Mwanahamisi Singano
@MSalimu
Followers
70K
Following
2K
Media
4K
Statuses
50K
Global Citizen PanAfrican Feminist. Informed and Concerned Citizen. Gender, Governance and Climate Justice Expert. Opinionated woman & mother of 3
Tanzania
Joined December 2011
Wanasiasa na viongozi wanapoamua kutunushiana misuli inayoumia ni demokrasia na sisi wananchi. Tujifunze kuachiana nafasi kila mtu afanye yake. Sisi watanzania, hatutaki kurudi kule tulikotoka. Tunatamani, tuishi kwa amani na uhuru wa kufanya yale tuliyo na haki nayo.
14
26
249
To friends and comrades in Uganda. VOTE 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
0
0
1
Kwahiyo hii SIO tume ya kuchunguza mauji, ukatili na ukiukwaji mkubwa wa haki? Hizi hadidu za rejea wanazopewa sijazielewa.
32
44
250
Wahenga walisema “uso umeumbwa na haya” mbona nyuso za siku hizi hazina haya …. Walitudanganya au msemo umepitwa na wakati?
7
17
87
Hivi kweli mpaka leo bado msimamo ni kuwa wahanga ni wageni japo tunaona misiba kila kona?. Kwani tukikiri na kutoa pole kwa familia tunapungukiwa nini? Mazungumzo na maridhiano yaanza na kukubali ukweli. Watawala - Toeni pole, wazikeni kwa staha na utu!
61
118
475
Zamani ilikuwa nadra sana kusikia mtu ana kesi ya uhaini. Ila siku hizi inaonekana wahaini wamekuwa wengi mno. Je hii ni kutokana na matuminzi mabaya ya sheria hii? Au wanastahili? Kama wanastahili, basi watawala inabidi wajitafakari sana kwanini watu wengi wanahaini? Kuna shida
23
37
216
Viongozi wa dini wa kitaifa, tafuteni UJASIRI tufanye misa/dua ya kitaifa kuwaombea salama ndugu zetu waliotangulia. Wengi wao ni waumini wenu na kama watanzania wanastahili maziko yenye staha na upendo sio tu kutoka kwa familia zao bali kutoka kwetu sote! Ni wajibu wenu
10
38
139
Tunapoandika posts za kuwapa pole wafiwa tusiache pia kukemea mauaji. Tunapoomba amani ijeree tuombe pia uwajibikaji ufanyike haraka. Maumivu yanapozidi mioyo ya binadamu huota kutu - tuponye mioyo kwa kuhakikisha Haki imetendeka na imeoneka kutendeka Tanzania ni yetu sote
5
52
169
“ I guess what we had won then, was the fight against (the white) colonialists. Sadly, we totally forget to win the fight against the oppressive rulers coming in different shapes, colors, and sizes” niliandika haya 2019 Mlale pema! Poleni sana wafiwa. https://t.co/yqrlGlGfsS
udadisi.com
If only flags could have emotions, they would be shedding tears right now. Who wouldn’t be? I, for one, am angered! My tears are running dry. And my blood is boiling. To say we are in tough times in...
2
2
7
Join us tomorrow …..
🌍 Join us for the Delinking Festival! - Alternative Economics from the Global South Feminists and allies from across the Global South will share strategies to delink from capitalism, imperialism, and colonialism – and build economies centred on life and justice. Come plot with
0
0
1
As a new member of the UN SG’s #EW4All Advisory Panel, I commit to contribute my expertise in gender, climate & disaster risk reduction, championing equitable, people-centered early warning systems that truly leave no one behind. #EarlyWarningsForAll
https://t.co/FvAb6z0Qc5
earlywarningsforall.org
1
0
3
Charles Dela Cruz, World’s Youth for Climate Justice @MSalimu , Women and Gender Constituency @TasneemEssop , @CANIntl
1
1
3