Nimefurahia ugeni wa kustukiza jioni ya leo wa Viongozi wa chama Singida Mashariki na familia ya Tundu lissu kuja hapa nyumbani kutoa shukrani kwa kuwa nilikuwa sehemu ya viongozi tuliokwenda Nairobi wakati Amepigwa risasi. Asante sana kwa zawadi .
@TunduALissu
Baadhi yetu tulimkosoa na kumshauri Magufuli , bila kujali kabila , dini au ukanda .
Hoja zijibiwe kwa hoja , utetezi wa udini au utanganyika na uzanzibari ni za kipuuzi kabisa , ni hoja za watu waliokosa weledi wa kisiasa.
Mh Lissu akielekea kweye uzinduzi wa African cup of Nations huko Côte d'Ivoire
Hapa akimpokea kaka yake wakili Alute pmoja Djumbe kwenye uwanja wa ndege
“Hutupaswi kumwamini Yesu kristo kwa sababu za kiuchumi, vinginevyo wapagani wasingekuwa matajiri .
Maombi sio mbadala wa ufahamu,uwajibikaji , ubora , ujuzi na utalaamu.”
Tatizo sio mapato tunayoyapoteza Bandarini , bali ni usimamizi wa kile kinachopatikana. Hata kama mapato yataongezeka nina uhakika hata matumizi ya hovyo yataongezeka.
Puuzeni hii propaganda aliongea iringa siku amekuja na Chongolo Iringa.
Huyu tukiwa Bungeni aliwahi kusema wabunge wa chadema tulihongwa na wzungu na kuwa walitugawia hela Morena Hotel
Kama ana mesji za mimi kunipa hela nitaacha siasa
“Mafanikio ya vitu kama magari , nyumba,na fedha,sio ishara ya kuwa wewe umekubalika na Mungu kwani hata majambazi , makahaba, mafisadi wanavyo hivyo vitu na wakati mwingine vya kwao ni bora kuliko vyako”
“Uwezo wa kushawishi wantanzania wasiwapigie kura CCM tunao mkubwa sana . Lakini hatuna uwezo wa kufanya uhaini , wala hatuna fikra za kufanya uhaini, kuwa kuna uhaini Tanzania ni kituko. Bila shaka kuna watu wanafanya kazi zao chini ya kiwango ili kumdanganya Mh Rais.”
Africa watu wa ajabu sana , chuki walionayo washabiki wa timu ya taifa ya Ghana baada ya timu yao kutolewa Afcon, Huwezi kuona Wa africa wengi wakionyesha hasira kwa mafisadi hasa wanasiasa wanaoiba malli ya umaa.
Onyesha chuki dhidi ya ccm
Ungana na Chadema kuandamana dai haki.
Uvivu hauondolewi kwa maombi.
Kama hufanyi kazi kwa maarifa na kwa bidii utatumia muda wa maisha yako yote ukipiga kelele Kanisani KUWA NAPOKEA NAPOKEA.
“Kamwe huwa hawasimulii yote kwa ukamilifu wake husimulia sehemu tu ya kilichotokea, kile kinawafanya waonekane wema lengo lao wanataka wewe uonekane mbaya.”
Rev Msigwa aka Baba Jimy
Kama umewahi kujisikia vibaya kuwa watu wanakuzungumzia sana , kumbuka wanaozungumziwa ni watu wenye nguvu. Na wanaofanya kazi ya kuzungumza ni watu dhaifu. Usijali,Upo mahali sahihi
“Kama nyumba yako inaungua na Panya anaruka na kutimua mbio kutoka motoni, huwezi kuelekeza nguvu zako ku mkimbiza Panya badala yake nguvu zako utaelekeza kuuzima moto”
“Mabadiliko huwa hayatokei au hayaji mpaka Maumivu yakubaki katika hali ile ile yawe makubwa kuliko mabadiliko na yatakayo kulazimisha kusaka mabadiliko.”
Kama ambavyo Huwezi kukaa na maumivu ya jino!
“Unakutana na Mtu ni kipofu unampa Macho , anaanza kuona, gafla ana kulaumu kwa nini umempa Macho bila kope. Hii ndio dunia ya watu”
Rev Peter Msigwa aka Baba Jimmy
“Watu wenye akili huwa wanaangalia madhara yatakayotokea baada ya kufanya maamuzi, lakini watu jasiri huwa wanaangalia faida watakayopata baada ya kufanya maamuzi”
Mjinga anweza kuchoma msitu ili apate kitoweo cha Panya!
Kuna watu wanatamani kuwa Viongozi wa ngazi mbalimbali ndani ya chama na ndani ya nchi , lakini njia wanazozitumia, zinahatarisha msitu wetu.
Rev Msigwa aka baba Jimmy
“Nawatakia kila la heri wakili Msomi Mwabukusi na mawakili wenzako pamoja na waliofungua kesi ya Bandari, juu ya hukumu ya Kesi leo.”
Peter Msigwa
M/Kiti kanda ya Nyasa.
Kamwe hauwezi kuinuka kutoka kwenye muanguko wa mwingine. Hii ni kwasababu hauna uwezo wake. Uwezo wake ni wake tu, akianguka huanguka na uwezo wake, uwezo huo hauwezi kuja kwako kamwe.
Hili, unapaswa kulielewa katika maisha
“Hata wale tuliopigwa risasi kwa ajili yao ……. Walitulalamikia kuwa damu zetu ziliweka madoa na kuchafua kwenye mashati yao wanayoyapenda. Dunia ina mambo hii .”
Rev Msigwa a.k.a baba jimmy a.k.a baba wawili.
“Tunapo elekea kuuanza mwaka mpya 2024, fanya tathimini ya contact list yako. Wale wote , waongo , wafitini, wazushi,wanafiki na wele wasio ona jema kwako
Delete, Block na left. Ukitambua thamani yako sio kila mtu anasitahili kuwa sehemu ya maisha yako.”
“Tofouti yako na yake ni moja tu ,kuwa wewe unaifurahia na kuihesabu siku kwa mavuno unayoyapata, Mwenzako anaifurahia na kuihesabu siku kwa mbegu anayoipanda”
Rev Msigwa
Ignorance is an enemy, even to its owner. Knowledge is a friend, even to its hater. Ignorance hates knowledge because it is too pure. Knowledge fears ignorance because it is too sure.