Ninatoa pongezi za dhati kwa
@DrTaxs
kumaliza kipindi chake cha Uongozi wa Sektretariat ya
@SADC_News
.Chini ya uongozi wake mahiri,Jumuiya ya SADC imetoa mchango mkubwa katika maendeleo ya Nchi za SADC na pia ilikuwa ni kiungo muhimu katika kushughulikia changamoto mbalimbali.