JohnNgutiCDM Profile Banner
John Nguti Chadema Profile
John Nguti Chadema

@JohnNgutiCDM

Followers
10K
Following
18K
Media
4K
Statuses
14K

Human Rights Activist & Good Rule of Law || GROUNDERS Media Communication Officer || Chairman of BAVICHA Ilala State || Member of CHADEMA Political Party....

Dar-es-Salaam Tanzania
Joined July 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
3 hours
Acha inyeshe tuone panapovuja
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
3 hours
‼️ BREAKING NEWS ‼️‼️ #Tanzania Godfrey Mwambe aliyewahi kuwa Waziri alitekwa na kushikiliwa kwa siri Kigamboni huku akipigwa sana na @tanpol Kumbukeni huyu aliwahi kuwa Waziri wa Uwekezaji na mkuu wa Tanzania Investment Centre Kisa ni kuviziana wenyewe kwa wenyewe na Mwambe
6
38
241
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
16 hours
Katibu Mwenezi wa CCM, Kenan Kihongosi ndiye anayeongoza kikosi cha Majangili wanao report accounts zetu ili zifungwe. Leo amewapongeza sana kwa kazi nzuri waliyofanya na anawasisitiza wa report hizi accounts mpaka zifungiwe. Naambiwa waratibu wakuu ni wenyeviti na Makatibu wa
25
91
322
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
17 hours
11
47
316
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
17 hours
Asanteni sana ndugu zetu Wakenya❤ #D9.
4
51
195
@daviddjumbe
David Djumbe
20 hours
@mangekimambi Hapo sasa umenena, hakuna kuwapa pumzi Hawa maharamia. Kesho maandamano kuanzia alfajiri 💥💥💥
4
13
92
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
19 hours
55
175
1K
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
21 hours
Samia na wauaji wenzako chukueni huu ushauri, Watanganyika wamewakataa, hakuna namna mnaweza kuongoza hii nchi. #D9.
1
49
191
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
21 hours
Wananchi wamekataa kuuziwa uoga. #MsiogopeTutashinda
5
42
160
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
23 hours
Arusha ujumbe utafika tu na maandamano haya hayana Kikomo, je mtaruhusu wananchi wafunge maduka siku zote au mtawapa wananchi wanachokitaka? #D9. #MsiogopeTutashinda.
6
97
351
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
23 hours
Jambo ambalo wanajisahaulisha ni kwamba, Maandamano yetu ya #D9 hayana kikomo. Tukiruhusiwa kesho kutoka majumbani tunaunganisha kwenye Maandamano. #D9.
2
43
179
@kavishePb
💨mangi mkuu
1 day
Ee mwenyezi Mungu kasimame nasi siku hii ya uhuru wa taifa letu Tanganyika ✋
6
61
270
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
1 day
Mwanza Mwanza Mwanza. Mabango ni Makubwa na yanasomeka vizuri. #D9.
33
243
764
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
1 day
Licha ya vikwazo vingi vya Polisi, Wananchi wanaendelea kuingia Barabarani na Mabango yao yenye madai ya msingi. #D9.
24
311
1K
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
1 day
107
284
4K
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
1 day
Sehemu mbali mbali Nchini watu wanaendelea kuingia kwa kasi Barabarani. #D9.
68
208
791
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
1 day
Kuanzia Mbezi kuja Kimara, Ubungo, Manzese tuingie Barabara kubwa muda huu, Uelekeo ni Mnazi mmoja Ilala. #D9.
23
160
541
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
1 day
Tumebakiza lisaa limoja tuingie barabarani kudai uhuru wa Tanganyika. #D9.
5
62
272
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
1 day
16
124
796
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
2 days
Wakati wa Ukombozi wa Tanganyika ni Kesho. Rai yangu kwa Watanganyika wote twende tukakatae mauaji na utekaji kwa vitendo.
1
52
199
@daviddjumbe
David Djumbe
2 days
Bado masaa machache tuanze sherehe za Uhuru wa Tanganyika.. barabara ni zetu hakuna wa kutuvuruga.
3
43
128