Stepchild__
@Stepchildjr
Followers
273
Following
14K
Media
140
Statuses
23K
Don't let your struggle to become your identity ✨️.
Shinjuku-ku, Tokyo
Joined April 2022
Unapozaliwa, hakuna kinga dhidi ya haya👇🏾 1. 💔 Maumivu 2. 🔄 Mabadiliko 3. 🚫 Kukataliwa 4. 🕊️ Kupoteza wapendwa 5. 💸 Kulipa gharama ya maamuzi yako! Survive anyway. Head up. Chest out. 🧠🔥
0
0
0
Tanzania tuna mambo ya ajabu kabisa! Wanayesema kavuka mipaka yuko Tanzania Na hata kama kavuka, idara ya uhamiaji ya Kenya ndo ilipaswa kumshikiria heche
1
26
158
@kibaha_finest Unachelewa kumwaga ili iweje?? Raha ya tendo ni kumwaga… mwanamke Haridhiki ata ufanyeje sio kwa hela sio kwa kuisugua muda mrefu… Wewe jipatie furaha mwenyewe,jiwaze wewe! Huwezi shindana na sehemu ulipotoka
64
34
487
AMETEKWA! AMETEKWA! AMETEKWA! Naomba kushare nanyi huu ujumbe kama nilivoupokea.👇👇👇 Huyu anaitwa Rodrick Kakwaya ni Mwalimu wa Usevya Secondary iliyopo Mkoani Katavi na Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe lakini pia aliwahi kuhudumu kama Makamu Mkuu wa shule akiwa hapo Usevya
24
258
739
Wamefika hadi hukuu hii sio sawa asee
Usiku huu watu wasiojulikana wamemteka Mchungaji Elieth Eliawaha Mtaita wa Kanisa KKKT Usharika wa Boay jimbo la Babati Vijijini - Manyara Watu hao wakiwa na silaha walivamia makazi ya Mchungaji Mtaita na kumteka kisha wakampakia kwenye gari aina ya Landcruiser ambayo haina
1
2
10
Usiku huu watu wasiojulikana wamemteka Mchungaji Elieth Eliawaha Mtaita wa Kanisa KKKT Usharika wa Boay jimbo la Babati Vijijini - Manyara Watu hao wakiwa na silaha walivamia makazi ya Mchungaji Mtaita na kumteka kisha wakampakia kwenye gari aina ya Landcruiser ambayo haina
28
134
420
Baba yako anaweza akawa anawasomesha, kuwalisha, kuwapeleka Outing, ila akiwa anampiga na kumdhalilisha Mama yako sidhani utam praise au kwako haina shida? Utamsifia kama mfano bora kisa anakulisha?
We’re currently in an era where if the government does something good for the people, or if the economy improves, you’re not allowed to talk about it because you’ll be called a bootlicker or people will assume you’ve been paid to praise the government. As much as the government
44
84
446
JZ kusifia Serikali kwa kufanya wajibu wake sio hoja ya Msingi, Serikali inachaguliwa kufanya kazi kwa wananchi, na ikiwa inafanya vizuri inatekeleza wajibu wake wa msingi, hizo sifa mnazotaka tusifie hazina maana yoyote, Tukumbushane tu Taifa linakosa wakosoaji linakosa dira,
We’re currently in an era where if the government does something good for the people, or if the economy improves, you’re not allowed to talk about it because you’ll be called a bootlicker or people will assume you’ve been paid to praise the government. As much as the government
26
75
319
#EnforcedDisappearance #Tanzania Lutheran Reverend Elieth Mtaita was abducted by armed men in Manyara yesterday night This is a state of terror by @SuluhuSamia who is claiming to be “competing” in an unopposed election and another attack on Christian leaders! Cc @WGEID
Usiku huu watu wasiojulikana wamemteka Mchungaji Elieth Eliawaha Mtaita wa Kanisa KKKT Usharika wa Boay jimbo la Babati Vijijini - Manyara Watu hao wakiwa na silaha walivamia makazi ya Mchungaji Mtaita na kumteka kisha wakampakia kwenye gari aina ya Landcruiser ambayo haina
7
104
244
Baada ya Polisi kumkamata Makamu Mwenyekiti CHADEMA, @HecheJohn katika lango la kuingia Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, wakampeleka Central Police DSM na baadae kuwaeleza mawakili wa CHADEMA kwamba wanamsafirisha kwenda Tarime tuhuma zake zilipo. Hawakwenda Tarime.
15
154
881
BREAKING NEWS. Asajile Mwanjala amechukuliwa muda huu Kijiji cha Ihemi kata ya Mgama, Nineongea nae amechukuliwa na Afande Ally polisi wa kituo cha ifunda na Afande Razaro Polisi wa Iringa mjini. Fikeni hapo kituoni Ifunda haraka.
9
247
688
Naambiwa kuna uwezekano mkubwa @HecheJohn wamemficha hapa! 👇🏾 Narudia @tanpol IMEMTEKA Heche! Ukimshikilia mtu bila kutaarifu familia na jamii rasmi alipo unamweka nje ya ulinzi wa sheria ili kumdhuru! #FreeJohnHeche
#FreeJohnHecheNOW.
31
126
635
Mr. Msigwa, are you trying to intimidate people who intend to peacefully protest and vote? Police presence, armored vehicles & heavy deployments five days before the election aren’t “security”; they’re intimidation. We will not be silenced. #MO29 #SamiaMustGo cc: @amnesty @hrw
10
48
187
BREAKING NEWS. Asajile Mwanjala amechukuliwa muda huu Kijiji cha Ihemi kata ya Mgama, amechukuliwa na Afande Ally Polisi wa kituo cha Ifunda na Afande Razaro Polisi wa Iringa mjini. Mliopo Ifunda fikeni hapo kituoni Ifunda haraka.
9
192
637
KIPEPERUSHI CHA UDSM kimepata majibu kutoka kwa UDASA. “Hakuna mahala popote Tamko la UDASA limesema kilichosemwa na UDASA ni msimamo wa UDSM wala viongozi wake ambao ni wanachama wa UDASA” Soma tena hapo juu. Kuna nondo MBILI hapo hawa jamaa kweli ni wasomi sana. Yani
12
101
457
WANANGU WA #MO29 TUPATE COMMENTS ZA KUTOSHA CHAP CHAP KUONYESHA DUNIA TUPO WENGI. REPOST 500 #MO29
#MaandamanoOktoba29
#SiriNiNamba
#OktobaTunaToka
#TUTAKUWEPO🫵🏾😎
59
243
859