Rubara MkrIslam
@PunditParadox
Followers
3K
Following
11K
Media
1K
Statuses
22K
father . pan-African . socialist democrat . writer . extractives geopolitics . governance critic . posts/views mine . reposts for discussion. #MkrIslam
Tanzania
Joined November 2013
Mzee Butiku nakuita tena mara tatu! Unajua mzee wangu kuanza utapeli ule wa mtaani ukiwa mtu mzima ni chukizo kwa Mungu Nimefanya tafiti ndogo tokea jana nasikia unadanganya LIVE maana unasusiwa kwa hiyo unaanza kusema “njoo Dodoma hata fulani” atakuwepo wakati walishakataa
44
133
726
Big political mistake has just been made by @SuluhuSamia. Sending the police to shutter our ears with tear gas isn't the path to go . #ShameOnYou
#WatanzaniaWamechoka
#NoReformsNoElections
0
0
0
Kila kitu kwa Ndg. @SuluhuSamia na jopo lake la mawaziri inaonekana ni mzaha tu. Oktoba 29, 2025 aliichukulia kama mzaha vile. Wananchi wanaongelea December 9, 2025. Na hata hili pia ni mzaha kwake. Hivi kuna siku atasikia na kusikiliza sauti ya Wananchi? @TZMsemajiMkuu
0
0
1
Put aside CCM loss of popularity since 2010, Kikwete corruption, Magufuli dictatorship Samia combines many things. Corruption, authoritarianism, incompetence, nepotism, irresponsibility, many lies and anything that make anyone unqualified to lead any group let alone the Country
8
38
167
@MariaSTsehai Hata vita ya Israel na Gaza walitoa maiti za mateka wakazikwe na ndugu zao, hii ya Tanganyika ni zaidi ya unyama.
1
5
40
I changed my name to "Evans MkrIslam", to support and symbolise unity among Tanzania's GenZ and citizens across faiths and ethnicities, in pursuit to fostering belonging and positive change. #MkrIslam
#NoPeaceWithoutJustice
#FreeTunduLissu
#BringBackAbductees
#GiveBackDeadBodies
0
0
0
Gen. Jacob Mkunda holds two titles Locally: Tanzania’s CDF Globally: Most useless general in the entire world.
97
517
3K
Kwanini katika hiyo inayoitwa orodha ya “uharibifu wa mali uliotokana na vurugu za oktoba 29” hakuna vituo vya kupiga kura? Je, ni kwa sababu mnaelewa mkithubutu kusema, watu timamu watawauliza hizo 98% za kishindo mmezitoa wapi kama vituo na vifaa vya kupiga kura viliharibiwa?
58
269
2K
Exercise in self-delusion ~ @KemiBadenoch When listening to her presentation at the House of Commons (UK), that phrase stood out.. It reminded me of the speech by the following persons: @TZMsemajiMkuu @SuluhuSamia @mwigulunchemba1
0
0
0
@PunditParadox @MariaSTsehai @TitoMagoti @ACTwazalendo @agnesSwai2 @BrendaRupia The CCM have always operated in the shadows with impunity. They silenced those who spoke out and demanded their rights in the courts — in reality, they killed them — while their pockets and offshore accounts overflowed with AIDS money, paid for with the blood of the people. Never
0
1
1
Kwa kawaida duniani kote, taaluma yenye kuzalisha watoa habari wengi kwa Idara za Usalama wa Taifa ni journalism. Kwa sababu iliyo wazi: bidhaa inayowindwa na Idara za Usalama wa Taifa ni HABARI (ambazo baadae huwa TAARIFA), so naturally wana-HABARI ni nyenzo muhimu
7
17
133
They never thought we would become the storm they always prayed we’d never be Justice, Freedom, Unity, and Peace We will continue to demand They never thought. Read more here: https://t.co/PsNVpebDCx
@MariaSTsehai @TitoMagoti @ACTwazalendo @agnesSwai2 @BrendaRupia @dgtlUbun2
evansrubara.net
“They Never Thought” is a lament and a war-cry born from the smoke of October 29, 2025, when Tanzanians, long mocked as a people who “forget quickly” and “fear too much,” refused stolen votes and a…
1
3
5
Haki za watu zikiminywa na kuvunywa, wakiteswa na kuumizwa, wakisukumwa ukutani na kubezwa, hatimaye wanafanya maamuzi magumu. Muwindaji anapowindwa, hapatatosha. #TukoWengiZaidi
1
0
0
@LarryMadowo It’s great that US senate is seized on this matter. But we must go from ‘demanding investigations’ to real action like targeted sanctions etc. A few weeks ago, the same senate demanded investigations into Darfur atrocities in El Fashir and up to now, no action has been taken.
4
3
70
...and this is a daring dare! To @TZMsemajiMkuu rather than kulilia haki ya kusikilizwa kutendeka, why don't you just sue CNN kama kweli ni propaganda?
"I saw Larry Madowo issue, and how people have been murdered, ....i cried yesterday when i saw it."-Amb John CW
0
1
3