“Kama leo mkipiga Yope aliyonishirikisha Innoss’B nahisi itawainua watanzania wote waliolala majumbani kutokana na janga hili la Corona”
@diamondplatnumz
#BongeLaMpambanaji
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe amesema kwenye mechi yao ya fainali dhidi ya Argentina anategemea sapoti kubwa kutoka barani Afrika kwa kuwa Wafaransa wengi asili yao ni Afrika .
"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu? Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
“Feisal bado anaendelea kupokea Mshaharaa Yanga, amepokea hadi mwezi January, lakini baada ya hapo akaunti yake ilianza kuwa na shida kwa kuwa inarejesha pesa ila kila mwezi tunamuingizia pesa lakini zinarudishwa na ushahidi tunao, tumeomba akaunti mbadala ili tumuwekee pesa…
Clouds Media inasikitika kutoa taarifa ya kifo cha Gardner G Habash, ambaye alikuwa mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kilichotokea usiku wa kuamkia leo.
Taarifa zaidi kuhusu msiba zitatolewa baadae. Tunatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki, wafanyakazi wenzake na mashabiki wa…
Kamanda wa Polisi Wilaya ya Ukerewe Masoud Mohamed amefariki dunia, Afande Masoud alijizolea umaarufu katika mitandao ya kijamii kwa usomaji wa Quran.
Taarifa zaidi kutoka Jeshi la Polisi zitakujia.
Mfanyabiashara kutoka Kariakoo amefunguka ya moyoni na kusema hatamani kumrithisha mtoto wake biashara ila anatamani aingie TRA maana huko ukiingia unajichotea.
#KutokaKariakoo
"Mimi niko nyumbani ambapo sio nyumbani, naishi mahali ambako sijui naishi wapi maisha yangu tu yamekuwa hivyo kwa sababu saa nyingine unaishi maisha ambayo hadi mtu unaona ngoja niishi tu hivi, sijayachagua nimeyakuta kama vile nilivyoukuta mziki" - Msanii wa Bongo Fleva Chid…
"Mafuta yanayouzwa Zambia na Malawi yanashushwa katika Bandari ya Dar na kusafirishwa kupitia barabara zetu.
Lakini huko yanakokwenda bei iko chini ikilinganishwa na hapa nchini, jamani tumepatwa na Nini?
Tupunguze Kodi katika mafuta" - Mwita Waitara Mbunge wa Tarime Vijijini
Tunatoa pole kwa ndugu, jamaa na familia ya TOT kwa msiba wa
@BaloziMtaa
. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahala pema peponi.
Michango kwa ajili ya kusafirisha mwili kwenda kupumzishwa makazi yake ya milele inapokelewa kupitia +255753651307 jina PASCHAL SAMWEL RUTHA.
Farhan yupo nchini Algeria kwenye mechi ya Mashindano ya CAF Confederation Cup Kati ya USM Alger Vs Young Africans. Katika pita pita zake amefanya kajiutafiti flani
"Wanawake wengi Algeria hawavai ushungi, hawajitandi ni portable, slim flani nzuri na rangi yao ni mchanganyiko…
“Sio sahihi sana kukupa hesabu ya mali ninazomiliki lakini ninaweza kuwepo kwenye orodha ya Mabilionea wa Tanzania, siwezi kusema namiliki Billioni ngapi lakini nipo humo, mimi sio msomi, lakini siku hizi Wasomi wapo wengi, nikitaka kujua thamani ya mali zangu nitawapa Wasomi…
HiliGame |
@shaffihdauda1
- "Upande wa pili mimi naangalia why ? linaenda mbali sana , sikutegemea kama lingefika huko CAS ni jambo ambalo linazungumzika , unajua tunavyokwenda mbele tunasahau chimbuko "
"Chimbuko ni pale ambapo kuna Klabu ilimtamanisha
na yeye akajaa…
Menejimenti ya Klabu ya Simba kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mohamed Dewji amemtangaza Barbara Gonzalez kama Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo anayechukua mikoba ya Senzo
Tunasikitika kutangaza kifo cha Mkurugenzi wetu wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group, Ndugu Ruge Mutahaba.
Ruge ametutoka leo huko Afrika ya Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu.
Mioyo yetu imejeruhiwa. Tutaendelea kuwapa taarifa zote kuhusiana na msiba huu mzito.
"Mwaka 2010 Membe aliniambia nikagombee Jimbo la Mtama. Nilimkatalia nilimwambia aendelee Mimi nigombee Ubunge Jimbo la Ubungo. Niligombea Ubungo nilishindwa. Niliposhindwa aliniita akaniambia kwamba kugombea Ubungo haikuwa sawa. Akaniambia anamaliza Ubunge wake 2015 na alisema…
"Kwanza nilijijenga mwenyewe kabla ya mtandao. Hii ilitokana na kwamba sikuwa nimeajiriwa kwenye media yoyote. Sikupita kwenye mchakato wa kuwa kwenye Redio kama Ma-Dj wengine na sikuwekea maanani kwasababu niliweka kipaumbele changu kuwa ni pesa, pesa kwanza.
Nilikuwa naona…
"Unakopeshwa 200,000. Kila siku unatakiwa kupeleka 8000, ukipitisha bila kulipa labda umetoa sababu Una msiba, wanapokea hiyo sababu yako. Utakapolipa utalipa na 2000 ya ziada.
Kwenye hii mikopo ya Kausha Damu akina mama wengi wanakimbia nyumba zao.
TANZIA: Rais John Pombe Magufuli ametangaza kufariki kwa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema pepono.
Habari zaidi zitakujia hivi punde.
Nyota wa Manchester City Doku amefanya mahojiano na kuulizwa ni yupi bora kwake kati ya Messi na Ronaldo
Reporter: Messi au Ronaldo?
Doku: “Kama mchezaji hajaonesha ubora wake EPL kwangu ni mchezaji wa kawaida ,CR7 ni Legend hapa England , Hispania , Italy na Ureno kwanini…
Askofu wa Kanisa la Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara mkoani Kagera Severine Niwemugizi ametangaza kusitishwa kwa ibada za misa, maadhimisho yanayokusanya waumini kanisani na sala za jumuiya kwa siku 30 katika jimbo hilo kama tahadhari dhidi ya maambukizi ya Corona
Clouds Media Group inatoa pole kwa familia ya mwanamjengo
@geoffiejeff
kwa kuondokewa na Mama yake mzazi. Mwenyezi Mungu ampatie subira katika kipindi hiki kigumu.
#BongeLaMpambanaji
Kocha mkuu wa Real Madrid Carlo Ancelotti,amepinga mpango wa Cristiano Ronaldo kucheza soka la Uarabuni kipindi hiki , akiamini nyota huyo bado ana nguvu ya kucheza soka la ushindani Ulaya.
Wafanyabiashara Kariakoo wametangaza mgomo usio na kikomo ili kuondoa
1. Urasimu wa Bandarini
2. Kamata kamata za mizigo mitaani
3. Sheria mpya ya usajili wa stoo.
4. Utitiri wa kodi
Unafikiri nini kifanyike au kodi ipi iondolewe ili biashara ziende?
SportsXtra |
@Caamil8
- "Niweke sawa kulikuwa na kombe linaitwa CAF CuP kombe hilo ndio wenzetu walifika Fainali , kulikuwa na shindano lingine linaitwa CAF Winners Cup (Kombe la Washindi) mashindano haya yaliunganishwa mwaka 2004 yakatengeneza CAF Confederation Cup hili ni…
"Yanga ana unbeaten 47, kwenye hizo unbeaten 47 amekutana na Simba mara tatu ameshinda moja sare mbili,lakini pia amempiga Simba FA nusu fainali, kampiga back to back ngao ya jamii"-
@FKihamu
"Hapana mimi sijawahi kucheza na Messi, wakati wa ubora wangu yeye ndio alicheza na mimi ni tofauti kabisa"- Etoo
Majibu ya Gwiji wa soka barani Afrika na nyota wa zamani wa Barcelona na Inter Millan ya Italia Samuel Etoo alipoulizwa kuhusu kucheza na Messi .
Unampa YES au NO ?
"Mwaka 2010 nilifunga mabao 2 mechi ya kwanza dhidi ya Arsenal,mechi ya marudiano niliumia nikamwambia Messi, kijana!mimi sipo inatakiwa uibebe timu mabegani mwako,alifunga mabao manne peke yake nilimfata na kumpongeza nikamwambia leo umefanikiwa kuwa bora zaidi yangu"- Zlatan
Neymar Jr baada ya kujiunga na Al Hilal ya Saudia amemsifu Ronaldo kwa kuwa mtu wa mwanzoni kuonesha njia ya wachezaji kwenda Saudi Arabia
“Kila mtu alimuita Ronaldo kichaa lakini ndiye mwanzilishi wa mabadiliko ya kihistoria yaliyotokea katika ligi kuu ya Saudia” - Neymar
"Ukimchukua Mtoto wa miaka Minne wa Kike na wa Kiume ukiwaogesha kwenye mida ya saa tisa ikifika saa 12 kijana wa Kiume akirudi ameshachafuka kuliko yule wa kike. Yaani yule binti anakuwa ni mkubwa kuliko mtoto wa kiume. Anafikiria kuliko mtoto wa kiume huwa sijui inakwenda…
"Inapokuja kwenye misingi ya kodi kwanza ni Usawa, Fairness. Kodi haitakiwi kuwa na matabaka ya watu. Tunalipa kodi kwa ajili ya maendeleo ya nchi. Wabunge si wanakipato? Mishahara? Kwanini wasilipe kodi?" - CAG Mstaafu Ludovic Uttoh
"Leo hii nimetembea Mwenge, Ubungo na nilitumia usafiri wa Bajaji lengo lilikuwa ni kuangalia 'impact' ya moja kwa moja iliyopo kati ya ufungwaji wa maduka pamoja na wafanyabiashara na wachuuzi ambao wanapatikana pembezone mwa Kariakoo.
Jambo ambalo nimeligundua kama hali…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo May 06 ametoa Saa 24 kwa Wabunge wote waliogoma kushiriki vikao vya Bunge na kwenda DSM kuhakikisha wanarudi Bungeni tofauti na hapo watakamatwa kwa kosa la Uzururaji.
"Sisi ndio tutakuwa timu ya Kwanza kutoka kwenye ardhi ya Tanzania kulileta Kombe la CAF nchini Inshallah, Jumapili tukifanikiwa kutinga Robo fainali nina Imani tutavuka na kwenda Nusu fainali , baadae Fainali na Inshallah sisi ndio itakuwa timu ya Kwanza kushangilia taji hili"
Madaktari wetu wapo vitani kwasasa! Je upo tayari kukatwa robo ya mshahara wako kwa ajili ya kuwapa motisha wahudumu wa afya katika kipindi hiki cha mkipuko wa ugonjwa huu wa Covid19.
#LeoTenaCloudsFm
Mwana mfalme Mohammed bin Salman wa Saudia amempongeza Mfalme Mohamed wa Morocco kwa nchi yake kutinga nusu fainali ya kombe la Dunia, Mohammed amesema mafanikio ya timu ya taifa ya ya Morocco ni fahari na furaha kwa nchi za Kiarabu.
“Nafsi yangu ilitamani kwenda kuchezea Yanga, nilikubali kwenda kuichezea Yanga kwa kipato kidogo zaidi ya kile ambacho nilikikataa Simba SC, ni kwasababu ya mapenzi tu" -Feisal Salum
@IamFeisalSalum
LIVE muda huu kwenye
#PowerBreakfast
ya CloudsFM
SportsXtra |
@amrikiembatz
“Namna Azam ilivyosajiliwa kwenye karatasi ilionekana Azam hii ni Azam ya tofauti sana na kila wakati kwenye usajili Azam inaonekana mpya , lakini kwenye mchezo unaiona tofauti ya Yanga na Azam , Azam wao walipania lakini Yanga walionesha wao wana…
Je unajua baada ya Ndugai kujiuzulu;
1.Atakuwa akilipwa 80% ya mshahara wa spika aliyepo bungeni maisha yake yote.
2.Gari Jipya VX V8 litakuwa lake binafsi
3.Dereva atakayelipwa na Serikali kwa maisha yake yote
4.Mafuta ya gari Lita 70 kila wiki
Billionaire Laizer ni baba wa watoto 30, mume wa wanawake 4, elimu yake ni darasa la 7. Anasikika LIVE kwenye Amplifaya ya CloudsFM muda huu kwenye exclusive interview na
@millardayo
SportsXtra |
@amrikiembatz
“Watu wote wameanza kusema ametokea ndio amedaka lakini makipa huwa wanatoka na wanafungwa ,sheria inasema akitoka ukafunga ni goli kwa hiyo Ally Salim kutokea na kudaka anapaswa kusifiwa”
“Ile sio mara ya kwanza kudaka penati alisave penati mechi ya…
"Feisal hajaongea na chombo chochote cha habari hadi sasa , kwahiyo kulikuwa na moto hapo kati unawashwa na Watu, nilichoamua nikamwambia twende Umrah kwa sababu niliamini tukifika Makka kuna ibada kidogo ataweza kutua mzigo"
1. Jeshi la Polisi Geita limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi na wananchi kata ya Buseresere - Chato baada ya kufanya maandamano ya kufunga barabara kuu itokayo Mwanza kwenda Kagera.
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda pamoja na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Gwajima kwa pamoja wamemtembelea Kadrinali Pengo mapema leo.
"Kupigana na bondia wa Tanzania hilo kwangu haliwezekani hata niwekewe Trillion kumi. Kwanini nipigane na bondi wa Tanzania wakati wao wananiangalia mimi kama Role model wao, wanatamani kuwa kama mimi sasa kwanini nijishushe niwe kama wao na wengi wanatamani kufika nilipofika?"
"Tukiwa Afrika Kusini Aprili 5, tulifanya kikao na Kamati tendaji ya CAF tukapendekeza mashindano ya Africa Super League badala ya kuanza na timu 8 yaanze na timu 24"
"Kamati imeyapitisha yataanza na timu 24 na kuna uwezekano Tanzania tukatoa timu 2 kushiriki Mashindano hayo "
Majibu ya Dewji kuhusu kuangalia mechi za Yanga, kumuona Mshambuliaji Fiston Mayele na pengine kama anatamani asajiliwe Simba.
"Kwa bahati mbaya niwe mkweli mimi sifuatilii sana mechi za Yanga "
"Sijamuona kwenye mechi lakini namsikia namuona kwenye mitandao ,
“Mimi nimetokea kwenye familia ya kimasikini, mimi nasaidia familia yangu, ili mambo yaende ni lazima mimi nifanye kazi, Baba yangu anaumwa na mimi ndio nasimamia matibabu, yeye mwenyewe hapendi hili sakata liendelee kwasababu kuna mambo yanakwama” -🗣️
@IamFeisalSalum
…
"Eneo la mzunguko tayari limeshajaa, kuanzia saa 6:00 mchana milango itakuwa wazi, Mtanzania popote ulipo kuwahi kwako kufika ndio kuingia kwako, Kwenye eneo la mzunguko kila Mtanzania ana nafasi ya kuingia uwanjani kwakuwa tayari zimeshalipiwa "
“Ukizungumza na mwananchi wa kawaida anamkumbuka Mzee Mkapa atakwambia kwamba aliingia soda ilikuwa shilingi 300 na aliondoka ikiwa shilingi 300 na hiyo ndio maana ya kurekebisha uchumi” - Prof Mark Mwandosya
#KwaheriMzeeMkapa
"Rashid (ChidBenzi) alizaliwa tarehe 28.4.1985 akiwa na kilo 3.5 na wakati wa kujifungua nilienda nyumbani kwetu Iringa. Nilikuwa na furaha sana kupata mtoto wa kiume. Nilitaka asome mpaka amalize halafu baadae itajulikana nini MUNGU amemjalia kupata" - Mama wa Msanii wa Bongo…
SIMBA DAY |
@moodewji
“Ndoto yangu ni kuifanya Simba ishike nafasi ya kwanza Afrika ,tuwe mabingwa wa Afrika na tukipata ubingwa tutakuletea ikulu”
Rais wa heshima wa Klabu ya Simba Mohammed Dewji akizungumza mbele ya Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu…
HiliGame |
@amrikiembatz
“Onana akishafungwa ni mpaka mtu akamuinue hata kama alifungwa kawaida yeye anaona amefungisha, bado hayupo sawa kisaikolojia , hamalizi mechi lazima aone kama yeye ndiye amechomesha “
"Kutakuwa na season ticket kama mtu anafanya kazi Dodoma lakini bado anaishi Dar es Salaam kwahiyo anakuja hapa siku ya Jumatatu anaingia hapa kutakuwa na treni za kuondoka saa moja au saa mbili atafanya kazi zake na siku ya Ijumaa kutakuwa na Treni ya mwisho anaweza kaondoka…
Huyu hapa 'Bob Killer' (BK) Simba aliyeongoza kundi la Simba wenzake kumuua 'Bob Junior'.
Hivi sasa yeye ndio mmiliki wa himaya iliyomilikiwa na Bob Junior ikiwemo wake wa Bob na watoto wake wa kike. Picha ya tatu inamuonesha akiwa na mmoja wa wake wa Bob Junior.
"Hii ni biashara ya familia walianza babu zetu ambao mpaka sasa wameshafariki na sisi ni uzao wa tatu na huyo tunaemuona ni kizazi cha nne anaweza akachukua akaendeleza. Matumaini yetu amemaliza chuo juzi lakini ataanzia ngazi za chini atafanya kinachotakiwa halafu akifanikiwa…
" Kesho tuna mechi ngumu sana wala sio utani, Mimi ni Mtu wa kutamba sana lakini nimecheki kwenye darubini yangu kesho tuna mechi ngumu sana , kwanza tunacheza na timu yenye rekodi nzuri uwanja wa nyumbani lakini pia walipofikia sasa hivi sio mechi ya Rivers dhidi ya Yanga
"Wapo wengine wanatoa mawazo ya kuifunga Dar es Salaam, hili haliwezekani. Dar es salam ndio centre pekee ambapo collection ya revenue inapatikana kwa nchi yetu" - Rais JPM
“Sitaki kwenda mbali ila mimi naamini kunakitu nyuma ya Feisal kinachomsukuma kufanya haya, kuvunja mkataba inaruhusiwa lakini pale ambapo pande zote mbili mnapokuwa mmeshindwa kufikia makubaliano, kitu ambacho kwa Feisal hakipo kwasababu Yanga tumetekeleza yote ambayo anapaswa…
Mimi ni mzungu, mzaliwa wa Uingereza. Ni Mtanzania kwa kujiandikisha na nimekuwa Mtanzania kwa miaka 40 sasa. Ni mnyamwezi kwa Ubatizo. Nilikuja Tanzania mwaka 1973 hivyo nasherehekea miaka 50 ya kuishi Tanzania" -
@MabalaMakengeza
- Mwandishi wa Vitabu
"Mimi na Mama Majaliwa tumetengana kwenye mambo ya ndoa lakini tupo pamoja sana hayupo mbali na mimi na mimi sipo mbali naye kwenye masuala ya Familia tunashirikiana kupanga mambo ya familia" - Jackson Majaliwa - Baba mzazi wa Majaliwa akielezea ukaribu wake na Mama wa Majaliwa.
"Mtu wa kwanza kunipigia jana (baada ya Clouds kupost tangazo kuwa nitakuwepo leo) alikuwa Charles Hillary akaniuliza kulikoni? Mtu wa pili alikuwa boss wangu kwa sababu alitumiwa sana akanipigia kuniuliza vipi kuna usalama? Nikamwambia usalama upo boss ni kwamba tunakwenda…
Wachezaji wa Marumo Gallants wamegoma kufanya mazoezi kuelekea mchezo pili wa Nusu Fainli ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Mei 17, 2023.
Website ya FARPost imeripoti taarifa hiyo ambayo imechapishwa na mwandishi Ofhani Munyai mchana huu…
"Nilivyofika VIP Room ya Manchester United wale wachezaji walikuwa wamezagaa. Na Mimi nilivimba, ndio maana kwenye picha sikuonekana kama mtu mzembe mzembe 'boya' nilikuwa nime-relax baada ya hapo ndio nilimwona Ronaldo.
"Ukifika Sekondari kuanzia mwaka 2024 kutakuwa na mikondo miwili Form 1 kutakuwa na mikondo wa mafunzo ya Amari na mikondo wa Elimu Jumla. Mkondo wa mafunzo ya Amari ni mkondo ambapo mwanafunzi atakuwa na masomo machache ya darasani na mafunzo mengi ya vitendo. Na ndani ya…
‘Kings Music ni kama chuo, vijana nilikuwa naishi nao kama ndugu zangu, tumefundishana palipokuwa pana upungufu, nadhani now wamejiona wamehitimu wakaamua kuondoka.’
HiliGame |
@shaffihdauda_
"CAF Champions League haijaanza mwaka 2000 , imeanza zamani ukiangalia kwenye timu zilizochukua mataji mengi unaikuta AlAhly ina mataji 10 , 1982 ndio wamechukua Kombe lao la Kwanza "
" Hakuna sehemu wanasema TP Mazembe kachukua kombe hili mara mbili…
Anuary anambembeleza Mama yake na kumwambia asilie amemsamehe na hakuna binadamu asiyekosea hivyo kikubwa ni kuanza upya.
Vuta picha maneno haya anakwambia mtoto wako ambaye ulimuacha akiwa hatembei wala haongei na unakuja kumuona tayari ni mkubwa na anamaisha yake.
"Ile ni Timu ya taifa na siku zote Mtu akiitwa Timu ya Taifa ni kwa ajili ya kupambania Taifa , kwa hiyo waliopo wanapambania Taifa kama muda wangu wa kupambania Taifa utakuwepo nitaenda kupambania "
Aliyekuwa Mbunge wa Mikumi na Mwenyekiti wa Professor Jay Foundation (Mwanamuziki) Joseph Haule aka
@ProfessorJayTz
akiwa na makamu mwenyekiti wa Foundation hiyo
@Blackchatta
(Black Rhino) wamewasili Bungeni Jijini Dodoma kwa mwaliko maalum wa Spika wa Bunge na Rais wa Umoja wa…
Yanga hatujaja hapa [Rwanda] kufanya utalii, tumekuja kutafuta ushindi. Wapo watu wanaoweza kuomba dua ili tushinde, wafanye hivyo. Viongozi tupo kuhakikisha wachezaji wanatoa damu na jasho ili timu ishinde.
Wachezaji siku hizi wanataka ‘mzigo’ ili wakimaliza shughuli uwanjani…
"Kwa watu wengi wananifahamu nimefanya biashara mbalimbali nilianza kwa kufanya biashara ya hoteli, nimeuza mkaa, nimeuza vinywaji mbalimbali na nipo hapa kwenye usafirishaji ila nimefanya biashara kwa miaka 50. Biashara ni juhudi na kumtanguliza Mwenyezi MUNGU yeye ndio anatoa…
TANZIA: Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast
@masoudkipanya
amefiwa na baba yake mzazi Mzee Masoud Nyomwa. Msiba uko Kijitonyama na mazishi yanatarajiwa kuwa leo saa kumi jioni.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un.
"Nikiwa Barcelona nilikuwa mchezaji mrefu zaidi lakini Iniesta na Xavi wanapokuwa na mpira wanamuona Messi pekee, siwalaumu kwa sababu Messi anapokuwa na mpira atafunga au atanipa asisti, cha ajabu ninapofunga goli,Guardiola anasimama na kunitoa"- Zlatan Ibrahimovic
"Nawapongeza sana Yanga kwa kuleta ushindani ndani ya Ligi yetu, wamefanya kazi kubwa wametuletea heshima na leo Ligi yetu ni tano bora Afrika "
" Wametuletea ushindani mpira usipokuwa na ushindani hauna ladha ,kwa hilo nawapongeza Yanga wamefanya vizuri na