Vijana wa 20’s wako na stress sana za maisha. Slow down guys. Trust the process. Haujachelewa kitu chochote. Tumia muda wako kujifunza, jenga network/connection yako.
Nimejitolea kuwafundisha for Free everything I know about social media marketing rafiki zangu wachache ambao hawana kazi. Starting next week Monday.
Then October nafikiria same course iwe open to everyone. Nataka iwe online ili kila mtu popote alipo apate ujuzi.
Connections hazitafutwi nyumbani.. Go out.. Meet people.. Jichanganye.. Mfano umesikia Jumamosi kuna Nyama Choma Fest! Nenda huwezi jua utakutana na nani. Meet new people.
Manager, Director, CEO ukimkuta maeneo ya nje ya kazi they are more approachable kuliko kazini kwake.
Ages between 21-29 is a phase of hustle, suffering and smiling, toiling depression, overthinking, wondering whether you'll achieve your goals and make it in life. 90's babies hope y'all alright. It will be okay someday. Hang in there. Don't lose hope. - Dale
BIASHARA MTANDAONI: Kuna njia nyingi za kuanza kufanya biashara mtandaoni (Facebook, Twitter, Instagram). Watu wengi hua tunakwama ni wazo gani la biashara au bidhaa gani niuze itakua na wateja. Nimekuletea UZI huu ukusaidie njia fupi ya kupata bidhaa ya uhakika kuuza
#GillMadini
Kwa sisi tulioamua kua wajasiriamali, kuna wakati mwingine familia haikuelewi kabisa michongo yako. Especially ukiwa unaanza, hawajaona hela yoyote.
Komaa tu watakuelewa siku moja. I have been there.
Ukiwa huna mishe home mpaka kitaa heshima inashuka sana. Kama vipi sometimes jifanye busy tu pendeza kama unaenda kwa mishe flani toka home asubuhi nenda hata library rudi jioni.
#LifeHack
Hata kama sio fani yako.. Jifunze kimoja au vyote:
1. Graphics Design
2. Copywriting
3. Online Sales Strategy
4. Social Media Marketing
5. Videography x Photography
Imagine ume apply kazi mpo 1000 wote mesomea Accounts but wewe una additional skill kati ya hizo hapo juu.
Wakati tunaanzisha company yetu ya kwanza tulikaa mwaka mzima bila kupata mteja yeyote. Tuliungaunga hela za kula, nauli, kodi balaa. Now Alhamdulilah.
1. Kua na malengo
2. Fanyia kazi malengo yako
3. Hakuna kukata tamaa
Twitter kuna watu ma Genius sana.. Unapitia tweets za mtu hapati likes or retweets but unatingisha kichwa..
If this is you.. Kaza.. Nilitumia miaka 6 watu waelewe.. Kwa mbali now wanaelewa..
Wewe unafahamu Graphic Design, Hufahamu Sales and Marketing. Tafuta mwenzako ambae anajua Sales and Marketing hajui Graphics unganeni mpige kazi pamoja. Tumia mfano huo huo kwa issue zingine pia.
#WazoTu
JINSI YA KUANZISHA BIASHARA UKIWA UMEAJIRIWA: Biashara yoyote iwe mpya au ya zamani ina changamoto zake especially kwenye mazingira yetu. 50% Ya biashara zote ndogo zinakufa katika mwaka wake wa kwanza kuanzishwa. UZI
#ElimikaWikiendi
This is what I do EVERYDAY! Kwa potential client tofauti.
▪️Natuma Email 5
▪️Napiga simu 5
▪️Natuma proposal 5
▪️Natuma DM 5
▪️Nafanya follow up
▪️Napitia Tenda zilizotangazwa gazetini.
Kitu gani hua unafanya kukuza biashara yako au kazi yako?
#Consistency
#GrowthHacking
NJIA (Business Models) 10 ZA KUPATA PESA ONLINE. UZI Nimeshindwa kupata kiswahili cha Business Model (Mtanisaidia) Kwa uzoefu wangu watu wengi wanapotaka kuanza kufanya biashara Online or Offline. Hua wanafikiria njia moja au Mbili.
#GillMadini
Jinsi ya kuslide DM Correctly.
Hi! You are really fine, Where can I send 245,000 for being this pretty?
Sio kila siku Hi, Hello Dear, Mambo...
#EducationalPost
Kanuni za Pesa
▪️Jifunze jinsi ya kuwekeza
▪️Matumizi yasizidi mapato
▪️Usitumie pesa ambazo hujapata
▪️Usiichukie pesa
▪️Usichezee pesa
▪️Usiwe mtumwa wa pesa
▪️Kua na mfuko wa dharura
▪️Fanya pesa ikufanyie kazi
Zingine jazia hapo chini kwenye comments
If somebody that earns 500,000 Tshs per month gives you 50,000Tshs, He would have given you 10% of his salary. It means he woke up for 3 days in the month and went to work for you. Learn this math, It will help you be grateful. Don’t feel entitled. Just be grateful!
Vijana wengi wana uchu na moto wa kupata maendeleo.. Lakini hawa njia.. Sisi tuliotangulia tusiishie tu kuwapa motivation speech ni jukumu letu kuwaonyesha njia na jukumu lao kufanyia kazi hizo njia.
Vitu 8 vya kubadili kama unataka mafanikio.
▪️Fahamu unachokitaka
▪️Kaa Karibu na watu watakao kusaidia kufikia mafanikio
▪️Stop being busy, be productive
▪️Improve your attitude
▪️Jali afya yako
▪️Kua na mpangilio
▪️Kua passionate na kitu unataka kufanya
▪️Anza sasa, Usisubiri
Huo muda unasoma udaku.. Jifunze hata photoshop basi ukishindwa kabisa Canva (Extremely simple graphics design app even my mother can use) for Free on YouTube. Kwenye CV itabadilisha kitu.
Jama usiache kazi kama hauna kitu kingine cha kukusupport.. Kuna kama miezi kadhaa ya msoto kitaa kabla ramani hazijakaa..
Anzisha mchongo wa pembeni ukiwa kazini. Mchongo ukikaa sawa unaweza jiachia tu.
Kama umeamua kuuza bidhaa au huduma zako (Facebook, Twitter, Insta) inabidi ufunge mkanda.
It’s a full time job. Sio kuweka picha za bidhaa halafu usubirie kuona wateja. Utaishia kulalamika kila siku.
Kufanya biashara mtandaoni unahitaji strategy! Kama unataka UZI comment YES
Don't skip the developmental stage! The skills you learn, the people you meet, the audience you build, the industry knowledge you gain, and the problems you observe will all influence your chances for success.
Nunua simu 3,450,000 - Fresh
Kunywa pombe za 1,250,000 - Fresh
Ingia Insta kusoma udaku 4 hrs - Fresh
Ingia Twitter for chaos - Fresh
Angalia movie masaa 8 - Fresh
Mtaji wa Biashara 650,000 - Sina Hela
Jifunze skill mpya YouTube - Sina Muda
Maisha ni kuchagua, Acha Kulalamika!
Nafikiria kuandika kitabu (ebook/Manual)..
“How to start and grow a business online (Instagram, Facebook, Website,etc.) even if you haven’t done any business before with 0 capital
Nikipata 1000 Retweets and 2000 likes and few “Yes Do it” comments.. am writing it.
Jinsi ya kupiga pesa online
1. Futa mazoea na vitu vyote unavyojua.. Weka ubongo wako tayari kujifunza vitu vipya.
2. Jifunze English 🤓
3. Jifunze Digital Marketing
4. Jifunze “Online Business models and types.”
5. Chagua moja wapo eg. Dropshipping
6. Ikomalie hio
Unataka kupata ajira sehemu?
Mtumie email CEO ukimueleza what’s so special about you. Kama sababu yako itajitosheleza kazi utapata.
Na hii haijalishi kama wametangaza kazi au la. CEO mzuri atatafuta tu nafasi kwa mtu bora.
Hivi ndio nilivyopata kazi yangu ya mwisho kuajiriwa
I wake up every morning and thank the good Lord for bringing you into my life. You complete me. Happy birthday, my beautiful wife
@reddielucy
. I love you always and forever. 🥂
#GillIdeas
AC Maintenance Service.
1. Tafuta fundi AC wa uhakika watatu tofauti.
2. Uliza bei ya kufanyia AC maintenance
3. Weka cha juu zunguka office na shops zenye AC uza service yako. Offer Free check up.
4. Ukipata mteja peleka fundi wako. Piga noti. Tengeneza IG page. 💭
Happy Birthday to the best person! Today, I could buy you a thousand flowers but even they would be too petty to express my love for you!
I will always be there by your side loving you unconditionally and protecting you fiercely.
@reddielucy
NATOA TAHADHARI KWA WALE WALIOPATA BAHATI YA KUALIKWA KWENYE NYUMBA ZA WATU, SIO MNAFIKA NA KUANZA KUSUMBUA WATOTO WA WATU... Oooh unasoma darasa la ngapi, unajua table ya pili?
*WE KULA UKIMALIZA JIONDOKEE WEWEE*
Kuna wakati nilipata kazi kupitia LinkedIn. Project Manager. Company ilikua from UK. Interview nilifanya via Skype. Contract ya 2 years. Since nimeanza kazi hadi contract imeisha sikuwahi kuonana na employers wangu face to face. Lesson: Opportunities sio lazima ziwepo nchi ni tu
Watu ambao nilianzisha nao company ya kwanza tulikutana tu facebook. Tukawa marafiki then tukafungua Digital Marketing Agency. Unaweza fanya kitu cha nguvu na watu umekutana nao on this App.
Kuishi home kwa wazazi/relatives ni fursa use it wisely especially kama ni mfanyakazi or mfanyabiashara mdogo.
(Kwa wale ambao unapata kila kitu free nyumbani)
Muda ambao upo free jiongezee ujuzi wowote ambao utakuingizia hela either leo or hata kesho.
Kuna free short courses kibao YouTube. Skills ambazo zinanipatia hela leo nimejifunza zaidi ya miaka sita nyuma.
Hii sio motivational speech ni reality. START NOW!
TIPS ZA JINSI YA KUA INFLUENCER WA KWELI - THREAD (UZI)
Influencer ni nani? Kwa maana rahisi influencer ni mtu mwenye uwezo wa kushawishi wanunuzi wa bidhaa au huduma kwa kuitangaza au kuipendekeza kwa followers wake kupitia mitandao ya kijamii.
#ElimikaWikiendi
New Month.. Chance nyingine ya kutimiza ndoto zetu.. Lakini mwezi huu tujaribu njia mpya.. Connection mpya.. Mbinu mpya..
▪️Update CV yako
▪️Update Proposal zako
▪️Tumia njia mpya za kupata wateja wapya kwenye bishara yako.
▪️Jifunze Skill Mpya
Usisubiri kesho. Anza Sasa
Je Wajua.. Ukiwa na $500 (1,152,000 Tsh) unaweza fungua kampuni Marekani yenye document zote.
Ukafanya biashara kama upo Marekani ukiwa hapa hapa Tanzania. So issue za PayPal.. Skrill.. na payment platforms zote unakua unauwezo wa kutumia.
#ElimikaKilaSiku
#WazaTofauti
Tweet kidogo tu nishaanza kuuziwa beach plots, Lamborghini, private jet. Guys mimi bado ni peasant tu.
Halafu kuna tweet reply zingine nakua natania tu but makasiriko kibao.
To all telecom. Nikiwa kwenye process ya kutuma pesa kama sina kiwango cha kutosha. Don’t let me finish the whole process then unitumie text. Pale tu nikiweka amount nikibonyeza next nipe ujumbe salio halitoshi na niwe na option ya kupunguza kiwango bila kuanza upya. 🗣🎤🔊
Anzisha Jambo/Biashara > Feli > Rekebisha Makosa > Feli > Rudia Tena > Mafanikio 🏆
Watu wengi hua wanakata tamaa wakifeli mara moja tu au mbili.. Don’t give up.. Kaza!
Reminder: Send that CV, Send that proposal, Post something useful on your social media, Push your business to new customers, Build your Network, Drink Water. Yes am talking to you. Just Do It. 🎣