
DevotaTweve
@TweveDevota
Followers
85K
Following
143K
Media
5K
Statuses
114K
Journalist | Instagram https://t.co/59Bh6zcLr1
Tanzania
Joined July 2014
Wanafunzi wa sekondar wanapata wapi ujasiri wa kujirekodi video za utupu? Hawafikirii maisha yao ya badae, hawajui kama wanawaumiza wazazi wao pia. Inaumiza sana kwakweli.
181
38
684
Katika maisha yetu kujifunza kupitia makosa yetu au ya wengine inatakiwa kuwa kawaida.
Kujifunza kutoka kwa makosa ya wengine ni ishara ya hekima na unyenyekevu. Watu wengi hupotea si kwa sababu hawana akili, bali kwa sababu hawataki kusikiliza waliojikwaa kabla yao. Mungu hutupa mifano ya maisha ya wengine si kwa kuwahukumu, bali kutufunza tusirudie makosa hayo.
0
1
6
Niko Isapulano, Makete nimeiona Kunguru imefungwa kikopo shingoni hadi sasa majibu ninayopewa sijayaelewa๐
12
3
78
Ukatili wa kisiasa dhidi ya wanawake, ikiwemo ukatili wa kingono, ukatili wa kisaikolojia na vitisho ili kunyamazishwa na kubaguliwa ni kikwazo kikubwa kwa ushiriki wao katika siasa, hali hii inayodhoofisha demokrasia na kukandamiza haki zao. #16DaysTanzania2025
1
22
21
Kuna mambo unayaona/kuyasikia kwa majirani zako. Usipochukua hatua ya kujifunza yatakukuta na wewe ili majirani zako nao wapate fursa ya kuyasikia/kuyaona yakikutokea!!
0
18
53
Ukatili wa kisiasa dhidi ya wanawake ikiwemo ukatili wa kingono, kisaikolojia na vitisho ili kunyamazishwa na kubaguliwa ni kikwazo kikubwa kwa ushiriki wao katika siasa, hali hii inayodhoofisha demokrasia na kukandamiza haki zao. #16DaysTanzania2025
#OurVoicesOurSafety
0
7
11
Nani anataka 16 plain 256Gb anipe 1.7 battery-96%
4
10
73
KIROHO SAFI NAOMBA RETWEET YAKO FAMILIA ๐ฐ BET OF THE DAY ๐ฅ ๐ฆ COMPANY : FAN-SPORT ๐ ๐ฏ ODDS 10+ ๐งพ CODE ๐ U1UML ๐ฐ STAKE: 50,000/= JISAJILI FAN-SPORT๐ ๐ https://t.co/ONfWI4h1wK ๐ช Sehemu Ya Promocode Jaza: MYBONUS JOIN FREE WHATSAPP GROUP ๐ https://t.co/LUellxY1lz
3
38
35
๐
๐
๐
๐
ngoja nilale sasa.
1
0
2
Unataka awe mhojiwa wa kwanza kwenye #SiasaZetu?
1
0
3
Narudia tena siasa ziko mtaani. Haina shortcut. #ElimikaWikiendi
188
24
182
Kuna mambo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku yanaumiza sana ni vile mengine hakuna namna.
0
0
1
Mke mbaroni kwa tuhuma za kumuua mume wake na kumzika chumbani. Cc: Mwananchi
2
0
5
Siasa ndio maisha yetu hivyo ni lazima tujadili masuala mbalimbali yanayohusu siasa ndani ya @ZetuSiasa Usikose kufuatilia msimu mpya wa #SiasaZetu #SiasaNiMwananchi
1
11
18
2
3
7
Ni Muda Muafaka sasa Wa Kupata Kitu Cha Tofauti Kutoka @ZetuSiasa. โSauti mpya. โMtazamo mpya. Tukutane YouTube kwa mazungumzo ya maana kuhusu siasa kwenye Jukwa la #SiasaZetu
#SiasaNiWananchi
5
18
14
Katika dunia ya leo, uelewa wa kisiasa ni silaha muhimu. @ZetuSiasa Podcast imekuja kuwa jukwaa la sauti za wananchi, mjadala wa kina na hoja zinazogusa uhalisia wa maisha. Chini ya usukani wa Stanslaus Lambe, tunajadili mada muhimu kwa mtazamo huru, wazi na wenye kuelimisha.
4
21
24
Raila Odinga was a true champion of democracy. A child of independence, he endured decades of struggle and sacrifice for the broader cause of freedom and self-governance in Kenya. Time and again, I personally saw him put the interests of his country ahead of his own ambitions.
8K
25K
160K
Mtaalam kabisa @mkutubi26 ndani ya @ZetuSiasa anatusogezea Sauti mpya, pamoja na mitazamo mipya inayohusu #SiasaZetu Tanzania unataka kujua nini amekuandalia kuhusu Siasa Zetu? Hakikisha hukosi mjadala huu hivi karibuni kupitia youtube channel yetu ๐ค๐ค
4
15
17
Biashara zangu ni Zile zile, Viwanja, na Apartment pale Bwiru Mwanza. Niungeni mkono basi.
10
48
330