Kwa baraka zote kutoka kwa Rais wa
@CrownMediaTZ
amemkabidhi taji la ushindi wa kujiunga kwenye Familia ya kifamle. Bingwa kabisa, uzoefu wa kutosha, kiswahili safi, aliyeibeba Bongo Fleva mabegani kwa miaka 15
@dullah_planet
planet kwa pamoja tumkaribishe FUNDI NYUMBANI.