Mpale Mpoki Profile
Mpale Mpoki

@MpaleMpoki

Followers
4K
Following
5K
Media
578
Statuses
3K

Kikota, Kiwira, Rungwe, Mbeya
Joined April 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
2 years
Tweet media one
2
25
78
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
2 hours
It never gets old. It becomes relevant and realistic all the time.@MariaSTsehai @lifeofmshaba
1
5
12
@grok
Grok
7 hours
Generate videos in just a few seconds. Try Grok Imagine, free for a limited time.
14
14
125
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
3 hours
The strength of the judiciary is very important as it is an important vehicle in an orderly, contented and just society @MariaSTsehai @lifeofmshaba @Advocate_Jebra
Tweet media one
1
4
16
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
5 hours
Kuna chaguzi na chafuzi hii inaitwajwe ???
Tweet media one
4
9
53
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
2 days
Jaji wa Uganda atunukiwa cheti baada ya kumnyima dhamana Dr Kiiza Besigye kwenye kesi inayomkabili
Tweet media one
4
28
122
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
3 days
Kwa nini nafasi muhimu hazitangazwi ? Kwa nini hazifanyiwi usaili kwa nini waliofaulu usability hawapelekwi bungeni for approval etc.Uteuzi wa siri unaleta cronyism incompetency katika utumishi wa umma.
@TonnyAdamms
Tonny
3 days
@MpaleMpoki @hakaido2 @MariaSTsehai Ajira yoyote, Mkataba wowote wa Utumishi kwa Umma, Nafasi zozote za Uwakilishi wa Umma Bungeni, LAZIMA ZIWE NA UKOMO MAALUM WA MUDA, .expiry of term contract. Muda ukiisha, Mkataba wa Utumishi umekwisha. Renewal of Contract lazima ifanyike Upya kwa Masharti Mapya.
0
6
25
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
3 days
Rights ambayo haija advance haki za binadamu. Mahakama inatoa hukumu executive wanawaangalia tu na mahakama haina uwezo wa kufanya kitu kukazia haki hizo. Yule ya uchaguzi inaitwa huru je ni huru kweli au kiinimacho ? .Katiba mpya haiwezi kuepukika.
0
1
4
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
3 days
Katiba yetu imepitwa na wakati na imeundwa kwenye mfumo wa Chama kimoja cha siasa. 1977 Enzi za chama kushika hatamu. Taasisi zinazoundwa kwa mujibu wa katiba ni weak sana ndio maana checks and balances ni ndoto. Ona chombo kama CHRAGG ni kama vile hakipo kabisa. Tuna bill of.
@TonnyAdamms
Tonny
3 days
@MpaleMpoki @hakaido2 @MariaSTsehai The 1977 Constitution NEEDS TO RE WRITTEN VERY NEATLY, kuondoa hayo MAKANDOKANDO ya Abracadabra. JANJAJANJA na UTAPELI MTUPU katika Siasa za Tanzania.
3
5
23
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
4 days
Kama DC angesoma notes zake za political science angebaini kuwa hiyo ni class struggle between the ruling class and the lumpen proletariat, the masses the hoi polloi. Angalia Aina ya watu wanaoshangilia linganisha na watu wanaoona sio sawa. It's all bout the haves and have not.
2
7
49
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
4 days
Je hili ni jukumu la kisheria la mkuu wa wilaya ?
Tweet media one
12
11
89
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
7 days
Unatoa amri ya kumlinda shahidi asijulikane wakati wewe uliyetoa amri unajulikana na atakayesikiliza kesi na atakayemhukumu anajulikana na watanzania wote. Hii ni jurisprudential miscalculation of the highest order. Kuna kitu wanataka kuachieve. Kitaboomerang . Time will tell.
7
13
91
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
7 days
Kuficha mashahidi wa mashitaka,askari magereza na kuacha mahakimu, prosecutor na majaji wakiwa wanajulikana ni ushamba wa kisheria wa hali ya juu mno. Tasnia ya sheria tumejivua nguo hadharani. Mwenye madhara sio shahidi ni anayeendesha kesi na anayeamua .Kuna kingine cha zaidi.
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
7 days
‼️MSIOGOPE‼️.Wanamtandao wako kazini 👇🏾🙄.Ila uzuri tumeshaambiwa mipango ni hivi:.👉🏽 Shahidi wa siri ni mmoja aliyekosa nafasi ya uongozi baada ya January.👉🏽 anaenda kutoa ushahidi kuwa Lissu alifuatwa na mataifa ya nje na kuhongwa ampindue Bi Kizimkazi.👉🏽Mahakama itamhukumu
Tweet media one
4
36
129
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
7 days
Mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi ni takwa lisiloepukika kwani takwa limejengwa kwenye mfumo na katiba ya Chama kimoja Katiba imepitwa na wakati ibadilishwe sasa sio kesho !! Hakuna uhusiano kati ya matakwa ya katiba mpya na kipindi cha urais .Katiba ni ya wananchi sio ya serikali.
0
9
32
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
7 days
Kama kudai kurekebishwa kwa mfumo wa uchaguzi Tanzania ili uwe wa huru na haki ni uhaini basi wahaini Tanzania wako wengi sana.
@HecheJohn
John Heche
7 days
Mahakama za Tanzania!!!!. Kesi kubwa hii, zama za teknolojia hizi, mnataka kuendesha kesi yenye hukumu ya kunyonga kwa kuficha mashahidi!!!!! How?. Kama mtu atakua kizimbani kutoa ushahidi akiwa na computer, simu au amendikiwa au hata AI inaongea nani atamuona!!!. Jambo mmoja kwa
Tweet media one
6
33
116
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
7 days
RT @GenZMediaKE: Jambo @MpaleMpoki , Ngoma ya ukombozi wa Nchi ya Tanzania kutoka kwa mikono ya Rais Samia. Sambaza kwa marafiki na WhatsAp….
0
2
0
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
8 days
Uhuru wa tume huru ya uchaguzi umezungumziwa sana kuwa tume si huru lutokana na muundo na uteuzi wake (Rule of Bias)!! Hili ni doa kubwa sana .Aliyekuteua wewe ni mgombea vile vile hii imekaaje .Daftari la wapiga kura liwekwe na kwenye tovuti ya tume ili raia wakague.
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
8 days
#TANZANIA: KAILIMA AWATAKA WANASIASA KUACHA KUPOTOSHA JUU YA IDADI YA WAPIGA KURA 2025, "NJOONI TUWAPE TAARIFA SAHIHI".Mkurugenzi wa Tume Huru ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani akitolea ufafanuzi wa taarifa zilizotolewa hivi karibuni na baadhi ya Wanasiasa kwamba takwimu ya idadi ya
Tweet media one
0
13
46
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
8 days
RT @IAMartin_: Mikataba ya MANGUNGO katika jina la UWEKEZAJI. 1.Waarabu wa familia ya kifalme Dubai, (DP WORLD) wamepewa kuendesha bandari….
0
317
0
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
8 days
Na hilo rungu mgongoni ni sehemu ya sare ya magereza ? Na iko gazetteed kama sare ya magereza kiasi cha kuruhusiwa mahakamani ?
Tweet media one
@MagerezaT
MagerezaTanzania
9 days
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
Tweet media two
16
53
145
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
9 days
Hawajui kama kuna nchi hazina magereza na kuwa endapo wanachi tutaamua tunaweza kuondokana na mfumo wa sasa wa magereza ambao ni wa adhabu na sio wa masahihisho na rehabilitation Tukiamua askari magereza waatakuwa jobless !!.
@vicensiashule
Vicensia Shule
9 days
Ni kama vile mnatuona sisi sote ni wafungwa watarajiwa hivyo mnaweza kutuandika mpendavyo, owkey 🦎.
1
12
50
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
9 days
Imani kwa mahakama haipimwi na kumaliza mapema kesi za uchaguzi! Imani inapimwa na jinsi mahakama inavyojipambanua kuona mfumo mzima wa uchaguzi ni wa haki,sheria za hakikuhusu uchaguzi, uhuru wa vyombo vinavyosimamia uchaguzi na uwezo wa wagombea kupinga matokeo kwagharama nafuu.
@Mwabuk2Boniface
Boniface Mwabukusi
9 days
Hakika maake wengine wametoa hadi mazuio yanayo zuia baafhi ya vyama kujiandaa. it is unfair,illegal and irrational.
Tweet media one
1
18
48
@MpaleMpoki
Mpale Mpoki
9 days
Gari la nani hili insurance gani imeweka kinga kwa ajili ya magari haya !!!
Tweet media one
4
3
26