Zizzou 27🏁
@ZizzouSule
Followers
4K
Following
16K
Media
887
Statuses
18K
Eng | Football | Enterpreneuer | Hip-Hop 🎵
Joined April 2019
Kuna mwanangu baada ya kuchapwa na life, akaamua kujitosa kwenye kazi za saidia fundi. Kazi ya kwanza aliyokutana nayo kwenye ghorofa moja hapo kariakoo ilikua ni kubeba zege. Kwa jinsi alivyofika tu kazini walivyotizama umbo lake mafundi wakamuambia “Dogo utaweza kweli?” 😂👇
120
95
1K
Ndugu zangu wa Manchester united mkiongozwa na @ZizzouSule @BlacDaady @_bli4 @Marakiungu @professorIV01 mko salama?
4
4
7
Tupambane sana kwa sababu kuna tofauti kati ya “Karibu sana” na “ni wewe tena?”
1
0
3
Black Ninja nae kavu sana mtu kama Unju unamuwekaje afungue verse yani alivyo umiza unashindwa kabisa kusikiliza verse zinazo fata watu kama wale huwa wanawekwa mwishoni. Ngoma kali wote wamefanya vizuri pia https://t.co/9161FTB6QK
2
7
17
Ukiachana na Mombasa, korogwe na morocco, ni mji gani mwingine unapatikana jiji la Dar es salaam...?🤔
68
31
296
Basi ninavyonukia kwenye hii daladala wanajua nina heeeelaa😂
0
3
57
Hiyo tarehe 29 ndo ntajua hatma ya mwanangu, aanze kusoma AEIOU au nimfundishe option za kubeti aanze kuwa Mkamaria sugu mapema… 😂
3
9
46
Unju kipindi anafanya mitindo huru alikua anaifanya kwa umahili mkubwa sana Vijana wa sasa wako sawa ila anaekaribia hivi viwango labda homeboi StanRhymes though kina Cado Na Toxic wazuri pia 🙌🙌🙌🙌🙌 #BadoHipHop Cc @LucasOdero8 @Be_FrankSr @ZizzouSule @BabuBomba4
6
10
33
Unajitunza usipate mimba za utotoni unakuja kuwa Mama wa kambo😂
4
14
108
Yo! Yo! It’s BJ once again motherfvckers.. 🎶🎵Mimi bora nisile ila nibet,kwangu kubet sio starehe ni harakati. Mtaji wa buku tu ntamiliki bugati,na sitovaa mitumba ntavaa suti. Betting inahitaji ujuzi na sio vyeti,na sitoacha kubet mpaka mtakaponikuta maiti. 🎶🎵 Wi ouchaaa
9
9
39
Kuna Mstari Mwembamba sana Unaotenganisha Kati Ya Msaada Na Masimango Jitahidi Usipende Sana Kusaidiwa Jifunze kujitegemea ✍️ Good morning +255🇹🇿
50
62
136
🥤#ParisFruition Juice za Ukweli Jumatano hii jiachie na glass ya juice baridii yenye mchanganyiko wa matunda halisi 🍍🍉🥭🍊 na ladha ya tangawizi 😋 ✅ Fresh ✅ Natural ✅ Full ya afya 📍Dodoma – Railway Street 📞 0620 574 521 | 0750 823 780 #JuiceBaridi #HealthyLiving
0
2
4
Nachokaaaaa Babu yenu PJ TombaTomba😖 Operesheni Okoa Bolo🏴☠️ Activeted📮
4
11
55
Eti tulirithi dhambi za Adam na hawa ila utajiri wa Suleiman hapana😖
11
14
119
Kweli kabisa mdogo wangu kaona Ile Hela wanayo pewa wasanii kwenye kampeni ni Hela ya Mchezo. Rapcha anafanya rap kwa ukubwa ukubwa kuliko umri wake. Acha kazi ziongee kama hivi.
0
1
15