielewa au hata wewe?
Tweet media one
52
31
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Hii ni Uingereza 😂😂 vitochi to the world beibeeeeee😂
Tweet media one
22
27
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Ibrahim Bacca , sijajua mshahara wake ni kiasi gani ila kwa kazi yake HAUTOSHI It’s time naye adai maslahi bora, welcome to Azam Football Club, 👑
Tweet media one
86
49
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Taarifa za Simon Msuva kusaini deal la miaka mitatu huko Athletic Bilbao Zina ukweli wowote?
84
40
1K
@Balyx_
Balyx
11 months
Imagine mtu kama huyu anakuwa replaced na Onana tena kwa dharau 🤣🤣🤣 Nah, my club is cursed
Tweet media one
75
29
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
It's my hope that Kariakoo elders won't misumari the KING
Tweet media one
41
21
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Tumeanza kukopeshwa hadi na vyuo 😂
Tweet media one
124
33
1K
@Balyx_
Balyx
4 years
Taarabu tatu tu ushaanza kutembea na wabeba vyuma, ukitoa album yenye nyimbo 20 si utatembea na majini kabisa?😂😂. Kaone na mashavu😂
Tweet media one
273
34
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
DIENG Kuna time team ilikua haitembei, anapewa mpira alafu anawaambia akina Tau wamuangalie waone atakachofanya, Jamaa alitoa darasa mpaka wakapata goliii 🙌
Tweet media one
14
31
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
“Kwahiyo kilichokushawishi pale Chelsea ni nini? Au ule uwanja wao unaomilikiwa na Manispaa??? Pole sana”
Tweet media one
22
21
1K
@Balyx_
Balyx
11 months
Miaka 2 bila kugusa Bolii alafu mwamba anakuja kugundulika hana hatia yoyote kwenye makosa yoteee. If I speak... Mendy hata akirudi kuwa sawa itachukua muda. Ila I'm happy to see him FREE
Tweet media one
23
30
1K
@Balyx_
Balyx
11 months
Simba na Yanga kuna cha kuiga hapa. Cheki picha inavyopigwa, yaani very professional. Nyie mnapigia picha kwenye masofa ya maboss wenu😎
Tweet media one
Tweet media two
59
38
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Hongera Sana kocha Fred Felix Minziro kwa kuchaguliwa kuwa kocha Bora wa Ligi Kuu 2021/2022 Ladhwaaaaaa 🔥👏
Tweet media one
38
21
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Nilivyomuona Ozil uwanjani, nikajua yote kwa Ujerumani yamekwishaaaaa
Tweet media one
15
27
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Every contract has it's termination section and we can't pretend not to see it. It's about time Moallin 😒
Tweet media one
64
16
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Ni muda muafaka sasa Novatus Dismas aanze kuvaa kitambaa kwenye team ya Taifa
Tweet media one
36
19
1K
@Balyx_
Balyx
7 months
Manara Ana point Why game ya Azam vs Simba imesogezwa mbele? Mvua?
83
183
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
A Baller 🔥
Tweet media one
20
19
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Imagine kwa hii save alafu umnyime tuzo? Hii save tu ni kubwa kuliko career ya both Alisson Becker na Aaron Ramsdale
Tweet media one
60
41
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Finally De Gea is happy 😃
Tweet media one
9
15
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
😂😂😂
Tweet media one
31
13
1K
@Balyx_
Balyx
7 months
Hapa kipa tumepata
Tweet media one
18
34
1K
@Balyx_
Balyx
8 months
Ufaransa wanasema Benzema sio wa Taifa lao Kamati ya Tuzo ya FIFA, Balon D’or na UEFA wanataka kumnyanganya TUZO ZOTE Real Madrid wana mpango wa kuondoa jina lake kwenye “Leyendas del Club” Reason? Kwasababu anasimama na Palestine
Tweet media one
71
57
1K
@Balyx_
Balyx
10 months
Hapa unaweza hisi labda Onana anashangilia goli, hapana, hapa anamfokea Maguire the former Captain 🤣🤣
Tweet media one
31
27
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Hizi tetesi kwamba Joseph Kusaga ameiuza Clouds zina Ukweli wowote?
58
35
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Ahmed Ally amethihirisha jana kwamba yupo Simba kikazi tu. Yaani Dube anafunga jamaa anashangilia?😂
37
27
1K
@Balyx_
Balyx
7 months
Back to back goals for Samatta 🔥
Tweet media one
6
20
1K
@Balyx_
Balyx
2 years
Kipindi kile Konde Boy ana tour yake USA team Dabiliyusibi used to laugh at him louder man. Look now, kiko wapi?.
45
26
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Matter of TIME
Tweet media one
33
15
1K
@Balyx_
Balyx
4 months
Jana game ya Equatorial Guinea 🇬🇶 vs Guinea 🇬🇳 unahisi kwanini ilkua na mashabiki wengi hivi? 😅
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
36
22
1K
@Balyx_
Balyx
1 year
Yes hizi habari za Nabi kusikia tetesi kwamba hawamtaki tena na kuzisema live TBC nimezipenda. Naamini ataondoka na baadhi ya nyota wake. Aondoke tupumue kidogo
Tweet media one
37
29
1K