
Zed🇹🇿
@Zephania_Ndaki
Followers
4K
Following
59K
Media
498
Statuses
30K
Kada mwaminifu wa Chama Cha Cha Mapinduzi (CCM💚) C.E.O (ZED GRAIN MILLS) MUUZA MCHELE ❤🙏
GEITA, TANZANIA
Joined October 2021
Wakuu Apa Ndio Tunapo Chakata Mchele Wetu, Nakama Kuna Mtu Anauza Mpunga Anicheki Dm, Nanunua Pia🙏🏿 Ifike mbali Hii @SincerelyRahma_ @kapeto98 @kalage_jr @Adventure_36 @Ugeniaconso
Jamani Mnao Sema Ule Mchele Ni Picha Tu, Sio Kweli Ule Mchele Nautengeneza Kwenye Izi Mashine Naunatoka Pure Kabisa Na Ni Mzuri Viwango Vya Kimataifa Mkaribie Kwa Wingii!!! @SincerelyRahma_ @ShirimaYvonne @kapeto98 @og_outfits ❤🙏 Nb: Bila Nyie Wakuu Sitoboii Jamani!!😰
9
40
54
📍Kyaka Imagine hii ni Kata tu sio Wilaya wala sio jimbo. Dkt @SuluhuSamia anapita na Mafuriko kila anapokanyaga🙌
1
48
19
Mungu Mtunze Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salam🤲🙏🏿 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anaitwa Albert Chalamila. Ni mtu muhimu katika serikali ya Tanzania, akichangia katika maendeleo na utatuzi wa changamoto mbalimbali katika mkoa huo. Katika kipindi cha Daktari Samia Kafanya Mengi 💚🙏🏿
0
2
3
Mungu Mtunze Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salam🤲🙏🏿 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anaitwa Albert Chalamila. Ni mtu muhimu katika serikali ya Tanzania, akichangia katika maendeleo na utatuzi wa changamoto mbalimbali katika mkoa huo. Katika kipindi cha Daktari Samia Kafanya Mengi 💚🙏🏿
0
2
3
Ni majonzi makubwa kwa Watoto wa Afrika Mashariki na Afrika kwa jumla kufuatia kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu wa Taifa la Kenya R.H Raila Odinga. Yako mengi ya kujifunza toka kwenye maisha yake aliyoishi kwa jinsi alivyowapigania wananchi wake na Chama Chake, alivyoipenda nchi yake
24
8
38
Kila mtu ni mwana Ccm hii nchi ni swala la mda tu
@Zephania_Ndaki Vyama hivi vipo tuu mkuu ndo maan leo mnapokea watu wanaotoka CDM na CDM wanapokea wanaotoka CCM ila ubinadam wet uko pale pale
1
1
3
Ninawashukuru sana wananchi wa Muleba kwa mapokezi mazuri na ukarimu wenu, leo tulipoanza kampeni katika Mkoa wa Kagera. Ahsanteni sana kwa nia, uamuzi na utayari wenu wa kuwachagua wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ifikapo Oktoba 29. Ninafurahi kwamba kwa umoja wenu
38
71
111
Mbona upo bize na wanachama wetu mkuu😂😂
@Zephania_Ndaki Mnaungana kwa ujinga misingi ipi akitoka mtu ndani kwenu mnamfukuza chama ndo misingi ya demokrasia hyo acheni utani bhan na mnapongezana WAPI MPINA LEO WAPI POLE POLE LEO WAPI GWAJIMA LEO demokrasia my foot🥺
2
0
1
Komaa na chama chako mzee.. Nipo Bukoba Bize Na Kampenii
@Zephania_Ndaki Kuna muda mnatufanya tuone mtu kuwa CCM ni laana mjue hivi uhai unafananisha na maji umeme na barabara acheni utani na uhai hivi MAMA yake pole pole unadhani anajiskiaje leo acheni dhihaka na Mungu
0
0
2
Uratumia hata wewe
@Zephania_Ndaki Sas maji barabara umeme bila uhai wa watu nan anatumia mkuu
2
0
2
Na hii Ndio Maana Nasema Watu Bado Wana Mkumbuka Mbowe👊🏿
@Zephania_Ndaki Enzi za Mbowe wanachama wa CDM walikua wananufaika na posho za hapa na pale! Ila saivi unaambiwa ni njaa tupu hawana pesa hata ya kuendesha chama! Tonetone tu michango hata 100m haikufika!
1
1
2
Nasikia chama hakina umate umate😂😂, pesa hamna Tone Tone Inashia Kwa Wachache😁
@Zephania_Ndaki Hizo akili wanatoa wapi kama yeye lissu alifukuza wanachama kwa njia ya sms baada ya kusema ukweli
0
1
3
Wakuu chama chenu hakina hela, na bado michango inaishia kwa wachache😂
@Elmagnificotz @Zephania_Ndaki propaganda Hii nayo itakufa kifo cha mende
1
1
1