MagerezaT Profile Banner
MagerezaTanzania Profile
MagerezaTanzania

@MagerezaT

Followers
10K
Following
565
Media
878
Statuses
1K

📍 Official 'X' Account of Tanzania Prisons Service | Est. 1931 | P. O. BOX. 1176 Prisons HQ-Dodoma.

Dodoma, Tanzania
Joined December 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
@MagerezaT
MagerezaTanzania
8 days
#magerezaupdates🇹🇿 . TANGAZO LA AJIRA 📌
Tweet media one
Tweet media two
5
13
56
@MagerezaT
MagerezaTanzania
18 days
Maafisa hao wamepandishwa cheo kuanzia Julai 15, 2025 ambapo wawili kutoka Naibu Kamishna wa Magereza kuwa Kamishna wa Magereza na mmoja ambaye ni Kamishna Msaidizi wa Magereza Amina Kavilondo aliyepo nchini Sudani Kusini, kwa shughuli za ulinzi wa amani amepandishwa kuwa CP.
0
0
4
@grok
Grok
4 days
Join millions who have switched to Grok.
212
242
2K
@MagerezaT
MagerezaTanzania
18 days
CGP. Jeremiah Yoram Katungu, kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 5 Agosti,2025 amewavisha cheo maafisa waandamizi wawili (02) kati ya watatu waliopandishwa kuwa Makamishna wa Magereza.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
2
20
@MagerezaT
MagerezaTanzania
19 days
Hafla ya kufunga Mafunzo na Kutunuku vyeti Wafungwa.
Tweet media one
1
1
10
@MagerezaT
MagerezaTanzania
22 days
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
Tweet media two
158
11
88
@MagerezaT
MagerezaTanzania
2 months
Katika makabidhiano hayo Mkuu wa Magereza Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Leornad Burushi alishiriki ikamilifu. Mwenge wa Uhuru Mwaka huu una ujumbe unaosema "Jitokeze kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa Amani na Utulivu".
0
0
2
@MagerezaT
MagerezaTanzania
2 months
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Kilimanjaro ikiongozwa na Mkuu wa mkoa huo Mhe. Nurdin Babu, leo Julai 5, 2025 wameukabidhi Mwenge wa Uhuru mkoani Arusha kwa ajili ya kuukimbiza katika Wilaya zote za mkoa huo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
0
24
@MagerezaT
MagerezaTanzania
3 months
Mkuu wa Sehemu ya Sheria na Usalama wa Magereza (SLM), DCP. Janeth Keha, akitoa wasilisho kuhusu Huduma za Wafungwa na Makundi Maalum kwa Maafisa Sheria na Maafisa Urekebu wa Magereza, Juni 09, 2025 Mkoani Morogoro. @katibanasheria_
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
0
4
@MagerezaT
MagerezaTanzania
3 months
Mafunzo hayo ya siku tano yameandaliwa na Wizara ya Katiba na Sheria ambapo yata funguliwa rasmi Juni 10, 2025 na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bw. Eliakim Chacha Maswi.
0
0
1
@MagerezaT
MagerezaTanzania
3 months
Maafisa Sheria na Maafisa Urekebu wa Jeshi la Magereza, kuhusu Huduma za Msaada wa Kisheria, Mapokezi ya Wafungwa Magerezani na adhabu mbadala, katika Ukumbi wa Mikutano wa Cate Hoteli mkoani Morogoro.
1
0
1
@MagerezaT
MagerezaTanzania
3 months
Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza (CP) Nicodemus Tenga, leo Juni 09, 2024 ameongoza kipindi maalum cha majadiliano kuhusu mambo mbalimbali ya Kisheria ikiwemo mapokezi ya wafungwa na hesabu za kifungo, ikiwa ni siku moja kuelekea ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
1
10
@MagerezaT
MagerezaTanzania
3 months
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
0
2
21
@MagerezaT
MagerezaTanzania
4 months
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Magereza (CGP) Jeremiah Katungu alipowasili katika viwanja vya Cate hotel mkoani Morogoro, kwaajili ya ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa Sheria wa Jeshi la Magereza Mei 5, 2025.
Tweet media one
0
0
14
@MagerezaT
MagerezaTanzania
4 months
TANZIA
Tweet media one
10
5
104
@MagerezaT
MagerezaTanzania
6 months
#magerezaupdates🇹🇿 . Ziara ya Mhe. Innocent Lugha Bashungwa, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, Msalato jijini Dodoma, Februari 14, 2025. @wizaramnn .@innocentbash
Tweet media one
1
4
44
@MagerezaT
MagerezaTanzania
7 months
TAARIFA MUHIMU. @NIDA_Tanzania
Tweet media one
1
1
8
@MagerezaT
MagerezaTanzania
8 months
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Innocent Lugha Bashungwa, atakuwa Mgeni katika Uzinduzi wa Mikakati ya Mawasiliano ya Wizara na Vyombo vyake, Januari 9 - 11, 2025.
Tweet media one
0
1
21
@MagerezaT
MagerezaTanzania
8 months
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
133
39
547
@MagerezaT
MagerezaTanzania
10 months
#magerezaupdates🇹🇿 .Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Oktoba 24, 2024 anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza, utakaofanyika Makao Makuu ya Magereza, Msalato jijini Dodoma.
Tweet media one
2
2
31
@MagerezaT
MagerezaTanzania
10 months
#magerezaupdates🇹🇿 . Kumbukizi ya Miaka 25 ya Kifo cha Baba wa Taifa.
Tweet media one
0
1
17