
Mjege Kinyota, PhD ๐น๐ฟ
@k_mjege
Followers
4K
Following
14K
Media
2K
Statuses
37K
Associate Professor, STEM education, University of Dar Es Salaam, DUCE; Full-Time Father, Student, Researcher, consultant & Policy Analyst; Psalm 23
Joined September 2019
Kwenye andiko letu jipya tunachokoza mada kuhusu elimu ya mazingira nchini na mamna ambavyo vita ya utunzaji wa mazingira inakinzana na dhana yenyewe ya maelendeo tunayoyatamani. Tunajaribu kuuliza maswali magumu (lakini ya msingi)โlengo likiwa ni kuona ni kwa namna gani
2
16
31
Hizi meseji za Rushwa anatumiwa kila mtu au kuna watu wanatuona tunafanana na Rushwa?
0
0
0
Unampiga mwenzako makofi Halafu akitaka kukurudishia unamwambia amani itawale kaka!! Hukujua kama amani haitatawala kabla ya kuzusha ugomvi!!
1
4
19
Pamoja na umuhimu wa Elimu kwa mtu mmoja mmoja na kwa Taifa; Mfumo wa Elimu Unaweza kuwa chanzo Kikuu cha kuendeleza na kukuza tabaka kati ya walionacho na wasionacho; Unaweza kuhalalisha unyonyaji kwenye jamii.
1
6
7
Ingawa rushwa ni adui wa haki lakini rushwa imekuwa ikizungumzwa kama ni jambo la kawaida katika #SiasaZetu Wiki hii Alhamisi usikose kufuatilia episode hii mpya kupitia @ZetuSiasa #SiasaNiWananchi
2
10
10
Je,unafahamu utofauti kati ya Takrima na Rushwa? Lakini je unaifahamu adhabu ya mtu ikidhibitika ametoa au amepokea rushwa? Epsode mpya kutoka @ZetuSiasa inakuja na majibu yote kuhusu #SiasaZetu na rushwa hasa katika uchaguzi! usikose... @mkutubi26 Host
1
14
15
โAmani kwa ujumla unahusisha hali ya utulivu, amani, na usawa, ndani ya mtu mwenyewe na katika uhusiano na wengine. Inahusisha kutokuwepo kwa migogoro, vurugu, au usumbufu. Amani inaweza kujitokeza kwa njia mbalimbali, kama vile: Amani ya Kibinafsi: Hali ya utulivu wa
0
3
10
Bei zetu walimu zipo?
Fly. Explore. Return ๐ all in a day. โ๏ธ Fly from Zanzibarโs turquoise coast to Tanzaniaโs golden wilds where luxury meets adventure. Explore Mikumi or Nyerere National Park, and return by sunset. Call/WhatsApp ๐ฒ +255 777 232 747 โ๏ธ info@Safarigateway.co.tz
0
0
2
Fly. Explore. Return ๐ all in a day. โ๏ธ Fly from Zanzibarโs turquoise coast to Tanzaniaโs golden wilds where luxury meets adventure. Explore Mikumi or Nyerere National Park, and return by sunset. Call/WhatsApp ๐ฒ +255 777 232 747 โ๏ธ info@Safarigateway.co.tz
0
21
32
Sasa ukipita kwenye maeneo mbalimbali wenzetu akina dada wanajishughulisha na mishe mbalimbali!! Wanaanza kujifunza kuwa pesa za akina Kipepe hazitabiriki; hazina muamana. Tuwatie moyo
1
6
17
Haijalishi jana ilikuwa na huzuni, makosa, au magumu kiasi gani, leo ni fursa mpya ya kusimama tena, kuamini tena, na kufanya vizuri zaidi. Mungu hakukupa pumzi leo kwa bahati bali kwa kusudi jipya. Ikawe kheri wiki hii, mkipata hela kuna viwanja vya kulipia kidogo kidogo ๐๐ผ
3
46
211
Hongereni wanaโwaโManchester United. Kwa moyo wa dhati kabisa. @MarekaMalili @ALugandu @rollymsouth @anuskills3 @bonifacejoseph_ @mfinanga_rm
1
1
4
Jana Yanga imefungwa; na Leo Manchester United Inafungwa. Naogopa ndugu zangu @rollymsouth @MarekaMalili wasipate msongo wa mawazo wakajiteka! ๐
0
0
2
Badala ya kufuatilia mambo ya msingi ya kitaifa; vijana kama @INFLUENCERjr @bonifacejoseph_ @Eric__Bernard @MarekaMalili wako busy na mpira ya Simba. Mpira utawafikisha wapi?๐๐
3
1
13
Hawa Eswatini kwa nini tusiwashawishi wajiunge na Umoja wa Afrika Mashariki!! Kuna mali humu uwanjani @INFLUENCERjr @anuskills3
1
1
6
Kuna tweeps humu Utadhani wao wako ndani kabisa; wanalala chumbani mwa serekali; wengine tunalala kwenye jiko la nje. Hata sebule hatulijui ๐
1
4
13