mzawaMUFC Profile Banner
NGOJWIKE SnR Profile
NGOJWIKE SnR

@mzawaMUFC

Followers
1K
Following
28K
Media
1K
Statuses
13K

IT EXPERT πŸ’» || Network & System Administrator || Tech Insights || Harvard Alumni || Football Content ⚽

Old Trafford
Joined February 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
3 months
I am ready to wait, it worth it!! #MUFC
@Utdtruthful
UtdTruthful
3 months
πŸš¨πŸ—£οΈ Amorim: "I think everyone knows that we have a goal, not for this season, but within three years: to win the Premier League title. We will follow these steps to achieve that goal, but in this club, you know that every week, the narrative will be different, so we must
1
1
14
@pastajoshuatz
PASTA JOSHUA
1 hour
Wewe mwenye Gundu la chatu hufanikiwi,mambo hayaendi unaona mazngzong sogea Dm nikuuzie hii Imetengenezwa na kuvundikwa kitaalam sana πŸ‘πŸ» Sasa wewe vaa hayo mabangili yako ya kariakooo ubebe minuksi🫡
2
5
50
@Arsenal
Arsenal
14 years
Full time: Manchester United 8-2 Arsenal.
5K
93K
62K
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
1 hour
@INFLUENCERjr
WHYMYCATISSAD
2 hours
Kwa kutumia picha elezea wiki yako ilikuwaje???
0
0
5
@pastajoshuatz
PASTA JOSHUA
2 hours
@mzawaMUFC AI ni kama calculator β€” inarahisisha kazi, lakini lazima ujue hesabu kwanza ili ujue unachokokotoa. Vivyo hivyo, AI inarahisisha coding, lakini bila kuelewa programming logic (kama loops, data structures, APIs, n.k.), bado hutajua unachofanya. Nakasirika sana elimu yangu
1
1
1
@AbdulAlly253493
Abdul Ally
2 hours
@mzawaMUFC Java ni structured vizuri, inasomeka kwa urahisi, na ina documentation nzuri sana. Kwa hivyo ukishaelewa misingi, inakuwa rahisi sana kuendelea nayo.πŸ‘‡
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
12 hours
Nadhani JAVA ndio programming language ngumu kujifunza kuliko zote.
1
1
1
@KelvinHemu
KSI
2 hours
@mzawaMUFC Wait until you hear about Rust and C++.
0
1
2
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
2 hours
Naondoka na Eddy kenzo
@AlbumTalksHQ
π—”π—Ÿπ—•π—¨π—  π—§π—”π—Ÿπ—žπ—¦ πŸ“€
4 hours
2026 #GRAMMYs Nominees for "BEST AFRICAN MUSIC PERFORMANCE" πŸ† Love - Burna Boy With You - Davido and Omah Lay Hope & Love - Eddy Kenzo & Mehran Matin Gimme Dat - Ayra Starr and Wizkid PUSH 2 START - Tyla Who gets your vote? πŸ€”
0
0
3
@jamesclaude52
Bw. James
3 hours
@Ndama64 @mzawaMUFC @kishoka_ Kwa haya ni kweli kabisa unalozungumza. Hoja yake si ugumu wa Lugha yenyewe. Ugumu wa JAVA upo kwenye ecosystem yake na kila framework ina syntax, architecture na convention yake. Na kila kitu ni OOP + Convention lazima ufuate kila kanuni inahitaji sana discpline unlike C++
1
1
2
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
3 hours
Kuna watu Wana mentality kwamba hutakiwi kujifunza programming Languages kwa sababu saivi Kuna AI. πŸ˜€ Nyie content creators wa TikTok wanawaharibu sana.
1
2
6
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
3 hours
Sasa kama HUJUI chochote kuhusu programming hapa umekuja kufanya Nini? Ujuaji sio? Sawa. Nilikuuliza swali simple kabissa tuoneshe project yeyote inayohusu programming language uliyofanya kwa kutumia AI bila kuwa na fundamentals za programming, Niko hapa nasubiri.
@majejedaniels
Emma Daniels'
3 hours
@mzawaMUFC Sijuhi chochote kuhusu hayo mambo yenu lakini naweza kufanya kama wewe kwa muda mfupi sana na ubora zaidi sababu najua kutumia Akili bandia na wewe hujuhi,kaza ubongo na hizo java miaka miwili ijayo huna chako.
4
0
6
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
3 hours
Kaka kwenye kipenga Xtra ulifanya kazi ya kitume sana kunadi ILANI ya mgombea WA chama changu hasa kwenye sekta ya Afya, hongera kwa kazi nzuri.
@Wakanda_republi
samwel Rashid
4 hours
Kuna dada katafuta sana kaka zake wawili kwenye hospitali na mortuary!! Leo kawaoana kwenye karandinga wana kesi ya uhaini.
0
0
2
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
3 hours
Bibi kafanana na Mose Iyobo
@pastajoshuatz
PASTA JOSHUA
4 hours
Vijana wangu mmevuka mipaka sasa πŸ˜₯ Opersheni Okoa Bolo mnaitumia vibaya sasa mnataka kuleta ulemavu mpaka kwa wazee???
2
0
3
@Supersume
Sume Rossini πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
3 hours
@mzawaMUFC Inatumika kufanya systems programming, kama kutengeneza OS, drivers, nk. Lakini tofauti na C/C++, yenyewe ina type na memory safety. Hivyo kuna errors ambazo haziwezekani, app haikubali kubuild. Mfano null reference/null pointer exceptions. Inalazimisha developer kuwa makini
0
1
3
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
3 hours
Bro umekuja kwa dhihaka hapa mjadala ulikuwa mwepesi tu afu kingine punguza ujuaji, nimeanza kujifunza programming language hizo AI hazikuwepo, Aya twende taratibu. Have calculators replaced math teachers?
@majejedaniels
Emma Daniels'
3 hours
@mzawaMUFC Ungejibu hivyo,sasa iko Akili Bandia inaweza kuandika hizo java chini ya sekunde 60 na kitu kikawepo tayari kutest,run and ku-release kazi iliyokamilika,wewe hapo unatumia muda mwingi kujifunza programming huu ni mwaka 2025 amka.
1
0
0
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
3 hours
Watu wa mbeya, ilikuwaje Rango akashinda ubunge?
1
0
2
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
4 hours
Utanganyika?
@joeselasini
Mamwavi_Nkabasia
5 hours
Kiko wapi sasa? Madaraka ni koti la kuazima. Ulitumika sana kupambana na Ndugai. Sasa umeundiwa zengwe eti kuna hoja ya kutokuwa na imani na Rais na ungeipokea. Sijui watakuzawadia nini ngoja tuone.
0
0
1
@AShauqany12255
Shauqany
4 hours
@ImStanleee @mzawaMUFC Ilininyoosha San ila now napigia Hela kweny native apps
0
1
1
@mzawaMUFC
NGOJWIKE SnR
4 hours
We jamaa uko serious kweli? Umekuja hapa kubishana au kujenga hoja?
@majejedaniels
Emma Daniels'
4 hours
@mzawaMUFC Kwa kutumia hizo Java na mengineyo unaweza kutengeneza nini?
1
0
2
@Ndama64
sukusi64
4 hours
@iam_mulokozi @mzawaMUFC Syntax zake na memory management nu harder anko Debugging yake sio lelemama if you’re new to programming, Java is the better starting point. Kama unataka maximum performance and control (like game development or embedded systems) icheck cpp ndo mamb zake
0
1
1
@Ndama64
sukusi64
4 hours
@iam_mulokozi @mzawaMUFC Mtu unafundishwa kuunda class mara function ndo useme its easy because inafundishwa mwaka wa kwanza Can you teme have you finish middle level ya cpp anko Mark this point "C++ is harder to learn because it’s more complex and closer to the hardware."
0
1
1