Zephania_Ndaki Profile Banner
Zed🇹🇿 Profile
Zed🇹🇿

@Zephania_Ndaki

Followers
4K
Following
59K
Media
498
Statuses
30K

Kada mwaminifu wa Chama Cha Cha Mapinduzi (CCM💚) C.E.O (ZED GRAIN MILLS) MUUZA MCHELE ❤🙏

GEITA, TANZANIA
Joined October 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
12 days
Wakuu Apa Ndio Tunapo Chakata Mchele Wetu, Nakama Kuna Mtu Anauza Mpunga Anicheki Dm, Nanunua Pia🙏🏿 Ifike mbali Hii @SincerelyRahma_ @kapeto98 @kalage_jr @Adventure_36 @Ugeniaconso
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
15 days
Jamani Mnao Sema Ule Mchele Ni Picha Tu, Sio Kweli Ule Mchele Nautengeneza Kwenye Izi Mashine Naunatoka Pure Kabisa Na Ni Mzuri Viwango Vya Kimataifa Mkaribie Kwa Wingii!!! @SincerelyRahma_ @ShirimaYvonne @kapeto98 @og_outfits ❤🙏 Nb: Bila Nyie Wakuu Sitoboii Jamani!!😰
9
40
54
@Aduiwayanga
Adui Wa Yanga
45 minutes
📍Kyaka Imagine hii ni Kata tu sio Wilaya wala sio jimbo. Dkt @SuluhuSamia anapita na Mafuriko kila anapokanyaga🙌
1
48
19
@salim_alkhasas
Salim Alkhasas
32 minutes
Upo siku nyingi sana, huwa unapotea mtu flani akiongoza… na uzuri wake utaratibu wetu wa kubadilishana utapotea tena
@iboysean
Shonii💎
6 hours
Humu ndani kuna udini, ukabila na ukanda ambao unaenda kumature hivi karibuni.
1
4
8
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
16 minutes
Mungu Mtunze Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salam🤲🙏🏿 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anaitwa Albert Chalamila. Ni mtu muhimu katika serikali ya Tanzania, akichangia katika maendeleo na utatuzi wa changamoto mbalimbali katika mkoa huo. Katika kipindi cha Daktari Samia Kafanya Mengi 💚🙏🏿
0
2
3
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
16 minutes
Mungu Mtunze Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salam🤲🙏🏿 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anaitwa Albert Chalamila. Ni mtu muhimu katika serikali ya Tanzania, akichangia katika maendeleo na utatuzi wa changamoto mbalimbali katika mkoa huo. Katika kipindi cha Daktari Samia Kafanya Mengi 💚🙏🏿
0
2
3
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
52 minutes
Ile ya Niffer Inaitwa Mungu Akiamua kukuinua Na Kukusafisha😂
0
2
5
@ridhiwankikwete
Ridhiwani Jakaya Kikwete, Ndc
3 hours
Ni majonzi makubwa kwa Watoto wa Afrika Mashariki na Afrika kwa jumla kufuatia kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu wa Taifa la Kenya R.H Raila Odinga. Yako mengi ya kujifunza toka kwenye maisha yake aliyoishi kwa jinsi alivyowapigania wananchi wake na Chama Chake, alivyoipenda nchi yake
24
8
38
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
1 hour
Kila mtu ni mwana Ccm hii nchi ni swala la mda tu
@maulid_meddy
MKUDE 🦁🇹🇿
1 hour
@Zephania_Ndaki Vyama hivi vipo tuu mkuu ndo maan leo mnapokea watu wanaotoka CDM na CDM wanapokea wanaotoka CCM ila ubinadam wet uko pale pale
1
1
3
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
1 hour
💚🙏🏿
@SuluhuSamia
Samia Suluhu
1 hour
Ninawashukuru sana wananchi wa Muleba kwa mapokezi mazuri na ukarimu wenu, leo tulipoanza kampeni katika Mkoa wa Kagera. Ahsanteni sana kwa nia, uamuzi na utayari wenu wa kuwachagua wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ifikapo Oktoba 29. Ninafurahi kwamba kwa umoja wenu
0
0
1
@SuluhuSamia
Samia Suluhu
1 hour
Ninawashukuru sana wananchi wa Muleba kwa mapokezi mazuri na ukarimu wenu, leo tulipoanza kampeni katika Mkoa wa Kagera. Ahsanteni sana kwa nia, uamuzi na utayari wenu wa kuwachagua wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ifikapo Oktoba 29. Ninafurahi kwamba kwa umoja wenu
38
71
111
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
1 hour
Mbona upo bize na wanachama wetu mkuu😂😂
@maulid_meddy
MKUDE 🦁🇹🇿
1 hour
@Zephania_Ndaki Mnaungana kwa ujinga misingi ipi akitoka mtu ndani kwenu mnamfukuza chama ndo misingi ya demokrasia hyo acheni utani bhan na mnapongezana WAPI MPINA LEO WAPI POLE POLE LEO WAPI GWAJIMA LEO demokrasia my foot🥺
2
0
1
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
2 hours
Komaa na chama chako mzee.. Nipo Bukoba Bize Na Kampenii
@maulid_meddy
MKUDE 🦁🇹🇿
2 hours
@Zephania_Ndaki Kuna muda mnatufanya tuone mtu kuwa CCM ni laana mjue hivi uhai unafananisha na maji umeme na barabara acheni utani na uhai hivi MAMA yake pole pole unadhani anajiskiaje leo acheni dhihaka na Mungu
0
0
2
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
2 hours
Uratumia hata wewe
@maulid_meddy
MKUDE 🦁🇹🇿
2 hours
@Zephania_Ndaki Sas maji barabara umeme bila uhai wa watu nan anatumia mkuu
2
0
2
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
2 hours
💚🙏🏿
@420Cousin
cousin 420
2 hours
Matembezi ya kumpokea Mtu bingwa kabisa Dkt. Samia Suluhu Hassan Karagwe wamejipanga kwa mapokezi ya kibingwa. Wanasema kwa pamoja kazi iendelee, kelele pembeni!
0
0
1
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
2 hours
Mitano Tenaa......💚🙏🏿 Octoba Tunatiki🤲🙏🏿
@Jaguar_455
JAGUAR.🇨🇦
2 hours
@Zephania_Ndaki Inshallah
0
1
3
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
2 hours
Mitano Tenaa......💚🙏🏿 Octoba Tunatiki🤲🙏🏿
@Jaguar_455
JAGUAR.🇨🇦
2 hours
@Zephania_Ndaki Inshallah
0
1
3
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
3 hours
💚🙏🏿
@OriginoZee17
Zee La Nyeti 𝕏
4 hours
Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwasili wilayani Muleba-Kagera katika muendelezo wa mikutano ya kampeni ya Chama hicho kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025.
0
1
2
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
3 hours
💚🙏🏿
@amina_hafidh
mimilicious🌹🍒
3 hours
Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwasili wilayani Muleba-Kagera katika muendelezo wa mikutano ya kampeni ya Chama hicho kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025.
0
1
2
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
2 hours
Na hii Ndio Maana Nasema Watu Bado Wana Mkumbuka Mbowe👊🏿
@Elmagnificotz
El Magnifico
2 hours
@Zephania_Ndaki Enzi za Mbowe wanachama wa CDM walikua wananufaika na posho za hapa na pale! Ila saivi unaambiwa ni njaa tupu hawana pesa hata ya kuendesha chama! Tonetone tu michango hata 100m haikufika!
1
1
2
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
2 hours
Nasikia chama hakina umate umate😂😂, pesa hamna Tone Tone Inashia Kwa Wachache😁
@Jaguar_455
JAGUAR.🇨🇦
2 hours
@Zephania_Ndaki Hizo akili wanatoa wapi kama yeye lissu alifukuza wanachama kwa njia ya sms baada ya kusema ukweli
0
1
3
@Zephania_Ndaki
Zed🇹🇿
2 hours
Wakuu chama chenu hakina hela, na bado michango inaishia kwa wachache😂
@maulid_meddy
MKUDE 🦁🇹🇿
2 hours
@Elmagnificotz @Zephania_Ndaki propaganda Hii nayo itakufa kifo cha mende
1
1
1