
Godson Salema
@godson_salema
Followers
1K
Following
49K
Media
5K
Statuses
16K
human rights defender Nemo judex in causa sua
Joined August 2023
The BOT was established by BoT Act1965 No 12 of 1966 this Act was repealed by BOT Act 1995 No.1 of 1995 the reason of appeal this Act were To provide for the more definitely regulatory and supervisory power of BOT Over commercial Banks and financial intermediaries @BankOfTanzania
(βοΈ na mchambuzi wetu) CRDB NI BANK YA HOVYO NA INATUMIKA KUFANYA WIZI WA KIHISTORIA NCHINI... Haijawahi kutokea duniani bank ikafanya wanachokifanya CRDB. Haiwezekani popote duniani bank kubwa ya kiwango cha CRDB ikafanya walichokifanya na wakaona ni jambo dogo na la kawaida
0
0
0
RT @AbroadTanzania: Jeshini rank ya Captain ndiyo rank pekee ya kuhoji why and how, wengi wao huwa ni wasomi hadi PHD. Rank hii unakuwa kioβ¦
0
5
0
ππanajamba hapa tuu unanichoshaga!! I'm trying to imagine akifanya ivoo π
Nchi yetu ni Jamhuri waelewe hivyo Raisi, licha ya mamlaka yake, ni sawa na raia wengine mbele ya Sheria. Shida ni watendaji Serikalini wanamgeuza Mungu mtu ambaye amezaliwa, anakula, anajisaidia, anaugua, anajamba,na anaumwa kama watu wengine wote.
0
0
3
π¨ KIMENUKA HASWAAA! π₯ Mhe. Tundu Lissu anawapiga KOMBATI ya kaki kortini! πͺ Shahidi George anayumba, anasita, anahema! π
Hati ya uhaini? Haina msingi! π Sheria za uchaguzi? Hakuna kosa la "uasi"! π Lissu anasema: "Hatuendi kunyongwa bila mapambano!" π₯ Watanzania, tukaze
4
39
133
Leo Tar. 08/10/2025. Ni siku nyingine tutakwenda kumsikiliza Shahidi wa Jamhuri (PW1) ambae ni ACP George Wilbad Bagyemu akiendelea kuulizwa maswali ya Dodoso na Mshitakiwa Mhe.Lissu. Labda niwapatie Dondoo Chache zilizojiri jana. 1. George anasema alipeleleza kesi ya
45
280
980
2 Timotheo 1:7 "Kwa maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu, na ya upendo, na ya moyo wa kiasi."
2
25
99
Courts is the final body for dispensation of Justice. Lkn adi Sasa tumeona wamegeuza mahakama Kama Gulio adi ngumi zinarushwa ndani ya mahakama..Sasa Trh 29 Tunaenda kumchomoa ukonga wenyewe
Siku hizi hata marejeo ya maamuzi ya mahakama za juu ili kuunga mkono msimamo wa sheria au mwenendo wa mashauri ni kama unapuuzwa. Bila mahakama kuwa kimbilio kwa walionyimwa haki zao tusubiri muda si mrefu watu wakipoteza kabisa imani wataanza kuchukua sheria mkononi.
0
0
4
Nakubali mike
@TZ_MsemajiMkuu @ChangeTanzania "Usalama wa Nchi" some neno hili hutumika vibaya kulinda Utashi wetu sisi watawala .Its healthy to give pple space to breath
1
2
33
Wanajeshi wa jeshi la wananchi kukubali POLEPOLE kupotezwa kama kuku ni USALITI kwa Polepole na wananchi wote kwa ujumla. Hapo nyuma tulikuwa tunapotezwa sisi wakina sativa, walikuwa wanazusha story kuwa tumefumaniwa na wake za watu itakuwa visa vya mapenzi ndiomaana nilitekwa.
43
260
1K
.Anaendelea kwakusema wagonjwa wabebwe wapelekwe wakapige Kura then warudishwe.kazi na utu .uwo UTU uko wapii?
Juzi chui walivamia zizi, wakamchukua mbuzi aitwaye mdude, wakaacha damu, wakaondoka Mbuzi tuliosalimika tukaona hayatuhusu Jana chui wamevamia tena zizi letu, wamemchukua mbuzi Humphrey, wakaacha damu, wakaondoka We are next
0
0
3