Kyoga Profile Banner
Kyoga Profile
Kyoga

@RebecaGyumi

Followers
32,425
Following
981
Media
1,512
Statuses
24,339

Girls Rights' Advocate | Founder & ED @msichanauwezo | #TeamChai 😉

Tanzania,East Africa.
Joined October 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Nimeiangalia hii video ya huyu mtoto zaidi ya mara 10, uwezo wake wa kufafanua mambo, anavyojitambua. Aisee 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾 Msichana Mwenye Ndoto ni Moto 🔥🔥🔥
105
365
1K
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Prof. Assad is a true patriot and a very courageous man. Transparency enables Accountability
26
171
1K
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Nikiwa Mtwara kutengeneza kipindi cha TV na wasichana kuhusu mimba za utotoni,niliwahoji baadhi ya wasichana kuhusu kujitunza wakaniambia “Sisi tumepewa bure kwanini tuwanyime?” Hili jibu linaweza kukupa picha ya ujumla kuhusu tatizo la kujitambua,malezi na tamaduni kwenye jamii
194
108
1K
@RebecaGyumi
Kyoga
1 year
Huyu DC achukuliwe hatua kali, pamoja na kuwa ukatili haukubaliki kipindi chochote, lakini ana uthubutu wa namna gani kumpiga binti hadharani kabisa kwenye siku 16 za kupinga ukatili???. Pia ni kukosa maadili ya uongozi @maendeleoyajami @Dr_DGwajima @MwananchiNews @TheChanzo
207
299
995
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Kaka yangu @AllyHapi lugha kama hizi za kuobjectify wanawake tena zikitoka kwa viongozi wetu zinaturudisha sana nyuma. Tunasema ni mzaha lakini hakuna mzaha kwenye lugha za kudhalilisha wanawake.Tuheshimu taaluma za wanawake na kuweka weledi mbele
216
122
951
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
“...we find and hold that the entire appeal has no merit.The appellant was supposed to abide by the order of the High Court to cause the amendment of the LMA as directed.Having so stated,we dismiss the appeal in its entirety with no order as to costs” Pg 51 of CAT’s ruling
40
199
892
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Ninamshukuru Mungu kwa neema ya uzima,leo nimeongeza mwaka mwingine kwenye maisha yangu. Nawashukuru watu wote mliowahi kuwa sehemu ya maisha yangu katika nyakati tofauti tofauti,hakika mna mchango mkubwa katika kunifanya niwe jinsi nilivyo leo 🌺
Tweet media one
98
53
877
@RebecaGyumi
Kyoga
2 years
Mungu ni mwema Kila wakati, namshukuru kwa kuongeza mwaka mwingine duniani 🙏🏿
Tweet media one
Tweet media two
75
23
816
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Wasichana wa Tanzania 🇹🇿
70
108
809
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Tunakuombea upone haraka ndugu @freemanmbowetz , dhuluma na uonevu huwa haudumu, historia inatufundisha. Get well soon
15
51
812
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Yani unafaulu mpaka we mwenyewe unajishangaa, inakuaje nimepata maksi nyingi hivi! 😎
66
65
773
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
🇹🇿
Tweet media one
26
123
708
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Hii picha kwangu ina maana kubwa, huyo mama mstari wa pili upande wa kulia ni zaidi ya malaika kwangu,wakati nimefaulu kwenda Kilakala 2006 aliniita ofisini kwake akanifanyia shopping ya kila kitu cha shule😭,wazazi hawakuwa na Angel is getting a PhD 🙌🏾🙌🏾
@Open_univ_tz
The Open University of Tanzania (OUT)
4 years
Hon. Deputy Minister of Agriculture, Dr. Mary Mwanjelwa & other PhD graduates listening to various speeches during the 37th graduation ceremony of the Open University of Tanzania held on 28th September 2019 at Bungo, Kibaha.
Tweet media one
7
15
123
32
57
645
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Tujitokeze kwa wingi kesho tukapige kura watanzania wenzangu. Mimi nitaenda kupiga kura 🗳 kuchagua Haki, Uhuru na Maendeleo kwa ajili ya taifa letu!
20
94
635
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
My sincere appreciation to this panel of advocates who represented our case at the Court of Appeal 1) @Advocate_Jebra 2) Senior Adv. Mpale Mpoki 3) Adv. @fulgencem 4)Adv. Alex Mgongolwa 5) Adv. Mary Richard #ndoazautotoni
Tweet media one
31
124
624
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Moyo wangu umejaa shukrani, Ahsanteni sana. We keep pushing for progress! ✊🏾
@CloudsMediaLive
Clouds Media
3 years
Muasisi wa Shirika la Msichana Initiative, Rebeca Gyumi ametajwa kama mmoja ya Wanawake 100 wenye ushawishi duniani. Orodha hii huandaliwa kila mwaka na @BBC kwa kuangalia wanawake ambao ndani ya miezi 12 wamekuwa sehemu ya mazungumzo ambayo yameleta mabadiliko katika jamii zao.
Tweet media one
20
39
586
34
27
623
@RebecaGyumi
Kyoga
6 years
Nawashukuru sana watanzania wenzangu kwa salamu za pongezi. Habari hii kwangu na wenzangu kupitia shirika ninaloliongoza imetupa hamasa zaidi ya kuongeza nguvu kwenye kufanyia kazi masuala ya wasichana.Namshukuru Mungu,hakika si kwa uwezo wangu bali ni kwa yeye anitiaye nguvu.
Tweet media one
Tweet media two
33
138
610
@RebecaGyumi
Kyoga
7 years
One step closer!!
Tweet media one
46
31
576
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Kama kuna kitu tunatakiwa kupaza sauti kwa pamoja bila kujali itikadi, makundi n.k ni ulinzi wa Katiba yetu na utawala wa sheria. Tukatae double standards
21
83
568
@RebecaGyumi
Kyoga
6 years
Sisi wenyewe ndio tumesema wasichana wenye mimba wasirudi shule, mkopo tumeomba wenyewe, now habari inasambaa kuwa hatutapewa huo mkopo tena, tunaanza laumu kuwa kuna watu wanatumika. How?? Tunafikiri tunaishi kwenye kisiwa kwamba tukifanya jambo halionekani??
52
107
563
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Happy 60th Birthday to our queen. Ahsante kwa kutuonesha kwa vitendo maana ya kupenda bila sababu. Nakuombea maisha marefu mama, nakupenda kuzidi
Tweet media one
37
11
564
@RebecaGyumi
Kyoga
8 years
Guess who I've ran into at UN Head Quarters this afternoon
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
54
175
549
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Ndugu zangu,watanzania wenzangu na wote ambao mmechukua muda wenu kunipongeza nasema AHSANTE 🙏🏾.Tuendeleze jitihada za kuhamasisha haki katika jamii zetu.Nitumie pia fursa hii kutambua wapigania haki za binadamu wengine ambao hatuwasikii,mnachofanya kina umuhimu sana,msichoke ✊🏾
11
92
548
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Moja ya kauli naipenda kutoka kwa Bibi Titi ni pale alimuuliza Mwl. Nyerere,Mbona wanawake hawaonekani kwenye nafasi za maamuzi Mwl?.Mwl akamuuliza “Wanawake wenye uwezo wako wapi Bibi Titi?”,Bibi Titi akajibu “Kwani wanaume wenye uwezo mmewapataje?” NB: Wanawake wenye uwezo wapo
32
85
553
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Receiving the prize from President of UN General Assembly @UN_PGA and UN-Secretary General @antonioguterres
37
130
538
@RebecaGyumi
Kyoga
7 years
Mr & Mrs Nyantori
Tweet media one
56
36
526
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Tunakuombea hekima,nguvu na busara the next and first Female Tanzania President and Commander in Chief!! 🙏🏾
Tweet media one
4
65
508
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Ukosefu wa debating skills unaonekana sana; dhihaka, matusi,kejeli ni dalili ya kupungukiwa stadi za kuhimili hoja tofauti. Naendelea kujifunza!!
20
65
481
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Mh. Rais mwenyewe alishawahi muita kijana mchekeshaji aigize sauti yake tena akiwa amepanda juu ya gari analotembelea akiwa Mafinga kama sikosei. Tusikose uvumilivu kiasi hicho hata tushindwe kutaniana na kucheka jamani?
15
56
484
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Leo nilipata mwaliko wa kuonana na Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, kuongea na kushauriana kuhusu masuala kadha wa kadha. Mchango wangu pamoja na mambo mengine ulijikita kushauri kwenye maeneo ya upatikanaji wa elimu hasa kwa mtoto wa kike 1/2
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
38
57
480
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Kuanzisha jambo,kulisimamia na likafanikiwa sio jambo rahisi.I've personally had so many bad days than good, but kila siku unajipa moyo kesho ni njema kuliko jana. Na ni ngumu zaidi kama hauna solid support system inayokupa nguvu unapotaka kukata tamaa, cause stress ni nyingi 😞
21
80
446
@RebecaGyumi
Kyoga
6 years
So humbled and still in shock to receive news from @UN through @UN_PGA of my selection to receive UN Prize
65
77
448
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Dust storm hitting Arusha this afternoon as captured by my brother at Makuyuni
34
115
408
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Ila dhambi ya kugossip wanandoa wachache sana wataiepuka, 😂😂
39
18
408
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Kwanini viongozi hawataki kutekeleza jukumu lao la kuongoza? kuweka na kusimamia mipango ya kunusuru uchumi na ya kupunguza maambukizi? wote tunaimani lakini tulichagua viongozi kwa sababu, lead us.
33
58
407
@RebecaGyumi
Kyoga
2 years
Tunawezaje hamasisha watu kuchangia maendeleo wakati kila mwaka wanaona ripoti za ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha ya umma?? nchi yetu haina tatizo la mapato,tuna shida kubwa ya matumizi,kuendelea kuminya wananchi wa kawaida kupitia tozo hakutaleta suluhu,kamwe!
31
122
404
@RebecaGyumi
Kyoga
6 years
Ujumbe waliotuma wanawake wa marekani kwa Rais wao umesikika, wameweka historia ya kugombea wanawake wengi kuliko wakati wowote na kushinda viti walivyogombea. Walisema kama Rais wetu hapendi wanawake basi tutagombea kumuonesha uwezo wetu
13
80
397
@RebecaGyumi
Kyoga
7 years
These are the issues I'm keen to push for If selected as next UN envoy for youth #UNYouthEnvoy
Tweet media one
73
156
387
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Kuna tofauti ya mtu aliyesoma na mtu aliyeelimika, bahati mbaya sana nawiwa kusema kwa jinsi ambavyo nimekuwa naona tweets za Niki wa pili wiki hii anaweza kuangukia kwenye kundi la kwanza 🤦‍♀️
44
52
371
@RebecaGyumi
Kyoga
2 years
Ushauri Waajiriwa (hasa vijana):Kuwa mwangalifu sana na mtu anayekwambia vitu vibaya au kukukatisha tamaa kuhusu ofisi uliyopo ila yeye yuko hapo miaka yote,anaweza hata kukupa michongo ya kuomba kazi sehemu nyingine,ila yeye haachi kazi,my dear, za kuambiwa changanya na zako😂
22
60
391
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Jumaa Kareem 🤲🏾
Tweet media one
15
19
378
@RebecaGyumi
Kyoga
8 years
Acceptance speech. Thank you everyone. This is a great honor #GlobalGoals
46
157
376
@RebecaGyumi
Kyoga
1 year
Nimeona FURSA hii kwa vijana (18 - 40) kutoka @tzagriculture . Link ya kuomba nimeiweka hapa chini.
Tweet media one
23
150
383
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Tumesikitishwa sana na kitendo cha ubakaji alichofanyiwa binti wa miaka (14) na vijana wanne eneo la Pugu Migombani, Ilala na kupelekea kupoteza maisha. Wasichana wangapi watakufa ili tuseme #INATOSHA ?? #IAMHER
Tweet media one
35
117
379
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
May we be brave enough to speak our truth!!
Tweet media one
15
90
363
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
But this is image assassination, si amesimamishwa kupisha uchunguzi? mbona anahukumiwa kabla ya uchunguzi kumalizika.
Tweet media one
66
41
352
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Prof. akiwa mwalimu wangu wa Sheria Mlimani alikuwa mmoja ya watu waliotupa hamasa sana kufanyia kazi hii sheria ili kulinda wasichana wakati wa somo la Family Law. Nafikiri busara ni kutoongea wakati wa kula kama huwezi simamia misingi uliyoiasisi
48
90
340
@RebecaGyumi
Kyoga
2 years
Jibu zuri ☺️
Tweet media one
35
51
343
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Video za kinachoendelea kwa wenzetu wa Zanzibar zinajenga taswira mbaya kwa taifa letu. I condemn the acts in strongest term possible #ZanzibarLivesMatter
9
64
340
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Saying is a misogynistic statement is understatement. Yani wanawake kubakwa sio issue kubwa kwa taifa letu kama mbuga ya wanyama kushinda tuzo? SMH
19
59
329
@RebecaGyumi
Kyoga
19 days
Kwa mama yangu 🖤🤎
Tweet media one
21
12
343
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Women in Leadership 📸
Tweet media one
1
33
330
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Kijiji cha Hogoro, Kongwa tunabadilishana mawazo na baadhi ya vijana wa kike na kiume wa eneo hili.
Tweet media one
Tweet media two
25
17
315
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Hili neno mabaharia na sifa zake linanikumbusha wakati tupo sekondari, shule ya Kikuyu, Dodoma kulikuwa kuna kundi linajiita “wakongwe”, walikuwa na sheria za ajabu 😀, mara wakongwe hawaogi, wakichapwa hawatoi machozi, mkongwe hachomekei 😅😅 @___gillian____
Tweet media one
36
15
312
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
👉🏾Tunakataza ngono na watoto chini ya umri wa miaka 18 👉🏾Tunafunga watu wanaowapa mimba wanafunzi 👉🏾Lakini tunaruhusu wasichana chini ya umri wa miaka 18 kuolewa. 👉🏾 Sasa badala ya kuozea jela kwa kumpa Msichana mimba,NAMUOA,nakuwa nimeepuka adhabu na bado naendelea na ngono
28
54
304
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Jumaa Kareem ndugu zangu 🙏🏾
Tweet media one
11
14
307
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Ni neema kuongeza mwaka mwingine kwenye maisha. Ni dua yangu kila ninapoendelea kubarikiwa na neema ya uzima, Mungu azidi kukamilisha kusudi lake kupitia maisha yangu 🙏🏾, yote kwa utukufu wake.
39
19
308
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Katika maisha hata siku moja usiruhusu uwezo wako kifedha,elimu, maarifa kukufanya ujione bora kuliko wengine.Ishi kwa kushirikiana na wengine na siku zote chanzo cha kushirikiana ni UPENDO.Maana ukiwapenda watu huwezi kujiona bora zaidi/kuliko.
Tweet media one
9
68
310
@RebecaGyumi
Kyoga
8 years
#GlobalGoals social change award
Tweet media one
45
150
294
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Miaka michache nyuma tulipata bahati kama viongozi vijana kualikwa kwenye mazungumzo na Mh. Benjamin William Mkapa,tulizungumza kwa kina kuhusu masuala ya VVU/UKIMWI na elimu kwa mtoto wa kike. Mh. Mkapa alikuwa ni championi wa AIDS FREE GENERATION, pumzika kwa amani 🙏🏾
9
66
297
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
“...Mtoto wa miaka 18 bado ni mtegemezi kwa mzazi wake...” nakubaliana na wewe kabisa Mh. Rais @SuluhuSamia , lakini mtoto huyu huyu akiwa na miaka 14, Sheria yetu inamtwika majukumu mazito ya ndoa na kuhudumia familia. Tunahitaji mabadiliko kwenye hili pia Mh .Rais
24
52
286
@RebecaGyumi
Kyoga
6 months
Niseme nini BWANA, bali NINASHUKURU Ahsante kwa mwaka mwingine 🙏🏾
Tweet media one
46
11
294
@RebecaGyumi
Kyoga
7 years
Naamini elimu ya afya ya uzazi kwa wasichana ni suluhu ya muda mrefu. Ila wale wanaojikwaa pia ni muhimu tuweke mifumo ya kuwapokea
32
105
283
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Mwaka 2004 nikiwa nyumbani na mama yangu, Mary Phiri. Hapa nilikua kidato cha tatu (III) shule ya sekondari Kikuyu, Dodoma.
Tweet media one
14
6
279
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Comments za baadhi ya wanaume kwenye post hii ya Hellen,SMH 😏.Hellen ni ushuhuda wa nguvu ya 2nd chance kwa wasichana wanaoshindwa kuendelea na masomo sababu ya ujauzito.Lugha mlizotumia mngekuwa mnatumia hizo hizo kwenye kukemea wanaume na wavulana wanaofanya ngono na wanafunzi
@hellen_sisya
𝐇𝐞𝐥𝐥𝐞𝐧 𝐒𝐢𝐬𝐲𝐚
4 years
I was once dismissed from school just bcoz of pregnancy. When I got the chance to come back for schooling again, I managed to survive and finally yersterday I got my first degree🎓🎓 Glory to God🙏🏼🙏🏼 @halimamdee @MariaSTsehai @RebecaGyumi @CarolNdosi @fatma_karume
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
512
367
4K
31
35
272
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Pia nisisitize, sio lazima kila mtu unayemuona anatetea jambo fulani au hatetei basi amelipwa au anatumika. Hayo ni mawazo mufilisi, tujenge nchi yetu kwa kupeana uhuru wa kujadiliana kwa hoja
7
40
268
@RebecaGyumi
Kyoga
7 years
Squad Goals 🙌🏾
Tweet media one
15
18
271
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
Idadi ya hapana na “rekebisha kwanza ndio utume tena” nilizopata mwaka huu, hazinikatishi tamaa. Nazitumia kunipa nguvu na kujenga ngazi za kufika napotaka, one day Yes 🙏🏾
7
21
267
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Kijijini kwetu Ulemo, Iramba,Singida. Niko na mama yangu kipenzi. Tunamshukuru Mungu tumempumzisha shangazi yetu salama! 🙏🏾🙏🏾
Tweet media one
20
10
263
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Msichana amevaa nguo fupi inaonesha asilimia kubwa ya maungo yake, inaweza kuwa ni RIDHAA ya kutoka kutongozwa au kufanya ngono?? #KizaziChenyeUsawa #16DaysOfActivism
61
21
252
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
“Keep taking time for yourself until you are you again”
Tweet media one
6
30
261
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Ndoa sio Ulinzi wala Fursa kwa wasichana wa umri mdogo walioko kwenye maisha magumu au nje ya shule.
9
27
255
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Nasikitishwa sana na matumizi ya lugha za matusi,na kwa sababu walengwa wamenielewa sitajibu. Kwenye tuhuma ukiacha mleta tuhuma anayetuhumiwa ni muhimu pia aseme upande wake and that’s all I asked from the institution.Hayo mengine ni yenu
17
20
253
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Wakati mwingine ni kushukuru tu Mungu, kuna matukio yanakufanya ujue rangi halisi za watu,ili siku nyingine ujue sio wote wanaokutakia mema.Thats life 😊
4
42
248
@RebecaGyumi
Kyoga
8 years
Nimeshinda @GlobalGoalsUN social change award,nitakabidhiwa rasmi Leo usiku hapa New York kwenye dinner na viongozi wa dunia 🙏🏻🙏🏻
51
104
247
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
It’s like we got tired of it and decided it was Over. You gotta love my country 😀😀
23
20
245
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Inahuzunisha kusoma kifo cha msichana nchini Kenya sababu ya “period shaming”.Kupata hedhi ni suala la kusherehekewa na sio kuonewa aibu au kudhihakiwa. Tuvunje hii “taboo” ya kuweka usiri/uchafu kwenye kupata hedhi. BILA HEDHI HAKUNA MAISHA
14
34
239
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Habari za miili ya watoto iliyookotwa huko mkoani Njombe ikiwa imekatwa sehemu za miili yao ni za kusikitisha sana. Ni unyama tunaotakiwa kuukemea kwa nguvu zetu zote.
9
50
239
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Tuko tayari kwenye Court room no 1 hapa Mahakama ya Rufaa tukisubiri kusomwa kwa uamuzi wa kesi ya #NdoazaUtotoni , fuatilia akaunti ya @MsichanaUwezo kwa update ya kinachojiri.
11
32
242
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Wadau wanasubiri champagne 🍾 mtoto aliyezaliwa leo akapotea nayo mazima 😂😂😂. Ahsante mme wangu kwa zawadi na kila kitu yani, okhore bhuya mkurya wangu 😀😀
16
15
242
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
I met with this powerful woman in Montpellier, dada @AishaYesufu aka Nigeria's statue of liberty ✊🏿
Tweet media one
Tweet media two
2
15
240
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
With my brother @Advocate_Jebra namuona Prof. Chris Peter Maina kwa mbali kwenye kona.
Tweet media one
8
14
235
@RebecaGyumi
Kyoga
7 years
Wengi mtamkumbuka kwa kuhutubia baraza la umoja wa mataifa mwaka jana.She is a girl on Fire #AjendaYaMsichana
Tweet media one
10
53
228
@RebecaGyumi
Kyoga
7 years
#Tanzania is so blessed this season Harrison Ford is in Serengeti. Kwa wapenzi wa Star Wars mtakua mnamjua
Tweet media one
16
91
229
@RebecaGyumi
Kyoga
2 years
Tupunguze matumizi ya Serikali, tuoneshe kwa vitendo kushughulikia in a "zero tolerance" manner, wapigaji wote. Otherwise hata hizi tozo zitaenda kuwanufaisha wachache (tabaka tawala) at the expense of the majority poor people.
10
59
234
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Wanangu njooni niwasimulie hadithi, Hadithi ya maono ya mama yenu, Hadithi ya kuamsha yaliyo ndani yenu, Hadithi ya kuwakumbusha njia Zenu, mliochoka mje,mpambane, muanze tena upya, Wanangu kwakua mmekuja, nisikizeni,
Tweet media one
8
29
225
@RebecaGyumi
Kyoga
6 years
Idadi ya watu walionifuata kwenye DM imenifanya nijiulize sana, RUSHWA YA NGONO ni tatizo kiasi hiki??? Tunafanyaje kuchallenge POWER? Maana mara nyingi rushwa ya ngono huhusisha watu wenye nguvu kutushinda be it shuleni, sehemu za kazi, biashara, siasa etc
9
33
226
@RebecaGyumi
Kyoga
6 years
I’m not a relationship expert,Ila nawiwa tu kusema na wewe,haijalishi unapitia kwenye changamoto gani za mahusiano wakati huu,Mungu wetu ni mwaminifu kwa wakati wake atakukutanisha na mtu wako atakayekupenda kama ulivyo.Amini katika muda wa Mungu, huwa hawai wala hakawii.
Tweet media one
13
32
218
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
✊🏾✊🏾✊🏾 #PedibilaKodi #KodiyaHedhi
Tweet media one
3
77
217
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Hongera for such a milestone, napendekeza udonate kwa @BintiSalhaFound kupitia campaign yao ya #HerEducation ambapo wanachangia uniform kwa wanafunzi kutoka kwenye mazingira magumu.With your support they’ll reach many. Help me RT this TOT 🙏🏾
Tweet media one
Tweet media two
@moodewji
Mohammed Dewji MO
4 years
🥳 Thank you for 1 million followers on Twitter today! To mark this day, I will donate TZS 1 million (or more) to charitable causes / initiatives or businesses in need. Top 10 worthy causes with the highest retweets will be rewarded 🙏🏽 #MoGifts2020
710
972
6K
11
192
218
@RebecaGyumi
Kyoga
2 years
Dr. Mwele, still in disbelief 🥺
Tweet media one
5
7
214
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
“Never Limit Yourself because of Others limited imagination,Never Limit Others because of Your Own Limited Imagination”
1
44
215
@RebecaGyumi
Kyoga
6 years
Naomba nitumie ukurasa wangu leo kupongeza juhudi za mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri kwenye suala la Ndoa na mimba za utotoni, anaonesha high political commitment na kuchukia suala la watoto kuolewa na kupata mimba 1/2
2
32
209
@RebecaGyumi
Kyoga
4 years
Ila mfano wa @MarekaMalili wa kulinganisha idadi ya V8 na ventilators, unafikirisha sana kuhusu vipaumbele vyetu
8
21
212
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
My husband’s reaction to Biden’s Comms Team 😀
Tweet media one
16
6
217
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
Kinywa changu kitazinena sifa za Bwana; Wote wenye mwili na walihimidi jina lake takatifu milele na milele. Zaburi 145:21 Muwe na Jumapili njema wapendwa katika bwana!
Tweet media one
8
19
213
@RebecaGyumi
Kyoga
3 years
How is child marriage an affirmative action??? How??
14
23
205
@RebecaGyumi
Kyoga
5 years
I am learning to always be conscious of my privileges and power. That I should not be in a space and claim to speak on behalf of an entire group or community of people while I might not necessarily be the average representation of the group,community etc 💡
4
32
205