MAFIA________M Profile Banner
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ Profile
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ

@MAFIA________M

Followers
416
Following
4K
Media
489
Statuses
4K

worry less and enjoy the best ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟโœŒ๏ธ

Zanzibar North, Tanzania
Joined October 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@son_noeli
Heis_
27 days
Ambao hawajatumia hizii ni wagumu sana kupokea ushauri kuhusu maisha
10
21
85
@kasesco_tz
kasescoโ˜†
3 months
Hivi wadada mnaovaa mawigi; Utajisikiaje siku Boyfriend wako anaingia chumbani halafu anatundika NDEVU kwenye hanger...?๐Ÿ˜…
44
45
373
@Wakanda_republi
samwel Rashid
3 months
ANOTHER DAY TO REMIND YOU THAT โ€œFear women at all costsโ€
15
101
812
@MwaitegeOseah
kaka OJ
11 months
Nikikupata kama wewe bao la kwanza nakojoa chini kwanza kuwashukuru mababu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
105
44
682
@MAFIA________M
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ
1 year
๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
@Rydx_017
Latto ๐•
1 year
Kuna hawa wengine wako 10 ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ
0
2
5
@PrettyGirl_inTz
Teddy_
1 year
Jamaa alijua kwenda na kila situation, ukiwa bored ๐Ÿ˜ด Kuna "Poza maumivu", ukiwa na vibes "Iget High", ukiwa na strong love "Milele ft alikiba" , ukiwa na hustle "Kila wakati". Huyo ndo KingZilla #RIP
@DullahTheking2
Dullah_theKing๐ŸŽง
1 year
FRIDAY ya leo tunaianza na mwanetu Zizi.... "Kila wakati Mungu ni mwema....Mungu ni mwema kila wakati" GOOD MORNING ๐Ÿ‘Š๐Ÿพ
0
2
4
@NjiwaFLow
James Munisi
1 year
๐Ÿ’จ BRAND NEW ๐Ÿ”ฅ โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 (12+128) - 2.35m โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 (12+256) - 2.65m โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.7m โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 Pro XL (16+256) - 3.25m โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 Pro XL (16+256) - 3.65m โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 Pro XL (16+1TB) - 4.2m ๐Ÿ“Likoma, Opposite na Geti la
1
11
20
@NjiwaFLow
James Munisi
1 year
๐Ÿ’จ BRAND NEW ๐Ÿ”ฅ โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 (12+128) - 2.35m โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 (12+256) - 2.65m โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.7m โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 Pro XL (16+256) - 3.25m โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 Pro XL (16+256) - 3.65m โ–ช๏ธGoogle Pixel 9 Pro XL (16+1TB) - 4.2m ๐Ÿ“Likoma, Opposite na Geti la
4
45
68
@PrettyGirl_inTz
Teddy_
1 year
Ile Jingle Yake "Toka B hitz" Uheeeeee!! ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ #RipPanchoLatino
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
Miaka 6 bila #Pancholtino ,moja ya watayarishaji bora kabisa wa muziki aliepata kutokea Tanzania,unakumbuka wimbo gani hasa ukisikia jina lake ? #l4tinon4tion #kuvifacts
0
2
2
@MAFIA________M
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ
2 years
"Sinung'uniki sina viatu Wenzangu hawana miguu, Hawalalamiki wanamshukuru Aliyejuu, Siwezi nikamletea makuu maombi ya kibraza duu, Mbwembwe za kuomba magari nawaachia son I'm Cool" Hivi mheshimiwa @MwanaFA Nani alikushauri "G nako" awepo kwenye hii ngoma Aisee aliitendea haki ๐Ÿ™Œ
0
1
5
@PrettyGirl_inTz
Teddy_
1 year
Masaa 11 Badae ๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1
1
2
@MAFIA________M
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ
2 years
Wengi wanampa credit Zombie, Ukweli ni kwamba Abbah Process Ndo baba wa beat Kali ๐Ÿ”ฅ na anaujua mziki. Zombie anabebwa na Upepo wa Wasaniii wakubwa, na anatumia hiyo fursa ipasavyo ๐Ÿ™Œ. All in all Abbah ni best of the best ever and ever ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Ata P funk alikiri kuwa Abbah ni๐Ÿ”ฅ
@chapo255
SANUKAnaCHAPO
2 years
Abbah kasema๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Zombie kama anaweza atengeneze mtu kama Marioo.
0
1
2
@MAFIA________M
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ
2 years
Happy birthday to me. Nitafute mshangazi nioe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคญ umri umeenda ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ #HappyBirthday #NewProfilePic
0
1
3
@MAFIA________M
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ
2 years
Wengi wanampa credit Zombie, Ukweli ni kwamba Abbah Process Ndo baba wa beat Kali ๐Ÿ”ฅ na anaujua mziki. Zombie anabebwa na Upepo wa Wasaniii wakubwa, na anatumia hiyo fursa ipasavyo ๐Ÿ™Œ. All in all Abbah ni best of the best ever and ever ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Ata P funk alikiri kuwa Abbah ni๐Ÿ”ฅ
@chapo255
SANUKAnaCHAPO
2 years
Abbah kasema๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Zombie kama anaweza atengeneze mtu kama Marioo.
0
1
2
@PrettyGirl_inTz
Teddy_
2 years
"Kama fomu Yako umeandikia pen nyeusi hatuipokei" "Mtandao unasumbua njoo kesho" "Kama Vyeti vyako Havina mhuri wa Mwanasheria hatutavipokea" ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚
0
1
4
@PrettyGirl_inTz
Teddy_
2 years
1. Pharmacy 2. Cosmetics hasa Eneo la karibu na chuo, clubs 3. Mashuka & pillows 4. Wakala wa pesa (m-pesa, tigo pesa, NMB na CRDB)
@fumbokhanJr
Fumbo Khan
2 years
Nitajie Biashara yenye faida kubwa kuliko ya MBAO nikupe 100K chap chap..!!
0
1
3
@MAFIA________M
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ
2 years
Huyu itakuwa sheikh Abdalah ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
4
3
26
@MAFIA________M
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ
2 years
"Kwa hiyo unasema zile post zilikuwa for pleasure, Wala haukuwa serious" ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
1
1
6
@MAFIA________M
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ
2 years
@TecnomobileTZ @kalage_jr Shukran sana @TecnomobileTZ kuniwezesha kula Mchana, uso Wangu umejaa tabasamu kama #TecnoSpark20 ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ. #Tecno
1
2
8
@MAFIA________M
M A F I A ๐Ÿ‘ฝ
2 years
Hajui Kwa Nini simu iliwekewa option ya "Block & Report Spam" kazi kwake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜
@prossoff
ProsperNow.
2 years
From DM "Kaka hii imekaaje?" Deep down watu wengi game hawajaijua vizuri.
0
0
2