Director RangersOne I Rally Driver I Cars Expert I Co-Pilöte I Arsenic I Motorsport Analyst I Tanzania Rally Champion 2016 I 2020 I 2021 | 2022 I amigo I
Kuna Jamaa tulianza nae toka Twitter tunapost from window phone,huwez post video,picha inafunguka link ..akaja kuwa Celebrity akatu unfollow wote ..akachagua marafiki wapya 😂🤣
Sasa Bwana Polepole ...Miaka 43 Tanzania bado Masikini hakuna Huduma Bora na wala hatupo kwenye top 5 ya Uchumi Africa. Nini Maana ya Ukubwa huo wa Kujimwambafy wakati kwa ground mnashindwa kuwahudumia wananchi ?! mmefeli. Bahati mbaya hakuna chama cha kuwachallenge.
“Mkoa uliofanya vizuri zaidi kwa wingi wa mapato ni DSM, nimpongeze Ndugu yangu Makonda kwa mkoa wake kuendelea kufanya vizuri katika wingi wa mapato kwa kukusanya mapato ya Tsh Bil 126.77 kwa kipindi cha miezi tisa July 2019- March 2020" - Waziri Jafo
Kwa wapenda vigari vidogo...New Kwid Climber ...1.0 litre,4.4litres/100Kms,LED daylight driving ..?insurance two-year service plan, and a five-year or 150 000km warranty...So there no point ya kumnunua mtu Crown or 15yrs Old car ...while you can get Brand New car
Sema, Wagombea wengi wa Chama tawala ni Wepesi sana ...Hawajui Siasa ...Hawasomi ..vile tu wamejificha kwenye nguzo imara za CCM...Lakini kama wangekuwa devoted kama oppositions hivi...tungepata Better Tanzania maybe sooner.
"Agosti 2020 tumelipa madai ya yasiyo ya mishahara,Shilingi bilioni 358.1 wakiwemo walimu baada ya uhakiki.Walimu pia wamenufaika na nyongeza ya mshahara kupitia nafuu za kodi za kimshahara ikiwemo kushuka kodi kutoka 12%hadi 9%na kushuka hadi 0 kwa kima cha chini"
@TZMsemajiMkuu
Nikisema Mwalimu Nyerere amenishika mkono na kunitangaza rasmi kuwa mimi ndio tunu ya hili taifa mnaniona muongo, naamua kuacha picha ziongee. Viongozi mnaosema mmeshikwa mkono na baba wa taifa jueni namuita Dad nyinyi mnamuita dingi au baba 😂😂😂 🇹🇿
Kangi Lugola and Associate walikuwa wanakaribia kupiga deal ya €408 Million ...Mr. President amesema ni Trilioni 1 na Ushee ... Calculate Ushee kwa rate ya BOT alaf tuambie tunapata Hennessy ngapi ?
We achaa kabisaa goals or never ndio ile ilikuwa..vijana tukapambana kutafuta macorporate na lightskins, tukapatana wavuta sheesha na matattoo ya nyota nyota aargh 🤣
Mbunge, anashiriki kwenye mchakato wa kutunga sheria, sera taratibu na kanuni, ndio mwakilishi wa Wananchi, lakini sifa zake ajue kusoma na kuandika tuu, hii inanipa ukakasi hasa nyakati hizi.
Sijui nyie wadau mnaonaje?
#KatibaNiYetu
20 yrs Ago ..nakumbuka tulikuwa na siku kadhaa za Kumuaga Mwalimu pale taifa...Wanafunzi tulikuwa kwenye mstari wetu kumuaga ndani ya Banda kubwa la Vioo. Nilimuona
#NyerereDay
Kupita bila kupingwa it doesn't sound right kwenye Demokrasia ya sasa wala sio kitu cha kuproud of ...Alas, ni Suala la NEC kuhakikisha wanawapatia wananchi mgombea sahihi.Kuna tatizo