samwel Rashid
@Wakanda_republi
Followers
2K
Following
4K
Media
487
Statuses
9K
| Holding a Football coaching license | Radio & Tv sports analyst at EASTAFRICA RADIO & TV| Certified information technology technician #Iringa's finest
Dar es Salaam, Tanzania
Joined April 2022
PANTEV jana kaanza na FALSE 9 huku jukumu hilo wakipewa wachezaji ambao combined msimu huu wana bao moja tu๐. Kama alitaka kucheza vile i believe MORICE angecheza kwa NEO then AHOUA acheze kwenye line ya juu bcoz he has box movement that are sometimes beneficial to the team.
4
0
15
โWe need our country, We need fight for our freedomโ ๐๐๐๐ who can relate? ๐๐๐๐
1
0
14
Bwana Yesu asifiwe Sheikh!!
Kete ya Udini ilianza kuwapushed na Hao Wanaharakati wenu, hao ndio walikuja hapa hadi kukashifu viongozi wa dini A hawana Elimu compared to Viongozi wa dini B, leo ile Kete imefika โKingโ waaharakati Uchwara haohao wanaanzisha Propaganda za kidwanzi, Mnashare Video Mchungaji
2
0
11
Larry: We did not report anything we can not prove!!! via SABC NEWS
0
2
18
Yule ni Mtanzania? Normally Tanzanians arent built like that. ๐๐ฝ Alooh hela tunatafuta kwa shida sana ili zitumike kiwepesi mno๐
0
0
24
Hiyo satelite mnayotuangalia nayo ndo satellite gani tena? ๐
245
585
4K
Kuna mjinga mmoja nimemuona kwenye post nyingi sana leo. Yule sasa ndio anafaa kuwa mfano wa โMTU MJINGA KWENYE CONFIDENCE โ
1
1
30
Jirani tunampenda sana lakini ndio afungwe 8 jamani๐๐๐๐๐๐
1
0
11
Kama baba anayo hela si anasort out tu mambo ya mtoto na wajukuu zake๐๐๐๐ฝ
Ila vijana wengi wa siku hizi ๐๐ผ Yani familia yake, ila ada, chakula, nyumba analipa baba mkwe? ๐คฃ๐คฃ๐คฃ The kind of men we have now, ๐คฆ๐ฝโโ๏ธ Is a growing pandemic and we arenโt ready for that discussion.
0
0
9
Kuna kitufe kinaitwa block, unaweza kukitumia ukawa huoni post zangu kabisa. Itakusaidia sana!
@Wakanda_republi Mwenetu ongeq kuhusu mpira mambo mingine ni heri you remain silence usiwe unajifanya unajua kila kitu
1
1
9
Kumbe yale mabomu ya MMAREKANI ni mabomu ya machozi๐๐
2
2
25
Kheee!! Mbona vinafanana.
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ya Bangladesh imepata Waziri Mkuu wa zamani Sheikh Hasina na hatia ya uhalifu dhidi ya binadamu kutokana na ukandamizaji wa Serikali yake dhidi ya Maandamano yaliyoongozwa na Wanafunzi mwaka jana na imemuhukumu adhabu ya Kifo. Mwanasiasa huyo
4
1
14
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ya Bangladesh imepata Waziri Mkuu wa zamani Sheikh Hasina na hatia ya uhalifu dhidi ya binadamu kutokana na ukandamizaji wa Serikali yake dhidi ya Maandamano yaliyoongozwa na Wanafunzi mwaka jana na imemuhukumu adhabu ya Kifo. Mwanasiasa huyo
61
58
514
Kabla Mjomba hajawa Mama Nenda kasikilize ile nyimbo ya Mpoto โNIKIPATA NAULIโ
1
0
17
Ukristo umekamilika โWakristoโ ndio wana mapungufu. Uislamu umekamilika โWaislamuโ ndio wana mapungufu. Tujitahidi kuvunja hii mijadala ya dini ndugu zangu, ila iwapo umeshindwa kabisa kujizuia. Basi usijadili dini ila jadili hao waumini wake.
15
35
245