
Max
@maxannania
Followers
798
Following
9K
Media
233
Statuses
22K
“Manners Maketh Man”
Nansimo🇹🇿
Joined October 2014
Kijana wetu Pichani, alizaliwa na hitilafu katika mguu mmoja, anapitia maumivu hasa akijaribu kujongea, anahitaji msaada wa upasuaji (Tsh Milioni 4) ili aweze kutembea kama watoto wengine, ni kijana mwenye afya lakini ni afya isiyo timilifu bila kutembea. Basi ndg zangu
0
15
14
Inaweza kuwa SAFI lakini isiwe SALAMA. Zingatia SAFI na SALAMA wakati wote.
0
2
1
On behalf of the people of Rwanda and on my own behalf, I extend my deepest condolences to the family of the Rt. Hon. Raila Odinga, to my brother President @WilliamsRuto, and to the people of Kenya on the passing of Rt. Hon. Raila Odinga. His lifelong dedication to public
273
2K
10K
In 1978, a 28-year-old Richard Branson, early in his business career, wanted to impress his girlfriend by buying a private island in the Caribbean. He contacted a realtor and jokingly offered $100,000 for Necker Island, which was originally priced in the millions, despite having
2
25
222
Wachina (kwa mfano) pamoja na kuwekeza kwa juhudi kubwa katika Mpira wa miguu mwanzoni mwa miaka ya 2000 lakini hawajawahi kuwa na mchezaji bora kwenye orodha hata Top 30 tu. Sababu ni gani? Lakini wanaongoza katika baadhi ya maeneo ambayo kimsingi ni kama asili yao au utamaduni
Leadership ni kipawa, kipaji, karama na wito combined. Haina kabila, dini wala jinsia. Leadership hunolewa na elimu, malezi na makuzi.
1
1
3
Mnaweza kujikusanya VIJANA 25 mnaunda KIKUNDI, Kila mtu achangie TSH 4,000,000/=, inapatikana TSH 100 milioni, hapa mnanunua compressor piston 3 ya milioni 15, KARASHA 1 la milioni 12, milioni 73 zilizobakia mnatafuta mgodi mzuri mnawekeza na kukuza RUDIO, Hapo HAMTOBOI?
18
7
54
Kuna makabila ambayo huwezi kuwakuta kwa wingi kwenye makundi ya wasomi; viongozi wala wafanyabishara wakubwa. Mada kama hizi huwa zinazua sana hisia; jamii haipendi kuzijadili.
9
8
49
The beautiful thing about life is that you can always change. You can always grow. You can always become better. You are never defined by your past, and never by your mistakes. Proud of you brother 👊🏿
Miaka 3 iliyopita neno Mungu na Yesu vilikua mbali sana na Kinywa changu, nadra sana kukiri uwepo wao. Nikaja kuambiwa kwa vitendo kwamba kijana wewe sio chochote bila hawa. Usisubiri mpaka mambo yakutawanye.
1
5
23
The world ain’t set up for honest man to succeed.
0
7
11
Binafsi ni muumini wa race superiority, na nikisema hivyo sijipunguzii utu wangu, bali najipa haki ya muhimu kutambua kwamba kuna binadamu wenzangu wana uwezo mkubwa kuniliko. Kila mmoja anaweza kujitahidi kuwa bora katika mambo ambayo amezidiwa na mwingine kiasili au hata
2
20
53
“In Rwanda, we survived, 31 years ago, our own tragedies, and we now have to survive many other things that come in from outside. But history has also taught us that even when there is darkness, whether in Rwanda, or in Africa, or in the whole world, some of these small places
56
496
1K
Lee Kuan Yew on Julius Nyerere in his book “Nyerere was the African leader I most respected. He struck me as honest and sincere. He handed over power to a successor in a constitutional manner and Tanzania never descended into the chaos of Uganda.”
0
5
10
I have a total of 3155 contacts on my phone Per my age and gatherings I have been around its not a shock to have such numbers What makes me sad is how alot of people who were once close to you are no longer close due to life reasons and distance Life.
5
5
19
“Katika nchi kama yetu, ambamo Waafrika ni masikini na wageni ni matajari, kuna uwezekano mkubwa kwamba Mwafrika akiruhusiwa kuiuza ardhi yake … ardhi yote ya Tanganyika itamilikiwa na matajiri wageni na wenyeji watakuwa watwana. … Tukiruhusu ardhi iuzwe kama kanzu ,kutakuwa na
5
9
23
@BabaAlexa Hii verse Kaka angu usiinyofoe, isome chapter nzima. It’s the same chapter that Pastor’s use for partaking in the communion. A chapter before that Paulo anaongea kuhusu mifano ya agano la kale as well. Kama somo ni stara, stara ni kwa wote, nyie kama Paulo na yeye kama Yesu.
1
2
1