mbelwa Kairuki Profile
mbelwa Kairuki

@MbelwaK

Followers
14,028
Following
1,208
Media
263
Statuses
1,929

Tanzania's High Commissioner to the UK

London
Joined June 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
A day like this 23 years a go we lost extraordinary Man, Distinguished medic and educationalist, proud father and devoted husband- late Prof. Hubert Kairuki.  His legacy continues through the work he founded in the health & education sector in Tanzania
Tweet media one
74
177
1K
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Hongera sana Jimmy na Ammy kwa kuendelea kuimarisha udugu kati ya Tanzania na China kwa kufunga ndoa. Ninawatakia kila la kheri katika maisha mapya ya ndoa. @ChenMingjian_CN
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
69
104
1K
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Nikichota busara za Balozi @tonytogolani wakati wa Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania unaoendelea Zanzibar
Tweet media one
28
50
1K
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Wafanyabiashara watanzania wanaotaka kuagiza vifaa tiba kutoka China wanashauriwa kununua vifaa hivyo kutoka kwa Makampuni yaliyoidhinishwa na Serikali ya China kuzalisha na kuuza vifaa tiba NJE YA NCHI katika kipindi hiki cha COVID19. Ifuatayo ni orodha ya makampuni hayo👇👇
32
152
950
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Nilikuwepo kwenye Mikutano yote. Hakuna ukweli wowote wa taarifa hii ya masharti yanayosemwa.  Wenye kupotosha wana lao jambo. Ipuuzwe.
@AbroadTanzania
Tanzania Abroad TV
2 years
Tanzania yasamehewa Bilion 31.4 Kwa shart la kufungua uwekezaji zaidi wa wachina na kupunguza mashart kwa wawekezaji wa China! Aidha kusamehewa huko kunaambatana na Tanzania kuwasamehe wachina 102 wenye makosa mbali mbali na kesi ndani ya Tanzania
Tweet media one
232
85
1K
203
104
787
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Ni pigo kubwa kumpoteza rafiki wa karibu. Mwendo Umeumaliza. Pumzika kwa Amani Cele. 💔
Tweet media one
35
32
773
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Happy 80th Birthday Mzee Salim Ahmed Salim. #DearDrSalim
Tweet media one
4
54
717
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Nimeona taarifa ya kwamba zaidi ya tani 200 za muhogo uliochakatwa Handeni zimekosa soko. Wiki ijayo Ubalozi utafanya kikao na Uongozi wa Wilaya ya Handeni na wawakilishi wa wakulima ili kutatua changamoto hiyo. Mahitaji ya muhogo mkavu nchini China ni makubwa sana kipindi hiki
Tweet media one
57
90
637
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Wafanyabiashara wa Tanzania wanaoagiza Barakoa hapa China wanashauriwa kuhakikisha wananunua barakoa zenye Viwango na Ubora kutoka kwa Makampuni yaliyopewa Idhini ya kuzalisha Barakoa kwa madhumuni ya kuuza nje ya Nchi.Surgical Mask zenye ubora ni zile zenye ngazi tatu (3 layers)
Tweet media one
Tweet media two
41
118
548
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Heri ya kuzaliwa Balozi @tonytogolani . Ninakuombea Baraka za Mwenyezi Mungu na Maisha Marefu.
Tweet media one
8
26
533
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
It is with profound sadness to hear that Prof. Yuan Longping, a world-renowned scientist, passed away. Through his decades of scientific work to develop hybrid rice strains, he made a significant contribution to humankind by lifting millions of people from hunger.....
Tweet media one
24
63
459
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Congratulations Madam President @SuluhuSamia on your birthday! Here’s wishing you good health as you celebrate your special day. We thank you for giving the country hope and confidence for the future. God bless!
Tweet media one
13
48
429
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Unapovaa Mask- LENGO ni kufunika PUA na MDOMO ili 1)Kujikinga Virusi vya COVID19 visiingie ndani yako endapo mtu aliye karibu yako atapiga chafya AU matone madogo ya mate kumtoka na kukurukia usoni wakati anazungumza. 2) Kuwakinga wengine endapo utakohoa au kupiga chafya
Tweet media one
21
59
409
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Ni jambo la furaha kushuhudia @AirTanzania ikianza safari ya moja kwa moja kuja China siku ya leo. Pongezi nyingi ziwaendee uongozi wa @AirTanzania na wadau wote waliofanikisha kuanza safari hizo zitakazowezesha kukuza ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na China @Hakingowi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
59
395
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Pongezi zangu za dhati ziwafikie Ramadhan Brothers. Kwa hakika wameiheshimisha Tanzania huko Australia na Ulimwenguni. Wamekuwa Mabalozi wazuri walioitangaza nchi yetu kupitia vipaji vyao. Ninawatakia kila la kheri na kuwakaribisha China kipaji chao kionekane na kutambulika zaidi
@millardayo
millardayo
2 years
VIDEO: Wasanii wa sarakasi kutoka Tanzania Ibrahim na Fadhili Ramadhan wanaounda kundi la The Ramadhan Brothers wameshinda hatua ya awali ya Australia’s Got Talent 2022, Australia na wataendelea hatua inayofuata, zawadi ya shindano ni USD 100,000 (Tsh.Mil230+). #MillardAyoAMAZING
55
96
748
11
60
396
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 months
Nitamkumbuka Mzee Ali Hassan Mwinyi kwa haya Nilipoteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nchini China mwaka 2017 kabla sijakwenda kuripoti kwenye kituo changu cha kazi moja ya watu niliokwenda kuwaaga alikuwa Mzee Ali Hassan Mwinyi.  Katika nasaha zake kwangu aliniambia maneno
Tweet media one
28
92
382
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Hongera sana Dada Ruth Zaipuna kwa kuteuliwa na Bodi ya Benki ya NMB kuwa Afisa Mtendaji Mkuu. Ninakuahidi ushirikiano wa Ubalozi wa Tanzania nchini China katika utekelezaji wa majukumu yako
Tweet media one
5
20
374
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Tweet media one
25
18
330
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Hongera sana Balozi Innocent Shiyo kwa kuteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Ethiopia. Ninakutakia kila la kheri katika utekelezaji wa majukumu yako ya uwakilishi
Tweet media one
15
33
315
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Tweet media one
9
37
278
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 months
Hayati Balozi Sam Ntiro alikuwa: 1) Mtu wa kwanza kushika nafasi ya Balozi wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika nchini Uingereza na Ireland mwaka 1961; 2) Mmmoja wa waanzilishi wa Idara ya Muziki na Sanaa katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Katika utumishi wake UDSM alifikia
Tweet media one
6
50
248
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Taifa letu limepoteza Kiongozi Mzalendo; Mwanadiplomasia Nguli na Mwalimu Mahiri. Hakika ameacha pengo kubwa ambalo ni vigumu kuzibika. Pumzika kwa Amani Mzee Wetu Balozi Dk.Augustine Mahiga.
Tweet media one
4
35
232
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Kufuatia hatua ya wageni kuruhusiwa kuingia China- mambo matatu (3) yanatakiwa kufanywa na wanaohitaji kusafiri: 1) Kuomba VISA kwa njia ya mtandao kupitia tovuti: . Abiria wenye Diplomatic au Service Passport) ya Tanzania hawahitaji visa kuingia China
Tweet media one
14
76
235
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Tutashiriki kikamilifu katika mpango huo kwa kutafuta wanunuzi wa uhakika wa mazao yatatakayozalishwa. Kwa soko la China fursa kubwa ipo kwenye Soybean na ufuta
@HusseinBashe
Hussein M Bashe
2 years
Nataka kukufahamisha kuhusu ‘Building a better tomorrow’ project Mradi huu uliopo hatua za mwanzo sisi wizara tutatenga fedha, kima cha chini 5B kwa kuanzia. 1/6
Tweet media one
351
366
2K
17
55
238
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Ni jambo la faraja kuona jitihada  za kuitangaza kahawa ya Tanzania katika soko la China-zimeanza kuzaa matunda. Kahawa yetu imeanza kuuzwa China kupitia "Taobao E-Commerce Platform" yenye watumiaji milioni 760. Ninaipongeza Kampuni ya Tanzanite Coffee Ltd kwa kuchangamkia fursa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
56
210
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
@bbcswahili Taarifa hizi hazina ukweli wowote. Zipuuzwe.
33
27
210
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Fursa ya ajira katika chombo cha Habari cha China @PDChina . Wanahabari wa Tanzania wenye sifa zinazotakiwa changamkieni fursa hiyo👇
Tweet media one
Tweet media two
9
81
202
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Hongereni sana Waheshimiwa Mabalozi Wateule. Ninawatakia kila la kheri katika utekelezaji wa majukumu yenu mapya @foreigntanzania @tonytogolani @mactembele @eskanza
Tweet media one
Tweet media two
7
22
180
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Mzee Mkapa was an outstanding statesman in the service of our nation & the world community. His patriotism,integrity,persistence & optimism led him to give his all to the public service.After retirement, he never stopped his pursuit of a better world through global initiatives.
Tweet media one
4
33
166
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Kipindi cha Maonesho Maarufu ya CANTON FAIR ni kizuri kutembelea China ili kupata fursa ya kukutana na wazalishaji wa mitambo na bidhaa za aina mbalimbali. Mwaka 2023 maonesho ya 133 ya Canton Fair yatafanyika kuanzia tarehe 15 Aprili 2023
Tweet media one
12
19
172
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
We have lost a formidable pillar in the struggle for our total independence.We will forever remember his great efforts and contribution to the social-economic development of our nation.What the late President Magufuli sought to do for us will not be buried with his mortal remains
Tweet media one
3
38
164
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Fursa za Scholarship kusomea kozi mbalimbali katika Vyuo Vikuu vya nchini China
Tweet media one
9
68
159
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Ninatoa pongezi za dhati kwa @DrTaxs kumaliza kipindi chake cha Uongozi  wa Sektretariat ya @SADC_News .Chini ya uongozi wake mahiri,Jumuiya ya SADC imetoa mchango mkubwa katika maendeleo ya Nchi za SADC na pia ilikuwa ni kiungo muhimu katika kushughulikia changamoto mbalimbali.
Tweet media one
7
19
158
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 months
Pumzika kwa amani Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa.
Tweet media one
2
18
149
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Ifahamu teknolojia ya kuzalisha majani ya JUNCAO iliyovumbuliwa na Chuo Kikuu cha Kilimo na Misitu cha Fujian nchini China. Teknolojia hiyo inaweza kuleta ufumbuzi wa changamoto ya uhaba wa malisho ya mifugo - na hivyo kuepusha migogoro baina ya wafugaji na wakulima.
Tweet media one
Tweet media two
16
43
148
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 months
Heri ya Siku ya Kuzaliwa Dada Clemetina. Ninakuombe Heri na Baraka za Mwenyezi Mungu - akujaalie Umri Mrefu na mafanikio zaidi
Tweet media one
8
15
145
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Happy 15th Anniversary to China-Africa Development Fund.We appreciate the Fund's leading and supportive role to Chinese enterprises to invest in Tanzania's manufacturing, agriculture & infrastructure sector. We count on Fund's continued cooperation to promote SINO-TZ cooperation.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
42
131
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Hongera sana Balozi @tonytogolani kwa kuapishwa na Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia kuwa Balozi wa Tanzania nchini Korea ya Kusini @TanzaniaInKorea . Karibu sana Barani Asia tusukume gurudumu kwa maslahi ya taifa letu na wananchi wenzetu.
Tweet media one
4
18
131
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Tweet media one
27
35
130
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Choclate made in Iceland from organic cocoa beans from Tanzania
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
28
126
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Jana katika ukurasa wa twitter wa Ubalozi limetoka tangazo la kuwataka wanafunzi wanaosoma China kujiandikisha. Wapo wanafunzi ambao walitaka uthibitisho kama tangazo hilo ni kweli limetolewa na Ubalozi. Ninathibitisha kuwa ni kweli tangazo hilo limetoka Ubalozi wa TZ China
@UbaloziChina
Tanzania Embassy | China
2 years
Watanzania wanaosoma katika Vyuo Vikuu vya China ambao hivi sasa wapo Tanzania wakiendelea na masomo yao kwa njia ya mtandao- wanaombwa kutuma majina yao na vyuo wanavyosoma na kozi wanazosoma kwa barua pepe: beijing @nje .go.tz na kwa njia ya whatsup katika namba +255652394166
Tweet media one
4
24
86
7
37
125
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Unapokuwa umevaa Barakoa yako- jitahidi kuepuka kuishika- kwenye eneo la mdomo au pua- kwasababu endapo Barakoa hiyo itakuwa imeshachuja virusi au bacteria- utakapoishika eneo la pua au mdomo una hatari ya kujiambukiza. Pale inapobidi, tumia kamba za Barakoa kufanya "adjustment"
Tweet media one
2
47
123
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Makampuni yenye idhini ya Kuzalisha na kuuza Barakoa Nje ya Nchi (Medical Face Masks) 👇👇
Tweet media one
Tweet media two
3
32
123
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Hongera sana Balozi Anisa Mbega kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia kuwa Balozi wa Tanzania nchini India. Ninakutakia kila la kheri katika utekelezaji wa majukumu yako ya uwakilishi.
Tweet media one
4
17
121
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Ni jambo la faraja kushuhudia uzinduzi wa uzalishaji wa Saruji katika kiwanda cha Maweni Limestone Ltd kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa na Kampuni ya Huaxin Cement ya China kwa ubia na Mfuko wa Uwekezaji wa CADFUND.Kiwanda hicho kitazalisha tani 750,000 za saruji kwa mwaka
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
27
120
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 months
Nimepata nafasi ya kufanya mazungumzo na @Salym . Kwa hakika uzoefu wake katika tasnia ya habari unaweza kuwasaidia vijana wanaoingia katika fani hiyo. Vilevile watu ambao ni vyanzo vya kutoa habari- nao wanaweza kunufaika na ujuzi wake juu ya namna bora ya kufanya mawasiliano ya
Tweet media one
4
8
122
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
It was a pleasure to meet Ms. LI Yong, an accomplished engineer who was part of the team that designed and built the world's first side-loading and parallel layout fully automated container terminal in Qingdao. She is now the General Manager of the terminal. I invited her to 🇹🇿
Tweet media one
Tweet media two
2
29
122
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
5 months
Nimefurahi kupata fursa ya kutembelea Soko la Hisa la Uingereza @LSEplc (London Stock Exchange), mojawapo ya masoko makubwa ya kimataifa ya mitaji.  Takriban makampuni 10 yaliyowekeza nchini Tanzania yamepata mtaji kutoka katika soko hilo.  Katika mazungumzo yetu tumekubaliana
Tweet media one
@UbaloziUK
Tanzania High Commission I United Kingdom
5 months
Balozi @MbelwaK atembelea soko la Hisa la London @LSEplc (London Stock Exchange) na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Masoko ya Mashariki ya Kati,Afrika na Masoko ya Msingi Ndugu Abi Ajayi.  Katika mazungumzo hayo Ubalozi umekubaliana  kushirikiana  na @LSEplc ili kuwezesha Tanzania
Tweet media one
Tweet media two
0
10
32
10
35
120
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Hongera sana dada Mariam @msalim66 kwa kuendelea kuaminiwa na Benki ya Dunia kuongoza Ofisi yake katika Nchi ya Cambodia. Imani hiyo ni matokeo ya kazi nzuri uliyoifanya nchini Albania kama Mkuu wa Ofisi ya @WorldBank . Ninakutakia kila la heri katika utekelezaji wa majukumu yako
Tweet media one
3
21
120
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 month
I was honoured and humbled to meet Mzee Vinoobhai H Doshi, a nonagenarian diaspora, at the Friends of Tanzania reunion in London.   Mzee Doshi made a significant contribution to Tanzania's financial sector. He worked for the government of Tanzania from 1965 to 1974. He started
Tweet media one
2
17
120
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Ninaipongeza @AirTanzania kwa kuanza usafirishaji wa mizigo kati ya Tanzania na China. Jana tarehe 6 Agosti 2021 imefanyika safari ya kwanza ambapo wafanyabiashara wameweza kusafirisha bidhaa kutoka Tanzania kuja China na pia kutoka China kwenda Tanzania. @millardayo @Hakingowi
@AirTanzania
Air Tanzania
3 years
Safirisha Mzigo wako nasi moja kwa moja kutoka Dar hadi Guangzhou (China) na kutoka Guangzhou kurudi Dar kwa gharama nafuu kabisa. Wasiliana nasi kwa namba 0736787721 au +86 13901223647 kwa maelezo zaidi. #FlyAirTanzania #Cargo
Tweet media one
5
8
38
12
32
117
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Katikati ya jiji la Chengdu ambalo ni Makao Makuu ya Jimbo la Sichuan lililopo Kusini Magharibi mwa China kuna hoteli inaitwa SERENGETI. Wakazi wengi wa Chengdu wamekuwa na shauku ya kuifahamu na kutembelea Mbuga ya Taifa ya Serengeti kutokana na jina la hoteli hiyo @millardayo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
33
111
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 months
Mkutano kuhusu fursa za Scholarships katika Chuo Kikuu cha Oxford utafanyika tarehe 1 Mei 2024. Wenye nia ya kushiriki wanaweza kujisajili kupitia link hapo chini:
Tweet media one
4
39
112
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 months
Ahsante sana Mheshimiwa Balozi. Baada ya kuwasilisha hati, kazi inaendelea ya kuyakuza mahusiano ya nchi yetu na Taifa la Uingereza ili matokeo halisi yawafaidishe wananchi tunaowatumikia. Vipaumbele vyetu ni kuona watanzania wengi zaidi wanafaidika na fursa ya kuuza bidhaaa
@tonytogolani
Togolani Mavura
2 months
Hongera Mheshimiwa Balozi @MbelwaK kwa kuwasilisha hati zako kwa Mfalme Charles wa III wa Uingereza. Unaingia katika historia ya kuwa Balozi wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mfalme Charles wa III wa Uingereza. Mabalozi 13 wa
Tweet media one
8
31
219
10
22
103
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
I vividly remember his keynote address in Sanya, Hainan Province, on how China and Africa could work together to achieve food security. Indeed Professor  Yuan Longping was a true food hero and an important contributor to building the International community with a shared future.
Tweet media one
1
16
94
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Hongera sana Jenerali Venance Mabeyo kwa kumaliza ngwe ya utumishi wako kama Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi. Mimi na wenzangu Ubalozini tunakushukuru na kukupongeza kwa mchango wako mkubwa ulioutoa wa kuimarisha mahusiano ya Tanzania na China. Tunakutakia Heri na Baraka Tele
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
20
94
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Habari njema kwa wasafiri wanaokwenda China- kuanzia tarehe 8 Januari 2023 hakuna tena sharti la kukaa karantini siku 8. Wasafiri wanachotakiwa ni kupima uviko19 masaa 48 kabla ya safari. Hatua hii italeta unafuu mkubwa kwa wanafunzi na wafanyabiashara wanaokwenda China
@iGuangdong
Info Guangdong
1 year
#China 's health authorities will downgrade #COVID19 infection management from Class A to Class B starting Jan 8, 2023. The downgrade means that inbound travelers will no longer have to undergo quarantine or take nucleic acid tests upon arrival. #GDupdates
Tweet media one
2
10
21
4
17
98
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Hongera sana Dada @JoyceMsuya kwa kuteuliwa na Katibu Mkuu wa @UN kuwa Katibu Mkuu Msaidizi wa Masuala ya Kibinadamu na Naibu Mratibu wa Misaada ya Dharura @UNOCHA . Uteuzi wako ni jambo la furaha na fahari kwetu. Ninakutakia kheri na mafanikio makubwa katika wadhifa wako mpya
Tweet media one
4
13
96
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Leo nimekutana na Ndg @jajurombo ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Tanzania @wutasa2018 Wuhan katika kipindi cha mlipuko wa COVID19.Nimempongeza yeye na wenzake kwa uongozi dhabiti waliouonesha wakati wa Crisis.Walikuwa msaada mkubwa sana kwa wenzao na Ubalozi
Tweet media one
7
15
94
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
11 days
Leo nilipata fursa ya kutembelea Hospitali ya Queens iliyopo kusini mwa London kwa madhumuni ya kuonana na Timu ya Madaktari Bingwa na Wauguzi wanaotarajiwa kwenda Tanzania kwenye ziara ya kikazi. Hospitali hiyo ni sehemu ya Barking, Havering and Redbridge University Hospitals
Tweet media one
2
28
95
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 month
Mwezi Julai 2024 itazinduliwa PORTAL maalum kwa ajili ya kutoa taarifa kwa umma wa Tanzania kuhusu fursa mpya zilizopo Nchini Uingereza na Ireland; na umma wa nchi hizo kuhusu fursa zilizopo Tanzania. Portal hiyo imeundwa na Ubalozi kwa kushirikiana na wanadiaspora @JoeNdilla na
9
32
93
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Handing over a book "38 Reflections on Mwalimu Nyerere" to Dr. Annie Wu Suk-ching, a senior businesswoman, philanthropist and Former Honorary Consul of Tanzania to Hong Kong @anniescwu @MarkMwandosya
Tweet media one
4
20
87
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
It was a pleasure to meet the Operation Director of Global Times English Edition Mr Xue Xiaole today in Beijing.  We have agreed to work together to promote Tanzania's tourism resources in China using @globaltimesnews mainstream and social media platforms. @TTBTanzania @Hakingowi
Tweet media one
Tweet media two
2
22
87
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 months
Nakutakia heri ya kumbukizi ya kuzaliwa Mhe. Rais Dkt @SuluhuSamia . Ninakuomhea kwa Mwenyezi Mungu aendelee kukujaalia afya njema na maisha marefu yenye baraka na fanaka.
Tweet media one
3
9
87
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Makampuni yenye idhini ya kuzalisha na kuuza Coronavirus Reagent Test Kits
Tweet media one
Tweet media two
1
27
81
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Ninatoa pole kwa rafiki zetu wa China hususan wananchi wa Jimbo la Henan kutokana na mvua mkubwa iliyonyesha kuanzia jumapili hadi leo na kusababaisha mafuriko yaliyopelekea watu 25 kupoteza maisha na uharibifu wa mali na miundombinu. @shen_shiwei @WuPeng_MFAChina @theserenadong
6
19
83
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 months
Ni jambo la furaha kuona vivutio vya Utalii vya Zanzibar vimeoneshwa katika kipindi cha "CNN Quest World of Wonder-Zanzibar". Bila shaka kupitia kipindi hicho watu wengi wataifahamu nchi yetu na kuvutiwa kuitembelea. Ninampongeza sana Mheshimiwa @simai_z Waziri wa
@UbaloziUK
Tanzania High Commission I United Kingdom
4 months
Tweet media one
Tweet media two
1
21
48
5
31
82
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Mama Amne Salim was a remarkable woman endowed with grit, grace & Compasion. She showed us what an honest, vibrant, full life looks like. I mourn her passing and bless her memory. My thoughts and prayers are with Mzee Salim Ahmed Salim and the entire Salim family
Tweet media one
1
11
82
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
7 months
It was a pleasure to meet Chevening Scholars from Tanzania. I encouraged them to use their time in the UK to acquire knowledge that will enable them to contribute positively to Tanzania's development endeavours. I also requested them to team up with @TZEmbassyUK to help Chevening
Tweet media one
Tweet media two
0
27
81
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
💔💔💔
Tweet media one
Tweet media two
4
15
81
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
I sincerely congratulate Ms.Pansy HO- Chairperson of the Hong Kong Federation of Women (HKFW) and the members of HKWF for celebrating the 30th anniversary of the establishment of the HKFW.  I applaud the role of HKWF to build long-term prosperity and stability in Hong Kong.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
17
76
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
USHAURI KWA WAJASILIAMALI WENYE NIA YA KUUZA BIDHAA KATIKA SOKO LA CHINA NA KWINGINEKO @TanTradepage @foreigntanzania @Hakingowi @kitilam @ZanzibarChamber @tccia_official
Tweet media one
Tweet media two
4
39
78
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Makampuni yenye idhini ya kuzalisha na kuuza Medical Protective Gowns👇👇
Tweet media one
0
21
75
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
It was a pleasure meeting the Founding Partner and Director of YINGKE Law Firm  Mr. Xiangrong Mei and Ms. LIN Yang Founding Partner of YINGKE International at their Firm's Beijing Headquarters. I am looking forward to working with them to promote 🇹🇿🇨🇳 win-win economic cooperation
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
14
77
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Branding Tanzania in China by the Chinese BESTFORU channel
4
20
76
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Hongera sana Mheshimiwa Waziri kwa hatua hii. Watalii wengi hupendelea kupata picha za kumbukumbu na kutuma kwa wapendwa wao ndani ya muda mfupi ili washuhudie walau kidogo 'experience yao'. Kuwepo huduma ya mtandao katika mlima Kilimanjaro kutawawezesha watalii kufanya hivyo
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Tweet media one
106
90
1K
2
11
76
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Great Achievements can only come from hard work; a bright future can only be secured through solid efforts - Li Keqiang, Premier of the State Council at China's annual #TwoSessions meeting
Tweet media one
Tweet media two
3
22
72
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
It was a pleasure to meet His Excellency Andrey Ivanovich Denisov, Russian Ambassador to China. We exchanged views about Russia-Tanzania Cooperation @foreigntanzania @TZEmbassyCN
Tweet media one
3
14
72
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
It was a pleasure to meet Ms. Cynthia Ruan, Founder and Artistic Director of the Art of Chinese Imperial Jewelry. Ms.Ruan has designed jewelry for celebrities in China and abroad. She has agreed to work with @TZEmbassyCN to raise the profile of Tanzanite gemstones in China
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
20
74
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
7 months
Tarehe 5 Novemba 2023 (siku ya jumapili) kuanzia saa 10 jioni nitapata fursa ya kuzungumza na Watanzania waishio nchini Uingereza na Jamhuri ya Ireland kupitia Mkutano utakaoandaliwa na Ubalozi @TZEmbassyUK kwa njia ya mtandao. Ubalozi utatuma zoom link kupitia mitandao ya
7
19
74
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Katika kipindi cha Mwaka Mmoja tangu aingie madarakani, Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia ameimarisha zaidi mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na China na kupelekea watanzania kunufaika na fursa za biashara, teknolojia na misaada katika sekta za elimu na afya @foreigntanzania
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
17
73
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Mabadiliko haya yatarahisisha usajili wa Kampuni za Tanzania zenye nia ya kuuza kahawa katika soko la China. Hapo awali makampuni mengi yalikuwa yakipata changamoto ya kufanya usajili katika mtandao wa Mamlaka ya Forodha ya China (GACC)
@UbaloziChina
Tanzania Embassy | China
1 year
TAARIFA MUHIMU: Kampuni za Tanzania zinazotaka kuuza kahawa katika soko la China zinatakiwa kujisajili katika Wizara ya Kilimo @tzagriculture ili taarifa zao ziwasilishwe kwa Mamlaka za China. Utaratibu wa awali wa kufanya "online registration" katika tovuti ya GACC umesitishwa
Tweet media one
Tweet media two
2
21
51
4
22
72
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
6 months
Ninatoa shukrani za dhati kwa @UKinTanzania , @ClydeCoNews @OR_MU1 @mfa_tanzania na @InvestTanzania na kwa uratibu mzuri wa UK-Tanzania Business Mission. Ni matumaini yangu kwamba ziara hiii ya wadau kutoka sekta ya Umma na binafsi katika nyanja za madini, kilimo, ujenzi,
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
30
73
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Ukiagiza Barakoa kutoka China hakikisha muuzaji anakupatia taarifa muhimu zifuatazo:Company name,business license,export license, Lab test result, BFE at least 95% & FDA licence. Aidha hakikisha kampuni inayotaka kukuuzia ipo kwenye orodha ya makampuni yanayoruhusiwa ku export
3
20
70
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Ninatoa pongezi kwa Uongozi Mpya wa Jumuiya ya Watanzania (Diaspora) katika Jimbo la Guangdong kwa kuchaguliwa na wanadiaspora wenzao. Ninawaahidi ushirikiano wa Ubalozi @TZEmbassyCN katika utekelezaji wa majukumu yao @JGBwana @mfa_tanzania @millardayo @Hakingowi @TZconsulate_GZ
Tweet media one
3
28
71
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Makampuni yenye idhini ya kuzalisha na kuuza Infrared Thermometers nje ya nchi👇👇
Tweet media one
0
18
70
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Hoteli ya Serengeti ipo pia katika jiji la Guangzhou katika Jimbo la Guangdong
Tweet media one
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Katikati ya jiji la Chengdu ambalo ni Makao Makuu ya Jimbo la Sichuan lililopo Kusini Magharibi mwa China kuna hoteli inaitwa SERENGETI. Wakazi wengi wa Chengdu wamekuwa na shauku ya kuifahamu na kutembelea Mbuga ya Taifa ya Serengeti kutokana na jina la hoteli hiyo @millardayo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
33
111
1
25
70
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
It was a pleasue to meet Mr Dong Bing, the Chairman of China Energy Eng Group International (CEGI). We exchanged ideas to strenghen cooperation between Tanzania and China through Belt and Road Initiative. CEGI is a  is a state-owned energy conglomerate, with headquarters in Bjg
Tweet media one
Tweet media two
5
15
70
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Hii ni habari njema kwamba wigo wa mahusiano ya kibiashara kati ya China na Tanzania unazidi kupanuka.Kwa sasa fursa hii imekuja na changamoto- tunachozalisha nchini ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji ya soko. Hivyo hii ni FURSA kwa Watanzania kulima Maharage ya Soya kwa wingi.
@UbaloziChina
Tanzania Embassy | China
3 years
Makampuni 16 ya Tanzania yapata kibali cha Serikali ya China kuuza Maharage ya Soya katika Soko la China.  Hatua hiyo inafanya idadi ya Makampuni ya Tanzania yenye idhini ya kuuza Maharage ya Soya kufikia 65 @foreigntanzania @Hakingowi @millardayo @HabariLeo @tzagriculture
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
73
157
5
18
70
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Mara nyingi Ubalozi unapotangaza fursa mpya ya soko- swali linaloulizwa na watu wengi ambao wanafikiria kuchangamkia fursa hiyo ni  "wananunua kwa bei gani au offer yao ni kiasi gani". Ni vizuri kuwa na ufahamu wa jumla kuhusu mwenendo wa bei ya soko la dunia la bidhaa hiyo.
7
16
72
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Wafanyabishara watakaonunua bidhaa hizo watatakiwa kuzingatia sheria na taratibu za forodha za China na Tanzania sambamba na Sheria na taratibu za udhibiti wa usalama na ubora za Tanzania zinazosimamiwa na taasisi za TBS, ZBS na TMDA @TBS_Tanzania @tmdatanzania
1
21
69
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
11 days
Wiki hii nilipata fursa ya kukutana na Mkurugenzi Mkazi wa British Council   @tzBritish  Bi. Kami Asamani.  Katika mazungumzo yetu pamoja na kuipongeza taasisi hiyo kwa kazi nzuri ya kukuza mahusiano ya Uingereza na Tanzania katika nyanja ya elimu na utamaduni pamoja na kumuahidi
Tweet media one
5
21
71
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
3 years
Safari ya pili ya shirika la Ndege la @AirTanzania ya kusafirisha mizigo kati ya Dar-Guangzhou na Guangzhou-Dar itafanyika leo. Hii ni fursa kwa wafanyabiashara wa Tanzania na China kusafirisha bidhaa mbalimbali kwa haraka na uhakika
@AirTanzania
Air Tanzania
3 years
Safirisha Mzigo wako nasi moja kwa moja kutoka Dar hadi Guangzhou (China) na kutoka Guangzhou kurudi Dar kwa gharama nafuu kabisa. Wasiliana nasi kwa namba 0736787721 au +86 13901223647 kwa maelezo zaidi. #FlyAirTanzania #Cargo
Tweet media one
2
11
29
3
21
70
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
4 years
Makampuni yenye idhini ya kuuza Ventilators nje ya nchi👇👇
Tweet media one
1
17
66
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
2 years
Tweet media one
5
15
68
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Hongera sana Yanga kwa kutuheshimisha watanzania kwa ushindi mnono. Ninawatakia kila la kheri katika hatua inayofuata
@JamiiForums
Jamii Forums
1 year
CAF: TP MAZEMBE YATEPETA KWA MKAPA, YANGA YASHINDA 3-1 Mbali na ushindi #Yanga imepata Tsh. Milioni 15 kutoka kwa Rais Samia aliyeahidi kununua goli kwa Tsh. Milioni 5 Mechi ijayo Yanga dhidi ya Real Bamako Nchini Mali, Februari 26, 2023 Soma #JFSports
Tweet media one
4
6
136
3
5
69
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Tweet media one
5
13
69
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
10 months
Nilipata fursa ya kutembelea "film crew" inayotengeneza tamthilia ya "Milele" yenye simulizi kuhusu maisha ya madaktari na wauguzi wa Kichina walikwenda kutoa huduma barani Afrika. Nimevutiwa walivyotengeneza eneo la kurekodi filamu kule Hainan kufanana na kijiji kimojawapo Pemba
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
15
67
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
Ninatoa pongezi kwa Balozi wa Mazingira Bi. @WinfridaShonde kwa kupeperusha bendera ya 🇹🇿hapa 🇨🇳kupitia ushirikiano ulioanzisha na taasisi ya GREEN ZHEIJANG ORGANIZATION. Ziara yake imeamsha hari ya taasisi za mazingira za China kuanzisha programu za pamoja na taasisi za Tanzania
Tweet media one
Tweet media two
2
8
68
@MbelwaK
mbelwa Kairuki
1 year
China to resume passport, visa issuance from Jan. 8, 2023 |
3
13
69