
Thom Mnkondya
@Thommunkondya
Followers
4K
Following
1K
Media
618
Statuses
7K
Mpima ardhi,Mtaalamu na Mshauri binafsi wa watu,taasisi na kampuni juu ya masuala ya ardhi. Pia ni wakala wa milki @lapexproperties. Blood donor(O+)
Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2021
Kila la heri Irene.👊🏿👊🏿.
Namshukuru Mungu nimefanikiwa kuchukua na kurudisha FOMU ya kuwania UBUNGE VITI MAALUM - NGOs. Kazi na uzoefu nilioupata katika sekta ya NGOs ilizidi kuamsha ari, maono, na nia ya dhati ya kuwatumikia na kupaza sauti za wanajamii katika ngazi za maamuzi. #NGOsImaraJamiiEndelevu
0
0
4
Mapema leo nimefanikiwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge jimbo la Tunduma kupitia chama cha mapinduzi(CCM),nipo tayari kuwatumikia,kuwaongoza na kujenga kesho bora ya mji wetu wa Tunduma kama nikipata ridha ya chama changu. #Tunduma2025 #JITULAMPAKANI.
31
24
80
# appreciation post. @BarakaMaviatu ni moja ya vijana conscious sana hapa X. I appreciate mzee. Humu ndani kuna watu ni wajinga mnoo ila wanaheshimika sana😄,sijui hata ilikuwaje.
@HildaNewton21 Unaongea kama vile watu wanaofamlnya mambo ya hovyo wote ni CCM, uchaguzi wenu wa ndani peke yake umeonesha jinsi gani mlifuga wahuni na nyie wenyewe ni watu wa sampuli gani. Hizi lugha za kibabe na kujimilikisha harakati hazina maana kwamba nyie ndio wasafi.
2
0
7
Basi,ukiamini kwenye hili utakuwa huogopi kufanya jambo lolote pia utakuwa huumizwi na matokeo mabaya yakitokeaa. Sisi tufanye juhudi tu matokeo ni ya Mungu.
“Fanya juhudi matokeo ni ya Mungu”-@Thommunkondya.
3
1
14
RT @samsonisimiri: NALA CHIGONGWE. ENEO KWA AJILI YA PETROL STATION. HATI IPO NJOO TUKUPE BEI UCHUKUE MALI IMENGATA LAMI😎 .
0
1
0
Mimi nimefanyaje sasa hapo Joy. ? Huyo ni kada wa CCM kitambo mbozi wanamjua kila kijiji. Mbozi amefanya kazi kubwa sana,Mungu ampe kibali awe mbunge wao sasa. Kila la heri @TweveDevota vijana kama wewe mkoa wa songwe ni wachache sana.
Sisi Nyutro umetuachaje Mwenyekiti .Iła hii @Thommunkondya tu . Mie nakuombea heri sana .Mungu akutangulie 🥰.
1
2
16
Hongera sana @TweveDevota kila la heri kwenye hatua hii muhimu ya kuleta maendeleo katika jimbo la mbozi na mkoa wa Songwe kwa ujumla💪🏿💪🏿Vijana wa mkoa wa Songwe tumeanza kuamka.
0
2
8
😂😂 moja ya utani wa vyama huwa unanifurahisha ni huu wa kuhusisha wanachama wa CCM na mambo ya serikali😂🙌🏿. Kwamba suala la TIC jamaa anasema hata nyie ccm hamjui.?😂😂.
@Thommunkondya Kwaio hata nyie CCM hamjui wachina wameingiaje na wamepataje Vibali vya kuishi Tanzania?.
2
0
11
Kama una kodi shamba kwaajili ya shughuli za kilimo,hakikisha unakodi kwa muda mrefu(long lease) lakini pia mnaandika mkataba halafu kausajili huo mkataba ofisi za ardhi. Hii itakusaidia akitaka kukutoa ghafla au akitaka kuuza wakati bado mnamkabata. Ni jambo dogo ambalo wengi.
Ila majitu ya huku ovyo kabisa wameona nimepata mahindi mengi wamenyan'ganya shamba karibu Heka 18. Nguvu ya kulima yenyewe hawana maskini wivu utawauwa Hawa ngoja tuendeleee kununua mashamba YETU. Kiburi kitaisha tu🫵.
2
0
16