Enock Kiswaga
@TheRealEkiswaga
Followers
8K
Following
15K
Media
1K
Statuses
31K
Farmer and Businessman. Winner out of 35Candidates 2020Wanging’ombe constituency in preliminary CCM. and Proud SDA! Wangi the 5th
Wanging’Ombe, Njombe Tanzania
Joined January 2016
Maisha ya mtu leo Dodoma yanakwenda kubadilika completely......
7
0
46
Mimi kifua sinaaa😁😁😁Itoshe kusema nimeanza Kuchoma nyamaaaaaaaa😁😁
6
1
37
Hatimae hii ndio ile wiki ambayo Mji wa Dodoma hua unawashangaza watu.... Unakwenda na msafara unarudi bila msafara.... Unanunua suti ya kuapiaa ukiamini wewe ndie una kua sio. Niseme nini basi all the best to all my fellow politicians. Wazoefu msisumbue waganga hii kitu ni
11
6
78
The devil doesn't hide in hell.He hides in plain sight.
21
5
50
Mambo ni Mawili..... aidha upo na sisi au upo na wao..... Hakuna nyutro kwa siasa.
69
26
200
Vyovyote unavyo fanya duniani hapa iwe jema au baya nduguzo ndio watakao beba Raha au Karaha zilizo sababishwa na wewe.... Stay out of of problems
18
5
51
I have campaigned for it, I have voted for it, and I love this government. I will stand with it, I will defend it, I will protect it.
192
7
160
Huwezi kuwa Mkono mwingine unaunga Mkono serikali na shuguli zake zote Mkono mwingine unaisikitikiaa serikali na kuipinga. Choose 1..... Go to hell .... Tunapaswa kwenda na wanao kwenda.
152
30
264
Mama Suluhu Hassan, President of Tanzania, is fast becoming one of my favorite leaders in Africa. No nonsense and extremely decisive! Asante sana Mama.
2K
292
4K
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokelewa na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Ikulu alipowasili Ikulu ya Chamwino, Dodoma mara baada ya kuapishwa.
58
50
260