Bahaty🇹🇿🇿🇲
@mbalinga24
Followers
4K
Following
22K
Media
253
Statuses
6K
Marketing specialists | website deloper(wp) Dynamo-cis ltd.
Dar es Salaam, Tanzania
Joined August 2019
WAKUU NAOMBENI RETWEET ZENU KWENYE HILI. HUYU NI RAFIKI YANGU NA FAMILIA KABISA TANGIA JANA HAJULIKAN ALIPO NA SIMU ZAKE HAZIPATIKANI. TIMEJARIBU KUMTAFUTA KWA NDUGU NA RAFIKI WA KARIBU HAMNA MWENYE ANAJUA. @Adventure_36 @DullahTheking2 @kalage_jr @MarekaMalili @Neypaul01
0
1
2
Utasikia unaenda sehemu na cheti cha chuo afu wanataka na cha form 4😂😂
@anuskills3 Ni sawa mtu ananiomba cheti cha form 4 Leo. 😁😁
0
0
0
Asas alifatiki usiku saa 11 asubuh baada ya swala ya fajil akazikwa, vip nae alikuwa hohehae?
@chapo255 Ukiwa na hela hata kwa hapa bongo hauwezi zikwa mzobemzobe baada ya kukata moto, ndugu wafasubiriwa. Ila ukiwa hohehae ukifa saa 1 asubuhi saa 7 unazikwa. it's about power to make choices without being judged.
0
0
0
Kama huwa humuelew @prossoff kuhusu mwanaume kuwa na standard zako sikiliza hapaa huyu jamaa kaongea vizuri sanaa.
0
0
0
Binafsi huwa siwalaumu wao kuwa masingle maza lakin ukifatilia wengi siku hizi wamekuea wakilaumiwa sababu ya tabia zao kwa wanaume watakao waamin, ndio maana wamekuwa wakibeba lawama
Kwanini tunamhukumu sana Single Mama bila kumjadili Mwanaume mwenzetu huenda alikimbia majukumu yake? Kwanini tunawapa adhabu kali kuamini usingo ni makosa yao pekee?
0
0
0
Tunabidi tuanze kuwapa support wasanii kama hawa kwa kuwapa streams zakutosha kwenye miziki yao kuanza kwenye nyimbo zao za zamani.
0
0
0
Na @YoungAfricansSC hawa wote ni wasenge tu kama wasanii wa kibongo
SINA TU PLATFORM KUBWA AU WAFUASI WENGI ILA NINGEPIGA KAMPENI YA KUACHA KABISA KUSAPOT HIZI TIMU MBILI @SimbaSCTanzania na pacha wake yule.
0
0
0
SINA TU PLATFORM KUBWA AU WAFUASI WENGI ILA NINGEPIGA KAMPENI YA KUACHA KABISA KUSAPOT HIZI TIMU MBILI @SimbaSCTanzania na pacha wake yule.
0
0
0
Hawa MASHEIKH ukiwaona wanaswalisha Msikiti wowote ule naomba TOA SADAKA YA KUJIMALIZA. Hawa wanaongozwa na msingi ya DINI na sio NJAA kama wale VIBAKA waliopita. Asanteni sana Masheikh wetu wapenda HAKI mmeiheshimisha DINI YETU YA KIISLAMU. 🙏 REPOST 500 TUTAKUWEPO🫵😎
66
716
2K
Wizara ya vijana inaendeshwa na wazee😅. Hii INCHI 💔
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Bi. Jenifa Christian Omolo, kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Maendele ya Vijana. Kabla ya uteuzi huu, Bi. Omolo alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na
0
0
0
Kufikiria vijana Watanzania ni wajinga ni kujidanganya…. Mnatakiwa kutoka kwenye denial, hiki sio kizazi cha kuambiwa mambo ya uongo. Mnaiba pesa za umma, mnaiba rasimali za vijana wa Nchi hii mnakabidhi wageni. Vijana wanataka uchaguzi huru ufanyike ili wapate viongozi
43
403
1K
Me naona dawa ya hawaa washekhe wala kitimoto ni kuwakamata na kuwatia fimbo haswaa ili kutoa funzo kwa wengine make wanaleta sanaa udini qmmanin zao
Amekosa backup ya wananchi✅✅ Amekosa backup ya kundi fulani kwenye chama chake!!✅ Sasa anatafuta backup ya Zanzibar ili kuleta uzenji & utanganyika. Then anatafuta backup ya Muslim ili kutela ukristo & uislamu.
0
0
0