jaguar 😺 Profile Banner
jaguar 😺 Profile
jaguar 😺

@Jaguar_455

Followers
3,828
Following
413
Media
4,051
Statuses
32,285

Saragossa, Spain
Joined June 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Mtu anatoka Bank anakuja kuwa mtangazaji uliona wapi Bank na ulevi vikawa pomoja.
Tweet media one
63
30
968
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Eti sitaki wa bunge waje Dar wakae huko huko dodoma kuna watu walikuwa wapuuzi sana kama nchi yake hii, kambale alikupa umungu wa hovyo sana bw Paul Sasa kuna huyu KIPARA nae kaiba 115 billion na hakuna maelezo yoyote pesa zimeenda wapi. anachokifanya ni kuua watumishi wa CAG
Tweet media one
Tweet media two
24
18
296
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Ivi ni makonda huyu aliwataka wa bunge wasikanyage dar es salaam kwa kigezo cha kuwa yeye ni mkuu wa mkoa. Hivi ni huyu makonda aliiba mamilion ya pesa takriban 240m mahakama ikamfutia kesi eti hakuna mashahidi kweli CCM mnatia aibu sana. Yani Kama hilo ni kweli mmeyakanyaga
Tweet media one
24
11
243
@Jaguar_455
jaguar 😺
4 months
J. MAKAMBA NA H. BASHE UKWELI NI UPI. 👉Bashe ulisema hawa vijana 260 wako Israel kusoma kilimo Bashe ukweli unaujua. 👉Jmakamba wazaz wa huyu kijana israel wanaenda kufanya nini toka lini familia ikifata mwili. Njoni mtuambie kama mnajeshi lenu tunajua jmakamba unautaka Urais
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
58
20
193
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
TEC MKO WAPI KAZI YA KANISA NDIO HII Kama mmeweza kutoka mbele na kutetea wanaharakati wa kipumbavu Sasa ni muda wenu kukaa makanisani na kuombea haya yanayowahusu. Mlikuwa wapi kwenye utawala wa JPM wakati watu wananyimwa haki zao au mungu hamkumjua kile kipindi. Mnatumika nyie
Tweet media one
97
27
133
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
WIZARA YA NISHATI HAINA KIONGOZI Bomba la mafuta TAZAMA limepasuka huko Mbeya na haya ni mafuta ghafi yanatiririka kama maji. Wizara ya nishati haina ata moja kuhusu hili mkiambiwa huyu jamaa ni mwizi na kawekwa kwa kubebwa hamtaki amini haya sasa. Anaendelea kutia hasara nchi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
29
18
125
@Jaguar_455
jaguar 😺
8 days
Bony unafanya kazi nzuri sana kutusaidia vijana, lakini kwa hili andiko ungetulia kwanza ili utoe hii tarifa. Kwenye maandiko yako unasema trh 16- March 2024 amepotea Taarifa ya kupotea imetoka trh 16 March 2016. Kesi ya kupotea imeandikwa 4 April 2024. Sijui Kama umeona hilo
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
8 days
AMEPOTEA AMEPOTEA AMEPOTEA Taarifa mpya nimepokea Usiku huu. Kijana na mkazi wa Kinondoni Mkwajuni (Hananasif) anaitwa HUMPHREY ALPHONCE DEDE majina mengine ni DEDE LIMBU KUBAGWA Tarehe 16 March 2024 amepotea kwa kutekwa na watu waliokuwa na Noah nyeusi maeneo ya Mwananyamala…
Tweet media one
Tweet media two
102
250
2K
4
1
110
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
sasa chadema sisi darasa la saba kwani tumewakosea nini😎
Tweet media one
6
8
98
@Jaguar_455
jaguar 😺
11 days
Kifo hakiwezi safisha mabaya ya mtu yeyote. Jamaa dah alikuwa mnywaji mzuri wa pombe. R.I.P : Captain 🙏🕊️
Tweet media one
21
7
98
@Jaguar_455
jaguar 😺
7 months
Naungana na wewe Dkt, Tulia
Tweet media one
17
15
97
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
CHADEMA NI RUVU SHOOTING FC😂 Chama kina miaka 30 kinapokea ruzuku ila hii ndio akili yao ya mwisho katika kufikilia kufanya mambo. sasa kwa jukwaa hilo unategemea kuongea nini kama mguu moja ndani mwingine njee. Chama kinaongozwa na jumuiya ya kilimanjaro mic wachanga wagumu
Tweet media one
44
9
88
@Jaguar_455
jaguar 😺
7 months
UVCCM. BAVICHA. 😂😂
Tweet media one
Tweet media two
21
7
88
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
Sasa Kama mmeshindwa hapo temeke kujaza watu wapi mtaweza 😂 Chadema mmejichanganya sana mateja wamepoa zao hao tu wenye ma T-shirt ya rangi nyekundu😂 Bora ngesema Kama mnaajenda ya kuuza matshet mgepata mawinga wengi leo hilo la Bandari watanzania wanajua nyie ni wachumia tumbo
Tweet media one
45
6
88
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Afu kuna mtu anasema CHADEMA ndio kikuu cha upinzani dhidi ya CCM kweli😂 Kwanini chama cha upinzani kisiwe ACT wazalendo dhidi ya CCM.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
42
7
89
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
HAKUNA SIRI TENA😎 Al-Hushoum ni mfanyabiashara wa mafuta na huyu ni miongoni mwa watu waliotafutwa sana na Magufuli kwa kukwepa kodi na kuchezea mita za mafuta kule Jet Kurasini. Ana tuhuma wa kuuza mafuta wanayosema yanakwenda Transit nchi jirani lakini wanayauza ndani, tax❌
Tweet media one
22
11
84
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
KIPARA unakitu cha kujifunza kwa waziri mwenzako sasa Kiongozi jasili anatoka mbele za watu na kueleza mazuri anayofanya na ripoti ya CAG kwake imepita KIPARA ni lini utatoka utuambie pesa za wa tanzania 115 bilion umepeleka wapi bize na account za @kigogo2014 zinatumia Luku
Tweet media one
Tweet media two
2
9
81
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Watu tunaowapenda mungu anawachukua anatuachia shida tupu kama hizi.
Tweet media one
36
13
84
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Yani huyu bi shungi mpaka anajuta kwanini alijifanya achambuzi wa bandari Akajua watu wamesahau kabisa kuwa alikuwa mwizi na mla rushwa ona sasa mzee wa miaka 70's unakuja kuumbuliwa leo. Mh, Rais Samia Suluhu Hassan alishawaambia history zenu ndio zitatoa hukumu zenu Za uso tu
Tweet media one
64
9
82
@Jaguar_455
jaguar 😺
11 months
Kuna mambo ya kuweka akilini na kuweka mfukoni kuhusu huyu bi shungi😎 Huyu mama si ndio alitaka kuuza sehemu ya kigamboni kwa mwekezaji kwa ajili ya mradi wa kigamboni city project pindi yuko madarakani mwendazake akafuta mradi, Leo ufipa ndio msemaji wao huyu ujinga ni mzigo
Tweet media one
42
10
82
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Tuacheni kwanza upinzani na tujibuni hoja za msingi. Ivi huu mbowe ana miaka 28+ alikiwa Kama mwenyekiti wa chadema hoja msingi ivi ikitokea amekufa Leo ata kumbukwa kwa kipi cha muhimu amekifanya akiwa Kama mwenyekiti wa chadema. Nasoma comments kuhusu insult me ndio mwalimu
Tweet media one
38
3
79
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Mh. nimefanya research na nimegundua kuwa kuna mtu ana akaunti 75 zote hizi kazi yake ni kuichafua serikali yako maana ata mimi amekuwa akinisema kuwa umeme unakatika katika sana na ripoti ya CAG nimefanya madudu mengi mno. cc @kigogo2014
Tweet media one
9
7
77
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Kama ukipata muda wa kukaa na ukatulia jiulize maswali kadhaa kuhusu hii nchi. Ivi ni kwanini bandari, 👉Bandari ina nini hasa 👉Kwani mwarabu atakiwi bandarini. 👉Nani yuko nyuma ya hili la bandari 👉Kwanini account za Twitter mpya ndio zinapinga uwekezaji pale bandarini
Tweet media one
Tweet media two
29
6
79
@Jaguar_455
jaguar 😺
7 months
Ivi wabunge wetu mko bunge kuwasemea wananchi au mnasaka pesa kupitia posho na mishahara yenu. Ivi kweli hiki kinafanyika kwenye huu mradi hamkioni. CAG ivi kweli mmeshindwa kujua wizi unafanyika kwenye huu mradi. Tuliambiwa tumefika 22% leo tumerudi 11% tutafika kweli. Sio sawa
Tweet media one
15
9
77
@Jaguar_455
jaguar 😺
7 months
Baba yangu, Mungu muumba wa mbingu na nchi, nakushukuru kwa kuniamsha nikiwa mzima wa afya, Nasema ahsante sana ni kwa Neema zako tu, wapo ambao hawajaweza kuamka leo lakini mimi nimeamka.
Tweet media one
9
15
76
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Kama Baba Yako mbowe anvyonyenyekea Pesa za Ruzuku cku izi Kila kukicha yupo Ikulu nyinyi endeleeni kujichanganya mwenye Chama chake yupo CCM cku izi. msije kusema watu hatukuwaambia hizi mambo huwa azitaki uropokaji siku moja utakuja kupishana na boss mlangon bila ata salamu.
Tweet media one
16
5
74
@Jaguar_455
jaguar 😺
8 months
Ningekuwa nimempongeza mimi hapo ungesikia ni uchawa😂 Charles kitima akiiona hii anatamani aseme sio Samia huyu wa Tanzania yani😂
Tweet media one
25
12
74
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
17.3. 2021🇹🇿💔 SHWAAA Kambale alikuwa anakopa mikopo ya kibiashara yenye riba kubwa na ya muda mfupi.Hadi Mungu anamchukua kwa miaka 5 alikuwa amekopa Tril.29 ikiwa Kikwete Miaka 10 alikopa Tril. 23. Ila. Mama amekopa mikopo ya Riba nafuu na ya muda mrefu 15yrs. 2025 ✅✅
Tweet media one
45
7
72
@Jaguar_455
jaguar 😺
2 months
UONGOZI WA CHADEMA UKO HIVI. 👉Alianza baba mkwe wa mbowe (Edwin Mtei) 👉Akaja shemeji yake mbowe (Bob Makani) 👉Akafata mkwe wa Edwin Mtei ambaye ni Freeman Mbowe mpaka Sasa. Afuatae ni mtoto wake mbowe (Budley Mbowe). Wala sio mdude, Martin, Lema,bony yai n.k.
Tweet media one
73
9
72
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
👉Kwahiyo Msigwa unataka kusema SIAJII ni waongo yani unataka kutetea majambazi si ndio maana yako hiyo. 👉kwanza unakumbuka kwenye mabehewa ulivyotupika afu Rais akajakutuambia nini. 👉ona aibu na bora ukae kimya maana hakuna ukwel kwenye maneno yako kila siku. Rubbish
Tweet media one
15
16
72
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
UFIPA punguzeni blabla ivi nyie ndio mnataka hii nchi kwa haya mnafanya kweli hivi hili jengo ndio million 116 na bado maji na umeme, ama kweli wizi mnaoufanya ata kwa mungu mtaulizwa, na nyie hiyo katiba mpya mnayoitaka ni kwajil ya maslah yenu na sio bure @Mapungo2020
Tweet media one
38
10
71
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Kuna muda huwa nawaza ivi hawa watu huwa wanaongea haya wakiwa na akili timamu au niaje. yani nchi ata umeme tu shida hiyo gesi yakutumia watanzania wote iko wapi au mnajua dar ndio Tanzania nzima
@earadiofm
EastAfricaRadio
1 year
"Taasisi zote za umma na binafsi zinazopika chakula cha zaidi ya watu 100 itakapofika Januari 31, 2024 taasisi hizo zinatakiwa kusitisha matumizi ya kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia"
Tweet media one
169
43
718
31
7
69
@Jaguar_455
jaguar 😺
2 years
@HildaNewton21 kelele zote zile za tozo miamala 😂😂kumbe kuna sehem ukifika unashikwa tu kama kuku
Tweet media one
4
0
61
@Jaguar_455
jaguar 😺
5 months
Huu mwezi wa moto sana aisee 😂😂 👉 Naibu waziri wa katiba na sheria Pauline na machupa yake na kutimuliwa kazi. 👉Huku na kule Gigy huyo hapo na connection yake ya Moto, 👉Nikajua yameisha mara hajji manara nae ana nyonya 👉Hii ya Leo ndio kali chongolo katuma kadushelele 😂😂
Tweet media one
13
8
67
@Jaguar_455
jaguar 😺
5 months
Huyu mama ni mshenzi kwa kweli hii aina ya viongozi ndio tuko nayo Tanzania kiongozi anapata uongozi na kuona Yuko juu ya watu wote na anaona ana uwezo wa kufanya lolote. Polisi huyu bado ni tatizo na ana kesi ya kujibu mahakamani haiwezekani akafanya unyama Kama ule
Tweet media one
13
12
64
@Jaguar_455
jaguar 😺
16 days
Peter madereka. Peter madereka Akiwa mahakamani. Akiwa tweeter Yani acheni tu 😂😂
Tweet media one
Tweet media two
14
7
64
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
"SHUGHURI ZOTE ZA WATUMISHI WA SERIKALI ZITAFANYWA KWA NIABA YA RAIS" kwa mujibu wa katiba yetu ya TZ sasa hizi ng'ombe baada ya kutoka report ya CAG zinasema kuwa mlipaji ni Rais ivi zinajua zinaongea nini. kama uongozi umewashinda tokeni kwenye hivyo viti upumbavu mtupu
Tweet media one
25
12
62
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
Chadema nyie ni watu wa hovyo sana njoo tuongelee kuhusu hii nayo. Huyu ni diamond yuko na Mh, Rais kagame, au kwa kuwa huyu mondi sio mtoto wa kiongozi wa nchi. Mkipewa kesi za uhaini mnasusia kula, ila kaeni mjue kesi ya uhaini ni usaliti wa nchi yetu. Na adhabu yake ni 🙅
Tweet media one
21
11
62
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Sasa kucheka gani huko yani kama umekatika shingo hii nchi ina watu wa ajabu mbona wengine wamechaka kistarabu tu. Mtu unacheka afu CAG katoa ripoti mbovu kwenye sekta yake ya Nishati watu wakisema mnanuna na kuandaa watu wakusafishe hovyo kabisa, kipara ngoto miyeyusho sana
Tweet media one
9
5
63
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
Kadogosa hatujasahau wizi uliofanya kwenye mkataba wa kujenga SGR na CAG amesema maovu yako. Usifikiri tumesahau na usiwaone watanzani ni wajinga. Ivi haya magusi ni ya kusafirisha matunda au binadamu, hii nchi ina utani mwingi sana vichwa vya kutumia makaa ya mawe ndio hicho
Tweet media one
11
5
63
@Jaguar_455
jaguar 😺
6 months
MAKONDAA KUICHAFUA CCM 2025📌 Oya mwenezi hapo CCM mzee wa matamko umezingua sana. Kitendo cha kumpa tamko waziri mkuu kiukweli mimi bado sijakuelewa kabisa yani Kwa kipindi cha miaka 60 hiyo miezi 6 itamtosha waziri mkuu kufanya kazi yako migogoro mingi ni kushindwa kwa mipango
Tweet media one
10
5
61
@Jaguar_455
jaguar 😺
11 months
CHADEMA PUNGUZEN MIHEMKO Wakati @ACTwazalendo1 wanafanya maadamano nyie ndio mlikuwa wa kwanza kuwabeza leo Kiko wapi Sasa. Maria anapokuwa anawapa angle basi mwambieni na yeye aje afanye maandamano. Clubhouse mmepanga ila baada ya siku chache tu mbowe na lissu wakaondoka
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
23
7
62
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 month
Uvccm leo wanavyopita tweet za watu wakizungumzia ripoti ya CAG 😂
Tweet media one
8
7
59
@Jaguar_455
jaguar 😺
8 months
Ukiwa dar bhana unaweza ona Mh, Rais anaipendezesha dar tu, Ila Kuna ile barabara ya USINGE inaunganisha KIGOMA na TABORA aisee ile barabara ilikuwa mbaya sana na ili kuwa na vumbi la kutosha. Nimepita bhana Mh, Rais unapiga kazi sana, Mama lami imepoa Kuna watu watabisha tu
Tweet media one
15
9
60
@Jaguar_455
jaguar 😺
8 months
Mhe, Rais @SuluhuSamia nimekusikiliza kwa umakini sana wakati ukiwawajibisha wakuu wa mikoa hilo nikupongeze sana. Umesema tusichoke kuandika na umekemea hawa viongozi wako kutumbia shusha hvyo vibango. Mama tumeshaandika sana kuhusu pale @tanescoyetutz tunaomba useme kitu mama
Tweet media one
7
7
59
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
👉Kukaa na kuamini hii Media ya JAMBO TV ni kupoteza muda boss wake anatumika sana kwenye mambo ya siasa na propaganda za kijinga sana. 👉Ukiona chombo kinakuwa na confict interest na watu basi jua hakuna Media hapo. 👉Nenda kachukue sasa mpunga wako kama ilivyokawaida yako
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
23
9
59
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Mara nyingi ukiona mtu ana pupa na jambo fulani basi mwache, baada ya muda tu atashindwa kulifanya. Hii ndio imetokea kea CHADEMA Chadema walikuwa na shauku na speed kubwa ya mikutano bila kujua uhalisia wa mtaani upoje, bila kupima Kama wanakubalika au hawakubaliki. @Sisimizi3
Tweet media one
Tweet media two
19
7
55
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Itoshe tu kusema kwenye hili la Bandari hakuna wa kumuamin mwarabu apewe Bandari tu. Huyu bi shungi alikuja na hoja watu wakaona yuko sahihi, Vip mlitegemea ataongea nini kama boss wake wa TICTS kuondolewa pale Bandarin? TICTS chini ya kamaragi 22 yrs bi shungi akiwa mnufaika
Tweet media one
4
8
58
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Mwenye picha ya mitambo Kama hii ya TICTS aniwekee hapo chini
Tweet media one
17
3
57
@Jaguar_455
jaguar 😺
5 months
Jeshi la polisi tunataka kujua kuhusu huyu kijana mmefikia wapi. Je ni sahihi kufanyiwa hicho amefanyiwa huyu kijana. Na vipi kuhusu huyo Naibu waziri wa sheria na katiba hatima yake ni nini. Tunataka kujua kipi ni sahihi, taifa la viongozi wa hovyo sana hili
Tweet media one
9
13
56
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
King of political entrepreneurship
Tweet media one
3
4
55
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Naionea huruma sana hiyo familia mmeenda kuuwa mkijua ni @kigogo2014 Watu wakisema kipara ana genge la kuuwa watu hamuamini aya sasa hadhani mtaamini sasa ndio kazi imeanza hivyo kipara yuko site. Kwahiyo @Getrude_mollel na @420Cousin nyie ndio mmepewa tenda la kutangaza kifo😂
Tweet media one
Tweet media two
7
6
56
@Jaguar_455
jaguar 😺
7 months
JANUARY MAKAMBA imezingua sana TANESCO. Yaani wiki mbili tu kutoka kwenye wizara ulikuwa unasimamia mambo yamebadilika. 👉Naibu waziri mpya 👉 Mkurungenzi wa Tanesco mpya 👉Bodi ya Tanesco na M/kiti wake wapya. 👉Katibu mkuu mpya 👉Waziri mpya 👉REA bodi imefungwa Omba kujiuzulu
Tweet media one
12
6
54
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 month
Ogopa sana viongozi wenye mashavu kama ya wazir wa michezo anko😢
Tweet media one
7
3
54
@Jaguar_455
jaguar 😺
2 months
Nasema hivi kitita lazima kilipwe babu eeeh @kigogo2014
Tweet media one
11
8
55
@Jaguar_455
jaguar 😺
7 months
Kwahiyo na hii vijana tunahusika au ni wavaa suti pekee yenu📌
Tweet media one
7
9
53
@Jaguar_455
jaguar 😺
11 months
Kuruka ruka ndio kuiva kwa Maharage, ivi hao si ndio walisema wamepata madalali wa kukusanya madeni kipindi cha CAG leo imekuaje tena. Hiyo wizara ina watu wa hovyo sana kuwahi kutokea hapa dunia kipala ngoto na shoga yake ni mkopo na mfuniko tu na hakuna laamana wanafanya.
Tweet media one
Tweet media two
@kigogo2014
Kigogo Media
11 months
Jana kwa mshangao mkubwa sana watanzania wamemsikia Maharage Chande mkurugenzi wa TANESCO akisema wao jukumu lao ni kuzalisha na kusambaza umeme na siyo kukusanya madeni na hawahusiki na wanaodaiwa kwa kushindwa kulipa umeme unaosambazwa na tanesco. Kauli hii ni ya kustaajabisha…
Tweet media one
2
18
195
3
2
54
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
UFIPA huyu naomba mmuandalie script mapema anaweza kuharbu shughuri msije kusema siku waambia😎🤭 @sheby_yahya @Hb_cbe_2020
Tweet media one
6
6
53
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
KUMEKUCHA KUMEKUCHA TZ🇹🇿 "Wale viongozi wa Chadema, wapokeeni hawa, nisisikie kuna kiongozi yeyote wa Chadema anawazuia kwa sababu anaogopa nafasi yake itaondoka, ataondoka yeye." Mhe. @freemanmbowetz
Tweet media one
14
8
53
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Alikuwa mnufaika namba moja pale bandarini kupitia kaka yake kamaragi, Vip walitegemea ata sema nini kama sio kutoa povu tu. Siwezi kuamini watu Kama hawa kwenye hii nchi zile pesa za escow ziliwapa kiburi na wakati mwingine alisema ni pesa za mboga. Mbona akusema yupo kwa taifa
Tweet media one
@mwendajumbe
Wambura
10 months
Kuna benki ya viongozi wa dhebu fulani ndo ilihusika kupitosha hizi pesa za akiana tibaijuka hatuja sahau pia viongozi wa hilo dhehebu walichukua mgao wengine wakasema eti walipewa kama mchango wa harusi
7
4
6
14
4
54
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
Tulikaa kinyonge sana tajiri😍😍 picha yangu pendwa hii @mamayukokazini @Sisi_Tumekubali
Tweet media one
2
3
53
@Jaguar_455
jaguar 😺
4 months
Mwamba huyu hapa kutoka Rwanda ni mnyamaa mtupu. Hajawahi niangusha🤣🤣
Tweet media one
2
5
51
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Kipara embu acha utani basi mbona hii wizara unataka kuifanya kama shamba lako la kuchuma. mitungi laki moja vijiji anapewa nani na nani apewi hiyo mitungi ni kijiji kimoja na bado haitoshi kabisa. Mbona unataka kumtukanisha mama kwa wananchi wake, mtu akikosa ataongea lugha gani
Tweet media one
Tweet media two
9
4
51
@Jaguar_455
jaguar 😺
2 months
Madenge wa. Madenge wa Twitter. Efm. 😂
Tweet media one
Tweet media two
8
8
52
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
January makamba na watu wako hii tabia ya kukata umeme kigoma bila taarifa ni ushamba wa zamani sana
Tweet media one
17
4
51
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Jembe hili hapa likikagua matank ya maji wakati wa kambale aiseee ma ccm yamelamba dume la kazi Hongera sana Mh, @kitilam
Tweet media one
6
3
51
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 month
Sasa wanangu kwa maneno ya waziri huyu ikatokea nafasi ya kupiga kura utampa nani hapo😂 Kitumbua. Ndumbaro
Tweet media one
Tweet media two
21
2
50
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
CHADEMA KWISHA HABARI😎 👉mambo yanayoipasua chadema kwa sasa ni 1. lissu kusema watoto wa viongozi sio watanzani. 2. kurudi ubelgi kwa kile anasema anaenda ku renew hati ya makazi. 3. lissu kususia kufanya mikutano hadhara alipwe. 4. lissu kusapport ushoga. chama cha WAPIGAJI😎
Tweet media one
27
5
49
@Jaguar_455
jaguar 😺
6 months
Sasa polisi kosa langu nini yaani kusema wakili msomi Wambukisi, mdude, na Dr Slaa ni waongo kumbe mkataba haina miaka 100 ndio kosa. 😂😂
Tweet media one
2
6
48
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
SERA ZIMEGONGA MWAMBA KARUDI ZAKE😎 1. Naomba nipewe Urais kwa sababu walinipiga risasi❌ 2. Maharage na nyama bei ni sawa ❌ 3. Kumsema Magufuli watu wamempuuza kwa kiasi kikubwa❌ 4. Suala la ushoga na kusagana kafeli❌ Ufipa alikuja alkuwa ajui kama bado matibabu yanaendelea
Tweet media one
19
7
49
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
Mbeya wameamua na DP World sasa,nachoiomba serikali isichoke kuendelea kutoa elimu kuhusu hili swala la bandari. Kwani ni wachache sana wenye kujua ukweli na kuufanya kuwa uongo hii ni hatua kubwa kuona bado watu wanaimani na hili swala la bandari hongeren sana watu wa mbeya
Tweet media one
10
11
50
@Jaguar_455
jaguar 😺
2 years
kuwa kiongozi wa upinza sio kuleta upinzani mpaka kwenye maendeleo ya nchi yetu ni viongozi wachache wenye uwezo wa kusema ukwel pale kwenye ukwel na kukosoa serikali, lengo ni kuikumbusha serikali endepo itaenda wrong hongera sana @zittokabwe umekuwa ni kiongoz unaesema ukweli
Tweet media one
11
12
50
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
KIPARA na wizara yake ya nishati waliandaa vijana wapumbavu saa Kama @Getrude_mollel na kutembea mikoa kuuliza mafuta. Walichofanya ni kuchukua vijana na kuwapa pesa waseme mafuta yapo leo IKO WAPI SASA Mlisema mafuta yapo wauzaji awataki kisa bei iko chini leo imekuwa shida DOLA
Tweet media one
4
4
48
@Jaguar_455
jaguar 😺
14 days
Martini akiwa tweeter. & martini akiwa kwa bony yai
Tweet media one
Tweet media two
15
3
49
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Hii nchi mbinguni ndio itakuwa channel ya vichekesho amini hilo. kumbe ndio maana umeme unakatakata kumbe pesa zetu zinaenda kwa watu wengine kulipa mishahara hewa. yani kama ni kweli basi utatumaliza wote aisee kwa kutuuwa.
Tweet media one
Tweet media two
14
8
49
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
wewe dogo Athumani ni mgese kweli yani kwahiyo umekosa vitu vya kulinganisha mpaka na mimi uniite @kigogo2014 au unagogo limekuingia. Embu tuliza mgese wako ukae kwa kutulia utanyooka tu si umeuza account sasa tulia kiande wewe. @ngaso6_ngaso njoo uchukue pimbi hili
Tweet media one
27
6
46
@Jaguar_455
jaguar 😺
11 months
chadema mnakiongozi wa hovyo kabisa na hili ndio linafanya miaka yote 30 muonekane ni empty set. Hizi kauli za M/kiti wenu ni za kibaguzi na uchochezi kwenye muungano. Wakati magufuli ana sain mkataba wa bomba la mafuta Tanzania na Uganda alikuwa wapi. Mbona kuna walev ni smart
Tweet media one
19
7
47
@Jaguar_455
jaguar 😺
4 months
Mpira na pombe ni vitu viwili tofauti kabisa😂 Moja tu njee🤣🤣
Tweet media one
3
5
47
@Jaguar_455
jaguar 😺
3 months
@HusseinBashe Bashe umeme hamna kisa hakuna mvua sukari hakuna kisa mvua ni nyingi kuna muda nyie kama serikal mkitaka kusema uongo mkae kikao kwanza. Jaffary ally mtendaj mkuu wa kiwanda cha sukar TPC. Anasema siku 30 uitaji wa sukar mikoa ya kilimanjaro, Arusha na manyara ni tan 8100👇
7
10
47
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
@rollymsouth Kwenye issue ya elimu kikatuni akachukue ada yako tu bhana ikiwezekana. Kwahiyo una definition one na degree Au una division one na degree 😂
Tweet media one
8
2
46
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
KUMPOKEA LEMA IMEKUWA BIASHARA CHADEMA😎 📌Uliondoka kwa mapendekezo yako mwenyewe leo umekuwa unaweka mashart uchangiwe kuja kupokewa. 📌Kuna faida gani kujaza watu afu hauna lolote la maana kwao. 📌Embu acheni wizi mkija njooni tu kama wezi acheni mambo ya sifa😎 NB. Ni wizi tu
Tweet media one
Tweet media two
30
8
46
@Jaguar_455
jaguar 😺
7 months
UVCCM BAVICHA Jokete Hilda Kivumbi leo😂😂
Tweet media one
Tweet media two
14
5
46
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 month
Na sisi tutakwenda FIFA kusema serikali ya CCM inaingilia Mpira 😊
Tweet media one
11
6
47
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
JENGO LA MCHORO VS JENGO ORIGINAL Kweli CHADEMA ni manyumbu ivi mmeshindwa kuhoji kabisa mpaka hili Jambo, huu mchoro mlipewa mkashangilia na leo mmepewa geto mmesahau na mnashangilia tena😂 Kweli nyie ni watu wa kupiga hatua 10 mbele na hatua 20 nyuma si dhani kama mtafika
Tweet media one
Tweet media two
18
5
45
@Jaguar_455
jaguar 😺
6 months
Tuendeleeni kuilaumu na kuikosoa serikal ila mkubumbuke ata hawa viongozi tunaowapa dhamana ni tatizo kubwa. Hii ni shule alisoma lissu licha ya kuwa mbunge miaka kibao ila ata jiko alitoa ahadi akujenga. Endeleeni kuwajaza uongo wananchi wakati chadema ni wajasiriamali wa siasa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
42
9
45
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Viongozi wanaojitambua wako bize kuijenga nchi ila kuna huyu mwengine yeye yuko bize kuhonga tu V8 na kutudanganya na tunajua kabisa hakuna lolote😎
Tweet media one
@__abdulazack
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
1 year
Waziri wa @mofURT , Dkt. @mwigulunchemba1 (Mb) kulia, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum, wakiwa katika picha na Makamu wa Rais wa Taasisi ya Benki ya Dunia inayojihusisha na utoaji mikopo na misaada kwenye sekta binafsi
Tweet media one
5
9
46
3
2
45
@Jaguar_455
jaguar 😺
18 days
Uongozi wa JPM wote tunajua alichomfanyia Nape na Jmakamba sababu ikiwa ni unafiki na kutokuwa na siri kwenye vikao vya Baraza la mawaziri. Jpm hakutaka makundi kabisa Samia aliona hawa ni vijana na kuwapa nafasi akidhani wamejifunza ila bado, Nape ni moja ya wanamchafua Rais
Tweet media one
6
6
46
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Chadema upuuzi wa ku CROP PICTURE nani kawapa mpiga picha wenu anatumia camera gani kupiga picha kwanin picha zinatoka na vumbi hii nayo ni agenda kwenye chama chenu maana karibu picha zote mnafanya hivi sasa mnadanganya mpaka kwenye picha inafaida gani kwenu. chopa tumezoea🤪
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
20
5
45
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
ivi hizi gari 150 za M4C zilienda wapi?😎
Tweet media one
28
2
43
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
CHADEMA YA TANGAZA DIN Naona uongozi wa chadema wamekanyaga kinyesi chao kikiwa kimoto fresh Baada ya kupiga kelele kuwa waliohusika kusaini mkataba wanatoka sehemu fulani na wa dini fulani leo hii wao wenyewe wanaitisha mkutano ukiwa na wazungumzaji 13 kati yao 12 ni wakristo.
Tweet media one
Tweet media two
28
4
44
@Jaguar_455
jaguar 😺
1 year
Benjamin akiwa M/Kiti CCM, Mbowe yupo Kama M/kiti Kikwete akiwa M/Kiti Wa CCM, Mbowe Yupo Kama M/Kiti JPM akiwa Kama M/Kiti Wa CCM, Mbowe yupooo Na Sasa ni Mama, Mbowe yupooo. Ama Hakika Huyu Mwamba ni Ruba @VidonyiHumphrey @Hb_cbe_2020 @HecheJohn mnafeli wapi @ChademaTz
Tweet media one
40
11
45
@Jaguar_455
jaguar 😺
11 months
Hii nchi Uhuru umezidi sana huyu jamaa hii miaka 100 kwenye mkataba aliitoa wapi.. Na kwanini mpak Sasa yuko kwake hajaitwa ata mahakamani kuhojiwa watu Kama hawa ndio wanachafua hii nchi na kuwaaminisha watu upumbavu 🚶🙄
Tweet media one
25
5
45
@Jaguar_455
jaguar 😺
10 months
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. @SuluhuSamia akiwa kwenye kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma tarehe 10 Julai, 2023. @Sisi_Tumekubali @mamayukokazini 🔥🔥🔥
Tweet media one
2
7
45
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
PADRI KITIME WASAIDIE TEC WAFUNGUE CHAMA CHA SAISA😎 Katika swala la bandari, mahakamani imeweza kusema pande zote ya mlalamikaji na mtetezi kuwa pale hakuna mkataba. Sasa hawa maskofu wametoa wapi neno mkataba kwenye maneno yao. Mnazungumzia katiba na sheria ndio imetumika
Tweet media one
42
5
44
@Jaguar_455
jaguar 😺
2 years
@Hb_cbe_2020 @sheby_yahya @RashdaZunde @Ngaso6Ngaso @Mapungo2020 @kigogo2014 @siadevinci @mgangajoh @zachariageosayi @VidonyiHumphrey hyo ni saccos ya chiba na mbowe hakuna lolote hapo tena simu imeshaharbka imebaki hauzng, hawajui wap tena wataanzia imebaki ni makasilko tu
Tweet media one
Tweet media two
9
5
43
@Jaguar_455
jaguar 😺
5 months
Afu Kuna mtu ana sifia hiyo draw ya leo ila vyura🐸😂
Tweet media one
10
2
41
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
Ifikie hatua sasa serikali ione aibu na huyu waziri hewa atolewe ofisi Sasa, ivi kuna faida gani kukumbatia hili tatizo JMakamba anaendesha hii wizara kwa wizi mkubwa sana. Haitoshi bado serikali inasamehe deni na ilipaswa hii taasisi ndio iongeze pesa serikalin. @kigogo2014
Tweet media one
7
3
44
@Jaguar_455
jaguar 😺
4 months
@privaldinho Huyu ni wewe
Tweet media one
4
2
42
@Jaguar_455
jaguar 😺
9 months
Afu Kuna mpuuzi anasema mafuta yapo hii nchi ngumu sana ila kwa hili CCM litawatafuna sana kuendelea kumshikilia waziri wa nishati ni sawa na kukumbatia furushi la mavi. Niko pale tutaongea lugha moja 🚶😎
Tweet media one
12
2
42