ZetuSiasa Profile Banner
SiasaZetu Profile
SiasaZetu

@ZetuSiasa

Followers
3K
Following
531
Media
672
Statuses
1K

Jukwaa Linalojadili Maendeleo, Siasa, Diplomasia na Yanayojiri nchini Tanzania. #SiasaZetu

Tanzania
Joined April 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
@ZetuSiasa
SiasaZetu
9 months
#SiasaZetuTakeOver ni jukwaa ambapo tunawaleta wataalamu mbalimbali kutupa maarifa, ushauri, na vidokezo muhimu kuhusu masuala ya siasa na maendeleo. Kupitia hashtag hi, utaweza kujifunza mambo usiyoyajua na kupata ufahamu zaidi kuhusu uchaguzi, sera, na kanuni zinazotawala. Leo
Tweet media one
1
10
38
@ZetuSiasa
SiasaZetu
35 minutes
Nukuu ya Asubuhi kutoka kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan . #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
Tweet media one
0
1
3
@grok
Grok
23 hours
Generate videos in just a few seconds. Try Grok Imagine, free for a limited time.
475
229
3K
@ZetuSiasa
SiasaZetu
17 hours
Milima ni alama ya uzuri, urithi na uhai wa taifa, ikivutia dunia, kulinda mazingira, kuhifadhi vyanzo vya maji, na kuendeleza utalii unaochangia maendeleo ya nchi. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
0
3
2
@ZetuSiasa
SiasaZetu
3 days
Tweet media one
0
2
2
@ZetuSiasa
SiasaZetu
3 days
Nukuu ya Asubuhi kutoka kwa Hayati Salim Ahmed Salim . #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
Tweet media one
2
7
24
@ZetuSiasa
SiasaZetu
4 days
Heri ya Sikukuu ya Wakulima – Nane Nane πŸŒΎπŸ‡ΉπŸ‡Ώ.Leo tunasherehekea nguvu, hekima na bidii ya wakulima wetu, watu wanaoibadilisha ardhi kuwa chakula, ajira na maendeleo ya taifa. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
0
3
4
@ZetuSiasa
SiasaZetu
5 days
Pumzika kwa amani Hayati Job Ndugai. Umeacha alama ya uzalendo, hekima, na utumishi uliotukuka kwa Taifa letu ,Kazi yako itaendelea kuenziwa milele. Lala salama shujaa wa Bunge letu. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
1
7
6
@ZetuSiasa
SiasaZetu
5 days
Nukuu ya Asubuhi kutoka kwa Hayati Job Yustino Ndugai. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
Tweet media one
3
4
12
@ZetuSiasa
SiasaZetu
6 days
Je, Kura moja ya mwananchi inaweza kubadilisha mwelekeo wa taifa zima?. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo.
0
4
8
@ZetuSiasa
SiasaZetu
7 days
Tujikumbushe episode maalum kuhusu Siasa,Vijana na Maendeleo ,Humu kuna mijadala mbali mbali inayoonesha Siasa ni nyenzo muhimu ya maendeleo, na ushiriki wa vijana huleta mawazo mapya, uwajibikaji na msukumo wa mabadiliko chanya. Vijana wakiwemo kwenye siasa, taifa hujenga msingi
2
8
10
@ZetuSiasa
SiasaZetu
8 days
Nukuu ya Asubuhi kutoka kwa Hayati Bernard Kamilius Membe. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
Tweet media one
0
5
20
@ZetuSiasa
SiasaZetu
11 days
Mbuga za wanyama ni rasilimali muhimu za kitaifa zinazosaidia kuhifadhi mazingira na viumbe hai, kukuza sekta ya utalii, kuongeza pato la taifa na kutoa nafasi za ajira kwa wananchi, huku zikihakikisha urithi wa asili unadumu kwa vizazi vijavyo. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi
0
1
1
@ZetuSiasa
SiasaZetu
11 days
Nukuu ya Asubuhi kutoka kwa Mhe. Nape Moses Nnauye. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
Tweet media one
0
1
5
@ZetuSiasa
SiasaZetu
12 days
Tweet media one
0
2
6
@ZetuSiasa
SiasaZetu
13 days
Matokeo makubwa huanza na juhudi ndogo. Kila jembe shambani ni ishara ya matumaini, kila mbegu ni ahadi ya kesho bora. Ni hatua ya kujenga uchumi imara wa kesho, kuimarisha usalama wa chakula na kuhakikisha kizazi kijacho kinakua kwenye misingi ya ustawi, maendeleo endelevu na
Tweet media one
0
5
15
@ZetuSiasa
SiasaZetu
13 days
Nukuu ya Asubuhi kutoka kwa Mhe. January yusuf Makamba. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
Tweet media one
0
8
26
@ZetuSiasa
SiasaZetu
14 days
Takwimu za uandikishaji wa wapiga kura zinaonyesha mwitikio mpana wa wananchi kushiriki kwenye zoezi hili muhimu. Ni hatua inayobeba maana ya ushiriki wa kila mmoja katika masuala ya kitaifa. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
Tweet media one
0
3
13
@ZetuSiasa
SiasaZetu
15 days
Je unafahamu πŸ€” ni sababu zipi zinazoweza kusababisha chama cha siasa kufutwa nchini Tanzania kulingana na sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992 pamoja na marekebisho yake. πŸ“œ . #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
0
3
5
@ZetuSiasa
SiasaZetu
15 days
Nukuu ya Asubuhi kutoka kwa Mhe. Paul Christian Makonda. #SiasaZetu #SiasaNiWananchi #siasanimaendeleo
Tweet media one
0
3
4
@ZetuSiasa
SiasaZetu
17 days
0
5
4
@ZetuSiasa
SiasaZetu
18 days
Je, mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi yanaweza kubadilisha mwelekeo wa Dira ya Taifa? Jiunge nasi jumamosi hii katika kurasa zetu za twitter (X) @ siasa zetu kusikiliza mjadala huu. πŸ“†[26/7/2025]Jumamosi.⏰[10:00-12:00] Mchana . #SiasaZetu
Tweet media one
1
8
14