SHIRIKISHO FC Profile Banner
SHIRIKISHO FC Profile
SHIRIKISHO FC

@1960Remija

Followers
84,967
Following
573
Media
5,389
Statuses
94,124

GOD | Faith | Family | Ligi Kuu | Zilipendwa | Mwenyekiti | Yanga | Man United | Real Madrid | Mamelodi | Sebene & Rhumba | Tour Agent | Tweets Are My Opinions.

Abroad!
Joined September 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
AMRI ZA MUNGU. 1. Ndimi Bwana Mungu wako, usiabudu Miungu wengine. 2. Usilitaje bure jina la Mungu wako. 3. Shika kitakatifu siku ya Mungu. 4. Waheshimu Baba na Mama upate miaka mingi na heri duniani. 5. Usiue. 6. Usizini. 7. Usiibe. 8. Usiseme uongo. 9. Usitamani mwanamke asiye
50
68
469
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Kuna wazo zuri sana tumelipokea la kuanzisha tawi la Yanga twitter, kama wewe ni shabiki wa Yanga na unahitaji kuwa sehemu ya tawi naomba tuwasiliane, DM ipo wazi. Nadhani tunaweza kuvunja rekodi ya kuwa tawi lenye wanachama wengi katika historia. Tafadhali RT kufikisha ujumbe 💛
Tweet media one
257
996
4K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
"Hakuna kikombe kinachoitwa MAKUNDI"
Tweet media one
353
112
3K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Joyce Lomalisa Mutambala appreciation tweet. 💚🖤💛
Tweet media one
55
192
3K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Huyu mwamba hana maisha marefu sana Yanga, tupo hapa. 🤝
Tweet media one
57
105
3K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Namtafuta huyu mwamba, nampata wapi? Msaada tafadhali.
444
428
3K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
3 months
Khalid Aucho appreciation tweet. 📌
Tweet media one
7
146
3K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
3 years
RT kwa Yanga na Like kwa MO Protector Sabuni Bocco 22 MO Foundation. 😂😂
Tweet media one
Tweet media two
109
572
3K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Baba vua kinyago tumekustukia, wewe Pitso Mosimane mtupu.
Tweet media one
23
84
3K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
4 years
Timu yenye thamani ya 20B inaposhindwa kukaa mezani na kusajili kwa weledi na kutumia janja janja ni AIBU. Ndio mnaenda Kimataifa nyie? 🤡
496
86
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Nimeumia sana, kila la kheir kocha wa makundi, hawana shukraan hao na watakukumbuka. 😢
Tweet media one
107
55
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Yanga inaingia 10 bora kwa timu zinazovaa vizuri duniani. 📌
Tweet media one
161
64
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Countdown has started, Mabibi na Mabwana ni Luís Jose Miquissone ndani ya NBC PL, na wote hatukuwa tayari kwa ujio wake.
Tweet media one
59
44
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Maxi Mpia Zengeli tutauza BLION ngapi? 😂😂😂
Tweet media one
47
70
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Zuzwaa Pacome appreciation tweet. ❤️
Tweet media one
9
99
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Kuna mwenzake yupo NBC PL hana mbele wala nyuma, kila wiki anashinda Kidimbwi kuvaa filimbi shingoni acheze Amapiano na kuvaa hirizi za timu. 😂😂😂
Tweet media one
131
51
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Bakari NONDO Mwamnyeto appreciation tweet. 📌
Tweet media one
25
136
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
HATUMTAKI NABI ON REPEAT 📌
Tweet media one
Tweet media two
233
82
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Ona huyu Mandonga nae. 😂😂😂
Tweet media one
60
50
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
4 months
CAF kupitia TFF waliomba Ngassa aende AFCON kama sehemu ya uchambuzi kwa mchango wake Stars kama kinara wa magoli (25).TFF hawakufikisha taarifa kwa Ngassa, sababu wanazijua wao! Ilibidi CAF wamtafute Ngassa kupitia IG. Nashindwa kuelewa why Karia bado yupo TFF. This is too much.
Tweet media one
81
135
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
• Mfungaji bora Yanga • Kipa bora wa mashindano Yanga • Nyota wa fainali Yanga • Goli bora la mashindano Yanga • Timu bora ya mashindano Yanga • Timu iliyopiga pasi nyingi Yanga • Timu iliyoruhusu goli chache Yanga • Timu ya kwanza kushinda mechi nyingi ugenini YANGA 📌
Tweet media one
99
150
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Kouassi Attohoula Yao appreciation tweet. 📌
Tweet media one
11
111
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
Simon Happygod Msuva appreciation tweet. 🙏🏻
Tweet media one
16
81
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Mudathir Yahaya appreciation tweet. Usajili bora wa muda wote Tanzania, tena bure. Asante sana Mungu kwa hii zawadi. 🙏
Tweet media one
16
100
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
4 years
Unapochanganya siasa na mpira. 👎🏾
Tweet media one
197
93
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
1. Yanga itakua ni timu ya kwanza katika historia ya Taifa hili kucheza nusu fainali ya CAF. 2. PREDATOR FISTON KALALA MAYELE ana goli 5 mpaka sasa, what a man. 3. Nasreddine Nabi anaingia kwenye historia ya kuwa kocha bora wa muda wote Tanzania 4. 10m za mama ugenini, JESUS!
Tweet media one
204
95
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Goli bora la msimu au tusubiri kwanza?
Tweet media one
21
57
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Narudia tena, Tanzania hatujawahi kupata kocha anaemkaribia Nabi kwa chochote kile.
Tweet media one
79
57
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
11 months
Yanga itakua ni timu ya kwanza kutoka Tanzania kucheza nusu fainali klabu bingwa Afrika.
Tweet media one
32
65
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Yanga wanaipenda timu yao bwana, sina neno la kusema. 💚💛
Tweet media one
12
55
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Kama wewe ni Yanga naomba tujuane mapema kabla ya kufuzu makundi hapo baadae. ☝
Tweet media one
160
131
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
4 years
Kiukweli usajili wa Yanga haukutegemewa na nchi nzima. Tuwe wakweli tuu. Mmenuna? 😂
176
52
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
4 years
Yanga kwisha habari yetu. 😂😂😂
Tweet media one
156
65
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Ndege ilitua mita 150 mpaka 200 kutoka nchi kavu n tumeshindwa kuokoa abiria, ingezama mita 1000 au 2000 tungeita waokoaji kutoka South Africa kama tulivyofanya kwenye MV Bukoba. Na bado kuna watu wanazunguka na Chopa nchi zima kuweka vibao vya Sensa? Yesu tufundishe kunyamaza 😭
116
174
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Ndio naambiwa hapa kumbe CEO alishatuma na ofa kwa Nabi ili ajiunge na Makolo, Nabi aliambiwa ataje kiasi cha mshahara anachotaka. Kwani Mgunda vipi tena? 😂😂😂
Tweet media one
132
76
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Hii mechi ilipaswa kuisha 3-1 ila mapenzi ya refa yaheshimiwe. 😊
83
57
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
4 years
Yanga SC wamenunua wachezaji 2 katika moja kati ya timu 10 bora barani Afrika, unaposema una timu tishio na ulipigwa 5 na AS Vita halafu mtani wako kaenda kununua wachezaji waliokupiga hizo 5, hii imekaaje? Shikamoo GSM. 😂
362
59
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
No Bangala No Morrison No Djuma Shaban No Diarra No AZIZ Ki No Farid Mussa No problem! Kuna timu ikimkosa Chama tu ushindi wake ni sare utafikiri wana harusi.
Tweet media one
106
102
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Simon Happygod Msuva. 📍📌 💛💚
Tweet media one
84
80
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Remija Aziz KI, remember the name 📍
Tweet media one
10
65
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Azam sijafuata pesa, nimekuja kubeba makombe. Shenzy🥹😭😂
Tweet media one
52
47
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
8 months
Motsepe kasema sababu namba 1 kwa Afrika Mashariki kuandaa AFCON ni mafanikio ya Yanga kufika fainali ya CAFCC na kuwa timu ya kwanza kucheza fainali za CAFCC na kuvaa medali ya CAF. 🤝👌
Tweet media one
64
84
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
TFF na Karia waliona kama NGAO ya mwaka huu Yanga akicheza mechi 1 atakua BINGWA kwa mara ya 3 mfululizo na kuchukua NGAO jumla, wakaamua kupanga ratiba ya timu 4 ili zituchangie lakini wapi! Fainali ya mwaka huu tutatoa funzo la karne. Mwenye kiherehere na aje. 😂😂😂
Tweet media one
35
78
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Kama kuna mrembo upande wao ambae anamzidi huyu dada hapa basi naomba wamlete. 🙌🙌
Tweet media one
167
77
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Magoli 9 na pasi 4 za magoli, tunalazimishwa kuamini una msimu mbovu, bahati mbaya hakuna namba 10 mwenye namba kama zako. 🙌
Tweet media one
41
48
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Kama Zinedine Pacome Iniesta Zuzwa Gaucho alipewa gari akiwa Asec Mimosas kwa kuupiga mwingi msimu wa 2022/23 basi msimu huu wa 2023/24 naona kabisa Wananchi wanakwenda kumpa Private Jet. Huyu mtoto ana balaa nyie. 🥹😳
Tweet media one
12
40
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Trending in Tanzania. 💚
Tweet media one
5
44
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Kitendo alichofanya Wallace Karia jana sio cha kufumbiwa macho, Rais wa Shirikisho anaposimama hadharani na kuanza kutoa matusi ya nguoni kwenye umati wa watu namna ile sio sawa, kuna ushahidi wa kila kitu, tutauweka hadharani muda ukifika. @Tanfootball
Tweet media one
489
175
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Tusipompiga Ihefu goli 5 leo nitagoma kutoka uwanjani. 😭
307
50
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Jesus Ducapel MOLOKO. 🤝
Tweet media one
25
45
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
Moja kati ya uongo ambao utaishi milele ni huu, kwa mliofanikiwa kupata videos za hawa jamaa wakigawa tiketi bure tafadhali mzilete humu. 😂😂😂
Tweet media one
266
49
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Tafadhali RT bila sababu za msingi.
Tweet media one
46
350
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Uti wa mgongo pale Avic Town. 🙏🏻
Tweet media one
13
51
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
Baaada ya Feisal kuondoka na Remija Aziz Ki miguu imefunguka na kuzaliwa upya, niliwaambia msimu huu Aziz asipopata majeruhi anafikisha G & A 20+. Mwamba kutoka Ouagadougou. 📌
Tweet media one
12
80
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
1. Mayele vs Kagere 2. Mayele vs Boko 3. Mayele vs G. Mpole 4. Mayele vs Phiri Sasa hivi 5. Mayele vs Beleke Umegundua nini? 😂😂😂
Tweet media one
227
66
2K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Huwa mnasema tuna gubu lakini @Tanfootball mnaharibu sana mpira wetu, Yanga walipoomba mechi zao zisogezwe mbele ili kujiandaa dhidi ya Club Africain 2022 mligoma, leo Simba wapo kuandaa timu Dubai kwa mechi za kirafiki mmewakubalia, tulisema mnatuhujumu na leo mmethibitisha. 💔
Tweet media one
153
83
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Picha bora ya mwaka 2023. 🙏
Tweet media one
10
90
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 months
Mwandishi nguli Ben Theatre kutoka Cameroon amesema hajawahi kuona mpira wa kimbinu kwenye CAFCL kama Yanga vs Mamelodi. Ameenda mbali na kusema kama Yanga wataboresha kikosi chao basi hawapo mbali na kubeba taji la CAFCL. Amesema Pretoria ni 50-50 mpaka sasa, mbinu zitaamua. 📌
Tweet media one
27
89
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
TFF na Wallace Karia jana hawajalala baada ya kuona mchezaji bora kutoka Ivory Coast katua Jangwani. Fundi wa mpira ambae amegoma kabisa kwenda Ulaya sababu ya Yanga, sasa hivi wanalazimisha tupeleke majina ya usajili, HATUJAMALIZAAAA! Subirini kwanza tumalize kusajili, tutakuja.
Tweet media one
48
53
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 💛💚🖤
Tweet media one
24
72
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Ibrahim Bacca appreciation tweet. Mungu asante sana kwa huyu kiumbe. 🙏
Tweet media one
13
70
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
4 years
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako. 💔
64
172
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
RASMI : Yanga imeingia kwenye rekodi ya kuuza mchezaji kwa gharama kubwa katika historia ya mpira Tanzania. Predator Fiston Kalala Mayele ameuzwa kwa dau la $1.2m. Kila la kheir mtu wa mpira, unaondoka vizuri, Jangwani ni nyumbani, karibu tena panapo majaaliwa. 🙏🏻
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
52
72
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Mechi ya Yanga vs ASAS pale Chamazi kulikuwa na mafuriko ya mashabiki mkasema ni mechi ya Kimataifa na Simba alicheza ligi. Haya mtuambie leo ni mechi ya nini? Mbona uwanja umetapika hivi? 😂🥹😂
Tweet media one
19
42
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
Picha bora ya msimu huu. 😂
Tweet media one
19
94
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Tafadhali RT 📍
Tweet media one
7
161
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Unajiita timu kubwa na hapa hatukuoni, mzaha sio mzaha? RT kama unaiona timu yako. 💛🖤💚
Tweet media one
132
197
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Makolo kwenye kura hawajui wanaenda na nani, wapo njia panda kila mtu ana pigana vita yake. Hii vita Mudathir Yahaya anawakalisha mchana kweupe kabisa. Sisi tuna watu na ndio tafsiri ya wenye nchi ni Wananchi. 😂😂😂
Tweet media one
51
54
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
11 months
Umecheza CAF misimu 4 kwa mafanikio ya kuishia robo, umekusanya jumla ya alama 35, Yanga aliyetembeza bakuli 4 yrs amerudi CAF msimu mmoja na kuchukua alama 20. Ametoka nafasi ya 78 mpaka 16 kwa msimu 1. CAF wanasema haijawahi kutokea katika historia ya mashindano. Wananchi 🙌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
63
90
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Sisi Ndio Yanga. Tukutane Estadio de Lupaso. 🖤💚💛
Tweet media one
24
79
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
RT Like Nimelia mimi 😂😂😂😭😭😭😭
Tweet media one
Tweet media two
37
25
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
3 years
Mama @SuluhuSamia umetuangusha tuliokusifia na kukuona mkombozi, haya madoa unayojipaka hayanaga mwisho mzuri, haiba ya mwanamke sio mabavu, kingine nilidhani na kuamini una hofu ya Mungu. 💔
83
125
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Nakojoaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tweet media one
27
45
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Kumbe haumwi, kwa kifupi hana majeraha popote, alisajiliwa kwa mali kauli. Kasema bila kumaliziwa pesa yake haendi popote. 😂😂😂
Tweet media one
103
36
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Kumbe vurugu zote hizi za Azam ni ujio wa Senzo Mazingiza? Kuna mtu anatafuta ugali wa kubaki Azam kupitia Kiki ya Feisal? Basi sawa. Welcome back CEO. 👏
Tweet media one
63
20
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Yanga walikuona miaka 7 iliyopita, wakakuamini na kukupa nafasi, ukatengeneza jina na kuwa kipenzi cha Wananchi, bahati mbaya walikuaminisha kuwa wewe ni mkubwa kuliko Yanga na ukaamini. Ukatumika mpaka kuhujumu mechi zetu kwa drama za kila wiki na mashauri yako TFF, ulishindwa
Tweet media one
Tweet media two
220
89
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Mashabiki wa Yanga Twitter Tanzania nzima tujuane hapa. Mechi ya marudiano tukutane Estadio de Lupaso. ✌ (Kila mtu ashinde mechi zake AWAY)
Tweet media one
40
98
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Najua haiwahusu ila leo nina furaha sana na nataka niwaambie kuwa nampenda sana MKE WANGU. Я тебя сильно люблю. 😍
Tweet media one
103
29
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Tafadhali RT bila sababu za msingi. 💛💚🖤
Tweet media one
19
193
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Nampenda sana mdogo wangu @Carotherunner 💛💚💛
Tweet media one
25
37
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Nilishawahi kuwaambia NABI ndio kocha bora wa muda wote Tanzania ila hamkunielewa, narudia tena Tanzania itachukua miaka 1,000 kupata kocha aina ya NASREDDINE NABI. Mungu amuweke sana huyu mwamba. 🙏
Tweet media one
35
41
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
4 years
Mliotuaminisha tumepata mrithi wa Baba wa Taifa bado mna nafasi ya kuomba radhi Watanzania.
Tweet media one
80
100
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Tafadhali RT kama timu yako ipo kileleni. 💛💚
Tweet media one
20
364
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
11 months
. @SheriaNgowi appreciation tweet. 💚🖤💛
Tweet media one
16
54
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
Tumeamua kukaa kimya, hatuongelei chochote kuhusu wao, tupo zetu Avic Town kujiandaa na Community Shield pale Mkwakwani. Sasa wao ndio wanakuja kwenye tweets zetu kila dakika. Mnamuona Remija Aziz KI lakini? Hamuogopi? 😂
Tweet media one
38
42
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Wananchi naombeni RT 500 kwa Djigui Diarra tafadhali. Yanga ipo kwenye mikono salama, Tanzania ipo kwenye mikono salama. 📌
Tweet media one
15
269
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Kuna sehemu ya moyo wake anaumia sana na kinachoendelea uwanjani kwa sasa, haya mashindano yalipaswa kumpa tiketi ya kwenda nje ya Tanzania.
Tweet media one
72
40
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
22.07.2023 Watazamaji 40k Mapato 600+m Hii ni rekodi nyingine. 💛💚
Tweet media one
28
71
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Mwananchi/Mwanachama mpya Yanga Twitter Family. Tawi limeanza kufanya usaili wa Kimataifa sasa. #YangaTwitterFamily
Tweet media one
32
66
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
Kwa mujibu wa CAF katika kipindi cha miaka 5 ni timu 5 tuu ndizo zimekusanya alama nyingi kwenye historia ya mashindano hayo. 1. Al Ahl 30 2. Wydad Casablanca 25 3. USM Algier 25 4. Yanga SC 20 5. Mamelodi Sundowns 20 (Kwa mujibu wa CAF, sio Remija)
Tweet media one
51
81
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Prince Of Zanzibar ‘Mudathir Yahya Abbas’ Bongo hakuna box to box midfield anaekaribia hata theluthi ya hiki chuma. Sio kipa, sio beki, sio winga, sio mshambuliaji ila anapatikana sehemu zote za uwanja. Tumpe maua yake. 📌
Tweet media one
13
59
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
“Zamani tulikuwa tunaambiwa mashabiki wa Yanga ni wengi kuliko Simba. Sijawahi kuwa na uhakika na hili mpaka sasa. Ninachojua ni kwamba mashabiki wa Yanga wanaipenda zaidi timu yao kuliko mashabiki wa Simba wanavyoipenda timu yao.” - Edo Kumwembe LEGEND.
Tweet media one
14
62
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
10 months
Wakati Bangala anasajiliwa na Yanga 2021 alikwenda kumaliza msimu akiwa MVP Tanzania, Yanga akawa bingwa. Remija Aziz Ki anasajiliwa alikua ni MVP Ivory Coast, Yanga akawa bingwa . Msimu huu tumesajili MVP mwingine kutoka Ivory Coast, fundi haswa, anaujua mno! Hii ina maana gani?
Tweet media one
16
35
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 month
Oya @Arafat__AH kama Remija Aziz KI anataka blion kwa mwezi sisi kama wanachama na mashabiki wa Dar Young Africans tupo tayari kumlipa huyu MBUZI. What A Player!
Tweet media one
10
50
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Kuna timu kutoka Tanzania ilishawahi kutoa wachezaji 7 kwenye kikosi bora cha wiki kwenye michuano ya CAF?
Tweet media one
53
58
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Namtafuta huyu mwamba kwa yeyote anaemjua. Natanguliza shukraan. 🙏🏻
82
178
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
9 months
Pacôme Zouzoua remember the name 📌
Tweet media one
5
56
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Una magoli 8 na asisti 4 ligi kuu, upo nafasi ya 3 kwenye ufungaji #LigiKuu , wanasema una msimu mbaya. Kiungo wao wanaempenda kawavua nguo jana, wamekaa kimya, ungekuwa wewe ndio umekosa penati wangeandaa na MAKALA MAALUM kwenye vipindi vyao. Mungu wetu ni mwema sana. 🙏
Tweet media one
47
48
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Tweet media one
19
30
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
1 year
Nemanja Vidic, Nesta, Canavaro, Puyol, Ramos & Rio Ferdinand katika picha ya pamoja. Kuna UNBEATEN mpya inatengenezwa na Nabi. 💚🖤💛
Tweet media one
18
31
1K
@1960Remija
SHIRIKISHO FC
2 years
Nabi anaingia kwenye vitabu vya kumbukumbu kwenye ligi yetu ya kuwa kocha bora wa muda wote kuwahi kutokea, ligi yetu itachukua miaka 50 mpaka 100 kupata kocha aina ya Nabi. Mechi 47 bila kufungwa, makombe 4, bado hajatimiza hata miaka 2. 🙌
Tweet media one
41
52
1K