
Muly
@Muly_jr
Followers
384
Following
7K
Media
116
Statuses
5K
Hii ndio thinking inatakiwa. Nchi nyingi kila biashara inaeneo lake zimegawanywa ki zone mfano, zone 1 ni watengenezaji na/wauzaji wa spea za magari tu, zone 2 viatu tu nk. Mkuu wa mkoa 👏.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema Mkoa unapaswa kuanza kutekeleza mpango wa kutenga maeneo tofauti ya biashara hususani nje ya mji ili kuepusha kuchanganya biashara nyingi kwenye eneo moja katikatika ya mji. Akiongea Jijini Dar es salaam leo Julai 11, 2025,
0
0
0
Ukiwa your biggest note ndio inatumika kwa wingi hali yako ni mbaya sana. Sidhani kama hata sarafu ya Sh. 100 inanua kitu chochote wakati mfano, nchi nyingine mpaka senti 10 unanua kitu.
Inflation inakuwaga managed tu, money anywhere looses value overtime .Hata $25000 ilitosha kununua family home USA some few years back.
0
0
1
Well, I’m not well acquainted with fiscal policies ila tunawezaje kusema inflation ipo in check wakati shillingi ina depreciate kwa kasi na thamani ya fedha kwenye mzunguko wa kawaida imeshuka sana (unaweza kutazama Ripoti yao kuwa 10k ndio ipo kwenye mzunguko zaidi)?.
0
0
1
Public space! could be useful kujenga park watu na familia zikapumzika na kufurahika kama jenzi nyingine za maana zimeshindikana, unaenda kuitoa kujenga miundombinu itakayotumika ku scam na kupumbaza watu. How pathetic.
Mpaka kukamilika kwa ujenzi wa awamu ya pili wa Kanisa la Arise and Shine, zaidi ya TZS bilioni 15 zinatarajiwa kutumika. Taarifa ya kanisa hilo imeeleza kuwa fedha hizo ni sadaka pamoja na shughuli mbalimbali za kanisa. Kanisa hilo linakadiriwa kuwa na uwezo wa kuchukua
0
0
0
RT @JamiiForums: JF KUMBUKIZI: Video hii inamuonesha Msanii wa Bongo Fleva ambaye pia ni Mtangazaji wa Wasafi FM, Clayton Revocatus Chipand….
0
36
0
Kwa jinsi kiwango cha ujinga (illiteracy level) kilivyokua kikubwa nchini I won’t be surprised watu wa Kigoma wakimpigia kura huyu jamaa lakini huyu mtu hastahili kwenda Bungeni na nitashangaa hata chama alicho chukulia fomu kikimpitisha.
0
0
0
RT @beyond_capital: “I ain’t draft dodging. I ain’t burning no flag. I ain’t running to Canada. I’m staying right here. You want to send me….
0
6K
0
Hii nchi inatia aibu kila kona, ndio mana kila sehemu tunaonekana tunaishi miaka 50 nyuma. This is disgusting wallah.
Wagombea wote sita waliochukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa TFF wamekosa sifa au hawakutokea kwenye Usaili isipokuwa Wallace Karia peke yake. Kwa mantiki hiyo Karia amepita bila kupingwa au atapigiwa kura ya ndiyo au Hapana? Taarifa hii imetolewa na TFF.
1
0
1
15 years bungeni inatosha, ungekaa pembeni tu ukasubiri nafasi za teuzi kama zipo.
Alhamdulillah! Leo nimerudisha fomu ya kuomba ridhaa ya Chama changu @ccm_tanzania kuwatumikia watu wa Tanga Mjini kwa nafasi ya Ubunge kwa kipindi cha pili kuanzia 2025 - 2030. #Mchetungwa #TangaMjini
0
0
0
RT @the_andrey_x: 🚨 URGENT: Escalation of settler terror in Umm Al Khair, West Bank. June 29th, Shimon Atia, a known settler, arrived with….
0
8K
0