#KalagePerfumesForEverybody
…
Hii Post ni Makhsus kwa wanafunzi Mliopo Vyuoni…
Leo unaona kabisa unaweza lala Njaa, watu wote uliowapigia wanakuahidi kesho watakutumia hela!
Unahitaji walau buku 5 ule usiku wa leo…
Weka kwenye Comment namba na Majina yako kamili na Chuo
@QudsNen
Why go for war, when Yemenite request is very simple: Allow humanitarian aid flow into Gaza and a Ceasefire. They didn't even request it for themselves, even though they have a need for aid. God bless Yemen
@Partisangirl
Why go for war, when Yemenite request is very simple: Allow humanitarian aid flow into Gaza and a Ceasefire. They didn't even request it for themselves, even though they have a need for aid. God bless Yemen
#TajiriLaKihaya
Ndio tumemaliza kikao wakuu…
Wazungu ni watu poa saana kufanya nao Biashara wamenyooka mno sio kama Wahindi Au Wachina aiseee😅
#KaziNaBata
Leo nafuraha saana aiseee Maana huu Mkataba nlio sign leo sio wakitoto kabisaaa🙌🏽
Ndio muda wa kusoma DM huu…
Kama
#TajiriLaKihaya
Huyu kijana alinifata DM mwezi MAY mwanzoni…
Yupo anasoma kua Tour Guide kule Arusha kwenye hicho chuo!
Ada ni 3m plus hostel kwa mwaka alikua amepungukiwa 1.7m.
Mm nmemchangia 500k.
Hope siku moja nkienda arusha ataniguide kule porini 😅
All the best🫶🏾
Wakuu kabla sijalala kuna watu mlikua mnanipambania saana kwenye post za yule dogo au kwa yeyote alienisema vibaya…
Nliona kila post na comment ya kila mmoja wenu, nadhani mumeona nlilike,kurepost au kuComment kabisaa!
Nmefurahia umoja na upendo mlionionyesha…
Kujipongeza,
Wakuu kabla hatujaingia msikitini..
Yule mwenye Hana sadaka ya kutoa leo Masjid… hata buku jero😅
Weka namba na jina liwe la kiislamu hapo kwenye Comments!
Wakristo tuoanane jumaPili😅
Leo nipo Mwenyewe Ofisin, secretary wangu anaumwa…
Ila niwashauri tu wale wanaopenda Programming;
Coding games are the best way to learn coding.
From Python, JavaScript, CSS to Blockchain.
2 hard things about coding:
• It's difficult to start
• It's difficult to stop
Ukisikia milio mingi jua umewashika sawa sawa😅😅
No one expected
#TajiriLaKihaya
will last more than a week….
It’s 3 months now….
#TajiriLaKihaya
still trending 😅😂😅
Hata ingekuwa mm ningeumia aisee 😅
uzuri nlitarajia haya… Na nmejipanga kisawa sawa 🫶🏾
@Megatron_ron
Why go for war, when Yemenite request is very simple: Allow humanitarian aid flow into Gaza and a Ceasefire. They didn't even request it for themselves, even though they have a need for aid. God bless Yemen
#TajiriLaKihaya
Wakuu nafaham leo ni siku ya kusoma DMs…
Ila nipo kwenye kikao kizito saana na SECRETARY wangu…
Mniwie Radhi- MAOKOTO kwanza😅
#TajiriLaKihaya
Ila wakuu twende mbele turudi…
Madem wakichaga ni warembo saana…Wana Sura nzuri saana!
Ila Sio Watamu kabisaaa aiseee!
Hawajui mapenzi…
Hawana ladha aisee…
Am talking out of experience… av dated more than 3 wachagas and u can’t convince me otherwise!
Hello ,
Natumai kesho UtaruhusiwA kufanya mtihani…
Wewe ni miongoni mwa tuliokutana pale kwa
@kalage_jr
na ombi lako lilikuwa kulipiwa ada ili uendelee na mitihani na ukubaliwe shuleni.
Natumai hii itasaidia…
I wish you nothing but the best in your exams…
Chukua hio
#TajiriLaKihaya
Kuna mambo mengi saana tunafanya kule DM- mengine tunayaacha kule Ila hili kaniomba nipost.
Dada Anaelekea kujifungua alihitaji msaada…Ila yeye yupo mbeya!
Kwa kuogopa ma parody ikabidi nimuagize mtu ahakiki- kweli alifika Na tukajilidhisha na leo nimempa
Mwezi wa Tano unaisha leo …Ila kuna mtu mwezi mzima hajawahi pata chochote kitu kutoka kwa
#TajiriLaKihaya
…
Hebu weka namba na Jina lako hapo kwenye comment…
Ila hakikisha umeanza na HashTag- #
#TajiriLaKihaya
Ambao ushawahi pata usiweke namba…
Comment tu
Nmejitahidi ku HIDE ID yako…
Ila natumaini huyo mtoto wako utampeleka hospitalini kama ulivyosema DM…
Kama unanitapeli basi Mungu ndio Anajua zaidi🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Today is Friday,
Leo ni siku ya kutoa sadaka kwa Allah🙏🏽
Unapoenda msikitini- Copy namba ya MITA Na Jina paste hapa kwenye comments.
Ambao mpo safarini, uliza mtu akutumie namba ya mita ya msikiti wa nyumban kwenu, weka hapo kwenye Comments Luku unapata.
Ila hakikisha namba
#ElimikaWikiendi
Watu Wanakosea saana kutamka jina langu…
Esir linatamkwa ISSA.
Eid Linatamkwa IDDI.
MTZ Mtanzania 🇹🇿
Esir Eid MTZ
ISSA IDDI 🇹🇿 Mtanzania
#TajiriLaKihaya
Dar Ni Makao makuu… dar ndio HQ ya most offices… DAR ni JIKONI!
Mkoani ukipata kazi ya 1.2m na Dar mshahara ni 600k ntakushauri Baki DasLam…
Kuna posho nyingi saana Tofauti na mishahara kaka!
hii hautafundishwa chuoni.
@jacksonhinklle
Why go for war, when Yemenite request is very simple: Allow humanitarian aid flow into Gaza and a Ceasefire. They didn't even request it for themselves, even though they have a need for aid. God bless Yemen
Hivi wakuu kwenye hii Picha Hatuwezi fikisha 1000 likes kabla ya saa saba?
Hebu nenda kwenye hio Post ufanye ku like kama bado kama tayari REPOST ifike mbaaali 😅😂😅🙌🏽🙌🏽
#TajiriLaKihaya
#TajiriLaKihaya
Kuna wale marafiki zangu ambao kila nkiComment popote pale -wanaonesha uwepo wao kwa kunipa ulinzi na Company kwa pamoja…
Kama nmeenda kuvua,wanahakikisha uvuvi umekamilika kwa njia yoyote ile hata kwa uvuvi haraam😅
Kuna wengine wananipa Pasi kwa Kuni Tag
Hello Kivuyo…
Congratulation for your Continued support in Climate change!
I know soo many men have qrt this,
with the intention of getting your attention.
I didn't, because of the attention.
I am really interested in knowing how you've been.
How are you mentally? what
The 99 names of Allāh 🧵;
1) الرَّحْمَنُ
AR-RAHMÂN
The Compassionate
2) الرَّحِيمُ
AR-RAHEEM
The Most Merciful
الْمَلِكُ (3
AL-MALIK
The King
الْقُدُّوسُ (4
AL-QUDDUS
The Most Sacred
5) السَّلاَمُ
AS-SALAM
The Source of Peace, The Flawless
6) الْمُؤْمِنُ
AL-MU’MIN
The
One good thing about education is that,
inaeza chelewa kukulipa ila siku ikikulipa ni inakulipa mazima mazima na utafanya kila kitu uliwahi tamani smoothly & in a decent manner.
Kikubwa tu usiingie kwenye mihadarati.
Patience 🫶🏾
Wakuu, nmepitia DM zote hadi tarehe 20.
Zilikua nyingi saana kwa kweli 500+ sms, lakini Alhamdulillah nmezisoma zote, kuna nlizozijibu,kuna ambazo sijajibu kabisaaa ila nmesoma!
Wapo walionipa ushauri,wapo walinipa hongera,wapo walioomba kazi/connection,wapo walioomba
mimi binafsi napenda vijana wanaopambana…
Ndio maana mtu yeyote akinionyesha biashara yake lazima nimuungishe hasa humu Twitter.
Leo
@bonifacejoseph_
kasema Gari langu Jipya nlilolipokea mwezi jana ling’ae saana hata nkienda kuonana na yule muuza Alizeti asipate shida.
Kila Post nlioiweka Ulicomment kulike na kuretweet…
DM umetuma sms zaidi ya 20 bila kukata tamaa…
Natumai hii itakusaidia…pole saana kwa changamoto unayopitia!
Ila tuendelee kuwa na subra na kumwamini Mwenyezi Mungu🙏🏽
Najua zimebaki siku 6 mkuu Na ulimuweka
@spana_Konki
kama shahidi wako😅
Na jana nlikuahidi lazima NKuLombee huyu dem wako KWA GHARAMA YOYOTE ILE…
Just an U P D A T E;
Within 12hrs I have all the details I needed.
Sasa kaaa kwa kutulia mkuu😂😂😅🙌🏽🙌🏽
Time will tell…
Kuna madem wazuri hapa Wavuvi kempu🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Hii ndio mida ya kuingia wavuvi… watu wameshachoka-wamemaliza hela!
Mkuu ndio unaingia unaagiza HENESSY madem wote macho kwako😅😂😂
Unawaambia toka saa mbili upo hapo🙌🏽🙌🏽kumbe umeanzia kitambaaa
THROW BACK THURSDAY.
#Tbt
Mwaka
#2007
nkiwa nahitimu masomo ya shule ya msingi😅
Quote hii picha na Tbt yako ya mwaka huo…
#Tbt
bora inajishindia elfu 30 ya Vocha lets gooooo…
Wakuu angalizo…
Ukiweka namba yako kwenye Comment- kuna matapeli watakupigia wakijidai ni mimi au wameagizwa na Tajiri…
Hao ni wahuni na ni matapeli! Kata simu mara moja usiendelee kuwasikiza…
Kuna watu wengi wametapeliwa kupitia njia hio…
Mimi Sipigi simu -mimi kazi
Watu mnatuma saana sms ya mpate walau chochote kitu usiku wa leo…
Muda wa kusoma sms zote hizo changamoto kwa kweli…
Weka namba na jina hapo kwenye comments upate buku 5 chap…
HashTag usisahau kuandika
#TajiriLaKihaya
mwisho wa comment yako…
Lets goooooooooo
Leo nipo Mwenyewe Ofisin, secretary wangu anaumwa…
Ila niwashauri tu wale wanaopenda Programming;
Coding games are the best way to learn coding.
From Python, JavaScript, CSS to Blockchain.
2 hard things about coding:
• It's difficult to start
• It's difficult to stop
Mkuu kunizidi kila kitu unamaanisha nini???
Haunizidi kielimu, kifedha,familia, hata kimapenzi pia (ushahidi dem wako alilia hapa twitter anahitaji mapenzi kutoka kwangu-nkakausha). Na hata ukitaka ngumi zipigwe Twende ulingoni!
HAUNIZIDI CHOCHOTE KILE.
Kama unabisha Leta
Natumai kesho utamfanyia mwanao Shopping walau kidogo ya vitu muhim!
Nmeona picha plus video ulizonitumia DM nmejiridhisha… pole saana!
Wanaume acheni kuwapa mimba hawa mabinti na kuwatelekeza sio vizuri!
Kumtunza mtoto ni jukumu la baba mzazi…
Mbunge wa Tarime Vijijini, mheshimiwa WAITARA…
Rafiki Yangu saana…
Huwa ananishauri vitu vingi saana hasa kwenye mbio zangu za Kuwa Mbunge wa Bukoba Vijijini- Muleba!
Ila bado sijachagua niwe chama kipi!
hivi katiba hairuhusu INDEPENDENT CANDIDATE?
Maana hela za kampeni
Nyie Ke mnaogopa kuandika namba kwenye comments-mnajazana DM!
Alafu matatizo yenu makubwa-serikali tu ndio inaweza kutatua😅
Ila ME, ni elfu 5 au 10 ya vocha au lunch maisha yanaenda!
Tayari nmeshaamka Na Tayari nipo Ofisin hapa Nyumban kwangu…
Hii Tabia ya kukatia Chapati ndani ya Beans nlifundishwa kule Kenya…
Huwa ni Unyama saana aiseeee🙌🏽🙌🏽🙌🏽
AnyWay….
GM
#TajiriLaKihaya
X Fam🫶🏾
Mkuuu unachochea moto saana…
Labda nichukue fursa hii kuwaomba Radhi wote waliokwazika na hizi Banters,
Kiukweli mm hata Huyu Trojan simfaham na wala sijamFOLLOW Ila yeye alianza kunitukana bila sababu kisa nachat na dem wake-HAJIAMIN,
So nkawa Namtania tu-Nothing was
#TajiriLaKihaya
Duh! DM zimekuwa nyingi … ma Parody ya kina dada ndio usiseme!
Genuine wanaonekana waongo… waongo wanaonekana wa kweli….
Nifanyeje???
Nasoma Ushauri wenu kwenye Comments….
Ile wakati nataka kuGive Up… napata DM ya matumaini…
Huyu dada ashawahi Comment saana kwenye Post zangu Anaomba msaada nkamuambia aje DM- alituma sms saana zaidi ya 10 Ila hakukata tamaa…
Atlast nlimfikia na leo hii kajifungua mtoto wa kike…
Anaomba jina zuri la Kiislamu
Pole saana kwa changamoto iliokukuta ya kuvunjika mguu kwa ajali ya pikpik na imani msaada wangu mdogo huu utasaidia kulipa bill za hospital…
Aisee wakuu tuweni makini hasa madereva Boda boda- ajali za pikpik ni hataree saana!
Wakuu DMs ni nyingi saaaana!
Kuna nlizozipitia na kuzijibu… ila zinakuwa nyingi saana- haziishi kila muda zinaongezeka😅
Leo nmepanga iwe ni siku ya kujibu DMs tu…
Sasa kama umetuma message na tatizo lako linaweza kutatuliwa na chini ya laki moja.
Comment hapa Handle yako
DM nyingi saana mkuuu… zaidi ya 500+
Secretary wangu Atazipitia moja moja Juma tatu…
Leo tunaonana LIVE hapa Kitambaa Cheupe Sinza…
unasema tatizo kama ni kodi/karo/Pocket Money unapewa Cash
We waulize hivi…
alikufata DM kipindi hajulikani humu anafollowers elfu 2 tu Au amekufata kipindi hiki anajulikana kila sehem twitter ana followers 20k+ na kila siku anaongeza followers wapya sio chini ya 500😅😂😅
Tena waulize…
Kwa nini kipindi kile haukusema Mhaya kakufata
#TajiriLaKihaya
Mm kwangu ni Bora Dem anipige mzinga hata wa 5m mara moja alafu akatulia nkawa najipigia tu.
Kuliko dem ambae kila siku anaomba hela ya vocha,mara nauli mara hela ya saloon,mara kodi ya nyumba,mara hela ya Nguo mpya… mara alikua ananyoa vuzi akajikata bahati
Kuna watu Hawaelewi tunachokifanya ni kipi na Athari zake ni zipi!
Kwa ufupi tu;
Mimi nmejoin Twitter 2012 nlipoingia 1st year Chuo.
Toka 2012 hadi mwaka huu Tarehe kama ya leo mwezi jana 29/4/2024. Nilikua na Followers/Followings 11,200. Ndani ya miaka 12.
Leo tuna
#ThrowBackThursday
…
Sijui nifanyeje ili mwili wangu urudi kama zamani… Hapa ni 2015 nkiwa nyumbani
#Bukoba
Nlikua mzee wa Gym…Kukimbia kwa saana kila siku jion… Nafunga kula mara kwa mara… dem akijichanganya bila Round 4 sishuki 😅
Sikuhizi nmejiachia saana!
Nmekuwa na
Wewe ni Mhaya mwenzangu tatizo ni Mshabiki wa Simba…
Nafaham umeumia saana kuzidi hata wana Azam…
Chukua hio ya kupoza machungu walau ukeshe😅
#TajiriLaKihaya