Getrude Mollel πΉπΏ
@Getrude_mollel
Followers
30K
Following
11K
Media
6K
Statuses
103K
Content Creator π | Media Personality πΊ | PR & Communications | Author βοΈ | Politics | UDSM Alumna | Proud Masai |
Africa
Joined March 2013
THE SECRET BEHIND KENYAβS ROLE IN FUELING UNREST IN TANZANIA UNDER THE GUISE OF FIGHTING FOR DEMOCRACY. By Dr. Geus Mbadika Nyaisanga Dar es Salaam, Tanzania The General Election of the United Republic of Tanzania, held on October 29, 2025, marked another historic chapter in
548
106
208
UKIZUNGUMZIA SUALA LA HAKI ZA #WAPALESTINAπ΅πΈ KWAO HAWAKUUNGI MKONO π«·πππ¦ >>WANAKWAMBIA HAO HUKO GHAZA WANATUHUSU NINI SISI TZπΉπΏβοΈ_SISI TUNAZUNGUMZIA MAMBO YA KUTEKWA NA MAUAJI YA WANANCHI WA TZπΉπΏ π«΄MWISLAMU UNAWEKWA KIMIPAKA DHIDI YA DAMU ZA NDUGU ZAKO KISA MIPAKA YA NCHI
1
2
2
Twaha alivyokuwa anafurahi machafuko kama siye leo anayelialia muda huu vijana kupigwa njugu.
2
3
8
HOW @RitzCarlton & @Marriott GRABBED A WILDLIFE MIGRATORY CORRIDOR IN MAASAI MARA AND ENCROACHED ON TANZANIAN LAND @WilliamsRuto @SuluhuSamia @OleNtutuK @KWSKenya @UNEP The satellite imagery reveals a concerning geospatial transformation within the Maasai Mara National
4
104
155
.@CNN used the words βunarmed demonstrators,β while ignoring recorded attacks on law enforcement and destruction of businesses. Thatβs not journalism. @LarryMadowo
#CNNFalseNarrative CNN bias exposed https://t.co/mKxPlAyxlj
38
20
29
Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye viwanja vya Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha kwa ajili ya kutunuku Kamisheni Maafisa Wanafunzi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
7
11
89
βπΎβπΎβπΎβπΎπΉπΏπΉπΏπΉπΏπΉπΏπΉπΏπΉπΏβπΎβπΎβπΎ
6
6
13
I am shocked by how shallow and underwhelming the Larry Madowo and CNN Tanzania investigation is, relying heavily on secondary data. Maybe Larry would have done better by covering the Protests live, like he did here in Kenya. Mbadi ATPU Open Society Malava Habanos Lounge Aoko
187
39
134
Leo nimetunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi 296 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kundi la 06/2022 waliohitimu Shahada ya Sayansi ya Kijeshi (BMS) na Kundi la Kawaida la 72/2024 kwa Cheo cha Luteni Usu katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi, Monduli mkoani Arusha.
7
51
112
Uende kwa Kondo uchimbe eneo lote lile uzike umalize uondoke wasione watu? Labda awaambie wasiojua kwa Kondo. Kuna muda Waafrika tunaonekana wajinga sana. Mtu kashupaza shingo hahoji ukweli kameza hivyo hivyo. Siku mtakuja kumeza sumu zaidi. Mitandaoni kuna wapumbavu wengi.
9
11
23
Tulikubaliana tumcancel jamaa. Ila anaongoza huko Audiomark. ππ
3
6
12
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwatunuku Shahada ya kwanza ya Sayansi ya Kijeshi Wahitimu 106 kwenye mahafali yaliyofanyika katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha tarehe 22 Novemba, 2025.
15
22
102
VIDEO: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linaendelea kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama pamoja na wananchi katika kuimarisha ulinzi kwenye maeneo mbalimbali ya jiji. Kwa mujibu wa taarifa ya siku ya Jumamosi ya Kamanda wa Polisi Kanda
23
7
62
VIDEO: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho, amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kupitia Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli kwa hatua kubwa na ya kihistoria ya kuendelea kutoa wahitimu wa Shahada ya Kwanza ya Sayansi ya
22
9
60
Wakiona wanaharakati mambo haya huumia sana @MariaSTsehai anasemaje, au anaendelea kupokea msg DM kwamba JWTZ litachukua Nchi
1
10
11
somesheni watoto jamani, GPT inatoa taarifa mtandaoni, unachofeed kila siku mtandaoni chatgpt inatuma taarifa hizohizo kutoa majibu.. Hata askari walikuwa sahihi kuwadunga njugu.
6
2
5