k_mjege Profile Banner
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Profile
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@k_mjege

Followers
4K
Following
14K
Media
2K
Statuses
37K

Associate Professor, STEM education, University of Dar Es Salaam, DUCE; Full-Time Father, Student, Researcher, consultant & Policy Analyst; Psalm 23

Joined September 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
Kwenye andiko letu jipya tunachokoza mada kuhusu elimu ya mazingira nchini na mamna ambavyo vita ya utunzaji wa mazingira inakinzana na dhana yenyewe ya maelendeo tunayoyatamani. Tunajaribu kuuliza maswali magumu (lakini ya msingi)โ€”lengo likiwa ni kuona ni kwa namna gani
2
16
31
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
24 minutes
Hizi meseji za Rushwa anatumiwa kila mtu au kuna watu wanatuona tunafanana na Rushwa?
0
0
0
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
3 hours
Unampiga mwenzako makofi Halafu akitaka kukurudishia unamwambia amani itawale kaka!! Hukujua kama amani haitatawala kabla ya kuzusha ugomvi!!
1
4
19
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
6 hours
Dhana ya thamani ya mtu imeshahama kutoka huko. Kama hawashtuki basi wanahitaji kuwekewa barafu masokioni ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
@MarekaMalili
Lubasha Jr
6 hours
Ukitaka kusema wewe ni wa Thamani, tukianza kupima una thamani gani utaweza kujitetea? Una thamani sababu una tako? Really?
0
1
3
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
6 hours
Pamoja na umuhimu wa Elimu kwa mtu mmoja mmoja na kwa Taifa; Mfumo wa Elimu Unaweza kuwa chanzo Kikuu cha kuendeleza na kukuza tabaka kati ya walionacho na wasionacho; Unaweza kuhalalisha unyonyaji kwenye jamii.
1
6
7
@TweveDevota
DevotaTweve
7 hours
Ingawa rushwa ni adui wa haki lakini rushwa imekuwa ikizungumzwa kama ni jambo la kawaida katika #SiasaZetu Wiki hii Alhamisi usikose kufuatilia episode hii mpya kupitia @ZetuSiasa #SiasaNiWananchi
2
10
10
@ManenoIzaak
Handsome La Kijiji
7 hours
Je,unafahamu utofauti kati ya Takrima na Rushwa? Lakini je unaifahamu adhabu ya mtu ikidhibitika ametoa au amepokea rushwa? Epsode mpya kutoka @ZetuSiasa inakuja na majibu yote kuhusu #SiasaZetu na rushwa hasa katika uchaguzi! usikose... @mkutubi26 Host
1
14
15
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
9 hours
โ€œAmani kwa ujumla unahusisha hali ya utulivu, amani, na usawa, ndani ya mtu mwenyewe na katika uhusiano na wengine. Inahusisha kutokuwepo kwa migogoro, vurugu, au usumbufu. Amani inaweza kujitokeza kwa njia mbalimbali, kama vile: Amani ya Kibinafsi: Hali ya utulivu wa
0
3
10
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
10 hours
Free Lubasha
@MarekaMalili
Lubasha Jr
12 hours
Toka CDM imeacha kuwa Saccos kuna prominent figures zilikua zinajipambanua kama watu wa karibu wa Mchakato wa Mabadiliko zimechimba ๐Ÿ˜†
0
0
1
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
11 hours
Bei zetu walimu zipo?
@SafariGateway_
Safari Gateway Ltd
11 hours
Fly. Explore. Return ๐Ÿ” all in a day. โœˆ๏ธ Fly from Zanzibarโ€™s turquoise coast to Tanzaniaโ€™s golden wilds where luxury meets adventure. Explore Mikumi or Nyerere National Park, and return by sunset. Call/WhatsApp ๐Ÿ“ฒ +255 777 232 747 โœ‰๏ธ info@Safarigateway.co.tz
0
0
2
@SafariGateway_
Safari Gateway Ltd
11 hours
Fly. Explore. Return ๐Ÿ” all in a day. โœˆ๏ธ Fly from Zanzibarโ€™s turquoise coast to Tanzaniaโ€™s golden wilds where luxury meets adventure. Explore Mikumi or Nyerere National Park, and return by sunset. Call/WhatsApp ๐Ÿ“ฒ +255 777 232 747 โœ‰๏ธ info@Safarigateway.co.tz
0
21
32
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
13 hours
Ukweli mchungu kabisa huu.
@INFLUENCERjr
WHYMYCATISSAD
13 hours
Wewe mwenyewe unajua unachotakiwa kufanya ili kubadilisha maisha yako lakini unaogopa kufanya sasa sijui unategemea nani aje kukubadilishia maisha yako?๐Ÿ˜
0
0
3
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
13 hours
Sasa ukipita kwenye maeneo mbalimbali wenzetu akina dada wanajishughulisha na mishe mbalimbali!! Wanaanza kujifunza kuwa pesa za akina Kipepe hazitabiriki; hazina muamana. Tuwatie moyo
1
6
17
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
14 hours
Amen Dada Ake ๐Ÿ™๐Ÿป
@CarolNdosi
Carol Ndosi
15 hours
Mungu wa Rehema akabariki jitihada zako wiki hii na ikawe heri kwako na kwa uwapendao. ๐Ÿ™๐Ÿพ
0
0
3
@MarekaMalili
Lubasha Jr
14 hours
Haijalishi jana ilikuwa na huzuni, makosa, au magumu kiasi gani, leo ni fursa mpya ya kusimama tena, kuamini tena, na kufanya vizuri zaidi. Mungu hakukupa pumzi leo kwa bahati bali kwa kusudi jipya. Ikawe kheri wiki hii, mkipata hela kuna viwanja vya kulipia kidogo kidogo ๐Ÿ™๐Ÿผ
3
46
211
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
1 day
Hongereni wanaโ€”waโ€”Manchester United. Kwa moyo wa dhati kabisa. @MarekaMalili @ALugandu @rollymsouth @anuskills3 @bonifacejoseph_ @mfinanga_rm
1
1
4
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
1 day
Jana Yanga imefungwa; na Leo Manchester United Inafungwa. Naogopa ndugu zangu @rollymsouth @MarekaMalili wasipate msongo wa mawazo wakajiteka! ๐Ÿ˜
0
0
2
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
1 day
Badala ya kufuatilia mambo ya msingi ya kitaifa; vijana kama @INFLUENCERjr @bonifacejoseph_ @Eric__Bernard @MarekaMalili wako busy na mpira ya Simba. Mpira utawafikisha wapi?๐Ÿ˜๐Ÿ˜
3
1
13
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
1 day
Hawa Eswatini kwa nini tusiwashawishi wajiunge na Umoja wa Afrika Mashariki!! Kuna mali humu uwanjani @INFLUENCERjr @anuskills3
1
1
6
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
1 day
Kuna tweeps humu Utadhani wao wako ndani kabisa; wanalala chumbani mwa serekali; wengine tunalala kwenye jiko la nje. Hata sebule hatulijui ๐Ÿ˜
1
4
13
@k_mjege
Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
1 day
Kijana umeandika kwa hasira kiasi. Kunywa maji ya baridi; kisha jipige kifuani; Halafu uimbe ule ubeti wa โ€œMungu ibariki Afrika; wanariki viongozi wakeโ€ ๐Ÿ˜
@rollymsouth
Madenge
1 day
Hii nchi imekuwa ya kisenge sana, am sorry but vinafanyika vitu vya kitoto Hadi inakera na havina msingi wowote.
2
1
13