MwanzoTvPlus Profile Banner
MwanzoTvPlus Profile
MwanzoTvPlus

@MwanzoTvPlus

Followers
121K
Following
697
Media
24K
Statuses
33K

Independent Online Media serving East Africa with premier news - Uncensored and Undaunted

Nairobi, Kenya
Joined June 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 hours
Mwandishi wa filamu na mtetezi wa haki za binadamu, Dkt. Vicensia Shule @vicensiashule anajulikana kwa kazi yake katika sekta ya sanaa na haki za kijamii. Jiunge nasi saa 12 (6PM) kwenye #ShangaziPower, wakati Vicensia anashirikisha jinsi anavyotumia sanaa na uanaharakati kuleta
0
0
5
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 hours
#TANZANIA: CCM BALAA! YAWAONYA WATOA RUSHWA UCHAGUZINI .Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mwanza kimewaonya watia nia wa ubunge na makundi mengine kujitahadharisha na vitendo vya Rushwa kikieleza kuwa atakayebainika atachukuliwa hatua. ZAIDI:
0
0
1
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
5 hours
TANZANIA INA MIFUMO MIBAYA YA KUPATA VIONGOZI: BAVICHA .Bavicha inasema vijana wengi wanatengenezwa kuwa machawa Katibu mkuu wa Baraza la vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (BAVICHA) Taifa Dua Hamud Lyamzito, amesema Tanzania ina mifumo mibaya ya upatikanaji wa
1
14
54
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
6 hours
#TANZANIA: UCHAGUZI MKUU WAWATIA TUMBO JOTO POLISI TANZANIA! WAFANYA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU .Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Mbeya (TPF NeT) umetakiwa kujiweka vizuri katika kujifunza na kuelewa sheria mbalimbali ikiwemo za uchaguzi ili kutimiza majukumu yao kwa weledi.
0
0
1
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
7 hours
BALAA KIMENUKA! NAIBU WAZIRI MKUU DOTTO BITEKO HANA MPINZANI.ZAIDI:
Tweet media one
0
0
2
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
8 hours
Vijana wa Gen Z Kenya waanzisha chama chao cha kisiasa .
1
5
31
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
1 day
Siku 68 za Lissu gerezani, aeleza masaibu anayopitia .
0
1
10
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
1 day
Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi .
0
0
1
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
1 day
Kinyang'anyiro kikali Uganda! Museveni Kutetea Tena Kiti Cha Urais 2026 .
1
1
3
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
1 day
#TANZANIA: TARURA YAKAGUA UJENZI WA BARABARA YA ILEMBO, MBEYA .Wakala wa barabara za mjini na vijijini TARURA wilayani Mbeya umetembelea na kukagua ujenzi wa barabara ya Ilembo Mwala Sapanda yenye urefu wa kilomita 15.8 kwa kiwango cha kifusi ili kujionea ubora wa kifusi hicho.
0
0
4
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
1 day
CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani .
0
0
1
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 days
#TANZANIA: BALAA KIMENUKA! NAIBU WAZIRI MKUU DOTTO BITEKO HANA MPINZANI .Mbunge wa jimbo la Bukombe anayemaliza muda wake na Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk Dotto Biteko amejitokeza pekee yake kuchukua fomu ya kutetea nafasi ya ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha
8
3
18
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 days
KIVUMBI! MAKAMU MWENYEKITI WA ACT WAZALENDO AITWANGA VIKALI CCM BILA HURUMA, ATAMBA KULINDA KURA:
0
0
0
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 days
MTIA NIA WA URAIS KUPITIA ACT WAZALENDO ATEMA CHECHE, "CCM WATAFURAHI, LINDA KURA", AITWANGA CCM:
0
0
0
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 days
BALAA! WAKILI MADELEKA AWAPONDA CHADEMA NA 'NO REFORMS, NO ELECTION', AWATAKA WANANCHI WALINDE KURA:
5
3
10
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 days
KIMEUMANA! ZITTO KABWE AGEUKA MBOGO SAKATA LA UTEKAJI, AWAJIA JUU POLISI NA USALAMA WA TAIFA:
0
0
1
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 days
'I HAVE NO APOLOGY! HAKUNA MTU NTAOMBA MSAMAHA! SHETANI AKASIRIKE, AFANYE ILE ATATAKA'- RUTO.Tazama mazungumzo yake Rais Ruto:
0
0
2
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 days
Vijana wa Gen Z Kenya waanzisha chama chao cha kisiasa .
3
9
36
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 days
#PAKISTAN: ANGALAU WATANO WAMEFARIKI DUNIA KUFUATIA KUPOROMOKA KWA JENGO LA GHOROFA TANO, PAKISTAN.Jengo la ghorofa tano limeporomoka katika mji wa bandari wa Karachi, Pakistan, leo hii Ijumaa saa 10:10 asubuhi (0510 GMT), na kusababisha vifo vya takriban watu watano huku wengine
Tweet media one
0
2
12
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
2 days
#TANZANIA:Anaandika Wakili Boniface Mwabukusi, Rais wa TLS kupitia ukurasa wake wa X (Twitter). “2020 niligombea. nililinda kura zangu. nikakusanya matokeo yangu. Returning Officer wa Jimbo hakuhitaji matokeo yangu ili kujumlisha kura za jimbo.Alikuwa na matokeo yake kwenye
Tweet media one
12
68
223