BALOZI
@itsankhan
Followers
2K
Following
12K
Media
415
Statuses
8K
Msaada tutaniโฆmzigo MPYA huu Wakuu hizi Tshirt ni za mtumba grade 1, huyu mzalendo anasukuma hizi Tshirt kwa bei ya kizalendo kabisa, Tshirt 1 ni 10k tu na mkoani anatuma. Mcheki mapema kabla haujakosa ๐ Mawasiliano yake: WhatsApp/Call 067 898 0885
3
27
43
Wazee wetu walikasirika walipoona mkoloni mzungu na Mwarabu wanatesa na kuua watu wetu. Afrika ikaamka na kupigania Uhuru kukomesha manyanyaso haya. Tanganyika ikapata uhuru wake 1961. Leo miaka 64 baadae watu wanatekwa, wanatolewa macho na kuuwawa kama Mzee Kibao wa chadema.
37
182
564
๐จโผ๏ธFLASHBACK ZANZIBAR ELECTION 2020โผ๏ธ Mwaka 2020 Zanzibar uchaguzi Hawa ni wanajeshi wanampiga mwanachama wa @ACTwazalendo bila aibu wala huruma๐ญ Alafu 2025 Linda Kura???! Au mnafikiri @SuluhuSamia atawaonea huruma mwaka huu awaache mshinde kihalali!? Make it make sense!
44
182
498
Mimi sipigi wala silindi kura. Nataka mabadiliko kwanza. Biashara ya kubeti ktk uhai, au kuwapa watu ulaji, siitaki. Tuheshimiane.
83
292
1K
I repeat, usipige kura ukijua wataiiba. Usihalalishe ubatili. Kataa kuwa ngโombe. Dai mageuzi kama unaweza.
11
134
705
@PMadeleka Unaogopa kusoma maelezo mengi lakini unaweza kunywa pombe nyingi? Maelezo mengi umepewa ili kuelewa dhana ya "kuzuia uchaguzi".., Uchaguzi huwezi kuzuia kwa kuiba masanduku ya kupigia kura kituoni. Sasa nimeamini, unaweza kuwa na kichwa kikubwa lakini ubongo mdogo.
78
79
725
โTutazuia uchaguziโ - usiichukue na kujadili kauli mbiu hii ya kisiasa ukiwa kwenye ULEVI. Nitakupa darasa kidogo hapa, ukiwa timamu kichwani, utanielewa. Kwanza lazima uelewe, hatupo katika shindano la kutafuta umashahuri au umaarufu (popularity contenst). Hivyo hatuna tatizo
Martin Maranja Masese nakuomba kwa UNYENYEKEVU, onesha UTIMAMU WAKO WA AKILI kwa kujibu swali hilo ๐; โMTAZUIAJE UCHAGUZI?โ.๐๐
167
298
1K
Wanapanda mbegu ambayo ikiota wote watajuta. Liberia watu waligeuka wanyama, wakawa wanakula nyama ya binadamu. Madhara ya uongozi huu wa hovyo wa ccm sio kwenye rasimali tu, madhara yanaenda kuharibu ubinadamu na utu wetu.#NoReformsNoElection
Moral Fabric ya Jamii yetu imekwisha kabisa! ๐ข๐ข๐ข USHENZI na lawlessness unastawi mpaka UHAI hatuujali. Unamtoa mwenzako ROHO bila ya woga na video unapiga kuweka USHAHIDI. Laana hii.
7
61
377
Au kesho niamke mapema nifatilie giza pole pole huwa linaenda wapi๐
34
40
181
Duuh, makafiri huwa tunapitia mengi
22
1
93
Twendeni Mbele turudi Nyuma Maisha Magumu wazee.!!๐๐
20
6
101
Tukuwekee hadharani? Kwamba unamwambia mshindani wako kuwa nitafanya hivi? Are you serious? Sisi tutalinda kura. Siku ya Uchaguzi Tanzania na Dunia itajua kwa vitendo maana ya Oktoba, #LindaKura
3
2
11
Mtu anatekwa, anakatwa, anavunjwa au kuuawa. Badala ya kuungana kupinga unyama huu, wewe unashangilia kama mjinga wa system. Unadhani una kinga gani ya kutodhurika? Ubinadamu hauna upande wa chama. Ukiona mabaya ukanyamaza, kesho hayatakusamehe.
3
42
280
Huyu ni Mchengerwa mkwe wa @SuluhuSamia mwenye kifua kipana na waziri wa TAMISEMI Msikulizeni! Ile โAmaniโ ni code word Siku kadhaa baada ya hii @mdudenyagali alitekwa kinyama! Leo mnashangaa viongozi wa kijiji Geita โwanalinda amaniโ kwa kumpiga hadi kumwua kijana? Badala ya
14
67
245
Hata mwenzako sijawahi kufika Dar Huu ndio mwanzo Vile nakwenda na sijui pa kukaa Wala mavasi, oh oh ๐ถ๐ถ๐ถ๐ถ๐ต๐ฃ๐ฃ
6
15
26