Peter Msigwa Profile Banner
Peter Msigwa Profile
Peter Msigwa

@MsigwaPeter

Followers
2,569
Following
262
Media
110
Statuses
228

Pastor | Former Member of parliament-iringa constituency 2010 -2020 | Former Shadow Minster for Natural Resource and Tourism 🇹🇿

Iringa, Tanzania
Joined May 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
2 months
Arusha imeitika
Tweet media one
31
197
2K
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
11 months
Tweet media one
47
105
976
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
10 months
Nimefurahia ugeni wa kustukiza jioni ya leo wa Viongozi wa chama Singida Mashariki na familia ya Tundu lissu kuja hapa nyumbani kutoa shukrani kwa kuwa nilikuwa sehemu ya viongozi tuliokwenda Nairobi wakati Amepigwa risasi. Asante sana kwa zawadi .⁦ @TunduALissu
Tweet media one
18
104
977
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
4 months
Tumeandamana kwa amani!
Tweet media one
16
98
923
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
13 days
“Siku ya kwanza kwa kipofu kuona, kitu cha kwanza kufanya huwa nikuitupa fimbo ambayo imemsaidia maisha yake yote.”
Tweet media one
28
63
749
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
11 months
Baadhi yetu tulimkosoa na kumshauri Magufuli , bila kujali kabila , dini au ukanda . Hoja zijibiwe kwa hoja , utetezi wa udini au utanganyika na uzanzibari ni za kipuuzi kabisa , ni hoja za watu waliokosa weledi wa kisiasa.
58
97
706
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
4 months
Mh Lissu akielekea kweye uzinduzi wa African cup of Nations huko Côte d'Ivoire Hapa akimpokea kaka yake wakili Alute pmoja Djumbe kwenye uwanja wa ndege
Tweet media one
20
84
670
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
7 months
“Hutupaswi kumwamini Yesu kristo kwa sababu za kiuchumi, vinginevyo wapagani wasingekuwa matajiri . Maombi sio mbadala wa ufahamu,uwajibikaji , ubora , ujuzi na utalaamu.”
39
114
625
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
Asante Iringa, as always !
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
17
68
482
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
Lissu sengerema
Tweet media one
10
66
473
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
11 months
Tatizo sio mapato tunayoyapoteza Bandarini , bali ni usimamizi wa kile kinachopatikana. Hata kama mapato yataongezeka nina uhakika hata matumizi ya hovyo yataongezeka.
20
86
445
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
8 months
Mapokezi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mhe.Peter Msigwa Mkoani Mbeya. Kata ya swaya! #Nyasayetu
Tweet media one
Tweet media two
6
48
411
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
11 months
Tweet media one
12
74
372
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
7 days
Puuzeni hii propaganda aliongea iringa siku amekuja na Chongolo Iringa. Huyu tukiwa Bungeni aliwahi kusema wabunge wa chadema tulihongwa na wzungu na kuwa walitugawia hela Morena Hotel Kama ana mesji za mimi kunipa hela nitaacha siasa
45
62
363
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
8 months
It was real cool to visit our friend, brother and colleague The future looks bright, Grory to Go!
Tweet media one
Tweet media two
5
32
339
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
2 months
Ilikuwa tayari kwa maandamano
Tweet media one
Tweet media two
1
21
335
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
27 days
“Paka anayeota kuwa simba ni lazima apoteze kwanza hamu ya kuwala panya .”
Tweet media one
10
30
316
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
7 months
“Mafanikio ya vitu kama magari , nyumba,na fedha,sio ishara ya kuwa wewe umekubalika na Mungu kwani hata majambazi , makahaba, mafisadi wanavyo hivyo vitu na wakati mwingine vya kwao ni bora kuliko vyako”
22
73
301
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
7 months
Tweet media one
39
37
302
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
“Uwezo wa kushawishi wantanzania wasiwapigie kura CCM tunao mkubwa sana . Lakini hatuna uwezo wa kufanya uhaini , wala hatuna fikra za kufanya uhaini, kuwa kuna uhaini Tanzania ni kituko. Bila shaka kuna watu wanafanya kazi zao chini ya kiwango ili kumdanganya Mh Rais.”
12
77
285
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
4 months
Na Chief Odemba
31
64
277
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
2 months
Niwatakie wanawake wote siku yao yenye furaha na mafanikiao
4
40
265
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
Kwa Heri victoria
Tweet media one
4
28
257
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
Tweet media one
3
36
243
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
11 months
Tweet media one
7
69
241
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
Matamba now
Tweet media one
10
28
237
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
6 months
Hapo je
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
17
30
234
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
Mwanza imenoga
Tweet media one
2
22
229
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
3 months
“Uzuri wa nyakati ngumu huwa zinawaondoa marafiki fake”
9
69
232
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
4 months
Africa watu wa ajabu sana , chuki walionayo washabiki wa timu ya taifa ya Ghana baada ya timu yao kutolewa Afcon, Huwezi kuona Wa africa wengi wakionyesha hasira kwa mafisadi hasa wanasiasa wanaoiba malli ya umaa. Onyesha chuki dhidi ya ccm Ungana na Chadema kuandamana dai haki.
10
45
222
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
Kwimba Mwanza
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
43
208
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
8 months
Ni yeye!
12
37
202
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
4 months
Uvivu hauondolewi kwa maombi. Kama hufanyi kazi kwa maarifa na kwa bidii utatumia muda wa maisha yako yote ukipiga kelele Kanisani KUWA NAPOKEA NAPOKEA.
9
48
183
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
3 months
9
52
167
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
Morogoro leo jioni
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
27
163
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
11 months
Utukufu ni kwa Bwana
Tweet media one
11
17
163
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
7 months
13
57
158
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
Tweet media one
4
25
154
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
RlP we will miss
Tweet media one
4
14
156
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
11 months
Poor Msukuma
13
35
150
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
4 months
“Kamwe huwa hawasimulii yote kwa ukamilifu wake husimulia sehemu tu ya kilichotokea, kile kinawafanya waonekane wema lengo lao wanataka wewe uonekane mbaya.” Rev Msigwa aka Baba Jimy
Tweet media one
2
20
147
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
18 days
7
36
149
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
5 months
12
32
147
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
4 months
6
39
142
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
7 months
Kanda ya Nyasa!
Tweet media one
2
23
135
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
2 months
Watu wa habari ikulu kuweni makini badi duuu!
10
22
132
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
2 months
Kama umewahi kujisikia vibaya kuwa watu wanakuzungumzia sana , kumbuka wanaozungumziwa ni watu wenye nguvu. Na wanaofanya kazi ya kuzungumza ni watu dhaifu. Usijali,Upo mahali sahihi
5
33
123
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
11 months
Feel the vibe ! Iringa yetu
3
24
119
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
5 months
Watu wangu wanaangamia kwa kuso maarifa
8
44
120
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
10 months
Better to remain silent and be thought a fool than to speak and to remove all doubt - It's better to keep your mouth shut and appear stupid.
9
33
112
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
Still standing!
Tweet media one
7
16
111
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
11 months
“Kama nyumba yako inaungua na Panya anaruka na kutimua mbio kutoka motoni, huwezi kuelekeza nguvu zako ku mkimbiza Panya badala yake nguvu zako utaelekeza kuuzima moto”
1
23
109
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
2 months
“Mabadiliko huwa hayatokei au hayaji mpaka Maumivu yakubaki katika hali ile ile yawe makubwa kuliko mabadiliko na yatakayo kulazimisha kusaka mabadiliko.” Kama ambavyo Huwezi kukaa na maumivu ya jino!
1
33
109
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
4 months
Leo kwenye MEDANI ZA SIASA @chiefodembatz atakuwa na Mch.Mhe.Peter Msigwa kuanzia Saa 3:30 Usiku. Funga mwaka kibabe na PETER MSIGWA
Tweet media one
3
21
109
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
22 days
Asanteni iringa , asante nyasa
1
13
100
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
10 months
2
36
98
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
5 months
8
33
94
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
30 days
Hongera kamanda wa nguvu
Tweet media one
3
10
92
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
Iringa yetu!
6
32
94
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
5 months
“Unakutana na Mtu ni kipofu unampa Macho , anaanza kuona, gafla ana kulaumu kwa nini umempa Macho bila kope. Hii ndio dunia ya watu” Rev Peter Msigwa aka Baba Jimmy
4
15
90
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
Mganzo Chato happening now
2
19
91
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
10 months
Tweet media one
2
19
90
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
“Watu wenye akili huwa wanaangalia madhara yatakayotokea baada ya kufanya maamuzi, lakini watu jasiri huwa wanaangalia faida watakayopata baada ya kufanya maamuzi”
Tweet media one
5
23
89
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
“Inchi moja kwenda uelekeo sahihi ni bora kuliko maili moja kwenye uelekeo usio sahihi”
Tweet media one
1
13
87
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
3 months
3
25
83
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
5 months
Mjinga anweza kuchoma msitu ili apate kitoweo cha Panya! Kuna watu wanatamani kuwa Viongozi wa ngazi mbalimbali ndani ya chama na ndani ya nchi , lakini njia wanazozitumia, zinahatarisha msitu wetu. Rev Msigwa aka baba Jimmy
1
20
83
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
2 months
Pumzika mzee wetu Asante kwa utumishi mwema
Tweet media one
2
8
84
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
“Nawatakia kila la heri wakili Msomi Mwabukusi na mawakili wenzako pamoja na waliofungua kesi ya Bandari, juu ya hukumu ya Kesi leo.” Peter Msigwa M/Kiti kanda ya Nyasa.
2
18
82
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
Chato Mganza asubuhi hii
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
17
79
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
22 days
This is how we dance in our homeland!
0
9
75
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
1
19
67
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
It was privilege speaking to good people!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
18
57
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
10 months
Tweet media one
2
13
53
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
10 months
Iringa mjini
Tweet media one
Tweet media two
1
8
50
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
1
16
47
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
5 months
Tweet media one
8
9
45
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
5 months
Kamwe hauwezi kuinuka kutoka kwenye muanguko wa mwingine. Hii ni kwasababu hauna uwezo wake. Uwezo wake ni wake tu, akianguka huanguka na uwezo wake, uwezo huo hauwezi kuja kwako kamwe. Hili, unapaswa kulielewa katika maisha
3
10
45
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
“Paka mwenye malengo hamli Panya mwenye Mimba”
2
11
42
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
Tweet media one
0
10
42
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
22 days
1
5
39
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
7 months
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
10
38
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
Hii ndio aina ya fikra za wale tunaowaita viongozi hapa Tanzania!
Tweet media one
3
10
39
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
2 months
“Mwanamke anayejitambua yuko vizuri kutetea maslahi yake binafsi. Lakini mwanamke anayejtambua zaidi yuko vizuri kutetea maslahi ya ya wote”
Tweet media one
0
9
38
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
2
13
34
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
4 months
“Hata wale tuliopigwa risasi kwa ajili yao ……. Walitulalamikia kuwa damu zetu ziliweka madoa na kuchafua kwenye mashati yao wanayoyapenda. Dunia ina mambo hii .” Rev Msigwa a.k.a baba jimmy a.k.a baba wawili.
1
6
28
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
10 months
“One day, you rule the skies, the next you're abandoned in a junk yard.”
Tweet media one
0
9
28
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
5 months
“Tunapo elekea kuuanza mwaka mpya 2024, fanya tathimini ya contact list yako. Wale wote , waongo , wafitini, wazushi,wanafiki na wele wasio ona jema kwako Delete, Block na left. Ukitambua thamani yako sio kila mtu anasitahili kuwa sehemu ya maisha yako.”
3
4
26
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
Kahama mpooooo!
0
5
23
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
8 months
Don’t compromise quality, skills , professional, excellence and performance in the name of prayers
0
2
23
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
10 months
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
1
22
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
“Tofouti yako na yake ni moja tu ,kuwa wewe unaifurahia na kuihesabu siku kwa mavuno unayoyapata, Mwenzako anaifurahia na kuihesabu siku kwa mbegu anayoipanda” Rev Msigwa
0
5
21
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
3 months
“Kama siku zinapaswa kusahuliwa , kamwe usiisahau siku ambayo mimi nilikuwa suluhisho pekee la changamoto yako na sikukuangusha” Baba Jimy
2
3
21
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
1 year
0
8
20
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
10 months
“When the cheese is on the table is when the mouse comes out”
0
3
18
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
4 months
Tweet media one
1
1
18
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
5 months
Tweet media one
0
4
18
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
7 months
@kinswatu Uchumi una kanuni zake sikubaliani na imani yako ya madhabahu
4
0
18
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
10 months
Ignorance is an enemy, even to its owner. Knowledge is a friend, even to its hater. Ignorance hates knowledge because it is too pure. Knowledge fears ignorance because it is too sure.
0
7
17
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
6 months
“Watu wakiaminishwa uongo, kweli huwa inakuwa ni adui”
1
3
18
@MsigwaPeter
Peter Msigwa
9 months
Those who believe that politics and religion do not mix, understand neither. Albert Einstein
0
7
16