Faraja Kotta Profile Banner
Faraja Kotta Profile
Faraja Kotta

@FarajaNyalandu

Followers
302,490
Following
1,049
Media
604
Statuses
14,040

Improving lives through learning opportunities @ShuleDirect @ndotohub | Chairlady @ten_met | Board Member @globaleducation @yglvoices | @WEF Young Global Leader

Africa
Joined November 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
THREAD: Makosa ya kuepuka unapoandika proposal, concept note au expression of interest. Wengi wetu wenye taasisi, asasi au kampuni inatulazimu kuandika proposal au concept note kuweza kupata fedha kama mtaji au kuendesha miradi au strategic partnerships;
110
505
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Nakupenda @LazaroNyalandu ❤️
148
117
4K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
2 years
Sio sifa wanafunzi wako wakifeli. Nikiwa first year UDSM Sheria, kuna lecturer alituambia kabisa hata nusu hamtograduate. Hii ya kukamia watu kufeli ili kuonesha unguli wa tasnia fulani umepitwa na wakati. Huku mtaani GPA sio kigezo pekee cha mafanikio. Wala ulichosomea :(
267
254
2K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
No, my husband was not trying to cross the border into Kenya. He didn’t need a passport to be at Namanga for his personal business, Tanzania’s side, broad daylight. We live in Arusha for God’s sake. The apprehension didn’t happen yesterday as reported, it was Friday last week.
11
167
2K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Umevipiga vita vilivyo vizuri. Wewe ni shujaa. Karibu nyumbani baba @LazaroNyalandu . Tunakupenda sana na Bwana Yesu anakupenda zaidi 🙏🏾
60
112
2K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Nimekaa kwa kutulia nimewatafakari hawa wadada. Kwa bahati mbaya au nzuri, tunachokiona ni matokeo ya mwanaume waliye naye. It may not be popular opinion, ila wanawake tunatengenezeka kirahisi sana...kuwa vibaya au kuwa vizuri. Wabarikiwe
@CloudsMediaLive
Clouds Media
4 years
#MapenziShataShata kwa Dr Mwaka na wake zake vipenzi katika Leo Tena
428
325
3K
162
86
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Unapoteza pumzi kugeuka geuka kuangalia mbio za wengine. Zingatia unapoenda, jizingatie unavyoenda.
26
170
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Nitayainua macho yangu, nitazame milima. Msaada wangu utatoka wapi? Msaada wangu u katika Bwana, aliyezifanya mbingu na nchi - Zaburi 121 kwa ajili ya mume wangu @LazaroNyalandu
0
102
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Je wajua? Nilikuwa wa kwanza katika somo la Historia nchi nzima katika mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita mwaka 2004. How? Nilisoma vitabu kuliko ‘notes’ @ElimikaWikiendi #HumbleBrag 😀
105
81
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
5 years
Nikumbushe Wema Wako nisije laumu. Hata sasa Wewe ni Bwana
72
94
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
#THREAD Umemaliza Chuo? Uko in between ajira/kujiajiri na kumaliza Chuo? Huna Cheti cha Elimu ya Chuo na umejiajiri au umeajiriwa? Cheti sio kila kitu. Uzi huu ni wa ujuzi mbalimbali utakaokutofautisha au kukuongezea ufanisi kufikia malengo yako. Elimu sio kigezo ingawa ni msingi
72
510
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
It’s a beautiful day! #TanzaniaElections2020
Tweet media one
29
55
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
I appreciate everyone who got in touch to check on me and kids. Including cadres of main and opposition political parties. There is pain, we all need to heal. I have no energy to be angry. I hope we find peace, unity and compassion as a nation. May God bless our country Tanzania
66
99
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Struggling to make a decision about something usually means there are other smaller decisions to be considered before getting to the actual big decision. Trust the process
18
80
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
5 years
My husband is back. Praise, Glory and Honor to God. Asanteni sana kwa upendo wenu. Hakika yanayotuunganisha ni mengi na muhimu kuliko yanayoweza kutugawanyisha. Nawapenda wote, nawashukuru wote. WOTE. Naendelea…
42
51
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Kama sio leo, basi kesho. Usikate tamaa 🙏🏾
30
100
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Today, I celebrate a man after God’s own heart, love of my life and an amazing daddy to our children. Happy Birthday love @LazaroNyalandu
31
35
1K
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Wanaobet wala sio vijana peke yao. Leo nimekaa pembeni ya baba mmoja tukisubiri huduma aliniomba nimchagulie ‘mechi’ akihisi nina bahati kwahiyo anaweza kushinda. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuona vinavyochezwa. Aliniambia hajui jinsi ya kuacha kubet
97
34
939
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
1 year
I am a mother of a 14 years old girl 🌸🌸🌸
Tweet media one
27
18
920
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
5 months
My son is 14 years old today! I thank God for trusting me to be his mother. What a great honor!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
33
38
913
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Ushauri wa zamani: Ukienda kwenye hafla, ni bora ukae viti vya nyuma kuliko kukaa high table, kama ni wa kukaa high table utafuatwa huko nyuma upelekwe mbele Tafsiri ya sasa: Usijipe umuhimu
22
90
885
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Tunavyopambana kutafuta hela, tupambane na kujifunza matumizi sahihi
34
116
879
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Ukibarikiwa bariki wengine, ukishindwa kabisa, usiwe kikwazo
25
102
831
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Tweet media one
22
13
823
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
THREAD: Kwanini Shule za Masista zina rekodi nzuri ya ufaulu kuliko Shule nyingine. Naelezea uzoefu wangu binafsi baada ya kusoma Shule mbili za masista, St. Francis (Mbeya) na St Mary’s Mazinde (Tanga), nikiwa miongoni tuliopata Division One enzi hizo...
72
117
802
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
1 year
Hii ni habari njema kwa Elimu yetu. Motisha ya kukaririsha watoto na kuwafundisha masaa 12 ili Shule iwe kumi bora sasa hakuna. Tuendelee kujenga misingi ya ufundishaji bora kwa lengo la kukuza uelewa, turudi kwenye mantiki nzima ya mtu kwenda shule. Elimu bora sio bora Elimu!
Tweet media one
145
93
823
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Tuna kazi kubwa sana na wadogo zangu wa kike na wa kiume hasa zama hizi za mitandao. Tulikuwa na mila nzuri sana za kuwafundisha wavulana kuwa wanaume wanaojitambua na kujua nafasi yao kwenye maisha ya mwanamke. Siku hizi watu tupo tupo tu, si imani si mila :(
50
73
794
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Mnaoaccess Twitter bila nanilii mko mtandao gani?
103
18
776
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Usirithi urafiki kama ambavyo usirithi uadui. Jifunze kuwa na tafsiri yako ya watu, tengeneza, maliza au anzisha mahusiano kwa sababu zako binafsi
20
123
777
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
11 months
Kuna interview mtu aliulizwa mshahara anaotarajia iwapo atapata kazi. Akataja nusu ya pesa iliyopangwa kama mshahara. Muajiri wake akafurahi kuona wanampata kwa nusu gharama. Tulitetea sana alipwe kilichopangwa na sio kumlalia kisa ufahamu mdogo wa thamani yake au shida ya kazi
45
46
774
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Haki huinua Taifa. Mwenyezi Mungu awaongoze wote wenye nafasi za maamuzi juu ya haki, umoja na amani ya Taifa letu. Amen
25
65
747
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
2 years
Win or Learn 📌
Tweet media one
21
11
732
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Usichague kazi kwasababu hujaisomea au hauna ‘passion’ nayo. Utafanyia kazi ‘passion’ yako kwa ufanisi zaidi ukiwa na uhakika wa kula. Tofautisha ulazima na hiari.
28
134
714
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Mwajionaje na hali?
Tweet media one
Tweet media two
91
12
682
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Je wajua? Kuwahi kumuanzisha mtoto chekechea hakumjengei tabia za kujifunza. Bora abaki nyumbani awe mbunifu na mdadisi bila mipaka inayowekwa shuleni @ElimikaWikiendi
38
83
661
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Tuko mbioni kutengeneza category za kike kama vile kina kaka mlivyo na hizi wapwa na mabloo. ‘Shangazi’ umekuwa ni mwanzo mzuri 😅
64
13
658
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
5 years
Natumai sote tumejifunza kuwa na ubishi hoja na sio ubishi hewa. Kilichofurahisha kati ya shangazi na mheshimiwa ni uzito wa hoja za kila mmoja, ndio ligi ikanoga. Wale wenzangu na mimi wa kupinga alimradi tu upepo uko kusi na sisi tuko kasi, chai za hyatt tutazisikia timeline 😂
24
57
629
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Kuna kitu gani special umejifunza wiki hii iliyoisha?
92
11
598
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
5 years
Don't be nice to people because you never know who they will be tomorrow. Do it because it is the right thing to do
15
135
614
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Some days you learn. Some days you are the lesson.
11
103
594
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
5 years
Leo ndio siku ya kutufanyia ule utafiti wa World Happiness Index 😀
35
42
567
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Asanteni kwa kushiriki nami kwenye @ElimikaWikiendi . #Bonus Je Wajua? Inawezekana mwanamke akapenda urembo kama anavyopenda vitabu, akaweza kuongoza kazi za nyumbani kama za ofisini, akaweza kuwa mama kama anavyoweza kuwa kiongozi na akampenda Mungu kuliko anavyoipenda dunia 😃
Tweet media one
17
44
572
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Naandika hizi threads kwa uzoefu wangu binafsi. Nimeshajaribu vitu vingi. Ninavyoandika hapa ni vile ambavyo vilinisogeza hatua nyingine. Kila siku nataka nifanikiwe zaidi. Kila siku najifunza. I hope you feel the same way. Let’s grow together!
14
54
563
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Nguzo imeanguka. Pole sana Zanzibar, Pole sana Tanzania. Ni kipindi kigumu. Pumzika kwa amani baba 🙏🏾
Tweet media one
4
34
569
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
5 years
Asante Bwana Yesu. Sifa na Utukufu ni Kwako
15
33
560
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
2 years
Narudia tena, kufiwa na wazazi ni umaskini mkubwa sana. Wapende, wathamini, wajali wazazi wako. Ni jambo la kumshukuru Mungu kuwa nao 🙏🏾
17
69
541
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Democracy is a process, maybe a system but definitely not an event. America keep schooling the world
12
48
524
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Unaimarishwa kwa uwezo wako wa kukabiliana na changamoto. Kila changamoto ni nafasi ya kuwa bora kuliko jana
8
49
508
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
6 years
Ingekuwaje binadamu tungekuwa tunawaza kwa sauti? Kuna ya moyoni yanayobaki moyoni. Si kila kisemwacho kimekamilika, kuna yanayobakizwa, hayatotamkwa kwa maneno ila utayajua kwa vitendo
67
93
515
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Do not escape your shortcomings by always finding somebody else to blame. There will always be shortcomings and people to blame, but are you getting better?
9
82
509
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Congratulations @IdrisSultan . Your dedication is inspiring
6
17
495
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
THREAD: Jinsi ya kuboresha mahusiano yako na professional stakeholders wanaosupport jitihada zako iwe wafadhili, wabia, mawakala au wadau wa biashara
19
123
502
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
I hope you find the right people to support you. You cannot make it on your own. And be the right person for others
6
94
494
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Kuna tofauti kati ya kujua kitu na kujua jina la kitu. Tutafute kuelewa. Tujifunze zaidi, Tujue zaidi
8
32
483
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
It is a great day to be a woman
19
44
476
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Ukiwa unaanza, anza na hali halisi. Usianze na vile ungependa vitu viwe. Pambana vitimie. Work with what you have in front of you. Things are as they are. Work your way up
17
72
471
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Shaming or ridiculing other people’s hustles, doesn’t make yours any better. Choose kindness
6
63
467
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
THREAD: Mambo ya kuzingatia unapoanza kufanyia kazi wazo lako kuwa biashara au taasisi. Hizi ni hatua za awali kabla ya kuanza usajili na taratibu nyingine za kisheria
14
178
461
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Alafu baba ni baba na mama ni mama. Let’s not normalize mothers taking on fathers’ roles and disregard fathers. Baba wawe baba. Mama wawe mama. Labda tu iwapo mapenzi ya Mungu yamefanya vinginevyo. Tunahitajiana.
18
86
461
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Shout out to people who listen to people. Listening is underrated...
7
60
468
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
2 years
Isitoshe mitihani sio kipimo kizuri cha maarifa na akili za mtu kwa muda wote aliokuwa Shule
23
35
463
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Normalize not having an opinion on everything
6
83
459
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
You get paid on the results of your work not how much time you spent on it. That is why you need to work on your craft and improve your skills
14
49
462
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Kuna mtu kaniambia muonekano wangu haufananii akili 🤣🤣 🤣
57
9
442
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Jaribu kuwa consistent uone itakuwaje. Moja ya vitu ninavyoamini vinatofautisha kufanikiwa na kutokufanikiwa. Shikana na jambo lako kwenye milima na mabonde mpaka uone mwisho wake.
23
77
433
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Sometimes let the fire burn. Don’t always be a firefighter
8
59
438
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
5 years
Kwahiyo habari yangu ikiandikwa Nyalandu na haimhusu mume wangu ni kosa? Ikiandikwa Kotta na hainihusu mimi, inamhusu baba yangu, ni kosa? Tatizo ni identity au identification? Hii kanuni ni habari ikiwa mbaya tu au na nzuri pia? Poleni sana @kwanza_tv
5
45
417
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Results speak for who you really are, not who you pretend to be
4
36
424
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
1 year
I don’t know who needs to hear this but learn to speak less this year.
11
82
425
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
THREAD: Ninavyoweza na ninavyotamani kuweza ili kuongea vizuri kwenye hadhara. Topic ni public speaking, kwa inaotuhusu, hii huwa ni nafasi ya kujinadi (yes you, people buy from people), kunadi biashara/huduma yako na kualika wadau/partners wa kushirikiana nao kwa gharama nafuu;
16
110
408
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
6 years
Happy 10th Wedding Anniversary my darling husband @LazaroNyalandu . You are my past, present, future and forever. God is faithful. I love you
Tweet media one
25
18
405
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
2 years
Woke up like this!
Tweet media one
Tweet media two
22
9
399
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
1 year
Happy Holidays 💫
Tweet media one
7
14
390
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
2 years
Are you a good friend to your friends or you only expect your friends to be good to you?
19
69
384
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Tuseme asante kila tunapoweza, kila inapobidi na isipobidi. Moyo wa shukrani ni mtaji kwa tunayoyajua na tusiyoyajua
8
51
384
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
A clean heart will always win in the end. Have a blessed Sunday
6
49
377
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Learn to work with people who are not necessarily your friends
7
57
377
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Once you think you are always right, you are never right. Rise above your own understanding 🙏🏾
7
37
376
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
2 years
You are the bag. Secure yourself!
Tweet media one
6
19
372
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
6 years
Kuna vitu vinatokea unabaki kujiuliza ni Tanzania hii hii? Ama kweli binadamu usimchoree mstari. Mungu ibariki nchi yetu, Mungu wabariki viongozi wetu
20
52
361
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Another ‘We regret’ email. I am almost numb to the pain now 😅 Let’s keep pushing friends. May your setbacks be your motivation!
19
36
367
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
5 years
So proud of my former school, St. Francis Girls Sec. School for ranking top at the Secondary School National Exams. Qualified teachers, discipline, enabled self learning, cultivating self motivation and Faith got them there. It’s possible to have every student score Division One!
17
26
361
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
THREAD Jinsi ya kumudu NETWORKING kama sehemu ya mafanikio binafsi na ya biashara yako. Nimekosa tafsiri ya moja kwa moja lakini kuna haja ya kujua jinsi ya kujichanganya na kuwasiliana na watu, hasa sehemu za makutano au dhifa mbalimbali
30
126
367
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
2 years
Let’s normalize using research findings and data insights when giving ‘facts’ and not emotions or opinions based on our own perceptions. Please
18
87
362
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Best thing I heard this morning ‘Don’t try to be great. Be solid’
2
42
352
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Congratulations lady @bvrbvra - I believe in your capacity and ability to lead Simba Sports Club to newer heights. Godspeed in all your plans, you got this!
3
17
349
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Kabla ya yote. Sisi ni binadamu. Tusisahau 🙏🏾
15
42
346
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
My upcoming #NdotoStar - love being a mother 😊
Tweet media one
9
8
341
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
5 years
Kaka yangu huwa anasema vijana tuna tatizo la ujuaji mwingi...
15
45
328
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
1. Jifunze ku-network. Usikae ndani. Jifunze kuongea na watu, kuwasikiliza na kuwa na maswali sahihi ya kuwauliza. Jitahidi kukuza ufahamu wako wa mambo mbalimbali ili uwe an interesting and interested person, ufahamu unakuzwa kwa content unazo-consume kila siku...
4
49
340
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
THREAD Uandishi wa email unaoweza kuleta matokeo chanya. Kwenye ulimwengu wa leo, mawasiliano ya kielektroniki imekuwa ni muhimu na lazima. Kuanzia Covid iliyopita na hata hii ya ajabu ajabu, emails na ‘zoom’ zimechukua nafasi ya makutano ya ana kwa ana kwa wengi wetu makazini;
22
138
334
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Lots of birthday love to our daughter, Sarah Divine Nyalandu. She is the first person to call me mama. Happy 12th Birthday Tutti Frutti, May our Lord Jesus Christ shine His Light today and always!
Tweet media one
14
9
341
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
2 years
Not everyone learns through struggle. What doesn’t kill you, may not necessarily make you stronger. You may become weaker. Let’s not glorify hardships. It’s okay to ask for help 🙏🏾
17
126
344
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Me contemplating how I want to adult today. Good morning world 😊
Tweet media one
10
5
337
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
May a great opportunity find you ready!
14
35
333
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Treat others how you would like to be treated
9
51
331
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
3 years
Sometimes, silence is the loudest thing you can say
7
44
329
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Don’t lose yourself trying to win others
2
52
324
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
4 years
Kila unapoweza kuthubutu, usiache kujaribu. Itambue hofu lakini usikubali ikuendeshe. Ulichoazimia kufanikisha kikupe nguvu kuliko mashaka uliyonayo. Nakutakia wiki njema
12
34
317
@FarajaNyalandu
Faraja Kotta
6 years
Being realistic is often underestimated...
17
52
321