“Polisi, mnapoona umati kama huu wa Arusha, ukiamua hamna polisi wala jeshi linaloweza kuwazuia. Mkiona umma umetulia, mjue kuna viongozi wao wenye busara wanawatuliza. Lakini uvumilivi unamwisho"-;
@freemanmbowetz
, M/kiti wa Chadema Taifa.
#HakiNaMaendeleoYaWatu
💪
Kheri James Nini kimekubadilisha toka ujeuri, vitisho, kebehi, dharau, na kugeuka malaika wa nuru? Unataka umoja wa taifa lipi na wakati ulichangia kuligawa kwa kauli zako. Umoja utapatikana sio kwa wito wako kwan japo unasamehewa lakini sidhan kama unaaminika tena. Askofu MUNGA
"Mfanyakazi yeyote wa Tanzania ukimuuliza mshahara uliongezewa lini atakuambia wakati wa Kikwete, waulizeni Askari hawa hawajaongezwa, nitaongeza mishahara na Serikali nitakayounda itatengeneza mahusiano mazuri na Nchi nyingne" ;- Mhe.
@TunduALissu
#HakiUhuruNaMaendeleoYaWatu
KABLA HUJAFA HUJAUMBIKA...!!
Huyu Kijana ni Mkazi wa DUMILA 😭😭
Amepata changamoto katika utafutaji alikuwa ni dereva bodaboda tarehe '14/10/23 ilikuwa majira ya usiku alipata abilia akamwambia ampeleke sehemu walipofika katikati ya safari alimsimamisha wakati wamesimama
Askofu Bagonza anamwambia Rais
"Wateule wenye hulka na rekodi ya kukanyaga Sheria na Katiba kwa kisingizio cha uzalendo, wapumzishwe kwa heshima. Hawa ni hatari kwa Rais kuliko walivyo hatari kwa nchi. Rais wetu aimbe wimbo wa HAKI TU, Kazi tutafanya na Taifa litainuka".
USALAMA WA MAISHA YA PETER MADELEKA UKO HATARINI GEREZANI KISONGO, ARUSHA!
Ndugu Watanzania!
Sisi Askofu Mwamakula tumejulishwa juu ya njama zinazopangwa kutaka kuondoa uhai wa Peter Madeleka. Taarifa hizi zimevujishwa na mmoja wa Askari Magereza kutoka Gereza la Kisongo
#Lissu
alikuwa wa mwisho kuteuliwa kuwania urais na Nec,
#Lissu
kawekwa wa mwisho kwenye karatasi ya kupigia kura lakini amini nawaambieni
#Lissu
ndiye atakayetangazwa mshindi na kuwa rais wa awamu ya Sita ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.chagua uhuru,haki na maendeleo ya watu.
Waheshimiwa Jamhuri ya twitter salaam nawaandikia✍️
Hizi hapa chini ni namba za simu za wabunge wote wa
@BungeTanzania
mtumie ujumbe wa kukera mbunge wako mwambie aache kuwa dalali wa kuuza bandari✍️
Ahsanteni
Naomba kuwapa pole wote walioteswa na kunyanyaswa na utawala wa awamu ya tano kwa mateso,kejeli,masimango,utekaji,wasiojulikana,kudhulumiwa haki na kadhia nyingi na hatimaye mpaka leo hii kwa neema ya Mungu mpo hai sifa na utukufu kwa Mungu🤝
@MariaSTsehai
@fatma_karume
Hello
@DP_World
we citizens of the united Republic of Tanzania we would like to inform you that we are total 💯 against with your bogus agreement concerning all ports of 🇹🇿? Simple advice to you is that take your money back and leave our ports free?
There is nothing to fear
Nawasihi sana vyombo vyetu vya usalama (Jeshi la Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa), msitumie vyombo na silaha zilizonunuliwa kwa fedha za Watanzania, kutuumiza na kutetea uovu huu wa Magufuli na CCM yake!
#SasaBasi
#NguvuYaUmma
#TunduLissu2020
#NiYeye2020
😘💪
Kwa wasiomfahamu job chacha 73 ni miongoni mwa wapigania haki na vyama vingi Tz miaka 1990 ni kati ya watu waliokuwa wakiandika barua za wazi "Daily News" na magazeti mengine, kudai vyama vingi wakati huo. Kwa taaluma ni Mhasibu (ACCA) London miaka ya 1970 Jana amepata dhamana
Prof Assad anasema
Kabla hajawa CAG (2014) yeye na wenzie watatu walipewa kazi ya kuandika business plan ya Air Tanzania, wakasema shirika hili halifufuki, liwekwe kwenye mufilisi mana mpaka mafuta walikuwa wananunua cash.
Alipokuwa CAG alitoa msimamo huo huo kwa maandishi
Tunaendelea kuwaalika watanzania na dunia kuendelea kuangalia taarifa mbalimbali katika ukurasa wa
@kigogo2014
kwa taarifa mbalimbali zinazowekwa katika ukurasa huo bila shaka yoyote.
#ChangeTanzania
"Utafiti uliofanywa na wataalamu wetu mh Lissu atashinda kwa asilimia 65-70% na watanzania wameamua kuikataa Ccm" TunduLissu
#Uchaguzi2020
#MchagueTunduLissu
#VIDEO
: Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."
#CAGReportTz
#NondoZaAssad
#TutaelewanaTu
Ni Martin Maranja Masense ni kiongozi makini na jasiri a.k.a Mtikila wa Karne hii kaka Mwenye hoja zake anapiga mpaka kwenye mshono muite
@IAMartin_
akiwasalimia Viongozi na wanachama wa Jimbo tarime Mjini Jana🤝
Mtazame Mgabe aliwahi sema Zimbabwe ni yake? Akajiita mfalme wa kila kitu? Huyu ni yeye kweli?yote hufika mwisho? Halafu kuna mwingine anahangaika kuwa mfalme? Ipo siku utachoka na tutakuchoka tu? Na ipo siku utakufa? Kwani wewe ni nani?
#Mataga
jifunzeni
@IAMartin_
@kigogo2014
MSULULU WA WATU AMBAO MAISHA YAO NI HATARINI KUHUSU MKATABA WA BANDARI!
Ndugu Watanzania!
Tunawiwa pia kuwaeleza kuwa Wakili Msomi Boniface Mwabukusi na yeye pia ametueleza kuwa maisha yake yako hatarini.
Watanzania wote wanaopenda haki naomba kutoa rai kwenu kila mmoja mwenye mapenzi na Nchi hii hakikisha unamblock dalali kitenge na kuwapuuza wasafi media.tuungane sasa
#OkoaBandariZetu
.
#WenyeNchiWananchi
#TutaelewanaTu
Tetesi zilizopo ni kuwa makatibu wakuu wastaafu ndugu
#Kinana
na
#Makamba
wameamua kujiondoa katika chama cha mapinduzi? Je tutarajie nao watapigwa rungu la uhujumu uchumi?
@kigogo2014
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ZEC Amesema Baada ya Kupiga kura hesabu hazitafanyika vituoni.
Bali katika sehemu maalum. Hakueleza usalama wa masanduku utakuwa vipi
Kwa ufupi hakuna uchaguzi kama kuingia barabarani tuanze tu kesho mpaka tuje tupatanishwe upya na Mataifa
Mgombea ubunge jimbo la Iramba Magharibi
@JKISHOA
(Jesca Kishoa) kwa tiketi ya
@ChademaTz
akielekea kuchukua fomu ya kugombea Ubunge katika ofisi za halmashauri ya wilaya ya Iramba.
Wanawake wanazidi kunifurahisha. Huu moto wao sio mchezo. Tutashinda na tutangazwa.
Mbunge wa viti maalumu na waziri wa habari
#NapeNauye
afungia akaunti za simu za mwanaharakati wa haki za binadamu 🇹🇿
@DEUSDEDITHSOKA
hii ni kutokana na mwanaharakati huyo kutangaza maandamano ya kupinga mswaada wa bandari na usalama wa Taifa uliopitishwa na Tulia na Ndugu zake
Wale wote Waliokuwa wanampelekea Taarifa za Uongo
@MagufuliJP
Kwamba Upinzani Umekufa na ameumaliza kabisa.
Wajiandae kurudisha Pesa za Mzee wa watu🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ✍️
Simamia haki uhesabiwe haki,hakika nawapenda kwa kuisimamia haki na kupinga uovu hadharani Mungu awape kubali cha kuishi miaka mingi
@fatma_karume
@MariaSTsehai
Nini kimejificha kwenye mabadiliko ya mswaada wa sheria ya usalama wa Taifa 2023?
Watanzania wenzangu salaam,leo nawaandikia kuhusu mswaada uliopelekwa bungeni kuhusu kubadilisha sheria ya usalama wa Taifa kifupi ni hatari kwa mstakabali wa Taifa na Watanzania wote watawala,
Mgombea Ubunge CDM jimbo la Nachingwe na Mawakala wake 10 wametekwa na kikosi cha Polisi wenye silaha usiku wa kuamkia leo. Wamevunja nyumba ya mbunge na kufanya uharibifu mkubwa wa mali, Polisi hao waliongozwa na OCD Kavalambi wakitumia gari la polisi Land cruiser No T377 ACG
Tunduma na
#Tundu
na Tanzania inamhitaji sana kwa wakati huu kuliko wakati mwingine wowote pamoja na mateso aliyopitia amekuwa imara kuliko awali aaah mjomba anapiga spana za hoja
#TutaelewanaTu
Just WOW! 🤩
Tunduma 💪🏽
Dalili kubwa sana hii wala si ya kupuuza!
Naamini kwa dhati - no amount of posho au mabasi yanaweza kuleta watu wengi hivi! Haiwezekani KILA SIKU watu wanajaa hivi KILA KONA
Tundu Lissu is moving the hearts and minds in
#Tanzania
#TutaelewanaTu
Kesho dunia inaadhimisha sikukuu ya wanawake duniani naanza leo kutambua thamani,utu,heshima ya wanawake wote duniani.Tanzania ni nchi iliyobahatika kuwa na mwanaharaki wa haki na mwenye uthubutu na jasiri
@MariaSTsehai
Mungu akutunze na kukulinda dhidi ya watesi wa haki.
Ndg Sirro wa Polisi nakusalimia sana popote ulipo?bila shaka upo mzima na utitiri wa walinzi wanaokulinda? Nakuandikia kwa nia njema na kukuonya dhidi ya nguvu unayotumia dhidi ya raia?Amini nakwambia kesho yako haitakuwa nzuri kama hutabadilika na wanaokutuma?ahsante
@halimamdee
WAKILI BONIFACE MWABUKUSI AKAMATWA!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga.
Wapendwa Watanzania wenzangu salaam🤝,leo naomba kuuliza swali kwa mawakili wote mlioko hapa ukurasa Jamhuri ya twitter hivi hakuna namna inaweza kufanyika kuwafungulia kesi mahakamani wale wote wanaopotosha umma kuhusu mkataba wa bandari na DPWorld katika vyombo vya habari?
"Habari Chief. Sisi ni abiria wa basi la Kilimanjaro lenye namba T 708 DGQ. Tumetoka Moshi saa 12 asubuhi kuja Dar, lakini mwendo wa gari ukatupa wasiwasi kwani ni kama gear zilikua zinakwama. Tumeenda kwa kujikokota mpaka kufika hotelini Korogwe ndipo dereva akakiri kuwa gari
Serikali imepatana kumfunga Freeman Mbowe yani Ofisi ya DPP,Ofisi ya Polisi,Ofisi ya Mahakama wamepatana na kunuia kumfunga Freeman Mbowe;-
@godbless_lema
Mbunge wa vitu maalumu
#NusratHanje
akiburudika hadharani? Ndugu zangu Watanzania ukisaliti ni lazima ulipe gharama ya laana? Na malipo yameanza kama hivi? Nakala kwa spika wa bunge
@TuliaAckson
na wabunge wote wanaowakilisha Watanzania bila idhini Yao mtalipa gharama
#kataa
*Nadhani sasa Watanzania mtakua mmetuelewa WANGONI kwanini tuliamua kuhama JOHANNESBURG na kwenda Kuishi NAMTUMBO,PERAMIHO NA MPITIMBI SONGEA*
Tuliona mbali😌😌🤣🤣🤣🤣
Mmoja Ni Afisa Mahusiano wa
@CloudsMediaLive
na mwingine ni mtangazaji wote ni CCM na wanahost vipindi vya kuishughulikia
@ChademaTz
sijui wataweza!? 😂😂😂