The Open University of Tanzania (OUT), is a fully fledged, autonomous and accredited public University, offers its education though Open and Distance Learning.
Update: All OUT regional centre's office contacts, locate your nearest centre's contacts for a better solution to your queries!
>>> For International customers, remember to begin with the country's code (+255...)
Siyo lazima uache kazi zako uende chuoni kujiendeleza kielimu, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania tunatumia zaidi TEHAMA katika ufundishaji na hata ada unalipa kwa kiwango unachotaka wewe mwanafunzi.
Hon. Deputy Minister of Agriculture, Dr. Mary Mwanjelwa & other PhD graduates listening to various speeches during the 37th graduation ceremony of the Open University of Tanzania held on 28th September 2019 at Bungo, Kibaha.
THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA.
POSTGRADUATE ADMITTED APPLICANTS BACH 6 SELECTED INTO DIFFERENT PROGRAMS ACADEMIC YEAR-2019/2020.
Press this link to observe the entire list:
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, kilishiriki katika maonyesho ya 16 ya Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia yanayosimamiwa na kuratibiwa na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), maonyesho hayo yalifanyika kuanzia Julai 26, 2021 hadi Julai 31, 2021 jijini, Dar Es Salaam.
Dirisha la Udahili awamu ya nne: Tume ya vyuo vikuu nchini (TCU) wameongeza muda wa Udahili mpaka Oktoba 17, 2023.
Tunawakaribisha Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kufanya maombi na udahili. Tembelea kwa maelezo zaidi na kutuma maombi kwa mtandao.
#out
#odl
Uongozi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania unasikitika kutangaza kifo cha Prof. Tolly S. Mbette aliyekuwa Makamu Mkuu wa CKHT kwa miaka 10 hadi 12/4/2015.
Pia, mwanafunzi anaweza kuomba kufanya mitihani wakati wowote, ni mifumo tofauti na vyuo vingine.
Prof. Elifas Bisanda,
Makamu Mkuu wa chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT),
Mahafali ya 42 ya OUT, Songea
THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA
ORIENTATION PROGRAMME FOR JANUARY INTAKE - STUDENTS 2019/2020
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
S.L.P 23409,
Simu: 255-51-2668992/2668820
Nukushi: 255-51-668759
Dar es Salaam, Tanzania
Link:
ANNOUNCEMENT:
The Vice Chancellor of OUT Prof. Elifas Bisanda is pleased to inform all students that the physical visitations to University premises are welcomed with effect from 1st June 2020. Read more
Digital Forensics and Cyber Security Course is designed to meet the growing needs of preventing and detecting computer crimes in our digital age.
To register please contact us;
richard.laizer
@out
.ac.tz
george.oreku
@gmail
.com
Tel: 0687063988/0783992020
1. SELECTED POSTGRADUATE APPLICANTS,BATCH TWO(2) 2019/2020. Link
2. Selected Non Degree Applicants For 20192020 Round 1 And 2. Link
3. List Of Admitted Students Bachelor Degree Round 3. Link
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kinashiriki katika Maonesho ya 17 ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam kuanzia Julai 18 hadi Julai 23, 2022.
OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA VACANCY Ad.
The University hereby invites applications from competent and suitably qualified persons, kindly visit this link:
Open University of Tanzania
Kawawa Road, Kinondoni
P.O. Box 23409, Dar es Salaam, Tanzania
Mh. William Lukuvi (MB), azindua Jumuiya ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT-Alumni Association) na kukitaka chuo hiki kuwatumia vyema wahitimu wake katika maswala ya ushauri na maendeleo!
#out
#watuwanapaswakufahamu
#ODL
Lugha ya kufundishia si tatizo kwa watoto, walimu wanatakiwa wawe na uwezo wa kutoa ujuzi kwa lugha husika. Wanafunzi wataelewa na kupata ujuzi pale mwalimu anapokuwa mahiri katika lugha ya kufundishia
Prof. Elifas Bisanda,
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
The Vice Chancellor of the Open University of Tanzania, Prof. Elifas Bisanda, receives the Best ICT Transformative Training Institution Award for 2021 from the Director of IEMT, Dr. Catherine Mkude, while being witnessed by the Head of ICT Service Control and Planning Department,
Huduma zote za udahili, usajili, ushauri katika maswala ya ELIMU HURIA na MASAFA na pia ushauri wa kitaaluma katika banda la Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) zilitolewa katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam. Ulipo tupo, Karibuni Tena.
Matukio katika Picha: Stashahada ya Uzamili ya Ualimu wa Ufundi na Ufundi Stadi (PGD-TVTE), inayotolewa kwa ushirikiano kati ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na Chuo cha Ualimu wa Ufundi Stadi Morogoro (MVTTC) yazinduliwa rasmi Aprili 28, 2021 mjini Morogoro.
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kinatarajiwa kutahini takriban wanachuo 9000 katika kipindi cha mitihani ya May/June 2022 kwenye vituo vya chuo hiki vipatavyo 50 nchi nzima. Mitihani hiyo imeanza kufanyika May 30, 2022 na inatarajiwa kumalizika Juni 17, 2022.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa, ametembelea banda la Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na kutoa pongezi kwa chuo hiki kupitia kitengo cha Teknolojia Saidizi kwa wanafunzi wenye Mahitaji Maalum kwa kazi nzuri inayofanyika kuhudumia watu
Vyuo vikuu vizingatie ufanyaji wa tafiti zenye kuleta tija nchini ili kuchochea na kuleta ushindani katika kuleta gunduzi, kukuza maarifa na ujuzi katika jamii mbalimbali ndani na nje ya nchi.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia,
Prof. Adolf Mkenda
#out
#odl
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania chaja na teknolojia inayowafuatilia wanafunzi 'field' na mambo muhimu usiyoyafahamu kuhusu taasisi hii.
#DrLawi
via
@YouTube
The Fairmont Royal Group of Companies awarded the Chancellor and the Vice Chancellor of the Open University of Tanzania (OUT), Hon. Mizengo Pinda in his absentia and Prof. Elifas Bisanda, with the Peace and Prosperity Awards in recognition of their dedication and outstanding
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kinashiriki katika maonyesho ya wiki ya Ubunifu Tanzania 2022 (MAKISATU), yanayofanyika katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma kuanzia May 16, 2022 hadi Mei 20, 2022.
1. Applicants With Multiple Admissions For The 2019-2020 Third Round. Link
2. Applicants Selected Into Different Postgraduate Programs Academic Year 2019/2020.Batch Three. Link
The OUT, successfully conducted the Ideation Workshop on Innovative Ideas and Project Proposals. It involved the OUT Public, intends to identify the innovative ideas and projects proposals to be incubated in Huria Innovation Hub under the mentorship COSTECH.
#odl
#costech
ANNOUNCEMENT OF FBM FIELD PRACTICAL 2019/2020 ACADEMIC YEAR.
Please contact the Field Practical Coordinator for details (Email: fieldpractical.fbm
@out
.ac.tz). More visit the link
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, amefanya ziara makao makuu ya chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na kusema kuwa chuo hiki ni nafasi adhimu katika kuhakikisha hakuna Mtanzania anakosa fursa ya kujiendeleza kielimu.
MAOMBI MUHULA WA APRILI 2023: Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kinapenda kuwakumbusha kuwa Makataa ya kutuma maombi kwa muhula wa Aprili 2023 ni Machi 10, 2023 katika ngazi za:
(a) Certificates
(b) Diplomas
(c) Foundation Program
(d) Bachelor Degrees
Watumishi acheni kupoteza muda mwingi kwenye simu kuperuzi mitandao ya kijamii muda wa kazi, fanyeni kazi kwa bidii ili kuongeza udahili na pato la chuo pia.
Mkurugenzi Msaidizi,
Idara ya Usimamizi wa Maadili OR,
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Ndg. Ally Ngowo
THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA (OUT).
DIRECTORATE OF EXAMINATIONS SYNDICATE (DES).
ORAL EXAMINATION SYSTEM (OREX).
First OREX Event, 20th July 2020 to 14th August 2020.
A Quick Short Guide to Student:
Tunahitaji mitaala ijayo ilenge mahitaji halisi ya jamii kuendana na kasi ya maendeleo na teknolojia, tunatathmini upya mitaala iliyopo ili kuona kama elimu inayotolewa inakidhi mahitaji ya sasa.
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kinashiriki katika maonyesho ya wiki ya Ubunifu Tanzania 2022 (MAKISATU), yanayofanyika katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma kuanzia May 16, 2022 hadi Mei 20, 2022.
OUT imekuwa mstari wa mbele kusambaza utamaduni wetu kupitia lugha ya Kiswahili, imeanzisha programu za kufundisha Kiswahili katika nchi ya Malawi na sasa kinakamilisha mipango ya kufundisha Kiswahili nchini Namibia.
#42USRCManyara
Mwanafunzi kwetu ni Mteja, Mteja ni Mfalme! Haitakiwi kuwekwa appointment ili apate huduma.
Mteja ahudumiwe muda wowote anapohitaji huduma - Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Prof. Elifas Bisanda
#out
#odl
#outso
USHINDI WA KISHINDO CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA
OUT, kimeibuka na ushindi wa kishindo kwa wabunifu wake wawili kuibuka washindi katika tatu bora ya washindi kwenye kundi la wabunifu wa vyuo vikuu nchini kwenye kilele cha maadhimisho ya wiki ya Ubunifu jijini Dodoma.
#ODL
#OUT
Wanafunzi 17 na wahadhiri watano kutoka vyuo vikuu vya Norway ikiwemo Chuo Kikuu cha Molde na Chuo Kikuu Kishiriki cha Sayansi Shirikishi cha Western, wamefika nchini kufanya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwa ni sehemu ya ushirikiano baina ya vyuo hivyo na vyuo vya Tanzania
THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA (OUT).
DIRECTORATE OF POSTGRADUATE STUDIES.
POSTGRADUATE SELECTED APPLICANTS BATCH ONE FOR ACADEMIC YEAR 2020/2021.
Download the PDF file to view the whole list:
WARSHA YA STADI NA MBINU ZA KUFUNDISHA LUGHA YA KISWAHILI NA UTAMADUNI KWA WAGENI.
Ilikujiandikisha bofya kuingia hapa
Na pia kupata maelezo ya kina kuhusu warsha hii bofya
Mawasiliano: 0712569555/ 0784 447697/ 0714519226
THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA (OUT).
FACULTY OF BUSINESS MANAGEMENT DEPARTMENT OF MARKETING AND ENTREPRENEURSHIP.
BACHELOR OF PROCUREMENT AND SUPPLY CHAIN MANAGEMENT (BPSCM).
To apply this programme go directly through online portal available on the OUT website which..1/1
OUT YARINDIMA MAONYESHO YA TVET ARUSHA
Wakazi wa jiji la Arusha wamiminika kwa wingi katika banda la Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) katika maonyesho ya pili ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (TVET) kupata huduma na ushauri wa kujiunga na mafunzo ya elimu ya juu.
Kujiandaa na wimbi hilo la wingi wa wanafunzi linalotarajiwa miaka michache ijayo, serikali ingeweza kukiingiza Chuo Kikuu Huria cha Tanzania katika mpango wa miaka mitano ili kukiimarisha na kukiwezesha sababu ndiyo chuo pekee kinaweza kupokea wanafunzi wengi kwa wakati mmoja.
Wafanyakazi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) Makao Makuu, wameungana na wafanyakazi wengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya Wafanyakazi Duniani MeiMosi kwa mwaka 2023, katika uwanja wa Uhuru jijini Dare es Salaam.
Uongozi wa OUT unawatakia kila la heri Wafanyakazi wote.
The 42nd graduation ceremony of the Open University of Tanzania (OUT) will be held on November 30, 2023, in Songea Municipality, Ruvuma.
Vice Chancellor,
The Open University of Tanzania (OUT)
Prof. Elifas Bisanda
#out
#odl
#graduation
#watuwanapaswakufahamu