Dr. Stergomena Lawrence Tax
@DrTaxs
Followers
29K
Following
3K
Media
529
Statuses
4K
Retired Minister, Former Executive Secretary of SADC, and Founder of Petra Elderly Centre
Tanzania
Joined June 2015
Nawapongeza Mawaziri Wateule wote, hususan Mawaziri Wanawake Wanne walioteuluwa Kati ya Mawaziri 27 #DorothGwajima #AngelaKairuki na #AshatuKijaji na #JuduthKapinga🙏
45
9
105
Namushukuru Mungu, nimetimiza wajibu wangu na kutumia haki yangu ya Kikatiba, sote tujitokeze, tutumie haki yetu ya kikatiba kwa kuchagua Viongozi wanaotufaa.
25
6
22
Leo Bujora, Magu, Mwanza. Hongerani sana Bujora kwa Maandalizi mazuri. October tunatick, tunatick, tunatick kwa CCM (Rais @SuluhuSamia, Wabunge na Madiwani) Kazi na Utu, tunasonga mbele @ccm_tanzania
2
0
2
Mungu awalaze pema peponi🙏
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya vifo vya Masista wanne wa Shirika la Masista Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu pamoja na dereva wao, katika ajali ya barabarani iliyotokea jijini Mwanza usiku wa kuamkia leo. Ninawaombea kwa Mwenyenzi Mungu
0
0
1
🏆 Hongera JKT Queens! @JKT_Tanzania Mabingwa wa CECAFA 2025! Mmetwaa ubingwa kwa umahiri, nidhamu na ari ya kijeshi! 🇹🇿⚽ Mmetupa heshima kubwa kama Taifa na kuandika historia ya soka la wanawake Afrika Mashariki #JKTQueens #CECAFAChampions #Mabingwa2025
0
0
3
Hongera sana JKT Queens kufika finali ya CECAFA, hatua kubwa. Tusonge mbele kwa Ari zaidi, Hakika mtashinda! #JKTQueens #MabitiWaKitanzania
0
0
4
🎖️ Hongera Sajini Alphonce Felix Simbu! Kwa kuibuka mshindi wa Medali ya Dhahabu kwenye mbio ndefu za Kimataifa jijini Tokyo. Kwa muda wa 2:09:48, umeandika historia mpya, umejenga heshima ya JWTZ na Taifa letu! HONGERA👏👏 #SimbuMshindi #FahariYaTaifa #FahariJWTZ
0
0
4
I am deeply saddened to hear of the passing of Remigious Makumbe, a friendly, loving, & truly professional individual. Working with him at SADC was a great blessing, his warmth & dedication left a lasting impact. May his soul rest in eternal peace, and may his family find comfort
1
0
3
Mwenyezi Mungu ailaze pema peponi roho ya marehemu, na kuipa uhimilivu familia, ndugu na jamaa katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo. RIP Job Ndugai @gcumod
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Tax Nchi, amefika nyumbani kwa Spika Mstaafu Marehemu Job Ndugai Jijini Dodoma na kumpa pole mjane wa marehemu Dkt. Fatma Mganga leo tarehe 7 Agosti, 2025.
3
3
16
🙏kazi kubwa sana na mafanikio lukuki yanayoonekana wazi. Mwenye macho haambiwi tazama. Kazi na Utu, tunasonga mbele na @SuluhuSamia
Leo nimehutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma ambapo nimetumia jukwaa hili kuwaeleza Waheshimiwa Wabunge, kwa niaba ya wananchi wote, mambo mengi ambayo Serikali yao imefanya kuhakikisha ustawi wa wananchi na maendeleo ya
2
0
14
Sad indeed RIP Edgar Chagwa Lungu. Will forever cherish working with you as my leader, Chair of SADC Organ @HHichilema
I am deeply saddened to learn of the passing of the former President of the Republic of Zambia, His Excellency Edgar Chagwa Lungu. On behalf of the Government and the people of the United Republic of Tanzania, I extend our heartfelt condolences to His Excellency, Hakainde
1
0
3
Nawashukuru nyote mnaoipenda picha hii! Tukimalizana na nayo, mtatukuta kuleeee!
141
52
484