Ukiwa dar bhana unaweza ona Mh, Rais anaipendezesha dar tu,
Ila Kuna ile barabara ya USINGE inaunganisha KIGOMA na TABORA aisee ile barabara ilikuwa mbaya sana na ili kuwa na vumbi la kutosha.
Nimepita bhana Mh, Rais unapiga kazi sana,
Mama lami imepoa
Kuna watu watabisha tu