Mimi nataka matokeo, na matokeo ndiyo wanayanga wanayotaka pia, kwahiyo moja ya lengo langu ni kulinda ubingwa wetu wa Ligi kuu, Azam FA na Ngao ya jamii, lakini kubwa kuliko yote ni kuona Yanga inafanikiwa kimataifa ambayo ndiyo pia Wanayanga wanaitaka.